ISRAEL YATUMA CHOMBO KWENDA MWEZINI
> Kimeitwa Beresheet kikimaanisha "Mwanzo" kwa lugha ya Kiyahudi na kinatarajiwa kutua mwezini Aprili 11, 2019
> Kimebeba Biblia ya dijitali, Bendera na wimbo wa Taifa la Israel na michoro ya Watoto
Zaidi, soma https://jamii.app/IsraelChomboMwezini-2019
> Kimeitwa Beresheet kikimaanisha "Mwanzo" kwa lugha ya Kiyahudi na kinatarajiwa kutua mwezini Aprili 11, 2019
> Kimebeba Biblia ya dijitali, Bendera na wimbo wa Taifa la Israel na michoro ya Watoto
Zaidi, soma https://jamii.app/IsraelChomboMwezini-2019
DEREVA ALIYEFARIKI KATIKA AJALI ILIYOUA WATU 19 SONGWE KUSHTAKIWA
- Kamanda wa Usalama barabarani, Fortunatus Muslim ameagiza hivyo iwapo dereva atakutwa na makosa
- Pia, mmiliki wa lori anatakiwa kujibu tuhuma za kuruhusu gari bovu kutembea barabarani
Zaidi, soma https://jamii.app/DerevaAliyefarikiKushtakiwa
- Kamanda wa Usalama barabarani, Fortunatus Muslim ameagiza hivyo iwapo dereva atakutwa na makosa
- Pia, mmiliki wa lori anatakiwa kujibu tuhuma za kuruhusu gari bovu kutembea barabarani
Zaidi, soma https://jamii.app/DerevaAliyefarikiKushtakiwa
ALGERIA: MAMIA WAANDAMANA KUPINGA RAIS BOUTEFLIKA KUGOMBEA URAIS
- Wanapinga Rais wa sasa Abdelaziz Bouteflika aliyeiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1999, kugombea tena kwa awamu ya 5 katika uchaguzi ujao
- Hata hivyo, Rais huyo anaonekana atashinda kutokana na Upinzani kuwa dhaifu na kugawanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/AlgeriansVsPresBouteflika
- Wanapinga Rais wa sasa Abdelaziz Bouteflika aliyeiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1999, kugombea tena kwa awamu ya 5 katika uchaguzi ujao
- Hata hivyo, Rais huyo anaonekana atashinda kutokana na Upinzani kuwa dhaifu na kugawanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/AlgeriansVsPresBouteflika
KOCHA WA YANGA AKANA KUTAKA KUJIUNGA NA AZAM FC
- Kocha Mwinyi Zahera amesema habari hizo zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii ni za uongo na za hovyo
- Amesema hajawasiliana na Kiongozi yeyote wa klabu ya Azam na wala hawafahamiani
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAtishiaKuondoka
- Kocha Mwinyi Zahera amesema habari hizo zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii ni za uongo na za hovyo
- Amesema hajawasiliana na Kiongozi yeyote wa klabu ya Azam na wala hawafahamiani
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAtishiaKuondoka
KENYA: WIZARA YA ARDHI YASHINDWA KUELEZEA MATUMIZI YA TSH. BILIONI 46O
- Ripoti ya mwaka 2017/18 ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebainisha hivyo
- Imeelezwa kuna utofauti uliodhahiri na Makadirio yasiyo sahihi katika taarifa za fedha za Wizara hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/Ksh20bnHazionekaniWizarani
- Ripoti ya mwaka 2017/18 ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebainisha hivyo
- Imeelezwa kuna utofauti uliodhahiri na Makadirio yasiyo sahihi katika taarifa za fedha za Wizara hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/Ksh20bnHazionekaniWizarani
HALIMA MDEE AACHIWA KWA DHAMANA BAADA YA SAA 24
- Mbunge huyo wa Kawe(CHADEMA) alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar
- Alikamatwa akidaiwa kutoa maneno ya uchochezi katika mkutano wa hadhara alioufanya Februari 21, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MdeeApataDhamana-Feb2019
- Mbunge huyo wa Kawe(CHADEMA) alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar
- Alikamatwa akidaiwa kutoa maneno ya uchochezi katika mkutano wa hadhara alioufanya Februari 21, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MdeeApataDhamana-Feb2019
TATIZO LA KUKOSA USINGIZI (INSOMNIA) NA TIBA YAKE
> Hutokana na upungufu wa homoni, magonjwa mbalimbali, msongo wa mawazo
> Wenye tatizo wanashauriwa kutumia asali mbichi vijiko viwili kila usiku
Zaidi, soma https://jamii.app/TatizoKukosaUsingizi
> Hutokana na upungufu wa homoni, magonjwa mbalimbali, msongo wa mawazo
> Wenye tatizo wanashauriwa kutumia asali mbichi vijiko viwili kila usiku
Zaidi, soma https://jamii.app/TatizoKukosaUsingizi
AMCHOMA MOTO MTOTO MIKONONI KWA MADAI YA KUDOKOA CHAKULA
- Polisi mkoani Dodoma inamshikilia Eliza Deni(23) kwa tuhuma za kumfanyia hivyo mtoto wake wa kambo, Jackson Denis(5)
- Atafikishwa Mahakamani kujibu shtaka hilo siku za hivi karibuni
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoAchomwaMotoDOM-2019
- Polisi mkoani Dodoma inamshikilia Eliza Deni(23) kwa tuhuma za kumfanyia hivyo mtoto wake wa kambo, Jackson Denis(5)
- Atafikishwa Mahakamani kujibu shtaka hilo siku za hivi karibuni
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoAchomwaMotoDOM-2019
KONDOA, DODOMA: WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAUAWA
> Wameuawa kwa kupigwa na Wananchi wa kijiji cha Kinyasi baada ya kuvamia kituo cha mafuta
> Walifanya uporaji wa zaidi ya shilingi milioni kumi katika kituo hicho
Zaidi, soma => https://jamii.app/MajambaziKondoa
#JFLeo
> Wameuawa kwa kupigwa na Wananchi wa kijiji cha Kinyasi baada ya kuvamia kituo cha mafuta
> Walifanya uporaji wa zaidi ya shilingi milioni kumi katika kituo hicho
Zaidi, soma => https://jamii.app/MajambaziKondoa
#JFLeo
SAUDI ARABIA: BINTI MFALME ACHAGULIWA KUWA BALOZI
> Saudi Arabia imemtangaza binti mfalme, Rima binti Bandar al-Saud kuwa balozi wake nchini Marekani, akiwa ni mwanamke wa kwanza kuwa balozi wa ufalme huo
Soma - https://jamii.app/FemaleAmbassadorUS
#JFInternational
> Saudi Arabia imemtangaza binti mfalme, Rima binti Bandar al-Saud kuwa balozi wake nchini Marekani, akiwa ni mwanamke wa kwanza kuwa balozi wa ufalme huo
Soma - https://jamii.app/FemaleAmbassadorUS
#JFInternational
WASIOTUMIA MFUMO WA KIELEKTRONIKI KWENYE MALIPO WAPEWA ONYO
> Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango amezitaka Taasisi zote za Serikali kutumia mfumo wa malipo wa kielektroniki(GePG) na watakaoshindwa, watachukuliwa hatua za kisheria
Soma https://jamii.app/OnyoWasiotumiaGePG
> Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango amezitaka Taasisi zote za Serikali kutumia mfumo wa malipo wa kielektroniki(GePG) na watakaoshindwa, watachukuliwa hatua za kisheria
Soma https://jamii.app/OnyoWasiotumiaGePG
GARI LAKAMATWA LIKISAFIRISHA SAMPULI YA DHAHABU MWANZA
> Kamati ya ulinzi na usalama, inalishikilia Fuso lililokuwa likisafirisha shehena ya ndoo 226 zenye sampuli za miamba ya madini 883 mali ya Mgodi wa GGM kutoka Mkoani Geita kwenda Mwanza
Soma https://jamii.app/FusoMadiniLakamatwa
> Kamati ya ulinzi na usalama, inalishikilia Fuso lililokuwa likisafirisha shehena ya ndoo 226 zenye sampuli za miamba ya madini 883 mali ya Mgodi wa GGM kutoka Mkoani Geita kwenda Mwanza
Soma https://jamii.app/FusoMadiniLakamatwa
INDIA: WATU 145 WAFARIKI BAADA YA KUNYWA POMBE YENYE SUMU
> Takribani watu 145 wamefariki baada ya kunywa pombe yenye sumu, Kaskazini Mashariki mwa India huku zaidi ya 200 wakilazwa
> Tukio limetokea ktk miji ya Golaghat na Jorhat
Soma https://jamii.app/AssamHoochTragedy
#JFInternational
> Takribani watu 145 wamefariki baada ya kunywa pombe yenye sumu, Kaskazini Mashariki mwa India huku zaidi ya 200 wakilazwa
> Tukio limetokea ktk miji ya Golaghat na Jorhat
Soma https://jamii.app/AssamHoochTragedy
#JFInternational
FAHAMU CHANZO CHA KUPATA MAGONJWA YA MOYO
> Inakadiriwa kwamba watu takriban milioni 17.5 hufariki kila mwaka kwa magonjwa hayo ya moyo
> Kutozingatia kanuni za ulaji bora, ni moja ya mambo yanayoongeza uwezekano wa mtu kupata magonjwa ya moyo
> Kuwa na uzito uliozidi au kuwa na unene uliopitiliza pamoja na kutofanya mazoezi ya mwili na viungo
Fahamu zaidi - https://jamii.app/VisababishiMagonjwaMoyo
#JFAFYA
> Inakadiriwa kwamba watu takriban milioni 17.5 hufariki kila mwaka kwa magonjwa hayo ya moyo
> Kutozingatia kanuni za ulaji bora, ni moja ya mambo yanayoongeza uwezekano wa mtu kupata magonjwa ya moyo
> Kuwa na uzito uliozidi au kuwa na unene uliopitiliza pamoja na kutofanya mazoezi ya mwili na viungo
Fahamu zaidi - https://jamii.app/VisababishiMagonjwaMoyo
#JFAFYA
JAMHURI YAIOMBA MAHAKAMA ITOE HATI YA KUKAMATWA LISSU, MAHAKAMA YAGOMA KUMFUTIA DHAMANA
> Serikali imewasilisha maombi hayo ikidai Lissu hayupo hospitali tena, anazunguka tuu
> Mahakama imesema kufanya hivyo ni kukosa utu na Ubinadamu
Soma > https://jamii.app/LissuVsJamhuri
> Serikali imewasilisha maombi hayo ikidai Lissu hayupo hospitali tena, anazunguka tuu
> Mahakama imesema kufanya hivyo ni kukosa utu na Ubinadamu
Soma > https://jamii.app/LissuVsJamhuri
MABADILIKO YA NJIA KATIKA MAKUTANO YA BARABARA UBUNGO
> Wizara ya Ujenzi inawajuza wananchi na watumiaji wa Barabara za Morogoro, Mandera na Sam Nujoma mabadiliko ktk njia
> Inawataka kufuata mchoro uliotolewa na maelekezo ktk eneo husika
Soma - https://jamii.app/MabadilikoNjiaUbungo
> Wizara ya Ujenzi inawajuza wananchi na watumiaji wa Barabara za Morogoro, Mandera na Sam Nujoma mabadiliko ktk njia
> Inawataka kufuata mchoro uliotolewa na maelekezo ktk eneo husika
Soma - https://jamii.app/MabadilikoNjiaUbungo
MOROGORO: WABUNGE WAWILI WA CHADEMA WAFIKISHWA MAHAKAMANI
> Waliofikishwa Mahakamani ni Wabunge Peter Lijualikali(Kilombero) na Susan Kiwanga(Mlimba) pamoja na Wananchi 7
> Walikamatwa Jumatano iliyopita katika Kijiji cha Sofi(Malinyi)
Soma > https://jamii.app/WabungeMahakamaMoro
#JFLeo
> Waliofikishwa Mahakamani ni Wabunge Peter Lijualikali(Kilombero) na Susan Kiwanga(Mlimba) pamoja na Wananchi 7
> Walikamatwa Jumatano iliyopita katika Kijiji cha Sofi(Malinyi)
Soma > https://jamii.app/WabungeMahakamaMoro
#JFLeo