MWALIMU MKUU ABAKA MJUKUU, BABA ABAKA MTOTO WAKE
> Jeshi la Polisi Mbeya, linamshikilia Mwalimu Alinani Mwakifuna(59) kwa tuhuma za kumbaka mjukuu wake wa miaka 15
> Samwel Msukila(22) anashikiliwa kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake wa miaka 9
Soma https://jamii.app/MwlBabaWabaka
> Jeshi la Polisi Mbeya, linamshikilia Mwalimu Alinani Mwakifuna(59) kwa tuhuma za kumbaka mjukuu wake wa miaka 15
> Samwel Msukila(22) anashikiliwa kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake wa miaka 9
Soma https://jamii.app/MwlBabaWabaka
KENYATTA: HAKUNA FEDHA ZA KUWALIPA WAUGUZI WANAOGOMA
> Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, amesisitiza kwamba hakuna fedha za kuwalipa wauguzi wanaogoma
> Asema Serikali ina mambo mengi ya kufanya na sio kuongezea wafanyakazi mishahara kila mwaka
Soma- https://jamii.app/NoSalaryIncreaseKE
> Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, amesisitiza kwamba hakuna fedha za kuwalipa wauguzi wanaogoma
> Asema Serikali ina mambo mengi ya kufanya na sio kuongezea wafanyakazi mishahara kila mwaka
Soma- https://jamii.app/NoSalaryIncreaseKE
KESI YA JAMHURI DHIDI YA JAMIIFORUMS: WASHTAKIWA WANA KESI YA KUJIBU
> Mkurugenzi wa JamiiForums na mwanahisa mwenza, Micke William wamekutwa na kesi ya kujibu ktk shauri namba 456, Mahakama ya Kisutu
> Kuanza kujitetea Machi 14 na 19
Zaidi, soma https://jamii.app/KesiJamhuriVsJamiiForums
> Mkurugenzi wa JamiiForums na mwanahisa mwenza, Micke William wamekutwa na kesi ya kujibu ktk shauri namba 456, Mahakama ya Kisutu
> Kuanza kujitetea Machi 14 na 19
Zaidi, soma https://jamii.app/KesiJamhuriVsJamiiForums
DAR: ASKARI MAGEREZA WAUA RAIA NA KUMJERUHI MAMAKE WAKIMDHIBITI MTUHUMIWA
> Neema Dominick amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na Askari Magereza waliokuwa wakimdhibiti Mtuhumiwa (si marehemu) asitoroke katika Mahakama ya Kigamboni
Zaidi, soma => https://jamii.app/MagerezaRisasi
#JFLeo
> Neema Dominick amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na Askari Magereza waliokuwa wakimdhibiti Mtuhumiwa (si marehemu) asitoroke katika Mahakama ya Kigamboni
Zaidi, soma => https://jamii.app/MagerezaRisasi
#JFLeo
VENEZUELA YAFUNGA MPAKA WAKE NA BRAZIL
> Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro ameamuru kufungwa kwa mpaka wa Kusini mwa nchi yake, ambao unaitenganisha na Brazil
> Hatua hii imeanza kutumika rasmi usiku wa kuamkia leo kwa saa za Venezuela
Soma - https://jamii.app/MaduroBlocksBrazil
> Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro ameamuru kufungwa kwa mpaka wa Kusini mwa nchi yake, ambao unaitenganisha na Brazil
> Hatua hii imeanza kutumika rasmi usiku wa kuamkia leo kwa saa za Venezuela
Soma - https://jamii.app/MaduroBlocksBrazil
ELIMU YA URAIA: JE, POLISI ANAWEZA KUMKAMATA MWENZAKE AKIFANYA UHALIFU?
> Askari wa Jesho la Polisi anayefahamu kuwa Polisi mwenzake anajihusisha na vitendo vya kijinai halafu akashindwa kuchukua hatua yoyote ile atakuwa anafanya makosa
Zaidi, soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
> Askari wa Jesho la Polisi anayefahamu kuwa Polisi mwenzake anajihusisha na vitendo vya kijinai halafu akashindwa kuchukua hatua yoyote ile atakuwa anafanya makosa
Zaidi, soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
JINSI YA KUTENGENEZA BARAFU ZA KULA(ICE CREAM)
> Weka maji lita 7 kwenye sufuria kubwa na yachemshe, ongeza sukari na chumvi (ukipenda)
> Ongeza corn starch au ubuyu na maziwa ya unga kwenye hayo maji yanayochemka, koroga vizuri, chemsha kwa dk 8, kisha acha ipoe na ongeza ladha uipendayo
> Funga kwenye vile vifuko na gandisha hadi ziwe barafu
Soma - https://jamii.app/KutengenezaIceCream
#JFMapishi
> Weka maji lita 7 kwenye sufuria kubwa na yachemshe, ongeza sukari na chumvi (ukipenda)
> Ongeza corn starch au ubuyu na maziwa ya unga kwenye hayo maji yanayochemka, koroga vizuri, chemsha kwa dk 8, kisha acha ipoe na ongeza ladha uipendayo
> Funga kwenye vile vifuko na gandisha hadi ziwe barafu
Soma - https://jamii.app/KutengenezaIceCream
#JFMapishi
RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA VIFO 19 KATIKA AJALI MKOANI SONGWE
> Ametuma salamu kwenda kwa familia zilizopoteza ndugu/jamaa ktk ajali iliyotokea Wilayani Mbozi
> Rais amezitaka mamlaka kuchunguza na kuchukua hatua
Soma > https://jamii.app/RaisPoleSongwe
> Ametuma salamu kwenda kwa familia zilizopoteza ndugu/jamaa ktk ajali iliyotokea Wilayani Mbozi
> Rais amezitaka mamlaka kuchunguza na kuchukua hatua
Soma > https://jamii.app/RaisPoleSongwe
ARUSHA: WAZEE WAPIGANA, KISA WIVU WA MAPENZI
> Bibi aliyejulikana kwa jina la Ester Taiko(64) amepigwa na Mumewe Christopher Shanguro(74) kwa tuhuma za kutoka nje ya ndoa
> Mzee Christopher anatuhumiwa kumpiga mkewe na kumwagia oili
Soma => https://jamii.app/UgoviVikongweArusha
> Bibi aliyejulikana kwa jina la Ester Taiko(64) amepigwa na Mumewe Christopher Shanguro(74) kwa tuhuma za kutoka nje ya ndoa
> Mzee Christopher anatuhumiwa kumpiga mkewe na kumwagia oili
Soma => https://jamii.app/UgoviVikongweArusha
KISUTU, DAR: WANAFUNZI 2 NA WATU WENGINE 6 WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA JELA
> Mahakama imetoa hukumu hiyo baada ya kuwakuta na hatia ya kuchoma Kituo cha Polisi Bunju A
> Halifani Mshengeli mwenye miaka 19 ni kati ya waliohukumiwa
Soma > https://jamii.app/HukumuMaishaBunju
> Mahakama imetoa hukumu hiyo baada ya kuwakuta na hatia ya kuchoma Kituo cha Polisi Bunju A
> Halifani Mshengeli mwenye miaka 19 ni kati ya waliohukumiwa
Soma > https://jamii.app/HukumuMaishaBunju
ENGLAND: CHELSEA FC YAFUNGIWA KUSAJILI KWA MISIMU MIWILI
> Shirikisho la Soka Duniani(FIFA) limeipiga marufuku klabu hiyo kufanya usajili ndani ya misimu 2 ijayo
> Pia imetakiwa kulipa faini ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 1.4
Soma => https://jamii.app/FIFAVsChelseaFC
> Shirikisho la Soka Duniani(FIFA) limeipiga marufuku klabu hiyo kufanya usajili ndani ya misimu 2 ijayo
> Pia imetakiwa kulipa faini ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 1.4
Soma => https://jamii.app/FIFAVsChelseaFC
JINSI YA KUTENGENEZA MWILI BILA KWENDA 'GYM'
> Anza na Pushap za Kawaida ila usikunje ngumi. Utaanza kwa kwenda juu chini hiyo ni 1, utafanya hivyo mara 20. Utapumzika sekunde 10 na kurudia tena mara 4
> Fanya pushap za miguu ikiwa imeinuka. Unaweza ukaiweka kwenye stuli, jiwe, ndoo au hata kwenye ngazi. Juu chini mara 20 na kurudia tena mara 4
Jifunze zaidi hapa - https://jamii.app/BodyBuildNoGym
#JFUtanashati
> Anza na Pushap za Kawaida ila usikunje ngumi. Utaanza kwa kwenda juu chini hiyo ni 1, utafanya hivyo mara 20. Utapumzika sekunde 10 na kurudia tena mara 4
> Fanya pushap za miguu ikiwa imeinuka. Unaweza ukaiweka kwenye stuli, jiwe, ndoo au hata kwenye ngazi. Juu chini mara 20 na kurudia tena mara 4
Jifunze zaidi hapa - https://jamii.app/BodyBuildNoGym
#JFUtanashati
AKAMATWA NA POLISI KWA KUWALISHA WANANCHI NYAMA YA MBWA
> Mkazi wa kijiji cha Mitonji, Mkoani Mtwara, Dismasi Malikitu(kizito) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kuwauzia wananchi nyama ya Mbwa huku akiwadanganya ni nyama ya mbuzi
Soma - https://jamii.app/MatataniNyamaMbwa
> Mkazi wa kijiji cha Mitonji, Mkoani Mtwara, Dismasi Malikitu(kizito) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kuwauzia wananchi nyama ya Mbwa huku akiwadanganya ni nyama ya mbuzi
Soma - https://jamii.app/MatataniNyamaMbwa
DRC: AJALI YAUA 18, DEREVA ADAIWA KUWA NI MTANZANIA
> Watu 18 wamepoteza maisha na 12 kujeruhiwa ktk ajali ya barabarani mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
> Taarifa zinasema dereva huyo (Mtanzania) alikuwa amelewa
Soma- https://jamii.app/18DeadCarAccident
#JFInternational
> Watu 18 wamepoteza maisha na 12 kujeruhiwa ktk ajali ya barabarani mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
> Taarifa zinasema dereva huyo (Mtanzania) alikuwa amelewa
Soma- https://jamii.app/18DeadCarAccident
#JFInternational
DODOMA: RAIA WA CHINA WAKAMATWA KWA KUSAMBAZA MASHINE ZA KAMARI KINYEMELA
> Wamekamatwa kwa tuhuma ya kusambaza takribani mashine 138
> Aidha, wanatuhumiwa kutoa rushwa ya shilingi milioni 1 kwa Polisi waliowakamata
Soma https://jamii.app/WachinaMashineKamari
> Wamekamatwa kwa tuhuma ya kusambaza takribani mashine 138
> Aidha, wanatuhumiwa kutoa rushwa ya shilingi milioni 1 kwa Polisi waliowakamata
Soma https://jamii.app/WachinaMashineKamari
UCHAGUZI MKUU NCHINI NIGERIA KUFANYIKA KESHO
> Rais wa Nigeria, Muhamadu Buhari amewahimiza raia wa nchi hiyo kujitokeza kesho, Februari 23 ili kupiga kura ya kuchagua Rais na Wabunge
> Rais huyo anakabiliwa na ushindani kutoka kwa mfanyabiashara, Atiku Abubakar
#JFInternational
> Rais wa Nigeria, Muhamadu Buhari amewahimiza raia wa nchi hiyo kujitokeza kesho, Februari 23 ili kupiga kura ya kuchagua Rais na Wabunge
> Rais huyo anakabiliwa na ushindani kutoka kwa mfanyabiashara, Atiku Abubakar
#JFInternational
MAPENZI: UKIONA DALILI HIZI TAMBUA MWANAUME HUYO SI MUOAJI
> Katika mahusiano wengi hujikuta wamepoteza muda kwa kutojua au kutabiri iwapo wenza wao hasa wa kiume kama ni wa kudumu au wapita njia
> Ndani ya JamiiForums kuna uchambuzi wa dalili mbalimbali ambazo yawezekana zikabainisha iwapo Mwanaume si muoaji
Soma => https://jamii.app/DaliliSiMuoaji
> Katika mahusiano wengi hujikuta wamepoteza muda kwa kutojua au kutabiri iwapo wenza wao hasa wa kiume kama ni wa kudumu au wapita njia
> Ndani ya JamiiForums kuna uchambuzi wa dalili mbalimbali ambazo yawezekana zikabainisha iwapo Mwanaume si muoaji
Soma => https://jamii.app/DaliliSiMuoaji
RAIA WA ETHIOPIA AHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kutumikia kifungo cha miaka miwili jela, Gashahuni Degu(21) baada ya kupatikana na hatia ya kuingia nchini bila kibali
Zaidi, soma https://jamii.app/RaiaEthiopiaJela
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kutumikia kifungo cha miaka miwili jela, Gashahuni Degu(21) baada ya kupatikana na hatia ya kuingia nchini bila kibali
Zaidi, soma https://jamii.app/RaiaEthiopiaJela
BABATI, MANYARA: AJINYONGA HADI KUFA KWA TAULO
> Ni Mwanafunzi Mathayo Ezekiel(11) wa darasa la 5 katika shule ya msingi Mikiroy
> Sababu bado haijafahamika ila alijinyonga nyumbani kwao alipotoka shule wakati wazazi wake hawapo
Soma https://jamii.app/MwanafunziAfarikiKujinyonga
> Ni Mwanafunzi Mathayo Ezekiel(11) wa darasa la 5 katika shule ya msingi Mikiroy
> Sababu bado haijafahamika ila alijinyonga nyumbani kwao alipotoka shule wakati wazazi wake hawapo
Soma https://jamii.app/MwanafunziAfarikiKujinyonga
CHICAGO, MAREKANI: KESI YA R KELLY YACHUKUA SURA MPYA
> Kesi ya Mwanamuziki huyo imechukua sura mpya baada ya kushtakiwa kwa makosa mapya
> Anatuhumiwa kwa makosa 10 ya unyanyasaji dhidi ya Watoto aliyoyatenda mwaka 1995/6
Soma => https://jamii.app/RKellyCharges
#JFCelebrity
> Kesi ya Mwanamuziki huyo imechukua sura mpya baada ya kushtakiwa kwa makosa mapya
> Anatuhumiwa kwa makosa 10 ya unyanyasaji dhidi ya Watoto aliyoyatenda mwaka 1995/6
Soma => https://jamii.app/RKellyCharges
#JFCelebrity