KISUTU: MKURUGENZI WA M HOLDINGS GROUP INAYOMILIKI BANK M AFIKISHWA MAHAKAMANI
> Sanjeev Kumar amefikishwa mbele ya Hakimu Huruma Shaidi na kusomewa mashtaka 29 yakiwemo 12 ya utakatishaji wa fedha
> Akosa dhamana na kupelekwa mahabusu
Soma > https://jamii.app/SanjeevKumarKisutu
#JFLeo
> Sanjeev Kumar amefikishwa mbele ya Hakimu Huruma Shaidi na kusomewa mashtaka 29 yakiwemo 12 ya utakatishaji wa fedha
> Akosa dhamana na kupelekwa mahabusu
Soma > https://jamii.app/SanjeevKumarKisutu
#JFLeo
WABUNGE PETER LIJUALIKALI NA SUSAN KIWANGA WAACHIWA KWA DHAMANA
> Uamuzi huo umetolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro
> Mahakama imewapa dhamana baada ya kutupilia mbali maombi ya Jamhuri ya kupinga dhamana yao
Soma => https://jamii.app/KiwangaLijualikaliDhamana
#JFLeo
> Uamuzi huo umetolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro
> Mahakama imewapa dhamana baada ya kutupilia mbali maombi ya Jamhuri ya kupinga dhamana yao
Soma => https://jamii.app/KiwangaLijualikaliDhamana
#JFLeo
HUAWEI YAPANGA KUFUNGUA KESI DHIDI YA MAREKANI
> Kampuni ya simu ya Huawei ya nchini China itaifungulia kesi Serikali ya Marekani, baada ya kuzuia mashirika yake ya umma kutumia vifaa vyake kwa madai kuwa ni hatari kwa usalama wao
Soma - https://jamii.app/HuaweiCourtUS
#JFInternational
> Kampuni ya simu ya Huawei ya nchini China itaifungulia kesi Serikali ya Marekani, baada ya kuzuia mashirika yake ya umma kutumia vifaa vyake kwa madai kuwa ni hatari kwa usalama wao
Soma - https://jamii.app/HuaweiCourtUS
#JFInternational
VENEZUELA YAMFUKUZA BALOZI WA UJERUMANI
> Venezuela imemfukuza nchini mwake balozi wa Ujerumani Daniel Kriener, huku ikimpa
saa 48 za kuondoka nchini humo kwa madai ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela
Soma - https://jamii.app/BaloziAfukuzwaVenezuela
#JFInternational
> Venezuela imemfukuza nchini mwake balozi wa Ujerumani Daniel Kriener, huku ikimpa
saa 48 za kuondoka nchini humo kwa madai ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela
Soma - https://jamii.app/BaloziAfukuzwaVenezuela
#JFInternational
KIGOMA NA KAGERA WAONGOZA KWA KUCHAFUA NOTI
> Wakazi wa mikoa hiyo wametajwa kuwa viongozi wa kuchafua noti kuliko mikoa yote nchini
> Kufuatia hali hiyo Benki Kuu imeandaa utaratibu wa kuwafundisha watu jinsi ya kutunza fedha
Soma => https://jamii.app/KigomaKageraKichafuaNoti
#JFLeo
> Wakazi wa mikoa hiyo wametajwa kuwa viongozi wa kuchafua noti kuliko mikoa yote nchini
> Kufuatia hali hiyo Benki Kuu imeandaa utaratibu wa kuwafundisha watu jinsi ya kutunza fedha
Soma => https://jamii.app/KigomaKageraKichafuaNoti
#JFLeo
MWILI WA EPHRAIM KIBONDE KUZIKWA JUMAMOSI
> Mwili wa marehemu utawasili leo usiku ktk Uwanja wa ndege wa kimataifa (JKNIA) na utapelekwa Hospitali ya Jeshi, Lugalo
> Taratibu za mazishi zitafanyika nyumbani kwake Mbezi na Jumamosi ataagwa na kuzikwa
#JFLeo #RIPKibonde
> Mwili wa marehemu utawasili leo usiku ktk Uwanja wa ndege wa kimataifa (JKNIA) na utapelekwa Hospitali ya Jeshi, Lugalo
> Taratibu za mazishi zitafanyika nyumbani kwake Mbezi na Jumamosi ataagwa na kuzikwa
#JFLeo #RIPKibonde
JESHI LA POLISI LAUA MAJAMBAZI WATANO DAR ES SALAAM
> Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi watano na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa wengine wanne, silaha 4 na risasi 59 katika matukio matatu tofauti
Soma - https://jamii.app/MajambaziWauliwaDar
#JFLeo
> Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi watano na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa wengine wanne, silaha 4 na risasi 59 katika matukio matatu tofauti
Soma - https://jamii.app/MajambaziWauliwaDar
#JFLeo
IMANI: TULITUMIA MBINU HIZI KUJIKINGA NA WACHAWI
> Wapo wanaodai walikuwa wakichukua mkaa uliokolea moto na kuuweka kwenye maji na ukishazima wanauweka chini ya mto wa kulalia
Kwa mjadala zaidi, soma => https://jamii.app/KujikingaWachawi
#JFMaisha
> Wapo wanaodai walikuwa wakichukua mkaa uliokolea moto na kuuweka kwenye maji na ukishazima wanauweka chini ya mto wa kulalia
Kwa mjadala zaidi, soma => https://jamii.app/KujikingaWachawi
#JFMaisha
KILI MARATHONI WATAKIWA KULIPA KODI YA MILIONI 536
> Mashindano hayo yalihusisha wakimbiaji zaidi ya 10,000 kutoka mataifa mbalimbali duniani
> TRA Kilimanjaro tayari imewapelekea waandaaji hao ilani ya kuwataka kulipa malimbikizo ya kodi
Soma > https://jamii.app/KodiKiliMarathoni
#JFLeo
> Mashindano hayo yalihusisha wakimbiaji zaidi ya 10,000 kutoka mataifa mbalimbali duniani
> TRA Kilimanjaro tayari imewapelekea waandaaji hao ilani ya kuwataka kulipa malimbikizo ya kodi
Soma > https://jamii.app/KodiKiliMarathoni
#JFLeo
LEO NI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
> Siku hii hutumika kumsheherekea na kumuenzi Mwanamke na nafasi yake katika jamii na maisha yake ya kila siku
> Kauli mbiu ya mwaka huu imelenga kuhimiza umuhimu wa haki sawa katika jamii
Soma > https://jamii.app/IntlWomensDay
#BalanceForBetter
> Siku hii hutumika kumsheherekea na kumuenzi Mwanamke na nafasi yake katika jamii na maisha yake ya kila siku
> Kauli mbiu ya mwaka huu imelenga kuhimiza umuhimu wa haki sawa katika jamii
Soma > https://jamii.app/IntlWomensDay
#BalanceForBetter
MAREKANI: ALIYEKUWA MENEJA WA KAMPENI WA RAIS DONALD TRUMP AFUNGWA JELA
> Paul Manafort(69) amefungwa miezi 47 jela sawa na miaka 3 na miezi 11 baada ya kukutwa na hatia ya kukwepa kodi na udanganyifu wa kibenki
Zaidi, soma => https://jamii.app/ManafortConvicted
#JFInternational
> Paul Manafort(69) amefungwa miezi 47 jela sawa na miaka 3 na miezi 11 baada ya kukutwa na hatia ya kukwepa kodi na udanganyifu wa kibenki
Zaidi, soma => https://jamii.app/ManafortConvicted
#JFInternational
SAME, KILIMANJARO: WATU 5 WAMEFARIKI BAADA YA PETROLI KULIPUKA
> Tukio hili la kusikitisha limetokea katika kijiji cha Marwa huku ikielezwa kuwa Petroli hiyo ilikuwa ndani ya nyumba waliyokuwa wakiishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/PetroliYauaSame
#JFLeo
> Tukio hili la kusikitisha limetokea katika kijiji cha Marwa huku ikielezwa kuwa Petroli hiyo ilikuwa ndani ya nyumba waliyokuwa wakiishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/PetroliYauaSame
#JFLeo
UFARANSA: KADINALI AHUKUMIWA KWA KUSHINDWA KUKEMEA UNYANYASAJI
> Kiongozi wa Kanisa Katoliki Ufaransa, Kadinali Philippe Barbarin amehukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kushindwa kukemea vitendo vya udhalilishaji dhidi ya watoto
Soma - https://jamii.app/KadinaliJelaUdhalilishaji
#JFInternational
> Kiongozi wa Kanisa Katoliki Ufaransa, Kadinali Philippe Barbarin amehukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kushindwa kukemea vitendo vya udhalilishaji dhidi ya watoto
Soma - https://jamii.app/KadinaliJelaUdhalilishaji
#JFInternational
MPANDA & GEITA: JESHI LA POLISI LAZUIA MAADHIMISHO YA WANAWAKE WA ACT NA CHADEMA
> Wametakiwa kuungana na Wanawake wengine katika maadhimisho ya kiserikali
> Imeelezwa kuwa hatua hiyo itazuia matangazo yenye mlengo wa kisiasa
Soma > https://jamii.app/WanawakeACTCDM
#BalanceForBetter
> Wametakiwa kuungana na Wanawake wengine katika maadhimisho ya kiserikali
> Imeelezwa kuwa hatua hiyo itazuia matangazo yenye mlengo wa kisiasa
Soma > https://jamii.app/WanawakeACTCDM
#BalanceForBetter
DR CONGO: SERIKALI YADAIWA KUWA MBIONI KUJENGA SANAMU YA TSHISEKEDI
> Ni ya Etienne Tshisekedi baba wa Rais wa sasa, Felix Tshisekedi aliyefariki dunia mwaka 2017
> Inatarajiwa kugharimu zaidi ya billioni 5 za Kitanzania
Soma > https://jamii.app/TshesekediStatue
#JFInternational
> Ni ya Etienne Tshisekedi baba wa Rais wa sasa, Felix Tshisekedi aliyefariki dunia mwaka 2017
> Inatarajiwa kugharimu zaidi ya billioni 5 za Kitanzania
Soma > https://jamii.app/TshesekediStatue
#JFInternational
HILLARY CLINTON KUTOGOMBEA TENA 2020
> Hillary Clinton ametangaza kuwa hatowania urais ktk uchaguzi ujao wa mwaka 2020 bali ataendelea kuunga mkono na kufanyia kazi kile anachoamini kuwa ni sawa bila ya kushiriki kama mgombea
Soma - https://jamii.app/ClintonOut2020
#JFInternational
> Hillary Clinton ametangaza kuwa hatowania urais ktk uchaguzi ujao wa mwaka 2020 bali ataendelea kuunga mkono na kufanyia kazi kile anachoamini kuwa ni sawa bila ya kushiriki kama mgombea
Soma - https://jamii.app/ClintonOut2020
#JFInternational
MBEGU FEKI ZASABABISHA HALI YA USALAMA WA CHAKULA AFRIKA KUWA MBAYA
> Katibu Mkuu wa Shirikisho la mbegu la kimataifa amesema, kuingia kwa mbegu feki na zisizo na ubora kumefanya hali ya usalama wa chakula Kusini mwa Sahara izidi kuwa mbaya
Soma - https://jamii.app/NjaaAfrikaVsMbeguFeki
#JFLeo
> Katibu Mkuu wa Shirikisho la mbegu la kimataifa amesema, kuingia kwa mbegu feki na zisizo na ubora kumefanya hali ya usalama wa chakula Kusini mwa Sahara izidi kuwa mbaya
Soma - https://jamii.app/NjaaAfrikaVsMbeguFeki
#JFLeo
KATAVI: MWANAHABARI WA MAJIRA ADAIWA KUKAMATWA
> George Mwigulu wa Gazeti la Majira amekamatwa wakati akiupiga picha msafara wa Wanawake wa ACT Wazalendo
> Wanawake hao walikuwa katika shamrashamra za kusheherekea siku ya Wanawake Duniani
Soma > https://jamii.app/MwanahabariKatavi
#JFLeo
> George Mwigulu wa Gazeti la Majira amekamatwa wakati akiupiga picha msafara wa Wanawake wa ACT Wazalendo
> Wanawake hao walikuwa katika shamrashamra za kusheherekea siku ya Wanawake Duniani
Soma > https://jamii.app/MwanahabariKatavi
#JFLeo