FIFA YAMFUNGIA MAISHA MWAMUZI KUTOKA TANZANIA
> Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Duniani imemfungia maisha Oden Charles Mbaga kwa kujihusisha na rushwa ya upangaji matokeo
> Atakiwa kulipa faini ya Tsh milioni 468 ndani ya siku 30
Soma https://jamii.app/FIFAYamfungiaMbaga
#JFMichezo
> Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Duniani imemfungia maisha Oden Charles Mbaga kwa kujihusisha na rushwa ya upangaji matokeo
> Atakiwa kulipa faini ya Tsh milioni 468 ndani ya siku 30
Soma https://jamii.app/FIFAYamfungiaMbaga
#JFMichezo
BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI LAANZA VIKAO VYAKE
> Bunge la Afrika Mashariki limeanza vikao vyake vya wiki 2 Zanzibar
> Baadhi ya ajenda zitakazojadiliwa ni kupambana na rushwa, utawala bora, ukuzaji wa lugha ya Kiswahili, usawa wa kijinsia
Soma - https://jamii.app/BungeEAC
> Bunge la Afrika Mashariki limeanza vikao vyake vya wiki 2 Zanzibar
> Baadhi ya ajenda zitakazojadiliwa ni kupambana na rushwa, utawala bora, ukuzaji wa lugha ya Kiswahili, usawa wa kijinsia
Soma - https://jamii.app/BungeEAC
RAIS WA IRAN AKATAA OMBI LA KUJIUZULU LA WAZIRI
> Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema, Rais Hassan Rouhani amekataa ombi la kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Nje Mohammad Javad Zarif
> Zarif alitangaza kujiuzulu wadhifa wake na kueleza shukrani zake kwa watu wa Iran na wafanyakazi wenzake, huku akiomba radhi kwa kushindwa kufanya vizuri kazi zake
#JFInternational
> Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema, Rais Hassan Rouhani amekataa ombi la kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Nje Mohammad Javad Zarif
> Zarif alitangaza kujiuzulu wadhifa wake na kueleza shukrani zake kwa watu wa Iran na wafanyakazi wenzake, huku akiomba radhi kwa kushindwa kufanya vizuri kazi zake
#JFInternational
WAZIRI MWAKYEMBE ALIAGIZA JESHI LA POLISI KUMCHUKULIA HATUA DUDUBAYA KWA KUMDHIHAKI RUGE
> Pia ameagiza BASATA limchukulie hatua msanii huyo
> Asema anachokifanya si sahihi, mchango wa Ruge ni mkubwa na hata yeye kaumia
Soma > https://jamii.app/MwakyembeVsDudubaya
#RIPRuge
> Pia ameagiza BASATA limchukulie hatua msanii huyo
> Asema anachokifanya si sahihi, mchango wa Ruge ni mkubwa na hata yeye kaumia
Soma > https://jamii.app/MwakyembeVsDudubaya
#RIPRuge
PAKISTAN YASHAMBULIA NA KULIPUA NDEGE VITA MBILI ZA INDIA
> Shambulio hilo limetekelezwa kwenye Jimbo linalogombaniwa la Kashmir na kuwakamata Marubani 3
> Siku 3 zilizopita India ilifanya shambulio kwenye maeneo ya Pakistan
Soma > https://jamii.app/PakistanVsIndiaJets
#JFInternational
> Shambulio hilo limetekelezwa kwenye Jimbo linalogombaniwa la Kashmir na kuwakamata Marubani 3
> Siku 3 zilizopita India ilifanya shambulio kwenye maeneo ya Pakistan
Soma > https://jamii.app/PakistanVsIndiaJets
#JFInternational
LESENI ZA MIGODI MIKUBWA KUANZA KUTOLEWA NCHINI
> Serikali kupitia Wizara ya Madini inakamilisha taratibu za utoaji wa Leseni kwa Migodi mikubwa hapa nchini
> Aidha, kipaumbele ni katika uongezaji thamani madini ikiwemo ujenzi wa vinu
Soma - https://jamii.app/LeseniMigodiMikubwa
#JFLeo
> Serikali kupitia Wizara ya Madini inakamilisha taratibu za utoaji wa Leseni kwa Migodi mikubwa hapa nchini
> Aidha, kipaumbele ni katika uongezaji thamani madini ikiwemo ujenzi wa vinu
Soma - https://jamii.app/LeseniMigodiMikubwa
#JFLeo
WALIOIGIZA SAUTI YA KENYATTA NA KUFANYA WIZI WAKAMATWA
> Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 7 wanaodaiwa kuigiza sauti ya Rais Uhuru Kenyatta na Maafisa wa Serikali katika kumuibia pesa M/kiti wa Sameer Africa, Naushad Merali
Soma - https://jamii.app/WeziMeraliWakamatwa
#JFInternational
> Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 7 wanaodaiwa kuigiza sauti ya Rais Uhuru Kenyatta na Maafisa wa Serikali katika kumuibia pesa M/kiti wa Sameer Africa, Naushad Merali
Soma - https://jamii.app/WeziMeraliWakamatwa
#JFInternational
ELIMU YA URAIA: JESHI LA POLISI LINA UHUSIANO NA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI?
> Jeshi la Polisi lina jukumu la kuhakikisha kuwa shughuli zote za kisiasa zinafanyika kwa uhuru na kwa kudumisha amani na utulivu wa Taifa bila ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Jeshi la Polisi lina jukumu la kuhakikisha kuwa shughuli zote za kisiasa zinafanyika kwa uhuru na kwa kudumisha amani na utulivu wa Taifa bila ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
ELIMU YA URAIA: JESHI LA POLISI LINA UHUSIANO NA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI?
> Polisi wana jukumu la kuhakikisha kuwa shughuli zote za kisiasa zinafanyika kwa uhuru na kwa kudumisha amani na utulivu wa Taifa bila ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Polisi wana jukumu la kuhakikisha kuwa shughuli zote za kisiasa zinafanyika kwa uhuru na kwa kudumisha amani na utulivu wa Taifa bila ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
CHANGAMOTO KUBWA ZINAZOJITOKEZA KWENYE BIASHARA
> Ukosefu wa uadilifu na udanganyifu katika kampuni, huleta tabia ya kutoaminiana katika biashara au ujasiriamali
> Usimamizi mbovu wa fedha, mikopo, rasilimali, matumizi ya hovyo, madeni yasiyo ya lazima na maamuzi mabaya
> Mabadiliko ya taratibu za uendeshaji wa biashara za mara kwa mara. Mahala ambapo hapana taratibu nzuri na thabiti siku zote si rafiki kiuwekezaji
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/ChangamotoBiashara
#JFBiashara
> Ukosefu wa uadilifu na udanganyifu katika kampuni, huleta tabia ya kutoaminiana katika biashara au ujasiriamali
> Usimamizi mbovu wa fedha, mikopo, rasilimali, matumizi ya hovyo, madeni yasiyo ya lazima na maamuzi mabaya
> Mabadiliko ya taratibu za uendeshaji wa biashara za mara kwa mara. Mahala ambapo hapana taratibu nzuri na thabiti siku zote si rafiki kiuwekezaji
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/ChangamotoBiashara
#JFBiashara
KENYA: MWANAFUNZI AFARIKI BAADA YA KUPIGWA NA KIRANJA
> Mwanafunzi wa Sekondari ya St. Joseph Nyabigena amefariki huku chanzo kikidaiwa ni kupigwa na kiranja
> Kiranja huyo anadaiwa kumpiga marehemu kofi na kisha teke la tumbo
Soma - https://jamii.app/KiranjaAuaMwanafunzi
#JFInternational
> Mwanafunzi wa Sekondari ya St. Joseph Nyabigena amefariki huku chanzo kikidaiwa ni kupigwa na kiranja
> Kiranja huyo anadaiwa kumpiga marehemu kofi na kisha teke la tumbo
Soma - https://jamii.app/KiranjaAuaMwanafunzi
#JFInternational
MOROGORO: WANAFUNZI 682 WASOMEA KWENYE VYUMBA 7 VYA MADARASA
> Mwanafunzi hao wa Shule ya Msingi Diovuva wamelazimika kusoma kwa kupokezana(zamu)
> Shule hiyo kwa sasa ina vyumba vya madarasa 7 huku uhaba ukiwa ni wa vyumba 6
Zaidi, some => https://jamii.app/MadarasaDiovuva
> Mwanafunzi hao wa Shule ya Msingi Diovuva wamelazimika kusoma kwa kupokezana(zamu)
> Shule hiyo kwa sasa ina vyumba vya madarasa 7 huku uhaba ukiwa ni wa vyumba 6
Zaidi, some => https://jamii.app/MadarasaDiovuva
KESI YA MAUAJI KANISANI: DED ITIGI NA WENZAKE WAOMBA UPELELEZI UHARAKISHWE
> DED Luhende na wenzake 6 wamewasilisha ombi hilo Mahakamani kupitia Wakili Victoria Revocati
> Wajibiwa ni mapema mno kulalamikia upelelezi wa kesi ya mauaji
Soma => https://jamii.app/KesiDEDItigiUpelelezi
> DED Luhende na wenzake 6 wamewasilisha ombi hilo Mahakamani kupitia Wakili Victoria Revocati
> Wajibiwa ni mapema mno kulalamikia upelelezi wa kesi ya mauaji
Soma => https://jamii.app/KesiDEDItigiUpelelezi
NIDA: ASILIMIA 80 YA WATANZANIA HAWANA VYETI VYA KUZALIWA
> Wengi ni Wananchi waishio Tanzania Bara ambao hawasajiliwa wala kuwa na vyeti vya kuzaliwa
> Aidha, kwa upande wa waliosajiliwa na kuwa na vyeti hivyo ni asilimia 13.4%
Zaidi, soma => https://jamii.app/NIDAVyetiKuzaliwa
> Wengi ni Wananchi waishio Tanzania Bara ambao hawasajiliwa wala kuwa na vyeti vya kuzaliwa
> Aidha, kwa upande wa waliosajiliwa na kuwa na vyeti hivyo ni asilimia 13.4%
Zaidi, soma => https://jamii.app/NIDAVyetiKuzaliwa
KIAMBU, KENYA: WAKAMATWA NA MASANDUKU YENYE FEDHA BANDIA
> Jeshi la Polisi linawashikilia Bi. Nancy Muthori na Joseph Muhayo baada ya kuwakamata wakiwa na masanduku hayo
> Wamekamatwa katika Mtaa wa Ruiru wanakoishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/FedhaBandiaKiambu
#JFLeo
> Jeshi la Polisi linawashikilia Bi. Nancy Muthori na Joseph Muhayo baada ya kuwakamata wakiwa na masanduku hayo
> Wamekamatwa katika Mtaa wa Ruiru wanakoishi
Zaidi, soma => https://jamii.app/FedhaBandiaKiambu
#JFLeo
RWANDA KUZINDUA 'SATELLITE' ITAKAYOZIUNGANISHA SHULE ZA VIJIJINI NA 'INTERNET'
> Satellite hiyo iliyopewa jina la 'Icyerekezo'(uelekeo) imelenga kuwaandaa Vijana na mafunzo ya tehama kwa maisha ya baadaye
Zaidi kuhusu uzinduzi huu, soma => https://jamii.app/RwandaSatellite
#JFLeo
> Satellite hiyo iliyopewa jina la 'Icyerekezo'(uelekeo) imelenga kuwaandaa Vijana na mafunzo ya tehama kwa maisha ya baadaye
Zaidi kuhusu uzinduzi huu, soma => https://jamii.app/RwandaSatellite
#JFLeo
MWANAO AMEWAHI KUKUAIBISHA MBELE ZA WATU?
> Watoto wadogo hukariri yale wanayoyaona na kuyasikia kila siku na wakati mwingine huyasema wakiwa mahali popote hata kama hawajui maana yake
> Je, mwanao amewahi kusema au kufanya jambo mbele za watu mpaka ukapatwa na aibu?
Tembelea - https://jamii.app/KuaibishwaMtoto
#JFHoja
> Watoto wadogo hukariri yale wanayoyaona na kuyasikia kila siku na wakati mwingine huyasema wakiwa mahali popote hata kama hawajui maana yake
> Je, mwanao amewahi kusema au kufanya jambo mbele za watu mpaka ukapatwa na aibu?
Tembelea - https://jamii.app/KuaibishwaMtoto
#JFHoja
WATU 25 WAFARIKI KWENYE AJALI YA MOTO WA TRENI
> Takribani watu 25 wamefariki na 40 kujeruhiwa ktk ajali ya moto uliotokea ktk kituo cha Treni jijini Cairo, Misri
> Kutokana na ajali hiyo Waziri wa Usafiri, Hicham Arafat ameomba kujiuzulu
Soma - https://jamii.app/20DeadStationFire
#JFInternational
> Takribani watu 25 wamefariki na 40 kujeruhiwa ktk ajali ya moto uliotokea ktk kituo cha Treni jijini Cairo, Misri
> Kutokana na ajali hiyo Waziri wa Usafiri, Hicham Arafat ameomba kujiuzulu
Soma - https://jamii.app/20DeadStationFire
#JFInternational
INDIA: BASTOLA FEKI YASABABISHA APOTEZE MAISHA
> Mohammad Palash Ahmed(25), amefariki baada ya kupigwa risasi na Polisi alipoteka Ndege iliyobeba abiria 148 akiwa na bastola feki akitaka nafasi ya kuongea na Waziri Mkuu wa India
Soma - https://jamii.app/KilledToyGun
#JFInternational
> Mohammad Palash Ahmed(25), amefariki baada ya kupigwa risasi na Polisi alipoteka Ndege iliyobeba abiria 148 akiwa na bastola feki akitaka nafasi ya kuongea na Waziri Mkuu wa India
Soma - https://jamii.app/KilledToyGun
#JFInternational