HOMA YA DEGEDEGE, VISABABISHI NA WANAOATHIRIKA
> Degedege ni hali ya ghafla ya kutingishika kwa mwili mzima au miguu na mikono, ambayo husababishwa na kukakamaa kwa misuli ya mwili
> Hutokea kwa wastani wa asilimia nne (4%) ya watoto walio kati ya umri wa miezi sita na miaka mitano
> Kama mama au baba aliwahi kuumwa ugonjwa huu basi mtoto ana asilimia 10-20 zaidi ya kuumwa ugonjwa huu
Tembelea - https://jamii.app/UfahamuDegedege
#JFAfya
> Degedege ni hali ya ghafla ya kutingishika kwa mwili mzima au miguu na mikono, ambayo husababishwa na kukakamaa kwa misuli ya mwili
> Hutokea kwa wastani wa asilimia nne (4%) ya watoto walio kati ya umri wa miezi sita na miaka mitano
> Kama mama au baba aliwahi kuumwa ugonjwa huu basi mtoto ana asilimia 10-20 zaidi ya kuumwa ugonjwa huu
Tembelea - https://jamii.app/UfahamuDegedege
#JFAfya
FAHAMU KUHUSU KILIMO CHA MAPAPAI NA YA KUZINGATIA KATIKA KILIMO CHAKE
> Ekari moja ya papai inachukua miche 1,000 hadi 1,200 kwa maana ya mita 2×2 kutoka mti hadi mti kwa mbegu fupi
> Kuanzia kupanda hadi kuanza kuvuna huchukua miezi 8 hadi 10
> Hali ya hewa inayofaa kwa mipapai ni ya kitropiki ambayo haina baridi kali na joto kiasi
> Udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji kwasababu maji yakisimama kwa saa 48 tu mpapai unaweza kufa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoMapapai
#JFKilimo
> Ekari moja ya papai inachukua miche 1,000 hadi 1,200 kwa maana ya mita 2×2 kutoka mti hadi mti kwa mbegu fupi
> Kuanzia kupanda hadi kuanza kuvuna huchukua miezi 8 hadi 10
> Hali ya hewa inayofaa kwa mipapai ni ya kitropiki ambayo haina baridi kali na joto kiasi
> Udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji kwasababu maji yakisimama kwa saa 48 tu mpapai unaweza kufa
Zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoMapapai
#JFKilimo
FAHAMU KUHUSU CHEMBE YA MOYO NA VISABABISHI VYAKE
> Chembe ya moyo (Angina Pectoris) ni tatizo linalotokea pale moyo unapopata hewa ya Oksijeni kidogo tofauti na mahitaji yake
> Inaelezwa kuwa Watu waliopo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huo ni; Wanaovuta sigara, Wanene kupita kiasi na wenye ugonjwa wa kisukari
> Dalili kubwa ni maumivu katikati ya kifua yanayokua kuelekea kwenye mkono wa kushoto
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UgonjwaChembeMoyo
#JFAfya
> Chembe ya moyo (Angina Pectoris) ni tatizo linalotokea pale moyo unapopata hewa ya Oksijeni kidogo tofauti na mahitaji yake
> Inaelezwa kuwa Watu waliopo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huo ni; Wanaovuta sigara, Wanene kupita kiasi na wenye ugonjwa wa kisukari
> Dalili kubwa ni maumivu katikati ya kifua yanayokua kuelekea kwenye mkono wa kushoto
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UgonjwaChembeMoyo
#JFAfya
NDEGE ZA ISRAEL ZAISHAMBULIA NGOME YA HAMAS
> Ndege za kijeshi za Israel zimeishambulia ngome ya Hamas Kaskazini mwa Gaza
> Hatua hiyo imekuja baada ya Hamas kuulipua upande wa Israel katika eneo la Gaza
Soma - https://jamii.app/IsraelVsHamasGaza
#JFInternational
> Ndege za kijeshi za Israel zimeishambulia ngome ya Hamas Kaskazini mwa Gaza
> Hatua hiyo imekuja baada ya Hamas kuulipua upande wa Israel katika eneo la Gaza
Soma - https://jamii.app/IsraelVsHamasGaza
#JFInternational
MAWAZIRI WA FEDHA AFRIKA WAKUTANA KUJADILI HATUA NA SERA ZA KIUCHUMI
> Mawaziri wa fedha na wataalamu wa nchi za Afrika wamekutana Yaoundé, Cameroon kwenye mkutano wa siku 5, kujadili sera na hatua zinazohitajika kwa ajili ya kuleta mabadiliko chanya kiuchumi
#JFInternational
> Mawaziri wa fedha na wataalamu wa nchi za Afrika wamekutana Yaoundé, Cameroon kwenye mkutano wa siku 5, kujadili sera na hatua zinazohitajika kwa ajili ya kuleta mabadiliko chanya kiuchumi
#JFInternational
PUTIN ASITISHA MKATABA WA UTEKELEZAJI WA SILAHA ZA NYUKLIA
> Rais Vladimir Putin amesaini amri ya kusitisha mara moja utekelezaji wa Mkataba wa Silaha za Nyuklia za masafa ya Kati(INF) hadi Marekani itakapoacha kupuuza wajibu wake
Soma - https://jamii.app/PutinSuspendsNuckearTreaty
#JFInternational
> Rais Vladimir Putin amesaini amri ya kusitisha mara moja utekelezaji wa Mkataba wa Silaha za Nyuklia za masafa ya Kati(INF) hadi Marekani itakapoacha kupuuza wajibu wake
Soma - https://jamii.app/PutinSuspendsNuckearTreaty
#JFInternational
FAHAMU HAYA KUHUSU IPTV (KUANGALIA RUNINGA KWA KUTUMIA INTANETI)
> Hii ni aina ya uangaliaji runinga kupitia mtandao (intaneti) ambapo kituo cha runinga badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa intaneti
> Utahitaji kifaa chenye intaneti na uwezo wa kurusha matangazo ili kuweza kuangalia kama vile simu janja (smartphone), kompyuta au runinga zenye intaneti (smart tv)
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UfahamuTvIntaneti
#JFTeknolojia
> Hii ni aina ya uangaliaji runinga kupitia mtandao (intaneti) ambapo kituo cha runinga badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa intaneti
> Utahitaji kifaa chenye intaneti na uwezo wa kurusha matangazo ili kuweza kuangalia kama vile simu janja (smartphone), kompyuta au runinga zenye intaneti (smart tv)
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UfahamuTvIntaneti
#JFTeknolojia
SERIKALI: MARUFUKU MAGARI YA ABIRIA KUSAFIRISHA MIZIGO NA BARUA
> Ni marufuku kusafirisha vifurushi na barua bila ya kuwa na leseni ya Mamlaka ya Mawasiliano(TCRA)
> SUMATRA imeagizwa kuendesha oparesheni kali ili kudhibiti vitendo hivyo
Soma > https://jamii.app/GvtVsUsafirishajiMizigo
#JFLeo
> Ni marufuku kusafirisha vifurushi na barua bila ya kuwa na leseni ya Mamlaka ya Mawasiliano(TCRA)
> SUMATRA imeagizwa kuendesha oparesheni kali ili kudhibiti vitendo hivyo
Soma > https://jamii.app/GvtVsUsafirishajiMizigo
#JFLeo
MAREKANI: MGONJWA WA PILI WA UKIMWI APONA
> Wanasayansi wamefanikiwa kumtibu mgonjwa wa pili aliyeathirika na VVU tangu ugonjwa huo uanze kuathiri Wanadamu miaka ya 1980
> Mchakato wa kutengeneza tiba hiyo umechukua takribani miaka 12
Soma > https://jamii.app/USTibaHIV
#JFLeo
> Wanasayansi wamefanikiwa kumtibu mgonjwa wa pili aliyeathirika na VVU tangu ugonjwa huo uanze kuathiri Wanadamu miaka ya 1980
> Mchakato wa kutengeneza tiba hiyo umechukua takribani miaka 12
Soma > https://jamii.app/USTibaHIV
#JFLeo
NEC YAONGEZA VITUO 858 VYA KUPIGIA KURA
> Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Semistocles Kaijage leo Machi 5 amesema wameongeza vituo vya kupigia kura 858 na kufanya idadi ya vituo kupanda kutoka 36,549 hadi 37,407
> Ni maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika 2020
Soma - https://jamii.app/OngezekoVituoKura
#JFLeo
> Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Semistocles Kaijage leo Machi 5 amesema wameongeza vituo vya kupigia kura 858 na kufanya idadi ya vituo kupanda kutoka 36,549 hadi 37,407
> Ni maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika 2020
Soma - https://jamii.app/OngezekoVituoKura
#JFLeo
UCHAGUZI YANGA SASA KUFANYIKA MACHI 10, 2019
> Uchaguzi Mkuu wa klabu ya Yanga, uliosimamishwa kutokana na baadhi ya wanachama kufungua kesi Mahakamani, sasa umepangwa kufanyika Machi 10
> Awali, ulipangwa kufanyika Januari 13, 2019
Soma - https://jamii.app/UchaguziYangaMachi10
#JFMichezo
> Uchaguzi Mkuu wa klabu ya Yanga, uliosimamishwa kutokana na baadhi ya wanachama kufungua kesi Mahakamani, sasa umepangwa kufanyika Machi 10
> Awali, ulipangwa kufanyika Januari 13, 2019
Soma - https://jamii.app/UchaguziYangaMachi10
#JFMichezo
ELIMU YA URAIA: SHERIA INASEMAJE KUHUSU KUKAMATWA KWA WATOTO?
> Sheria ya Mtoto inasema kuwa endapo Mtoto atakamatwa na Askari Polisi, ni
jukumu la lazima kwa askari huyo kumtaarifu mzazi au mlezi wa mtoto huyo pasipo kuchelewa
Soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Sheria ya Mtoto inasema kuwa endapo Mtoto atakamatwa na Askari Polisi, ni
jukumu la lazima kwa askari huyo kumtaarifu mzazi au mlezi wa mtoto huyo pasipo kuchelewa
Soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
EWURA: MAFUTA YA DIZELI YAPANDA HUKU PETROLI IKISHUKA
> Bei ya rejareja kwa dizeli imeongezeka kwa Shilingi 51 kwa lita 1 sawa na ongezeko 2.44%
> Aidha, bei ya Petroli imepungua kwa Shilingi 23 kwa lita 1 ambayo ni sawa na 1.07%
Zaidi, soma => https://jamii.app/BeiMafutaMachi
#JFLeo
> Bei ya rejareja kwa dizeli imeongezeka kwa Shilingi 51 kwa lita 1 sawa na ongezeko 2.44%
> Aidha, bei ya Petroli imepungua kwa Shilingi 23 kwa lita 1 ambayo ni sawa na 1.07%
Zaidi, soma => https://jamii.app/BeiMafutaMachi
#JFLeo
UMUHIMU WA KUMSIKILIZA MTOTO WAKO
> Ukimsikiliza mtoto unampa kujua kuwa yeye ni wa thamani kwako na kumfanya aone kwamba unamjali na kujali mawazo yake
> Wataalamu wanaeleza kuwa mzazi akimsikiliza mtoto hujenga mahusiano ya karibu sana na kumfanya mtoto awe muwazi tangu akiwa mdogo
> Msikilize lolote analolizungumza na jali mawazo yake
Zaidi, soma - https://jamii.app/UmuhimuKumsikilizaMtoto
#JFMahusiano
> Ukimsikiliza mtoto unampa kujua kuwa yeye ni wa thamani kwako na kumfanya aone kwamba unamjali na kujali mawazo yake
> Wataalamu wanaeleza kuwa mzazi akimsikiliza mtoto hujenga mahusiano ya karibu sana na kumfanya mtoto awe muwazi tangu akiwa mdogo
> Msikilize lolote analolizungumza na jali mawazo yake
Zaidi, soma - https://jamii.app/UmuhimuKumsikilizaMtoto
#JFMahusiano
UEFA YAKATAA OMBI LA REFA ALIYEOMBA KUTOCHEZESHA MCHEZO KATI YA REAL MADRID NA AJAX
> Mwamuzi Felix Brych aliomba asichezeshe mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya(UEFA)
> Brych alieleza kuwa ana mgogoro na waamuzi wasaidizi wa mchezo huo
#JFMichezo
> Mwamuzi Felix Brych aliomba asichezeshe mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya(UEFA)
> Brych alieleza kuwa ana mgogoro na waamuzi wasaidizi wa mchezo huo
#JFMichezo
BUNGOMA, KENYA: MWALIMU AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUMUUA MWANAFUNZI
> Ni Mwalimu wa Bishop Adudo Boys School ambaye alimpiga Mwanafunzi kwa kosa la kutomaliza kazi ya darasani aliyompatia
> Imeelezwa kuwa alimjeruhi kichwani
Soma => https://jamii.app/MwalimuAuaBungoma
#JFInternational
> Ni Mwalimu wa Bishop Adudo Boys School ambaye alimpiga Mwanafunzi kwa kosa la kutomaliza kazi ya darasani aliyompatia
> Imeelezwa kuwa alimjeruhi kichwani
Soma => https://jamii.app/MwalimuAuaBungoma
#JFInternational
KISUTU, DAR: TAKUKURU YAWASILISHA OMBI LA KUTAKA MALINZI AHOJIWE TENA
> Hii ni baada ya shahidi wa 11 katika kesi hiyo kumaliza kutoa ushahidi wake
> Hakimu Kasonde anayesimamia kesi hiyo amekubaliana na ombi hilo
Zaidi, soma > https://jamii.app/MalinziKuhojiwaTena
> Hii ni baada ya shahidi wa 11 katika kesi hiyo kumaliza kutoa ushahidi wake
> Hakimu Kasonde anayesimamia kesi hiyo amekubaliana na ombi hilo
Zaidi, soma > https://jamii.app/MalinziKuhojiwaTena
KENYA: RAIS KENYATTA AWATAKA WANAOMTUHUMU KWA WIZI, WAMRIPOTI KWA DCI
> Rais Kenyatta awataka wanaomtuhumu kwa wizi wa mali za taifa wamripoti kwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai(DCI)
> Awataka waache siasa kwenye vita ya rushwa
Soma > https://jamii.app/KenyattaDCI
#JFInternational
> Rais Kenyatta awataka wanaomtuhumu kwa wizi wa mali za taifa wamripoti kwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai(DCI)
> Awataka waache siasa kwenye vita ya rushwa
Soma > https://jamii.app/KenyattaDCI
#JFInternational
ELIMU YA URAIA: Mfumo wa Kisheria na Uhuru wa Vyombo vya Habari
> Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya mwaka 2016 ndio sheria Mama kwenye tasnia ya habari nchini
> Ndani ya miaka 4 magazeti 6 yamefungiwa kwa muda kati ya miezi mitatu (3) na miaka mitatu.
#JFCivicSpace
> Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya mwaka 2016 ndio sheria Mama kwenye tasnia ya habari nchini
> Ndani ya miaka 4 magazeti 6 yamefungiwa kwa muda kati ya miezi mitatu (3) na miaka mitatu.
#JFCivicSpace
BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA YAIPATIA TANZANIA MKOPO WA KUJENGA BARABARA KIGOMA
> Serikali na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) zimesaini mikataba 2 ya mkopo wa takribani Tsh bilioni 589.3 za ujenzi wa barabara ya Kabingo-Kasulu-Manyovu
Soma - https://jamii.app/AfDBMkopoTanzania
#JFLeo
> Serikali na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) zimesaini mikataba 2 ya mkopo wa takribani Tsh bilioni 589.3 za ujenzi wa barabara ya Kabingo-Kasulu-Manyovu
Soma - https://jamii.app/AfDBMkopoTanzania
#JFLeo