JE, MAFANIKIO HULETWA NA BAHATI AU JUHUDI
> Hoja hii imechambuliwa na wanaJamiiForums katika dhana kuu tatu ambazo ni mafanikio ni zao la bahati, mafanikio hutokana na juhudi na dhana ya 3 ikiwa ni juhudi na bahati huleta mafanikio
Soma > https://jamii.app/DhanaZaMafanikio
#JFMaisha
> Hoja hii imechambuliwa na wanaJamiiForums katika dhana kuu tatu ambazo ni mafanikio ni zao la bahati, mafanikio hutokana na juhudi na dhana ya 3 ikiwa ni juhudi na bahati huleta mafanikio
Soma > https://jamii.app/DhanaZaMafanikio
#JFMaisha
JESHI LA POLISI LAKIRI KUMBAMBIKIA KESI MFANYABIASHARA TABORA
> Jeshi la Polisi nchini, limekiri kuwa taarifa za awali walizopata kutoka Mkoani Tabora zimeonesha kwamba askari wake walimbambikia kesi mfanyabiashara, Mussa Sadiki
> Alibambikiziwa kesi ya kuvunja na kuiba na alikaa kituoni kwa wiki 1 na alipopelekwa Mahakamani, alisomewa shtaka la mauaji
Soma - https://jamii.app/PolisiKubambikaKesi
#JFLeo
> Jeshi la Polisi nchini, limekiri kuwa taarifa za awali walizopata kutoka Mkoani Tabora zimeonesha kwamba askari wake walimbambikia kesi mfanyabiashara, Mussa Sadiki
> Alibambikiziwa kesi ya kuvunja na kuiba na alikaa kituoni kwa wiki 1 na alipopelekwa Mahakamani, alisomewa shtaka la mauaji
Soma - https://jamii.app/PolisiKubambikaKesi
#JFLeo
MWENDOKASI KUWEKEWA DALADALA ILI KUPUNGUZA ADHA YA USAFIRI
> Waziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo ameagiza kuongezwa kwa mabasi 10 ya kawaida ktk Usafiri wa Mwendokasi jijini Dar es Salaam ili kupunguza changamoto ya usafiri
Soma - https://jamii.app/DaladalaNjiaUDART
#JFLeo
> Waziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo ameagiza kuongezwa kwa mabasi 10 ya kawaida ktk Usafiri wa Mwendokasi jijini Dar es Salaam ili kupunguza changamoto ya usafiri
Soma - https://jamii.app/DaladalaNjiaUDART
#JFLeo
RAIS MSTAAFU ANAWEZA KUFUNGULIWA MASHTAKA NA OFISI YA DPP
> Haya yameelezwa na Jaji Mkuu Mstaafu, Barnabas Samatta katika Mjadala wa Uwajibikaji uliandaliwa na Taasisi ya Wajibu Institute katika Chuo cha Sheria Tanzania(Law School of Tanzania) Jijini Dar es Salaam
> Jaji Samatta amefafanua kuwa Rais mstaafu ana kinga lakini ina mipaka. Kinga haihusu mambo aliyofanya akiwa Rais bali yale aliyofanya kama Rais
#JFLeo
> Haya yameelezwa na Jaji Mkuu Mstaafu, Barnabas Samatta katika Mjadala wa Uwajibikaji uliandaliwa na Taasisi ya Wajibu Institute katika Chuo cha Sheria Tanzania(Law School of Tanzania) Jijini Dar es Salaam
> Jaji Samatta amefafanua kuwa Rais mstaafu ana kinga lakini ina mipaka. Kinga haihusu mambo aliyofanya akiwa Rais bali yale aliyofanya kama Rais
#JFLeo
MTUHUMIWA WA MAUAJI YA NEW ZEALAND AFIKISHWA MAHAKAMANI
> Mshukiwa wa shambulio lililotokea jana jijini Christchurch, na kuua watu 49, Brenton Terrant (28) tayari amefikishwa Mahakamani
> Wengine wawili bado wanahojiwa na Polisi
Soma - https://jamii.app/MosqueShootingSuspect
#JFInternational
> Mshukiwa wa shambulio lililotokea jana jijini Christchurch, na kuua watu 49, Brenton Terrant (28) tayari amefikishwa Mahakamani
> Wengine wawili bado wanahojiwa na Polisi
Soma - https://jamii.app/MosqueShootingSuspect
#JFInternational
WALEMAVU WA MIGUU KUPEWA VIUNGO VYA BANDIA BURE
> Walemavu wa viungo vya miguu 600 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi na kupatiwa miguu bandia katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)
> Uchunguzi kwa wagonjwa utafanyika mwezi Aprili na wale watakaotakiwa kutumia viungo hivyo watapewa mwezi Mei
Soma - https://jamii.app/MiguuBandiaBure
#JFLeo
> Walemavu wa viungo vya miguu 600 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi na kupatiwa miguu bandia katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)
> Uchunguzi kwa wagonjwa utafanyika mwezi Aprili na wale watakaotakiwa kutumia viungo hivyo watapewa mwezi Mei
Soma - https://jamii.app/MiguuBandiaBure
#JFLeo
WAZAZI NA JAMII WATAJWA KUWA CHACHU YA ONGEZEKO LA RUSHWA
> Watajwa kupokea fedha nyingi toka kwa watoto wao bila maelezo na kuwa kichocheo cha kuendelea kwa ulaji rushwa miongoni mwa watumishi wa umma
> Pia tabia ya kumuona kijana wao asiyetajirika haraka kama mjinga na asiyejituma imekuwa ikiwafanya watumishi kujikita katika vitendo vya rushwa
Soma - https://jamii.app/WazaziJamiiRushwa
> Watajwa kupokea fedha nyingi toka kwa watoto wao bila maelezo na kuwa kichocheo cha kuendelea kwa ulaji rushwa miongoni mwa watumishi wa umma
> Pia tabia ya kumuona kijana wao asiyetajirika haraka kama mjinga na asiyejituma imekuwa ikiwafanya watumishi kujikita katika vitendo vya rushwa
Soma - https://jamii.app/WazaziJamiiRushwa
PROF. LIPUMBA ATANGAZA MAKATIBU WAKUU WA CUF TAIFA
> Amemtangaza ndugu Khalifa Suleiman Khalifa kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho
> Pia amtangaza Magdalena Sakaya Naibu Katibu Mkuu kwa upande wa Tanzania Bara
Soma => https://jamii.app/MakatibuCUFTaifa
#JFLeo
> Amemtangaza ndugu Khalifa Suleiman Khalifa kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho
> Pia amtangaza Magdalena Sakaya Naibu Katibu Mkuu kwa upande wa Tanzania Bara
Soma => https://jamii.app/MakatibuCUFTaifa
#JFLeo
RAIS MAGUFULI AITAKA TBA KUTOA MAELEZO YA MATUMIZI YA BILIONI 10
> Rais Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza katika mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya Askari Magereza wa Gereza la Ukonga, Dar
> Ameagiza mradi huo ukabidhiwe kwa JWTZ
Soma > https://jamii.app/RaisMagufuliVsTBA
#JFLeo
> Rais Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza katika mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya Askari Magereza wa Gereza la Ukonga, Dar
> Ameagiza mradi huo ukabidhiwe kwa JWTZ
Soma > https://jamii.app/RaisMagufuliVsTBA
#JFLeo
SENETA APIGWA KWA UBAGUZI WA DINI
> Seneta Fraser Anning wa Queensland, Australia amepigwa na yai na kijana mmoja baada ya kudai Waislamu wanaohamia New Zealand ndio chanzo cha shambulio lililotokea Msikini na kuua watu 49
Soma > https://jamii.app/NZSenator
#JFInternational
> Seneta Fraser Anning wa Queensland, Australia amepigwa na yai na kijana mmoja baada ya kudai Waislamu wanaohamia New Zealand ndio chanzo cha shambulio lililotokea Msikini na kuua watu 49
Soma > https://jamii.app/NZSenator
#JFInternational
SHAMBULIO LA KIGAIDI, NEW ZEALAND: IDADI YA WALIOFARIKI YAFIKIA 50
- Idadi hiyo inafikiwa huku majeruhi wawili wakiwa katika hali mbaya
- Aidha, waliojeruhiwa pia ni 50 huku 36 miongoni mwao wakiwa bado wamelazwa hospitalini
Zaidi, soma https://jamii.app/DeathTollRises50-NWZLND
- Idadi hiyo inafikiwa huku majeruhi wawili wakiwa katika hali mbaya
- Aidha, waliojeruhiwa pia ni 50 huku 36 miongoni mwao wakiwa bado wamelazwa hospitalini
Zaidi, soma https://jamii.app/DeathTollRises50-NWZLND
PAPUA, INDONESIA: TAKRIBANI WATU 50 WAMEFARIKI KWA MAFURIKO
- Maafisa wa Serikali wamesema idadi hiyo inaweza kuongezeka wakati uokoaji ukiendelea
- Mafuriko hayo yaliyosababishwa na mvua kubwa na maporomoko ya ardhi yamejeruhi watu wengine 50
Zaidi, soma https://jamii.app/FloodsIndonesia-Machi2019
- Maafisa wa Serikali wamesema idadi hiyo inaweza kuongezeka wakati uokoaji ukiendelea
- Mafuriko hayo yaliyosababishwa na mvua kubwa na maporomoko ya ardhi yamejeruhi watu wengine 50
Zaidi, soma https://jamii.app/FloodsIndonesia-Machi2019
ARDHI KUSAJILIWA KIELEKTRONIKI KWA SHILINGI 5,000
- Wizara ya Ardhi imezindua mpango wa kusajili kila kipande cha ardhi na kutoa leseni au hati ya kieletroniki itakayodumu miaka mitano
- Kuanza Dar es Salaam na kisha kuendelea mikoa yote
Zaidi, soma https://jamii.app/ElectronicLandLicence
- Wizara ya Ardhi imezindua mpango wa kusajili kila kipande cha ardhi na kutoa leseni au hati ya kieletroniki itakayodumu miaka mitano
- Kuanza Dar es Salaam na kisha kuendelea mikoa yote
Zaidi, soma https://jamii.app/ElectronicLandLicence
MARA: MALIGHAFI ZISIZO NA KIBALI ZA KUTENGENEZEA POMBE ZAKAMATWA
- Kituo cha Forodha Sirari kimekamata mapipa 386 ya lita za ujazo 96,500 yenye malighafi ya thamani ya Tsh. Milioni 246.6
- Yalikuwa yakisafirishwa kinyemela kwenda Kenya
Zaidi, soma https://jamii.app/MalighafiZakamatwaSirari
- Kituo cha Forodha Sirari kimekamata mapipa 386 ya lita za ujazo 96,500 yenye malighafi ya thamani ya Tsh. Milioni 246.6
- Yalikuwa yakisafirishwa kinyemela kwenda Kenya
Zaidi, soma https://jamii.app/MalighafiZakamatwaSirari
NASSARI ASEMA ATAENDA MAHAKAMANI ASIPOPATA HAKI YAKE
- Asema hakuhudhuria Bunge la Novemba 2018 na Januari 2019 kutokana na mke wake kuwa na matatizo ya kiafya
- Asema alimtaarifu Spika kupitia anuani aliyopewa na Msaidizi wa Spika
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAongeaKuvuliwaUbunge
- Asema hakuhudhuria Bunge la Novemba 2018 na Januari 2019 kutokana na mke wake kuwa na matatizo ya kiafya
- Asema alimtaarifu Spika kupitia anuani aliyopewa na Msaidizi wa Spika
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAongeaKuvuliwaUbunge
TANZIA: WAKILI SHUKURU MLWAFU AFARIKI
- Amefariki dunia leo nyumbani kwake jijini Dodoma baada ya kuugua kwa muda mrefu
- Alikuwa akifundisha sheria UDOM na ndiye aliyefungua kesi kupinga Wafanyakazi kukatwa 15% ya mshahara na HESLB
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliMlwafuAfariki
- Amefariki dunia leo nyumbani kwake jijini Dodoma baada ya kuugua kwa muda mrefu
- Alikuwa akifundisha sheria UDOM na ndiye aliyefungua kesi kupinga Wafanyakazi kukatwa 15% ya mshahara na HESLB
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliMlwafuAfariki