RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MAKAMISHNA WA POLISI
> Charles Mkumbo ataongoza Kamisheni ya Intelijensia na Liberatus Sabas amekuwa Mkuu wa operesheni na mafunzo
> Leonard Lwabuzala ataongoza kamisheni ya fedha na logistics
Zaidi, soma - https://jamii.app/UteuziMakamishnaPolisi
#JFLeo
> Charles Mkumbo ataongoza Kamisheni ya Intelijensia na Liberatus Sabas amekuwa Mkuu wa operesheni na mafunzo
> Leonard Lwabuzala ataongoza kamisheni ya fedha na logistics
Zaidi, soma - https://jamii.app/UteuziMakamishnaPolisi
#JFLeo
IGP SIRRO AFANYA MABADILIKO YA MAOFISA WA JESHI LA POLISI
> James Mushi, Kamanda wa Polisi Ruvuma awa Mkuu wa Chuo cha Polisi (CCP) Moshi na RPC wa Njombe, Renata Mzinga arudishwa Makao Makuu
> Aidha, ametaja Makamanda wapya wa Mikoa
Zaidi - https://jamii.app/UteuziMakamishnaPolisi
#JFLeo
> James Mushi, Kamanda wa Polisi Ruvuma awa Mkuu wa Chuo cha Polisi (CCP) Moshi na RPC wa Njombe, Renata Mzinga arudishwa Makao Makuu
> Aidha, ametaja Makamanda wapya wa Mikoa
Zaidi - https://jamii.app/UteuziMakamishnaPolisi
#JFLeo
TUNDURU: MWANAFUNZI WA DARASA LA PILI AUAWA KWA KULIWA NA MAMBA
> Mwanafunzi huyo alikuwa na Mama yake wakifua nguo kwenye Mto Ligoma
> Bimwana Swalehe(12) alikuwa akisoma Darasa la Pili Shule ya Msingi Makoteni
Soma > https://jamii.app/MambaWauaTunduru
> Mwanafunzi huyo alikuwa na Mama yake wakifua nguo kwenye Mto Ligoma
> Bimwana Swalehe(12) alikuwa akisoma Darasa la Pili Shule ya Msingi Makoteni
Soma > https://jamii.app/MambaWauaTunduru
KENYA: OFISI YA RAIS YAKUMBWA NA KASHFA YA UFISADI
> Tume ya kupambana na ufisadi nchini Kenya (EACC) imefichua sakata ya ufisadi wa Ksh bilioni 4.8 katika idara ya Magereza kuhusu ununuzi wa bunduki
> Inaripotiwa kwamba wahusika walikuwa tayari wameshapokea 80% ya Ksh bilioni 4.8 za zabuni ya kununulia vifaa hivyo ambavyo vingewekwa katika Magereza kabla ya EACC kuingilia kati na kufichua uozo huo
#JFInternational
> Tume ya kupambana na ufisadi nchini Kenya (EACC) imefichua sakata ya ufisadi wa Ksh bilioni 4.8 katika idara ya Magereza kuhusu ununuzi wa bunduki
> Inaripotiwa kwamba wahusika walikuwa tayari wameshapokea 80% ya Ksh bilioni 4.8 za zabuni ya kununulia vifaa hivyo ambavyo vingewekwa katika Magereza kabla ya EACC kuingilia kati na kufichua uozo huo
#JFInternational
NAIROBI, KENYA: RAIS KENYATTA AFANYA MABADILIKO MADOGO YA BARAZA LA MAWAZIRI
> Mwanadiplomasia Amina Mohamed ameteuliwa kuwa Waziri wa Michezo
> Anachukua nafasi ya Rashid Echesa ambaye uteuzi wake umetenguliwa rasmi
Zaidi, soma => https://jamii.app/KenyattaMawaziri
#JFInternational
> Mwanadiplomasia Amina Mohamed ameteuliwa kuwa Waziri wa Michezo
> Anachukua nafasi ya Rashid Echesa ambaye uteuzi wake umetenguliwa rasmi
Zaidi, soma => https://jamii.app/KenyattaMawaziri
#JFInternational
FASTJET KUNUNUA NDEGE 6 ILI KUREJESHA SHUGHULI ZAKE TANZANIA
> Shirika la ndege la FastJet limesema liko mbioni kununua ndege 6 ili kurejesha shughuli zake kwenye soko la Tanzania
> Pia kurejesha safari za Afrika Kusini, Nairobi na Mombasa
Soma - https://jamii.app/FastJetKurejeaSokoni
#JFLeo
> Shirika la ndege la FastJet limesema liko mbioni kununua ndege 6 ili kurejesha shughuli zake kwenye soko la Tanzania
> Pia kurejesha safari za Afrika Kusini, Nairobi na Mombasa
Soma - https://jamii.app/FastJetKurejeaSokoni
#JFLeo
MWILI WA RUGE MUTAHABA KUAGWA KESHO VIWANJA VYA KARIMJEE
> Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group umewasili nchini jioni ya leo
> Maelfu ya Watanzania wamejitokeza kuusindikiza msafara uliobeba mwili wake
#RIPRuge #RugeMutahaba
> Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group umewasili nchini jioni ya leo
> Maelfu ya Watanzania wamejitokeza kuusindikiza msafara uliobeba mwili wake
#RIPRuge #RugeMutahaba
ELUMU YA URAIA: JE, POLISI ANAWEZA KUKUSHIKILIA MAFICHONI?
> Hapana. Jeshi la Polisi likikushikilia mafichoni ni kinyume cha sheria
> Askari Polisi wanapokuweka rumande ni jukumu lao kuangalia afya yako na kuzilinda haki zako
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFLeo
> Hapana. Jeshi la Polisi likikushikilia mafichoni ni kinyume cha sheria
> Askari Polisi wanapokuweka rumande ni jukumu lao kuangalia afya yako na kuzilinda haki zako
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFLeo
MVUA YAUA WATU WAWILI ZANZIBAR
> Watu wawili wamefariki katika matukio mawili tofauti yaliyosababishwa na mvua kubwa za masika zilizoanza kunyesha visiwani Unguja
> Waliofariki ni mtoto, Hassan Mohamed (4) na Skachi Abdallah Zahor (26)
Soma - https://jamii.app/MvuaVifoUnguja
#JFLeo
> Watu wawili wamefariki katika matukio mawili tofauti yaliyosababishwa na mvua kubwa za masika zilizoanza kunyesha visiwani Unguja
> Waliofariki ni mtoto, Hassan Mohamed (4) na Skachi Abdallah Zahor (26)
Soma - https://jamii.app/MvuaVifoUnguja
#JFLeo
HUSSEIN BASHE: KIKWETE ULIMDHALILISHA LOWASSA, ALIONDOKA CCM KWA SABABU YAKO
> Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini(CCM), Hussein Bashe amemjibu Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete aliyemkaribisha tena Edward Lowassa ndani ya CCM
Zaidi, soma => https://jamii.app/BasheVsKikweteTwitter
#JFLeo
> Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini(CCM), Hussein Bashe amemjibu Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete aliyemkaribisha tena Edward Lowassa ndani ya CCM
Zaidi, soma => https://jamii.app/BasheVsKikweteTwitter
#JFLeo
ELIMU YA URAIA: JE, ASKARI POLISI ANAWEZA KUJIUNGA NA CHAMA CHA SIASA?
> Hapana, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ni marufuku Askari Polisi kujiunga au kuwa Mwanachama wa Chama chochote cha siasa
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Hapana, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ni marufuku Askari Polisi kujiunga au kuwa Mwanachama wa Chama chochote cha siasa
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
RAIS MAGUFULI AWASILI VIWANJA VYA KARIMJEE KUMUAGA RUGE MUTAHABA
> Rais Magufuli amewasili kwenye viwanja hivyo akiwa ameambatana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
#RIPRuge
> Rais Magufuli amewasili kwenye viwanja hivyo akiwa ameambatana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
#RIPRuge
UUZAJI WA NYUMBA YA MICHAEL JACKSON UNASUASUA KUTOKANA NA UDHALILISHAJI ALIOUFANYA
> Nyumba hiyo inadaiwa kutumiwa ktk kuwanyanyasa kijinsia vijana wa kiume
> 2016 ilikuwa dola milioni 100, 2017 dola milioni 70 na sasa ni dola milioni 31
Soma - https://jamii.app/SaleMJHouse
#JFLeo
> Nyumba hiyo inadaiwa kutumiwa ktk kuwanyanyasa kijinsia vijana wa kiume
> 2016 ilikuwa dola milioni 100, 2017 dola milioni 70 na sasa ni dola milioni 31
Soma - https://jamii.app/SaleMJHouse
#JFLeo
LIBERIA: MTOTO WA ALIYEKUWA RAIS AKAMATWA KWA UBADHIRIFU WA FEDHA
> Charles Sirleaf Mtoto wa aliyekuwa Rais Ellen Sirleaf amekamatwa kwa tuhuma za upotevu wa fedha ndani ya Benki Kuu ya Liberia
> Alikuwa Naibu Gavana wa Benki hiyo
Zaidi, soma => https://jamii.app/CharlesSirleafArrested
#JFLeo
> Charles Sirleaf Mtoto wa aliyekuwa Rais Ellen Sirleaf amekamatwa kwa tuhuma za upotevu wa fedha ndani ya Benki Kuu ya Liberia
> Alikuwa Naibu Gavana wa Benki hiyo
Zaidi, soma => https://jamii.app/CharlesSirleafArrested
#JFLeo
RAIS ATOA ONYO KWA WANAOWATOZA USHURU WAJASIRIAMALI
> Rais Magufuli amesema hatamvumilia kiongozi yeyote wa Mkoa, Wilaya ama Halmashauri atakayebainika kuhusika kuwatoza ushuru ama tozo yoyote wajasiriamali wadogo waliopatiwa vitambulisho
Soma - https://jamii.app/UshuruWajasiriamaliVitambulisho
#JFLeo
> Rais Magufuli amesema hatamvumilia kiongozi yeyote wa Mkoa, Wilaya ama Halmashauri atakayebainika kuhusika kuwatoza ushuru ama tozo yoyote wajasiriamali wadogo waliopatiwa vitambulisho
Soma - https://jamii.app/UshuruWajasiriamaliVitambulisho
#JFLeo
SAUDI ARABIA: MTOTO WA OSAMA BIN LADEN AFUTIWA URAIA
> Hamza Bin Laden(30) anatuhumiwa kwa kutoa vitisho vya kuishambulia Marekani
> Marekani imetangaza donge nono la zawadi ya Dola Bilioni 1 kwa atakayefanikisha kukamatwa kwake
Soma > https://jamii.app/SaudiaVsHamzaBinLaden
#JFInternational
> Hamza Bin Laden(30) anatuhumiwa kwa kutoa vitisho vya kuishambulia Marekani
> Marekani imetangaza donge nono la zawadi ya Dola Bilioni 1 kwa atakayefanikisha kukamatwa kwake
Soma > https://jamii.app/SaudiaVsHamzaBinLaden
#JFInternational
RWANDA NA UGANDA ZAINGIA KWENYE MZOZO
> Uganda imeishutumu Rwanda kwa kuyazuia magari ya mizigo, ya abiria na Wananchi wake kuingia nchini humo
> Waziri wa Mambo ya Nje Rwanda akanusha, adai raia wao wanakamatwa Uganda
Soma => https://jamii.app/RwandaVsUgandaBoarder
#JFInternational
> Uganda imeishutumu Rwanda kwa kuyazuia magari ya mizigo, ya abiria na Wananchi wake kuingia nchini humo
> Waziri wa Mambo ya Nje Rwanda akanusha, adai raia wao wanakamatwa Uganda
Soma => https://jamii.app/RwandaVsUgandaBoarder
#JFInternational
TSHISEKEDI ATOA AHADI YA KUWAACHIA HURU WAFUNGWA WA KISIASA
> Rais wa DRC, ameahidi kuwaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa ndani ya siku 10 zijazo
> Pia atahakikisha wanasiasa waliokimbia nchini humo kwasababu za kisiasa, wanarejea
Soma - https://jamii.app/WafungwaKisiasaDRC
#JFLeo
> Rais wa DRC, ameahidi kuwaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa ndani ya siku 10 zijazo
> Pia atahakikisha wanasiasa waliokimbia nchini humo kwasababu za kisiasa, wanarejea
Soma - https://jamii.app/WafungwaKisiasaDRC
#JFLeo
JE, MKE KUMZIDI MUME KIPATO HUFANYA NDOA ISIWE IMARA?
> Wanaume wengi hutishwa na wanawake wenye mafanikio makubwa zaidi yao, hasa ya kifedha na wakati mwingine katika elimu
> Kuna tatizo lolote mume kuzidiwa pato na mkewe? Ni kweli kuna madhara hutokea katika ndoa iwapo mke atamzidi kipato mumewe?
Tembelea - https://jamii.app/MkeKuzidiKipato
#JFMahusiano
> Wanaume wengi hutishwa na wanawake wenye mafanikio makubwa zaidi yao, hasa ya kifedha na wakati mwingine katika elimu
> Kuna tatizo lolote mume kuzidiwa pato na mkewe? Ni kweli kuna madhara hutokea katika ndoa iwapo mke atamzidi kipato mumewe?
Tembelea - https://jamii.app/MkeKuzidiKipato
#JFMahusiano