JamiiForums
52.7K subscribers
34.4K photos
2.45K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
KIZIMBANI WAKITUHUMIWA KWA WIZI WA MTANDAONI

- Rajab Makwaya, Rashid Kayombo na Said Issa wamepelekwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Tabora

- Wanatuhumiwa kuiba Tsh. Milioni 2 kwa simu na kumiliki nyumba walizozipata kinyume na sheria

Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniWiziMtandaoni
LEMA: CHADEMA IMEPATA BARAKA KWA KUONDOKA KWA LOWASSA

- Mbunge huyo wa Arusha Mjini amedai uamuzi wa aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa kurejea CCM ni kuweka maslahi binafsi mbele

- Ahusisha na kesi ya mkwewe Sioi Sumari

Zaidi, soma https://jamii.app/LemaVsLowassa
DART YAWATAHADHARISHA ABIRIA WAKE

- Ni kutokana na mvua iliyonyesha leo jijini Dar na kusababisha maji kujaa maeneo ya Jangwani

- Abiria wa Mbezi na Kimara wameshauriwa kutumia mabasi hayo hadi Morocco kisha wachukue usafiri mbadala hadi Kivukoni na Gerezani iwapo mvua itaendelea kunyesha

Zaidi, soma https://jamii.app/DARTYatahadharishaAbiria
MAFURIKO YASABABISHA VIFO VYA WATU 12 AFGHANISTAN

> Mafuriko ya mvua yamesababisha vifo vya watu 12 nchini Afghanistan na uharibifu mkubwa wa mali eneo la Kandahar

> Watu 18 wamejeruhiwa na nyumba laki 5 na elfu 75 zimeharibiwa

Soma - https://jamii.app/12DeadFloods
#JFInternational
WATUMIA "EARPHONES" HATARINI KUPATA MATATIZO YA USIKIVU

> Serikali imesema wanaoshinda na spika masikioni (earphones) kwa muda mrefu wapo hatarini kupata matatizo ya usikivu

> Inakadiriwa, watu 466,000,000 duniani wana matatizo ya kusikia

Soma https://jamii.app/EarphonesVsHearing

#JFLeo
MAANDAMANO YA KUMPINGA RAIS WA ALGERIA YASABABISHA KIFO

> Mtu mmoja amefariki na wengine zaidi ya 180 wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga Rais Abdelaziz Bouteflika (82) kuwania kiti cha urais kwa muhula wa tano nchini humo

Soma - https://jamii.app/DeathProtestsAlgeria
#JFInternational
RAIS MAGUFULI AWAAPISHA PROF. KABUDI NA DKT. MAHIGA

> IKULU: Rais John Magufuli, leo amewaapisha Dkt. Augustine Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Zaidi - https://jamii.app/ViapoMawaziriIkulu
#JFLeo
Kauli ya Rais kuhusiana na kilichofanywa na Polisi katika Sakata la kutekwa Mo Dewji
WAHUKUMIWA JELA MIAKA 3 KWA KOSA LA UVUVI HARAMU

> Watu 7 Wilayani Ukerewe wamehukumiwa kwenda jela miaka 3 na Mahakama inayotembea (Mobile Court) kwa kosa la kufanya uvuvi haramu

> Wengine 14 wamefikishwa Mahakama hapo kwa kosa hilo hilo

Soma - https://jamii.app/JelaUvuviHaramu
#JFLeo
MAAFISA WA SERIKALI NCHINI CAMEROON WATEKWA

> Afisa mwandamizi ktk ofisi ya Gavana Buea, ametekwa na watu wasiojulikana na kudaiwa fidia ya mamilioni ya Faranga

> Mwingine ni Mkuu wa kikanda wa Wizara ya Mazingira na Ulinzi

Soma - https://jamii.app/CameroonOfficialsKidnap
#JFInternational
PEMBA: MELI YA SEASTAR YAPATA HITILAFU, ABIRIA WASHUSHWA

> Abiria wa meli hiyo wameshushwa Wete baada ya kutokea mlipuko mdogo kwenye moja ya mashine zake

> Mpaka sasa haijaelezwa mlipuko huo umesababishwa na nini

Zaidi, soma => https://jamii.app/MeliSeastarPemba

#JFLeo
KAGERA: RUGE MUTAHABA KUZIKWA, KIJIJINI KIZIRU

> Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group utapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele leo

> Uongozi wa Clouds Media Group watangaza kuzima vituo vyake kwa dakika 3 wakati mwili wa Ruge ukishushwa kaburini

#RIPRuge #RIPRugeMutahaba
Kutoka Kabale K’Omukama
UINGEREZA: KIONGOZI WA UPINZANI JEREMY CORBYN APIGWA NA YAI

> Kiongozi wa chama cha Labour alikuwa kwenye ziara ya kutembelea kituo cha Waislamu kilichopo Kaskazini kwa Jiji la London

> Mwanaume Mmoja amekamatwa akihusishwa na tukio hilo

Soma > https://jamii.app/EggCorbyn

#JFInternational
ZAMBIA: SERIKALI YAKIFUNGIA KITUO CHA RUNINGA KUFUATIA MALALAMIKO YA CHAMA TAWALA

> Prime Tv imefungiwa kwa siku 30 baada ya kukalamikiwa na chama tawala cha Patriotic Front (PF)

> Chatuhumiwa kuendesha propaganda chafu dhidi ya Serikali

Soma > https://jamii.app/PFvsPrimeTv

#JFLeo
KENYA: RUBANI WA RUTO NA RAIA 4 WA MAREKANI WAFARIKI KWENYE AJALI YA NDEGE

> Sababu za ajali hiyo iliyoondoa uhai wa Mario Magonga na Wamarekani hao bado hazijawekwa wazi

> Ndege hiyo ilitoweka kwenye rada wakati ikiwa ziwa Turkana

Soma > https://jamii.app/AjaliRubaniRuto

#JFLeo
BASI LA BM COACH LAPINDUKA LIKIJARIBU KUKIKWEPA KICHWA CHA TREN, DEREVA AJERUHIWA VIBAYA

> Ajali hiyo imetokea Chekelei Wilaya ya Korogwe, Tanga wakati basi hilo likiwa safarini kutoka Arusha - Morogoro

> Abiria wachache wamejeruhiwa

Soma => https://jamii.app/AjaliBMTanga
ELIMU YA URAIA: ASKARI POLISI WANAFANYA KAZI HATARISHI. JE, WANA BIMA?

> Askari wa Jeshi la Polisi la Tanzania hawana bima ya maisha ila wana bima ya afya ambayo haikidhi haja kulingana na hatari zinazowakabili

Zaidi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi

#JFCivicSpace #JFLeo
JE, UNAIJUA SHERIA YA TAKWIMU YA MWAKA 2015 INAYOLALAMIKIWA NA WADAU?

> Inaelezwa kuwa inakinzana na kanuni za uwazi wa taarifa na takwimu pamoja na uendeshaji wa Serikali kwa uwazi

> Sheria hii inaipa namlaka NBS kuwa chombo pekee cha kusimamia na kutoa takwimu

#JFCivicSpace