WAFUNGWA 700 WAPATA MSAMAHA DRC
> Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo(DRC), Felix Tshisekedi amewasamehe wafungwa 700 wa kisiasa waliokuwa jela kwa makosa mbalimbali
> Wafungwa hao walifungwa katika utawala wa mtangulizi wake, Joseph Kabila
Zaidi, soma https://jamii.app/700PrisonersFree
> Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo(DRC), Felix Tshisekedi amewasamehe wafungwa 700 wa kisiasa waliokuwa jela kwa makosa mbalimbali
> Wafungwa hao walifungwa katika utawala wa mtangulizi wake, Joseph Kabila
Zaidi, soma https://jamii.app/700PrisonersFree
JOSHUA NASSARI(CHADEMA) AVULIWA UBUNGE
- Spika Job Ndugai amemuandikia barua Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki lipo wazi
- Spika amesema Nassari amepoteza sifa kwa kutohudhuria mikutano mitatu ya Bunge mfululizo
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAvuliwaUbunge
- Spika Job Ndugai amemuandikia barua Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki lipo wazi
- Spika amesema Nassari amepoteza sifa kwa kutohudhuria mikutano mitatu ya Bunge mfululizo
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAvuliwaUbunge
NASSARI ADAI ALIWASILIANA NA OFISI YA SPIKA
- Mbunge huyo ameieleza JamiiForums kuwa hana taarifa rasmi naye ameona taarifa zikisambaa mitandaoni
- Pia, ameeleza kuwa Januari 29, 2019 aliwasiliana na Ofisi ya Spika na kueleza juu ya kushindwa kuhudhuria vikao vya Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAvuliwaUbunge
- Mbunge huyo ameieleza JamiiForums kuwa hana taarifa rasmi naye ameona taarifa zikisambaa mitandaoni
- Pia, ameeleza kuwa Januari 29, 2019 aliwasiliana na Ofisi ya Spika na kueleza juu ya kushindwa kuhudhuria vikao vya Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAvuliwaUbunge
WASHTAKIWA WA MAUAJI WAFUTIWA KESI BAADA YA RAIS MAGUFULI KUAGIZA UCHUNGUZI
- DPP Biswalo Mganga amesema Rais aliagiza uchunguzi baada ya kusoma barua ya Mshtakiwa mmoja kwenye gazeti
- Aliandika barua kuonesha Polisi walivyombambikia kesi
Zaidi, soma https://jamii.app/WafutiwaKesiMauaji
- DPP Biswalo Mganga amesema Rais aliagiza uchunguzi baada ya kusoma barua ya Mshtakiwa mmoja kwenye gazeti
- Aliandika barua kuonesha Polisi walivyombambikia kesi
Zaidi, soma https://jamii.app/WafutiwaKesiMauaji
TATIZO LA UMEME NCHINI VENEZUELA KUMALIZIKA POLEPOLE
> Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ametangaza kuwa tatizo la kukatika kwa umeme linashughulikiwa haraka
> Katika kero nyingine, bado kuna baadhi ya maeneo mabomba ya maji yanatoa maji mazito meusi
Zaidi, soma https://jamii.app/PowerOutbrakeVenez
> Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ametangaza kuwa tatizo la kukatika kwa umeme linashughulikiwa haraka
> Katika kero nyingine, bado kuna baadhi ya maeneo mabomba ya maji yanatoa maji mazito meusi
Zaidi, soma https://jamii.app/PowerOutbrakeVenez
KILIMANJARO: DC WA HAI AVUNJA MABARAZA YA ARDHI YA KATA
- DC Lengai Ole Sabaya ameagiza kuvunjwa kwa mabaraza ya ardhi ya Kata 3 ndani ya saa 24
- Ameagiza hivyo kutokana na kulalamikiwa na Wananchi kuhujumu haki zao katika kumiliki ardhi
Zaidi, soma https://jamii.app/MabarazaArdhiYavunjwaHai
- DC Lengai Ole Sabaya ameagiza kuvunjwa kwa mabaraza ya ardhi ya Kata 3 ndani ya saa 24
- Ameagiza hivyo kutokana na kulalamikiwa na Wananchi kuhujumu haki zao katika kumiliki ardhi
Zaidi, soma https://jamii.app/MabarazaArdhiYavunjwaHai
SHAMBULIO MSIKITINI NEW ZEALAND: BAADHI YA WATU WAHOFIWA KUFARIKI
> Mtu aliyevalia kijeshi akiwa na silaha aliingia ndani ya Msikiti wa Masjid Al Noor na kuanza kufyatua rusasi
> Ndani ya Msikiti kulikuwa na Waumini 300
Soma > https://jamii.app/NewZealand
#NewZealandMosqueShooting
> Mtu aliyevalia kijeshi akiwa na silaha aliingia ndani ya Msikiti wa Masjid Al Noor na kuanza kufyatua rusasi
> Ndani ya Msikiti kulikuwa na Waumini 300
Soma > https://jamii.app/NewZealand
#NewZealandMosqueShooting
WANAWAKE WATUMIA UGORO KUPANGA UZAZI NA KUMALIZA ASHKI ZAO
> Baadhi ya wanawake wa Urambo wanatumia ugoro (tumbaku iliyosagwa) kama njia ya kupanga uzazi na kupunguza hamu ya kufanya mapenzi. Huweka sehemu ya siri kisha kuutoa baada ya muda
> Tabia hiyo imezoeleka sana miongoni mwa wanawake wasio na wenza, ikiwemo wajane na wanawake wasio katika uhusiano na wanaume ama kuolewa hutumia kama njia kumaliza hamu zao
Zaidi, soma - https://jamii.app/UgoroUzaziMpango
#JFLeo
> Baadhi ya wanawake wa Urambo wanatumia ugoro (tumbaku iliyosagwa) kama njia ya kupanga uzazi na kupunguza hamu ya kufanya mapenzi. Huweka sehemu ya siri kisha kuutoa baada ya muda
> Tabia hiyo imezoeleka sana miongoni mwa wanawake wasio na wenza, ikiwemo wajane na wanawake wasio katika uhusiano na wanaume ama kuolewa hutumia kama njia kumaliza hamu zao
Zaidi, soma - https://jamii.app/UgoroUzaziMpango
#JFLeo
POLISI AFARIKI AKIWA BAA BAADA YA KULEWA SANA
> Askari Polisi, PC Donald Motoulaya (29) wa ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, amekutwa amefariki akiwa kwenye baa iitwayo Friends Pub iliyopo Manispaa ya Songea mkoani humo
Soma - https://jamii.app/PolisiKifoBaa
#JFLeo
> Askari Polisi, PC Donald Motoulaya (29) wa ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, amekutwa amefariki akiwa kwenye baa iitwayo Friends Pub iliyopo Manispaa ya Songea mkoani humo
Soma - https://jamii.app/PolisiKifoBaa
#JFLeo
ISRAEL YAFANYA KIKAO CHA DHARURA BAADA YA SHAMBULIZI TEL AVIV
> Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu jana usiku aliitisha majadiliano ya dharura ya kijeshi na makamanda wa Jeshi baada ya shambulizi la maroketi dhidi ya Tel Aviv kutoka Gaza
> Habari mpya zinasema leo alfajiri ndege za kivita za Israel nazo zimefanya mashambulizi ya kujibu
Soma - https://jamii.app/TelAvivAttack
#JFInternational
> Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu jana usiku aliitisha majadiliano ya dharura ya kijeshi na makamanda wa Jeshi baada ya shambulizi la maroketi dhidi ya Tel Aviv kutoka Gaza
> Habari mpya zinasema leo alfajiri ndege za kivita za Israel nazo zimefanya mashambulizi ya kujibu
Soma - https://jamii.app/TelAvivAttack
#JFInternational
POLISI AMUUA MKEWE KWA MADAI YA KUZAA NJE YA NDOA
> KENYA: Patrick Nyapara amemuua mkewe, Christine Maonga (28) kwa kumpiga risasi mara tatu kichwani kwa madai kuwa mkewe alipata ujazito nje ya ndoa na kumsingizia kuwa yeye ndiye baba wa mtoto huyo baada ya kujifungua
> Afisa huyo alitoweka baada ya kutenda kitendo hicho
Soma - https://jamii.app/MumeAuaMkeRisasi
#JFInternational
> KENYA: Patrick Nyapara amemuua mkewe, Christine Maonga (28) kwa kumpiga risasi mara tatu kichwani kwa madai kuwa mkewe alipata ujazito nje ya ndoa na kumsingizia kuwa yeye ndiye baba wa mtoto huyo baada ya kujifungua
> Afisa huyo alitoweka baada ya kutenda kitendo hicho
Soma - https://jamii.app/MumeAuaMkeRisasi
#JFInternational
MSUMBIJI HATARINI KUKUMBWA NA KIMBUNGA HATARI
> Watu wanaoishi katika Mji mkuu wa Msumbiji, Maputo wameonywa juu ya kutokea kwa hali mbaya zaidi kutokana na Kimbunga kikali kitakachosababishwa na tufani iliyopewa jina la Idai
> Mpaka sasa Tufani hiyo imeshasababisha vifo vya watu 66 na safari nyingi za ndege zimesitishwa
Soma - https://jamii.app/HatariKimbungaMaputo
#JFInternational
> Watu wanaoishi katika Mji mkuu wa Msumbiji, Maputo wameonywa juu ya kutokea kwa hali mbaya zaidi kutokana na Kimbunga kikali kitakachosababishwa na tufani iliyopewa jina la Idai
> Mpaka sasa Tufani hiyo imeshasababisha vifo vya watu 66 na safari nyingi za ndege zimesitishwa
Soma - https://jamii.app/HatariKimbungaMaputo
#JFInternational
WALAJI WA DONA BILA KUOSHA HATARINI KUPATA SARATANI YA INI
> Ni kutokana na kuwa ni kiasi kikubwa cha sumukuvu ambayo hupatikana kwenye mazao ya nafaka hasa mahindi na karanga, hivyo walaji wa ugali wa dona wapo hatarini zaidi ikiwa hatua za uandaaji wa chakula hicho hautazingatiwa
> Ni lazima mahindi yaoshwe kwa umakini na usahihi kwani wengi huyahifadhi kwa kutumia dawa
Soma - https://jamii.app/OshaDonaSaratani
#JFLeo
> Ni kutokana na kuwa ni kiasi kikubwa cha sumukuvu ambayo hupatikana kwenye mazao ya nafaka hasa mahindi na karanga, hivyo walaji wa ugali wa dona wapo hatarini zaidi ikiwa hatua za uandaaji wa chakula hicho hautazingatiwa
> Ni lazima mahindi yaoshwe kwa umakini na usahihi kwani wengi huyahifadhi kwa kutumia dawa
Soma - https://jamii.app/OshaDonaSaratani
#JFLeo
UPDATE: Baada ya UEFA kutangaza michezo ya hatua ya robo fainali ya Klabu Bingwa Ulaya, hivi ndivyo safari ya kuchukua Ubingwa itakavyokuwa
Je, unadhani nani ataibuka kidedea?
#JFSports | #JFMichezo
Je, unadhani nani ataibuka kidedea?
#JFSports | #JFMichezo
MWILI WA MWANAFUNZI WAKUTWA KWENYE ENEO LA KICHAKA
> Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari ya Yungwe Mkoani Geita, Alex Pastory amekutwa ameuawa kichakani na sababu za kifo bado hazijajulikana
> Alipotea tangu Machi 1
Soma - https://jamii.app/MwiliMwanafunziKichakani
#JFLeo
> Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari ya Yungwe Mkoani Geita, Alex Pastory amekutwa ameuawa kichakani na sababu za kifo bado hazijajulikana
> Alipotea tangu Machi 1
Soma - https://jamii.app/MwiliMwanafunziKichakani
#JFLeo
GARI LAGONGA TRENI NA KUSABABISHA KIFO CHA MTU MMOJA
> Mtu mmoja amefariki na wanafunzi 19 kati ya 30 wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kwenda kucheza mpira kuligonga Treni eneo la Gofu jijini Tanga
> Kamanda wa Polisi Mkoani Tanga, SACP Edward Bukombe amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo
Soma - https://jamii.app/AjaliTreniGari
#JFLeo
> Mtu mmoja amefariki na wanafunzi 19 kati ya 30 wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kwenda kucheza mpira kuligonga Treni eneo la Gofu jijini Tanga
> Kamanda wa Polisi Mkoani Tanga, SACP Edward Bukombe amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo
Soma - https://jamii.app/AjaliTreniGari
#JFLeo
INADAIWA MWANAMKE AKIFANYA HAYA NDOA YAKE HUVUNJIKA
> Ndani ya JamiiForums unaendelea mjadala unaotaja mambo ambayo mwanamke akifanya husababisha ndoa kuvunjika
> Mwanamke kuchelewa kuamka kabla ya mume, kushindwa kumuhudumia mumewe kimwili (tendo la ndoa) kwasababu za kutojisikia au kisingizio cha kuumwa
> Kutomsikiliza mume pindi anapozungumza na kuwaambia marafiki adhaifu wa mume wako
Maoni yako ni yapi?
Soma - https://jamii.app/KeNdoaKuvunjika
#JFMahusiano
> Ndani ya JamiiForums unaendelea mjadala unaotaja mambo ambayo mwanamke akifanya husababisha ndoa kuvunjika
> Mwanamke kuchelewa kuamka kabla ya mume, kushindwa kumuhudumia mumewe kimwili (tendo la ndoa) kwasababu za kutojisikia au kisingizio cha kuumwa
> Kutomsikiliza mume pindi anapozungumza na kuwaambia marafiki adhaifu wa mume wako
Maoni yako ni yapi?
Soma - https://jamii.app/KeNdoaKuvunjika
#JFMahusiano