MWANAFUNZI AFARIKI WAKATI AKIOGELEA MTONI
> Mwanafunzi wa Chuo cha Ualimu Tukuyu, Samwel James Chacha(25) amefariki wakati akiogelea kwenye Mto Kiwira uliopo Wilaya ya Rungwe, Mbeya
> Chanzo ni uzembe wa kuogelea bila kuchukua tahadhari
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanafunziKifoMtoni
> Mwanafunzi wa Chuo cha Ualimu Tukuyu, Samwel James Chacha(25) amefariki wakati akiogelea kwenye Mto Kiwira uliopo Wilaya ya Rungwe, Mbeya
> Chanzo ni uzembe wa kuogelea bila kuchukua tahadhari
Zaidi, soma https://jamii.app/MwanafunziKifoMtoni
BRAZIL: WATU 8 WAUAWA KWA RISASI KWENYE SHULE YA MSINGI
- Vijana wawili wa kiume wa miaka 17 na 25 walivamia shule ya msingi Raul Brazil iliyopo Sao Paulo hapo jana
- Walifyatua risasi na kujeruhi watu wengine 10 na kisha kujiua wenyewe
Zaidi, soma https://jamii.app/8KilledInSchool-BRZ
- Vijana wawili wa kiume wa miaka 17 na 25 walivamia shule ya msingi Raul Brazil iliyopo Sao Paulo hapo jana
- Walifyatua risasi na kujeruhi watu wengine 10 na kisha kujiua wenyewe
Zaidi, soma https://jamii.app/8KilledInSchool-BRZ
KAMPUNI YA BOEING YASITISHA MATUMIZI YA BOEING 737 MAX
- Imechukua uamuzi huo baada ya wachunguzi kubaini ushahidi mpya katika eneo ilipoanguka ndege ya Ethiopia Airlines
- Inasitisha usafiri wa ndege zote 371(Max 8 na 9) zinazotoa huduma
Zaidi, soma https://jamii.app/Boeing737MaxGrounded
- Imechukua uamuzi huo baada ya wachunguzi kubaini ushahidi mpya katika eneo ilipoanguka ndege ya Ethiopia Airlines
- Inasitisha usafiri wa ndege zote 371(Max 8 na 9) zinazotoa huduma
Zaidi, soma https://jamii.app/Boeing737MaxGrounded
LISSU: BUNGE LIMEZUIA MSHAHARA NA POSHO ZANGU TANGU JANUARI 2019
- Amebainisha kuwa kitendo hicho kilifanyika kabla hata ya Spika Ndugai kuombwa na kutoa mwongozo
- Amesema ni uthibitisho mwingine wa ukiukaji wa Katiba, Sheria na taratibu
Zaidi, soma https://jamii.app/MshaharaLissuWasitishwa
- Amebainisha kuwa kitendo hicho kilifanyika kabla hata ya Spika Ndugai kuombwa na kutoa mwongozo
- Amesema ni uthibitisho mwingine wa ukiukaji wa Katiba, Sheria na taratibu
Zaidi, soma https://jamii.app/MshaharaLissuWasitishwa
BURUNDI YAMKATAA SPIKA MPYA WA BUNGE LA EALA
> Burundi imefungua kesi katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ) kupinga uchaguzi wa Spika mpya wa Bunge la Afrika Mashariki kwa madai kwamba uchaguzi ulifanyika kinyume na mkataba wa EAC
Zaidi, soma https://jamii.app/BRNVsSpeakerEALA
> Burundi imefungua kesi katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ) kupinga uchaguzi wa Spika mpya wa Bunge la Afrika Mashariki kwa madai kwamba uchaguzi ulifanyika kinyume na mkataba wa EAC
Zaidi, soma https://jamii.app/BRNVsSpeakerEALA
PWANI: WATU 3 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA AJALINI
- Wanadaiwa kufariki papo hapo na mmoja kujeruhiwa vibaya baada ya lori la mchanga kugongana na Suzuki Carry
- Loli lilikuwa likitokea Mkuranga na Carry ilikuwa ikitokea jijini Dar kwenda Vikindu
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliPwani-LoriCarry
- Wanadaiwa kufariki papo hapo na mmoja kujeruhiwa vibaya baada ya lori la mchanga kugongana na Suzuki Carry
- Loli lilikuwa likitokea Mkuranga na Carry ilikuwa ikitokea jijini Dar kwenda Vikindu
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliPwani-LoriCarry
UCHAGUZI TLS: MAWAKILI 6 KUWANIA KUMRITHI FATMA KARUME
> Uchaguzi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika unatarajiwa kufanyika Aprili 6 mwaka huu
> Mmojawapo ni Mkurugenzi wa Chama cha Wanasheria Watetezi wa Mazingira(Leat), Dkt. Rugemeleza Nshala
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziTLS2019
> Uchaguzi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika unatarajiwa kufanyika Aprili 6 mwaka huu
> Mmojawapo ni Mkurugenzi wa Chama cha Wanasheria Watetezi wa Mazingira(Leat), Dkt. Rugemeleza Nshala
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziTLS2019
SERIKALI YATAKA WAFUNGWA WATUMIKE KWENYE UJENZI WA CHUO
> Serikali imelitaka Jeshi la Polisi kutumia wafungwa kwenye ujenzi wa mabweni na madarasa ya chuo cha Polisi Kurasini, Dar ili kuokoa Tsh. Milioni 200 zilizotengwa kuwalipa vibarua
Zaidi, soma https://jamii.app/WafungwaUjenziChuo
> Serikali imelitaka Jeshi la Polisi kutumia wafungwa kwenye ujenzi wa mabweni na madarasa ya chuo cha Polisi Kurasini, Dar ili kuokoa Tsh. Milioni 200 zilizotengwa kuwalipa vibarua
Zaidi, soma https://jamii.app/WafungwaUjenziChuo
RAIS WA SUDAN ATEUA MAWAZIRI WAPYA BAADA YA MAANDAMANO
- Rais Omar al-Bashir jana ameteua Mawaziri 21 wa Shirikisho na 18 wa majimbo ili kukabiliana na mzozo wa kiuchumi
- Mzozo huo ulisababisha Maandamano yaliyotaka Rais Bashir ajiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliMpyaSudan
- Rais Omar al-Bashir jana ameteua Mawaziri 21 wa Shirikisho na 18 wa majimbo ili kukabiliana na mzozo wa kiuchumi
- Mzozo huo ulisababisha Maandamano yaliyotaka Rais Bashir ajiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliMpyaSudan
LAGOS: TAKRIBANI WATU 9 WAMEFARIKI NA 40 KUOKOLEWA BAADA YA JENGO KUANGUKA
- Ni kwa mujibu wa Mratibu wa Mamlaka ya Taifa ya Kushughulikia Majanga ya Dharura, Ibrahim Farinloye
- Hata hivyo, watu wapatao 100 wanahofiwa kufunikwa na kifusi
Zaidi, soma https://jamii.app/BuildingCollapseNGR-2019
- Ni kwa mujibu wa Mratibu wa Mamlaka ya Taifa ya Kushughulikia Majanga ya Dharura, Ibrahim Farinloye
- Hata hivyo, watu wapatao 100 wanahofiwa kufunikwa na kifusi
Zaidi, soma https://jamii.app/BuildingCollapseNGR-2019
NDUGAI: SINA TAARIFA KUHUSU KUSITISHWA KWA MSHAHARA WA LISSU
- Amemtaka Mbunge huyo kuandika barua kwenda ofisi ya Spika kueleza madai yake
- Amesema Bunge linataratibu zake na Mbunge ni Mtumishi wa Umma kama walivyo wengine anapaswa kufuata taratibu
Zaidi, soma https://jamii.app/MshaharaLissu-Ndugai
- Amemtaka Mbunge huyo kuandika barua kwenda ofisi ya Spika kueleza madai yake
- Amesema Bunge linataratibu zake na Mbunge ni Mtumishi wa Umma kama walivyo wengine anapaswa kufuata taratibu
Zaidi, soma https://jamii.app/MshaharaLissu-Ndugai
WAFUNGWA 700 WAPATA MSAMAHA DRC
> Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo(DRC), Felix Tshisekedi amewasamehe wafungwa 700 wa kisiasa waliokuwa jela kwa makosa mbalimbali
> Wafungwa hao walifungwa katika utawala wa mtangulizi wake, Joseph Kabila
Zaidi, soma https://jamii.app/700PrisonersFree
> Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo(DRC), Felix Tshisekedi amewasamehe wafungwa 700 wa kisiasa waliokuwa jela kwa makosa mbalimbali
> Wafungwa hao walifungwa katika utawala wa mtangulizi wake, Joseph Kabila
Zaidi, soma https://jamii.app/700PrisonersFree
JOSHUA NASSARI(CHADEMA) AVULIWA UBUNGE
- Spika Job Ndugai amemuandikia barua Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki lipo wazi
- Spika amesema Nassari amepoteza sifa kwa kutohudhuria mikutano mitatu ya Bunge mfululizo
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAvuliwaUbunge
- Spika Job Ndugai amemuandikia barua Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki lipo wazi
- Spika amesema Nassari amepoteza sifa kwa kutohudhuria mikutano mitatu ya Bunge mfululizo
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAvuliwaUbunge
NASSARI ADAI ALIWASILIANA NA OFISI YA SPIKA
- Mbunge huyo ameieleza JamiiForums kuwa hana taarifa rasmi naye ameona taarifa zikisambaa mitandaoni
- Pia, ameeleza kuwa Januari 29, 2019 aliwasiliana na Ofisi ya Spika na kueleza juu ya kushindwa kuhudhuria vikao vya Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAvuliwaUbunge
- Mbunge huyo ameieleza JamiiForums kuwa hana taarifa rasmi naye ameona taarifa zikisambaa mitandaoni
- Pia, ameeleza kuwa Januari 29, 2019 aliwasiliana na Ofisi ya Spika na kueleza juu ya kushindwa kuhudhuria vikao vya Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAvuliwaUbunge
WASHTAKIWA WA MAUAJI WAFUTIWA KESI BAADA YA RAIS MAGUFULI KUAGIZA UCHUNGUZI
- DPP Biswalo Mganga amesema Rais aliagiza uchunguzi baada ya kusoma barua ya Mshtakiwa mmoja kwenye gazeti
- Aliandika barua kuonesha Polisi walivyombambikia kesi
Zaidi, soma https://jamii.app/WafutiwaKesiMauaji
- DPP Biswalo Mganga amesema Rais aliagiza uchunguzi baada ya kusoma barua ya Mshtakiwa mmoja kwenye gazeti
- Aliandika barua kuonesha Polisi walivyombambikia kesi
Zaidi, soma https://jamii.app/WafutiwaKesiMauaji
TATIZO LA UMEME NCHINI VENEZUELA KUMALIZIKA POLEPOLE
> Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ametangaza kuwa tatizo la kukatika kwa umeme linashughulikiwa haraka
> Katika kero nyingine, bado kuna baadhi ya maeneo mabomba ya maji yanatoa maji mazito meusi
Zaidi, soma https://jamii.app/PowerOutbrakeVenez
> Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ametangaza kuwa tatizo la kukatika kwa umeme linashughulikiwa haraka
> Katika kero nyingine, bado kuna baadhi ya maeneo mabomba ya maji yanatoa maji mazito meusi
Zaidi, soma https://jamii.app/PowerOutbrakeVenez
KILIMANJARO: DC WA HAI AVUNJA MABARAZA YA ARDHI YA KATA
- DC Lengai Ole Sabaya ameagiza kuvunjwa kwa mabaraza ya ardhi ya Kata 3 ndani ya saa 24
- Ameagiza hivyo kutokana na kulalamikiwa na Wananchi kuhujumu haki zao katika kumiliki ardhi
Zaidi, soma https://jamii.app/MabarazaArdhiYavunjwaHai
- DC Lengai Ole Sabaya ameagiza kuvunjwa kwa mabaraza ya ardhi ya Kata 3 ndani ya saa 24
- Ameagiza hivyo kutokana na kulalamikiwa na Wananchi kuhujumu haki zao katika kumiliki ardhi
Zaidi, soma https://jamii.app/MabarazaArdhiYavunjwaHai
SHAMBULIO MSIKITINI NEW ZEALAND: BAADHI YA WATU WAHOFIWA KUFARIKI
> Mtu aliyevalia kijeshi akiwa na silaha aliingia ndani ya Msikiti wa Masjid Al Noor na kuanza kufyatua rusasi
> Ndani ya Msikiti kulikuwa na Waumini 300
Soma > https://jamii.app/NewZealand
#NewZealandMosqueShooting
> Mtu aliyevalia kijeshi akiwa na silaha aliingia ndani ya Msikiti wa Masjid Al Noor na kuanza kufyatua rusasi
> Ndani ya Msikiti kulikuwa na Waumini 300
Soma > https://jamii.app/NewZealand
#NewZealandMosqueShooting
WANAWAKE WATUMIA UGORO KUPANGA UZAZI NA KUMALIZA ASHKI ZAO
> Baadhi ya wanawake wa Urambo wanatumia ugoro (tumbaku iliyosagwa) kama njia ya kupanga uzazi na kupunguza hamu ya kufanya mapenzi. Huweka sehemu ya siri kisha kuutoa baada ya muda
> Tabia hiyo imezoeleka sana miongoni mwa wanawake wasio na wenza, ikiwemo wajane na wanawake wasio katika uhusiano na wanaume ama kuolewa hutumia kama njia kumaliza hamu zao
Zaidi, soma - https://jamii.app/UgoroUzaziMpango
#JFLeo
> Baadhi ya wanawake wa Urambo wanatumia ugoro (tumbaku iliyosagwa) kama njia ya kupanga uzazi na kupunguza hamu ya kufanya mapenzi. Huweka sehemu ya siri kisha kuutoa baada ya muda
> Tabia hiyo imezoeleka sana miongoni mwa wanawake wasio na wenza, ikiwemo wajane na wanawake wasio katika uhusiano na wanaume ama kuolewa hutumia kama njia kumaliza hamu zao
Zaidi, soma - https://jamii.app/UgoroUzaziMpango
#JFLeo
POLISI AFARIKI AKIWA BAA BAADA YA KULEWA SANA
> Askari Polisi, PC Donald Motoulaya (29) wa ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, amekutwa amefariki akiwa kwenye baa iitwayo Friends Pub iliyopo Manispaa ya Songea mkoani humo
Soma - https://jamii.app/PolisiKifoBaa
#JFLeo
> Askari Polisi, PC Donald Motoulaya (29) wa ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, amekutwa amefariki akiwa kwenye baa iitwayo Friends Pub iliyopo Manispaa ya Songea mkoani humo
Soma - https://jamii.app/PolisiKifoBaa
#JFLeo