KENYA: AJIRUSHA MBELE YA LORI BAADA YA KUGUNDUA KASALITIWA NA MPENZIWE
> Jamaa mmoja mjini Naivasha, amejitoa uhai kwa kujirusha mbele ya lori lililokuwa kwenye mwendokasi ktk barabara kuu ya Nakuru
> Chanzo ni kusalitiwa kimapenzi
Soma https://jamii.app/AjiuaKujirushaBarabarani
#JFInternational
> Jamaa mmoja mjini Naivasha, amejitoa uhai kwa kujirusha mbele ya lori lililokuwa kwenye mwendokasi ktk barabara kuu ya Nakuru
> Chanzo ni kusalitiwa kimapenzi
Soma https://jamii.app/AjiuaKujirushaBarabarani
#JFInternational
BAADHI YA VIONGOZI WA DRC WAPIGWA MARUFUKU KUINGIA MAREKANI
> Marekani imetangaza kuwapiga marufuku kuingia Marekani baadhi ya viongozi wa DRC pamoja na familia zao kutokana na kujihusisha na ufisadi mkubwa ktk mchakato wa uchaguzi
Soma https://jamii.app/USSanctionsDRCOfficials
#JFInternational
> Marekani imetangaza kuwapiga marufuku kuingia Marekani baadhi ya viongozi wa DRC pamoja na familia zao kutokana na kujihusisha na ufisadi mkubwa ktk mchakato wa uchaguzi
Soma https://jamii.app/USSanctionsDRCOfficials
#JFInternational
SERIKALI YA SUDAN YAVUNJWA, HALI YA DHARURA YATANGAZWA
> Rais wa Sudan, Omar Al Bashir ametangaza kuivunja Serikali kuu ya nchi hiyo na Serikali 18 za majimbo
> Ametangaza hali ya dharura kwa mwaka 1 na Jeshi ndilo litasimamia nchi
Soma https://jamii.app/SudanStateEmergency
#JFInternational
> Rais wa Sudan, Omar Al Bashir ametangaza kuivunja Serikali kuu ya nchi hiyo na Serikali 18 za majimbo
> Ametangaza hali ya dharura kwa mwaka 1 na Jeshi ndilo litasimamia nchi
Soma https://jamii.app/SudanStateEmergency
#JFInternational
KATIBU MKUU UN AIONYA VENEZUELA
> Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Antonio Guterres akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela ameionya Serikali ya nchi hiyo kutokiuka haki za binadamu inapowadhibiti Waandamanaji
Soma > https://jamii.app/GuterresVsVenezuela
#JFInternational
> Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Antonio Guterres akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela ameionya Serikali ya nchi hiyo kutokiuka haki za binadamu inapowadhibiti Waandamanaji
Soma > https://jamii.app/GuterresVsVenezuela
#JFInternational
DAR: HALIMA MDEE ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI
> Mbunge wa Jimbo la Kawe (CHADEMA) aliitwa kuhojiwa ktk kituo cha Polisi Oysterbay kwa tuhuma za kutoa kauli ya kumkosea heshima Rais Magufuli
> Baada ya kuhojiwa Mdee amenyimwa dhamana
Soma > https://jamii.app/MdeeArrested
> Mbunge wa Jimbo la Kawe (CHADEMA) aliitwa kuhojiwa ktk kituo cha Polisi Oysterbay kwa tuhuma za kutoa kauli ya kumkosea heshima Rais Magufuli
> Baada ya kuhojiwa Mdee amenyimwa dhamana
Soma > https://jamii.app/MdeeArrested
NIGERIA: BOKO HARAM WAFANYA JARIBIO LA KUVURUGA UCHAGUZI
> Mwanajeshi mmoja ameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika shambulio la mabomu linalodaiwa kufanywa na kundi la Boko Haram
> Milipuko 13 ilisikika leo asubuhi
Soma - https://jamii.app/BokoHaramNigeria
#JFInternational
> Mwanajeshi mmoja ameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika shambulio la mabomu linalodaiwa kufanywa na kundi la Boko Haram
> Milipuko 13 ilisikika leo asubuhi
Soma - https://jamii.app/BokoHaramNigeria
#JFInternational
WAZIRI MKUU: MPAKA WA HOLILI HAUKO SALAMA, NJIA ZA PANYA ZIMEKITHIRI
> Amesema mpaka huo kati ya Tanzania na Kenya uliopo wilayani Rombo(Kilimanjaro) una njia nyingi za panya zinazotumiwa wahalifu kupitisha silaha na bidhaa za magendo
Soma > https://jamii.app/MajaliwaMpakaHolili
#JFLeo
> Amesema mpaka huo kati ya Tanzania na Kenya uliopo wilayani Rombo(Kilimanjaro) una njia nyingi za panya zinazotumiwa wahalifu kupitisha silaha na bidhaa za magendo
Soma > https://jamii.app/MajaliwaMpakaHolili
#JFLeo
BAADHI YA SIFA ZINAZOWASILISHWA ILI KUMJUA MTU ANAYEKUFAA KIMAPENZI
> Hatangoja kujua nini unahitaji kwa kuwa hana sababu ya kusubiri kuombwa ndiyo atoe msaada
> Ni yule atakayejua wakati gani huna furaha au una furaha na atakuwa na wewe katika hali ya raha na shida pia
> Atakupenda kwa moyo wake wote na wala si kwa ajili ya shinikizo fulani (pesa au mali) na ataonesha kuthamini nafasi yako mbele ya wengine
Zaidi, soma - https://jamii.app/SifaMpenziKweli
#JFMahusiano
> Hatangoja kujua nini unahitaji kwa kuwa hana sababu ya kusubiri kuombwa ndiyo atoe msaada
> Ni yule atakayejua wakati gani huna furaha au una furaha na atakuwa na wewe katika hali ya raha na shida pia
> Atakupenda kwa moyo wake wote na wala si kwa ajili ya shinikizo fulani (pesa au mali) na ataonesha kuthamini nafasi yako mbele ya wengine
Zaidi, soma - https://jamii.app/SifaMpenziKweli
#JFMahusiano
MICHEZO: Klabu ya Barcelona yainyuka Sevilla kwa mabao 4 kwa 2
> Mshambualiaji raia wa Argentina, Lionel Messi afunga mabao 3 maarufu kama 'hat-trick'
> Hii ni hat-trick ya 32 kwa Messi tangu aanze kuitumikia Klabu ya Barcelona ktk La Liga
> Messi amebakiza hat-trick 2 ili kuifikia rekodi iliyowekwa na Cristiano Ronaldo aliyefunga 34 akiwa na Real Madrid
#JFSports
> Mshambualiaji raia wa Argentina, Lionel Messi afunga mabao 3 maarufu kama 'hat-trick'
> Hii ni hat-trick ya 32 kwa Messi tangu aanze kuitumikia Klabu ya Barcelona ktk La Liga
> Messi amebakiza hat-trick 2 ili kuifikia rekodi iliyowekwa na Cristiano Ronaldo aliyefunga 34 akiwa na Real Madrid
#JFSports
WATAALAMU 9 WA ARDHI WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI
> Watu 9, wataalam wa idara ya Ardhi wamefariki baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa wakisafiria kutumbukia mtoni Wilayani Kilombero mkoani Morogoro
> Gari hiyo ilikuwa na watu 13
Soma - https://jamii.app/WataalamuArdhiWafariki
> Watu 9, wataalam wa idara ya Ardhi wamefariki baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa wakisafiria kutumbukia mtoni Wilayani Kilombero mkoani Morogoro
> Gari hiyo ilikuwa na watu 13
Soma - https://jamii.app/WataalamuArdhiWafariki
MTWARA: KOROSHO ZARUDISHWA KWA WAKULIMA ZIKIDAIWA HAZINA UBORA
- Zaidi ya tani 68 za korosho zimekataliwa kuingizwa kwenye maghala makuu ya TANECU ili ziuzwe
- Wakulima wamedai pamoja na kuzichambua na kuzianika zikubaliwe bado zimekataliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WakulimaWarudishiwaKorosho
- Zaidi ya tani 68 za korosho zimekataliwa kuingizwa kwenye maghala makuu ya TANECU ili ziuzwe
- Wakulima wamedai pamoja na kuzichambua na kuzianika zikubaliwe bado zimekataliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WakulimaWarudishiwaKorosho
KOCHA WA YANGA ASEMA ANAWEZA KUONDOKA MWISHO WA MSIMU HUU
- Kocha Mwinyi Zahera amesema anaweza kuondoka kutokana na Wanachama na Mashabiki kutompa ushirikiano
- Aidha, zipo tetesi zinazodai kuwa Kocha huyo anaenda kuifundisha klabu ya Azam
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAtishiaKuondoka
- Kocha Mwinyi Zahera amesema anaweza kuondoka kutokana na Wanachama na Mashabiki kutompa ushirikiano
- Aidha, zipo tetesi zinazodai kuwa Kocha huyo anaenda kuifundisha klabu ya Azam
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAtishiaKuondoka
MKURUGENZI HALMASHAURI YA ROMBO APEWA SIKU 16 KUTOA TSH. MILIONI 114
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Magreth John, apeleke fedha hizo katika kijiji cha Holili
- Ni 20% ya mauzo ya madini ya pozolana ambayo Wananchi wanadai hawajalipwa
Zaidi, soma https://jamii.app/FedhaMadiniHoliliKLM
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Magreth John, apeleke fedha hizo katika kijiji cha Holili
- Ni 20% ya mauzo ya madini ya pozolana ambayo Wananchi wanadai hawajalipwa
Zaidi, soma https://jamii.app/FedhaMadiniHoliliKLM
SERIKALI: MFANYABIASHARA MDOGO ANAYEGOMA KUCHUKUA KITAMBULISHO ATALIPA KODI
> Yasema kama Tsh. 20,000/- zinaonekana nyingi wanaweza kulipa kwa awamu
> Viongozi waonywa kutotoa kitambulisho kabla ya mfanyabiashara kumaliza malipo kuepusha kutoroka
Zaidi, soma https://jamii.app/VitambulishoUmachingaVsKodi
> Yasema kama Tsh. 20,000/- zinaonekana nyingi wanaweza kulipa kwa awamu
> Viongozi waonywa kutotoa kitambulisho kabla ya mfanyabiashara kumaliza malipo kuepusha kutoroka
Zaidi, soma https://jamii.app/VitambulishoUmachingaVsKodi
RAIS WA KOREA KASKAZINI ATUMIA TRENI KWENDA KUKUTANA NA RAIS TRUMP
- Kim Jong Un anakwenda Vietnam kushiriki kikao chake cha pili na Rais wa Marekani, Donald Trump
- Kikao kitafanyika Februari 27 na Februari 28, 2019 katika mji mkuu wa Vietnam, Hanoi
Zaidi, soma https://jamii.app/Kim-TrumpSummit
- Kim Jong Un anakwenda Vietnam kushiriki kikao chake cha pili na Rais wa Marekani, Donald Trump
- Kikao kitafanyika Februari 27 na Februari 28, 2019 katika mji mkuu wa Vietnam, Hanoi
Zaidi, soma https://jamii.app/Kim-TrumpSummit
ISRAEL YATUMA CHOMBO KWENDA MWEZINI
> Kimeitwa Beresheet kikimaanisha "Mwanzo" kwa lugha ya Kiyahudi na kinatarajiwa kutua mwezini Aprili 11, 2019
> Kimebeba Biblia ya dijitali, Bendera na wimbo wa Taifa la Israel na michoro ya Watoto
Zaidi, soma https://jamii.app/IsraelChomboMwezini-2019
> Kimeitwa Beresheet kikimaanisha "Mwanzo" kwa lugha ya Kiyahudi na kinatarajiwa kutua mwezini Aprili 11, 2019
> Kimebeba Biblia ya dijitali, Bendera na wimbo wa Taifa la Israel na michoro ya Watoto
Zaidi, soma https://jamii.app/IsraelChomboMwezini-2019
DEREVA ALIYEFARIKI KATIKA AJALI ILIYOUA WATU 19 SONGWE KUSHTAKIWA
- Kamanda wa Usalama barabarani, Fortunatus Muslim ameagiza hivyo iwapo dereva atakutwa na makosa
- Pia, mmiliki wa lori anatakiwa kujibu tuhuma za kuruhusu gari bovu kutembea barabarani
Zaidi, soma https://jamii.app/DerevaAliyefarikiKushtakiwa
- Kamanda wa Usalama barabarani, Fortunatus Muslim ameagiza hivyo iwapo dereva atakutwa na makosa
- Pia, mmiliki wa lori anatakiwa kujibu tuhuma za kuruhusu gari bovu kutembea barabarani
Zaidi, soma https://jamii.app/DerevaAliyefarikiKushtakiwa
ALGERIA: MAMIA WAANDAMANA KUPINGA RAIS BOUTEFLIKA KUGOMBEA URAIS
- Wanapinga Rais wa sasa Abdelaziz Bouteflika aliyeiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1999, kugombea tena kwa awamu ya 5 katika uchaguzi ujao
- Hata hivyo, Rais huyo anaonekana atashinda kutokana na Upinzani kuwa dhaifu na kugawanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/AlgeriansVsPresBouteflika
- Wanapinga Rais wa sasa Abdelaziz Bouteflika aliyeiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1999, kugombea tena kwa awamu ya 5 katika uchaguzi ujao
- Hata hivyo, Rais huyo anaonekana atashinda kutokana na Upinzani kuwa dhaifu na kugawanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/AlgeriansVsPresBouteflika
KOCHA WA YANGA AKANA KUTAKA KUJIUNGA NA AZAM FC
- Kocha Mwinyi Zahera amesema habari hizo zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii ni za uongo na za hovyo
- Amesema hajawasiliana na Kiongozi yeyote wa klabu ya Azam na wala hawafahamiani
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAtishiaKuondoka
- Kocha Mwinyi Zahera amesema habari hizo zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii ni za uongo na za hovyo
- Amesema hajawasiliana na Kiongozi yeyote wa klabu ya Azam na wala hawafahamiani
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAtishiaKuondoka
KENYA: WIZARA YA ARDHI YASHINDWA KUELEZEA MATUMIZI YA TSH. BILIONI 46O
- Ripoti ya mwaka 2017/18 ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebainisha hivyo
- Imeelezwa kuna utofauti uliodhahiri na Makadirio yasiyo sahihi katika taarifa za fedha za Wizara hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/Ksh20bnHazionekaniWizarani
- Ripoti ya mwaka 2017/18 ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebainisha hivyo
- Imeelezwa kuna utofauti uliodhahiri na Makadirio yasiyo sahihi katika taarifa za fedha za Wizara hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/Ksh20bnHazionekaniWizarani