MVUA YAUA WATU WAWILI ZANZIBAR
> Watu wawili wamefariki katika matukio mawili tofauti yaliyosababishwa na mvua kubwa za masika zilizoanza kunyesha visiwani Unguja
> Waliofariki ni mtoto, Hassan Mohamed (4) na Skachi Abdallah Zahor (26)
Soma - https://jamii.app/MvuaVifoUnguja
#JFLeo
> Watu wawili wamefariki katika matukio mawili tofauti yaliyosababishwa na mvua kubwa za masika zilizoanza kunyesha visiwani Unguja
> Waliofariki ni mtoto, Hassan Mohamed (4) na Skachi Abdallah Zahor (26)
Soma - https://jamii.app/MvuaVifoUnguja
#JFLeo
HUSSEIN BASHE: KIKWETE ULIMDHALILISHA LOWASSA, ALIONDOKA CCM KWA SABABU YAKO
> Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini(CCM), Hussein Bashe amemjibu Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete aliyemkaribisha tena Edward Lowassa ndani ya CCM
Zaidi, soma => https://jamii.app/BasheVsKikweteTwitter
#JFLeo
> Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini(CCM), Hussein Bashe amemjibu Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete aliyemkaribisha tena Edward Lowassa ndani ya CCM
Zaidi, soma => https://jamii.app/BasheVsKikweteTwitter
#JFLeo
ELIMU YA URAIA: JE, ASKARI POLISI ANAWEZA KUJIUNGA NA CHAMA CHA SIASA?
> Hapana, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ni marufuku Askari Polisi kujiunga au kuwa Mwanachama wa Chama chochote cha siasa
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Hapana, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ni marufuku Askari Polisi kujiunga au kuwa Mwanachama wa Chama chochote cha siasa
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
RAIS MAGUFULI AWASILI VIWANJA VYA KARIMJEE KUMUAGA RUGE MUTAHABA
> Rais Magufuli amewasili kwenye viwanja hivyo akiwa ameambatana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
#RIPRuge
> Rais Magufuli amewasili kwenye viwanja hivyo akiwa ameambatana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
#RIPRuge
UUZAJI WA NYUMBA YA MICHAEL JACKSON UNASUASUA KUTOKANA NA UDHALILISHAJI ALIOUFANYA
> Nyumba hiyo inadaiwa kutumiwa ktk kuwanyanyasa kijinsia vijana wa kiume
> 2016 ilikuwa dola milioni 100, 2017 dola milioni 70 na sasa ni dola milioni 31
Soma - https://jamii.app/SaleMJHouse
#JFLeo
> Nyumba hiyo inadaiwa kutumiwa ktk kuwanyanyasa kijinsia vijana wa kiume
> 2016 ilikuwa dola milioni 100, 2017 dola milioni 70 na sasa ni dola milioni 31
Soma - https://jamii.app/SaleMJHouse
#JFLeo
LIBERIA: MTOTO WA ALIYEKUWA RAIS AKAMATWA KWA UBADHIRIFU WA FEDHA
> Charles Sirleaf Mtoto wa aliyekuwa Rais Ellen Sirleaf amekamatwa kwa tuhuma za upotevu wa fedha ndani ya Benki Kuu ya Liberia
> Alikuwa Naibu Gavana wa Benki hiyo
Zaidi, soma => https://jamii.app/CharlesSirleafArrested
#JFLeo
> Charles Sirleaf Mtoto wa aliyekuwa Rais Ellen Sirleaf amekamatwa kwa tuhuma za upotevu wa fedha ndani ya Benki Kuu ya Liberia
> Alikuwa Naibu Gavana wa Benki hiyo
Zaidi, soma => https://jamii.app/CharlesSirleafArrested
#JFLeo
RAIS ATOA ONYO KWA WANAOWATOZA USHURU WAJASIRIAMALI
> Rais Magufuli amesema hatamvumilia kiongozi yeyote wa Mkoa, Wilaya ama Halmashauri atakayebainika kuhusika kuwatoza ushuru ama tozo yoyote wajasiriamali wadogo waliopatiwa vitambulisho
Soma - https://jamii.app/UshuruWajasiriamaliVitambulisho
#JFLeo
> Rais Magufuli amesema hatamvumilia kiongozi yeyote wa Mkoa, Wilaya ama Halmashauri atakayebainika kuhusika kuwatoza ushuru ama tozo yoyote wajasiriamali wadogo waliopatiwa vitambulisho
Soma - https://jamii.app/UshuruWajasiriamaliVitambulisho
#JFLeo
SAUDI ARABIA: MTOTO WA OSAMA BIN LADEN AFUTIWA URAIA
> Hamza Bin Laden(30) anatuhumiwa kwa kutoa vitisho vya kuishambulia Marekani
> Marekani imetangaza donge nono la zawadi ya Dola Bilioni 1 kwa atakayefanikisha kukamatwa kwake
Soma > https://jamii.app/SaudiaVsHamzaBinLaden
#JFInternational
> Hamza Bin Laden(30) anatuhumiwa kwa kutoa vitisho vya kuishambulia Marekani
> Marekani imetangaza donge nono la zawadi ya Dola Bilioni 1 kwa atakayefanikisha kukamatwa kwake
Soma > https://jamii.app/SaudiaVsHamzaBinLaden
#JFInternational
RWANDA NA UGANDA ZAINGIA KWENYE MZOZO
> Uganda imeishutumu Rwanda kwa kuyazuia magari ya mizigo, ya abiria na Wananchi wake kuingia nchini humo
> Waziri wa Mambo ya Nje Rwanda akanusha, adai raia wao wanakamatwa Uganda
Soma => https://jamii.app/RwandaVsUgandaBoarder
#JFInternational
> Uganda imeishutumu Rwanda kwa kuyazuia magari ya mizigo, ya abiria na Wananchi wake kuingia nchini humo
> Waziri wa Mambo ya Nje Rwanda akanusha, adai raia wao wanakamatwa Uganda
Soma => https://jamii.app/RwandaVsUgandaBoarder
#JFInternational
TSHISEKEDI ATOA AHADI YA KUWAACHIA HURU WAFUNGWA WA KISIASA
> Rais wa DRC, ameahidi kuwaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa ndani ya siku 10 zijazo
> Pia atahakikisha wanasiasa waliokimbia nchini humo kwasababu za kisiasa, wanarejea
Soma - https://jamii.app/WafungwaKisiasaDRC
#JFLeo
> Rais wa DRC, ameahidi kuwaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa ndani ya siku 10 zijazo
> Pia atahakikisha wanasiasa waliokimbia nchini humo kwasababu za kisiasa, wanarejea
Soma - https://jamii.app/WafungwaKisiasaDRC
#JFLeo
JE, MKE KUMZIDI MUME KIPATO HUFANYA NDOA ISIWE IMARA?
> Wanaume wengi hutishwa na wanawake wenye mafanikio makubwa zaidi yao, hasa ya kifedha na wakati mwingine katika elimu
> Kuna tatizo lolote mume kuzidiwa pato na mkewe? Ni kweli kuna madhara hutokea katika ndoa iwapo mke atamzidi kipato mumewe?
Tembelea - https://jamii.app/MkeKuzidiKipato
#JFMahusiano
> Wanaume wengi hutishwa na wanawake wenye mafanikio makubwa zaidi yao, hasa ya kifedha na wakati mwingine katika elimu
> Kuna tatizo lolote mume kuzidiwa pato na mkewe? Ni kweli kuna madhara hutokea katika ndoa iwapo mke atamzidi kipato mumewe?
Tembelea - https://jamii.app/MkeKuzidiKipato
#JFMahusiano
JE, KUTOMSAIDIA AU KUMSAIDIA MTU NI KIPIMO CHA ROHO MBAYA/NZURI?
> Kwa asilimia kubwa mtu akishindwa kumsaidia mtu jambo fulani watu husema kuwa mtu huyo ana roho mbaya
> Pia jamii huwaona watu wenye roho nzuri ni wale wanaosaidia wengine na huwa wanasifiwa na kupendwa mno
> Je, matendo ya mtu katika kusaidia wengine ni kipimo tosha juu ya uzuri au ubaya wa roho yake?
Tembelea - https://jamii.app/RohoMbayaVsNzuri
#JFMaisha
> Kwa asilimia kubwa mtu akishindwa kumsaidia mtu jambo fulani watu husema kuwa mtu huyo ana roho mbaya
> Pia jamii huwaona watu wenye roho nzuri ni wale wanaosaidia wengine na huwa wanasifiwa na kupendwa mno
> Je, matendo ya mtu katika kusaidia wengine ni kipimo tosha juu ya uzuri au ubaya wa roho yake?
Tembelea - https://jamii.app/RohoMbayaVsNzuri
#JFMaisha
WAGANGA WA KIENYEJI 65 MBARONI
- Waganga 45 wa Mkoani Simiyu na 20 wa Mkoani Njombe wanashikiliwa wakihisiwa kuhusika na mauaji ya watoto
- Wanahusishwa na mauaji yaliyotokea Njombe ambapo baadhi ya miili ilikutwa haina baadhi ya viungo
Zaidi, soma https://jamii.app/Waganga65MbaroniSMY
- Waganga 45 wa Mkoani Simiyu na 20 wa Mkoani Njombe wanashikiliwa wakihisiwa kuhusika na mauaji ya watoto
- Wanahusishwa na mauaji yaliyotokea Njombe ambapo baadhi ya miili ilikutwa haina baadhi ya viungo
Zaidi, soma https://jamii.app/Waganga65MbaroniSMY
RAIS MAGUFULI AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAWAZIRI
- Dkt. Augustine Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
- Wataapishwa Ikulu kesho Machi 4, 2019
Soma https://jamii.app/MabadilikoMawaziriMach2019
- Dkt. Augustine Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
- Wataapishwa Ikulu kesho Machi 4, 2019
Soma https://jamii.app/MabadilikoMawaziriMach2019
LEO NI SIKU YA KIMATAIFA YA VIUMBE HAI WA PORINI NA MAJINI
> Huadhimishwa kila Machi 3 ili kueneza uelewa wa mimea na wanyama mwituni
> Mwaka huu, imedhamiria kueneza uelewa kuhusu viumbe hai wa majini na umuhimu wao kwa maendeleo
Zaidi, soma https://jamii.app/SikuWanyamapori-2019
> Huadhimishwa kila Machi 3 ili kueneza uelewa wa mimea na wanyama mwituni
> Mwaka huu, imedhamiria kueneza uelewa kuhusu viumbe hai wa majini na umuhimu wao kwa maendeleo
Zaidi, soma https://jamii.app/SikuWanyamapori-2019
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATAKA TFDA NA TBS ZIUNGWE
- Awataka Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda kuandaa muswada
- Asema itaweza kuondoa malalamiko ya Wafanyabiashara kuhusu tozo nyingi na urasimu
Zaidi, soma https://jamii.app/KuunganishwaTFDA-TBS
- Awataka Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda kuandaa muswada
- Asema itaweza kuondoa malalamiko ya Wafanyabiashara kuhusu tozo nyingi na urasimu
Zaidi, soma https://jamii.app/KuunganishwaTFDA-TBS
BARCELONA YAFUTA ‘UTEJA’ KWA REAL MADRID
- Ni baada ya jana kushinda goli 1-0 na hivyo kushinda jumla ya michezo 96 dhidi ya 95 ya Madrid kwa mara zote walizokutana
- Aidha, imekuwa timu ya kwanza ya La Liga kushinda michezo 4 mfululizo katika dimba la Santiago Bernabeu
Zaidi, soma https://jamii.app/Barca-RealMadrid
- Ni baada ya jana kushinda goli 1-0 na hivyo kushinda jumla ya michezo 96 dhidi ya 95 ya Madrid kwa mara zote walizokutana
- Aidha, imekuwa timu ya kwanza ya La Liga kushinda michezo 4 mfululizo katika dimba la Santiago Bernabeu
Zaidi, soma https://jamii.app/Barca-RealMadrid
MKUU WA WILAYA YA NEWALA APATA AJALI
> Bi. Aziza Mangosongo amelazwa baada ya gari lake kupinduka maeneo ya Mandawa, Lindi
- Taratibu za kumhamisha na wenzake watatu kwenda hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi zinaendelea
Zaidi, soma https://jamii.app/DCNewalaApataAjali
> Bi. Aziza Mangosongo amelazwa baada ya gari lake kupinduka maeneo ya Mandawa, Lindi
- Taratibu za kumhamisha na wenzake watatu kwenda hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi zinaendelea
Zaidi, soma https://jamii.app/DCNewalaApataAjali
WAPIGANAJI WANAOHUSISHWA NA AL-QAEDA WAUA WANAJESHI 21 WA SYRIA
- Wameuawa leo alfajiri katika mapigano yaliyotokea maeneo ya Masasna, Syria
- Shirika linalochungaza Haki za Binadamu nchini humo limesema idadi hiyo ni miongoni mwa kubwa kuwahi kutokea
Zaidi, soma https://jamii.app/21RegimeForcesKilledSYR
- Wameuawa leo alfajiri katika mapigano yaliyotokea maeneo ya Masasna, Syria
- Shirika linalochungaza Haki za Binadamu nchini humo limesema idadi hiyo ni miongoni mwa kubwa kuwahi kutokea
Zaidi, soma https://jamii.app/21RegimeForcesKilledSYR