ZIMBABWE: WATU 24 WAFARIKI BAADA YA MACHIMBO YA MADINI KUJAA MAJI
- Ni baada ya migodi miwili ya dhahabu kukumbwa na mafuriko Ijumaaa kufuatia bwawa la karibu kuvunja kingo zake
- Watu wengine 8 wameokolewa huku wengine wakihofiwa kupoteza maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/ZimbabweMinesFlooded
- Ni baada ya migodi miwili ya dhahabu kukumbwa na mafuriko Ijumaaa kufuatia bwawa la karibu kuvunja kingo zake
- Watu wengine 8 wameokolewa huku wengine wakihofiwa kupoteza maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/ZimbabweMinesFlooded
KENYA YAKANUSHA KUMUITA BALOZI WAKE WA SOMALIA NYUMBANI
- Imesema imemuita kwenda Mogadishu kwa ajili ya majadiliano na ushauri kuhusu mgogoro wa mpaka baharini
- Pia wameiomba Somalia kutuma Mwakilishi ili kupata taarifa za pande zote
Zaidi, soma https://jamii.app/Kenya-SomaliaCrisis
- Imesema imemuita kwenda Mogadishu kwa ajili ya majadiliano na ushauri kuhusu mgogoro wa mpaka baharini
- Pia wameiomba Somalia kutuma Mwakilishi ili kupata taarifa za pande zote
Zaidi, soma https://jamii.app/Kenya-SomaliaCrisis
SAUDI ARABIA YAITETEA 'APP' YA KUWAFUATILIA WANAWAKE
- Serikali imetetea 'app' hiyo ya simu inayowezesha Wanaume kufuatilia nyendo za Wanawake wanaowahusu
- Yasema programu hiyo ya Absher inasaidia jamii pamoja na Wanawake, Wazee na Walemavu
Zaidi, soma https://jamii.app/SaudiaYateteaApp
- Serikali imetetea 'app' hiyo ya simu inayowezesha Wanaume kufuatilia nyendo za Wanawake wanaowahusu
- Yasema programu hiyo ya Absher inasaidia jamii pamoja na Wanawake, Wazee na Walemavu
Zaidi, soma https://jamii.app/SaudiaYateteaApp
SERIKALI YATANGAZA VITA NA WATEKAJI WA WATOTO
> Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza vita na watu wanaoteka watoto na kudai fedha au kuwaua
> Amesema ujambazi Wilayani Kibondo na Kakonko kwa kiasi kikubwa unafanywa na wageni kutoka nje
Soma - https://jamii.app/SerikaliVsWatekajiWatoto
> Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza vita na watu wanaoteka watoto na kudai fedha au kuwaua
> Amesema ujambazi Wilayani Kibondo na Kakonko kwa kiasi kikubwa unafanywa na wageni kutoka nje
Soma - https://jamii.app/SerikaliVsWatekajiWatoto
KENYA: ANA HALI MBAYA BAADA YA KUAMUA KUJITAHIRI KWA WEMBE
> Katheya Riungu(40) amelazwa Hospitali ya Tharaka-Nithi akiwa ktk hali mbaya baada ya kujitahiri kwa wembe nyumbani kwake
> Alichukua hatua hiyo kwa kuogopa fedheha kwa marafiki
Soma - https://jamii.app/MeAjitahiriWembeKE
> Katheya Riungu(40) amelazwa Hospitali ya Tharaka-Nithi akiwa ktk hali mbaya baada ya kujitahiri kwa wembe nyumbani kwake
> Alichukua hatua hiyo kwa kuogopa fedheha kwa marafiki
Soma - https://jamii.app/MeAjitahiriWembeKE
MWANAMKE AUA MTOTO WA MWENZIE KWASABABU YA WIVU WA MAPENZI
> Paskazia Andrew(17) anashikiliwa na Jeshi la Polisi, Shinyanga kwa kumuua kwa kumkata panga kichwani Kashindye Mgemagiko
> Inadaiwa ni mtoto wa mumewe kwa mwanamke mwingine
Soma - https://jamii.app/AuaMtotoPanga
> Paskazia Andrew(17) anashikiliwa na Jeshi la Polisi, Shinyanga kwa kumuua kwa kumkata panga kichwani Kashindye Mgemagiko
> Inadaiwa ni mtoto wa mumewe kwa mwanamke mwingine
Soma - https://jamii.app/AuaMtotoPanga
KENYA: MAHAKAMA YASEMA SIO KOSA KUENDESHA GARI UKIWA UMEKUNYWA POMBE
> Mahakama ya Kiambu imetoa hukumu ikieleza kuwa, kuendesha gari ukiwa amekunywa pombe sio kosa kama unaweza kukidhibiti vyema chombo hicho cha moto
Zaidi, soma -
-https://jamii.app/DrunkDrivingNotOffensive
> Mahakama ya Kiambu imetoa hukumu ikieleza kuwa, kuendesha gari ukiwa amekunywa pombe sio kosa kama unaweza kukidhibiti vyema chombo hicho cha moto
Zaidi, soma -
-https://jamii.app/DrunkDrivingNotOffensive
ETHIOPIA KUWASAIDIA RAIA WAKE WALIOKAMATWA NCHINI
> Raia 541 wamekwama nchini baada ya kukamatwa kwa makosa ya uhamiaji haramu
> Serikali ya nchi hiyo imepanga kuwasaidia kupata nyaraka za kusafiria ili warejee nchini kwao
Soma => https://jamii.app/Raia541EthipiaTz
> Raia 541 wamekwama nchini baada ya kukamatwa kwa makosa ya uhamiaji haramu
> Serikali ya nchi hiyo imepanga kuwasaidia kupata nyaraka za kusafiria ili warejee nchini kwao
Soma => https://jamii.app/Raia541EthipiaTz
WAZIRI MKUU WA UHISPANIA ATANGAZA UCHAGUZI WA HARAKA
> Pedro Sanchez ametangaza uchaguzi Mkuu utakaofanyika Aprili 28, 2019 badala ya Juni, 2020 kama ilivyotarajiwa
> Ni baada ya Serikali yake kushindwa ktk kura ya bajeti Bungeni
Soma - https://jamii.app/SanchezCallsSnapElection
> Pedro Sanchez ametangaza uchaguzi Mkuu utakaofanyika Aprili 28, 2019 badala ya Juni, 2020 kama ilivyotarajiwa
> Ni baada ya Serikali yake kushindwa ktk kura ya bajeti Bungeni
Soma - https://jamii.app/SanchezCallsSnapElection
VYAKULA VYA KULA AU KUVIEPUKA KWA MTU MWENYE VIDONDA VYA TUMBO
> Epuka ulaji wa vyakula vilivyopikwa na kuungwa viungo vingi vya aina mbalimbali
> Pombe na kahawa au vinywaji vingine vyenye caffeine vinaweza kuleta matatizo
> Wagonjwa wale mafuta yatokanayo na samaki (Omega-3 fats)
Zaidi, soma - https://jamii.app/VyakulaVidondaTumbo
> Epuka ulaji wa vyakula vilivyopikwa na kuungwa viungo vingi vya aina mbalimbali
> Pombe na kahawa au vinywaji vingine vyenye caffeine vinaweza kuleta matatizo
> Wagonjwa wale mafuta yatokanayo na samaki (Omega-3 fats)
Zaidi, soma - https://jamii.app/VyakulaVidondaTumbo
MAHAKAMA KUU YATENGUA UTEUZI WA WADHAMINI WA CUF KAMBI YA PROF. LIPUMBA
> Uamuzi umetolewa leo na Jaji Dkt. Benhajj Masoud, pia amesema majina ya wajumbe waliopendekezwa na kambi ya Katibu Mkuu Maalim Seif nao hawana na sifa ya kuteuliwa
Soma > https://jamii.app/WajumbeBodiCUF
> Uamuzi umetolewa leo na Jaji Dkt. Benhajj Masoud, pia amesema majina ya wajumbe waliopendekezwa na kambi ya Katibu Mkuu Maalim Seif nao hawana na sifa ya kuteuliwa
Soma > https://jamii.app/WajumbeBodiCUF
ELIMU KUHUSU JESHI LA POLISI: Katika nchi ya demokrasia, Jeshi la Polisi siyo wakala wa serikali iliyopo madarakani bali ni chombo cha kuwalinda raia na mali zao.
> Polisi wanajukumu la kumlinda na kumwangalia kila mmoja wetu
Soma >https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
> Polisi wanajukumu la kumlinda na kumwangalia kila mmoja wetu
Soma >https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
IJUE SHERIA: Je, ni kazi ya Polisi kumtia hatiani mtuhumiwa? Hapana hii sio kazi yao
> Wanawajibika kukamata Watuhumiwa, kufanya uchunguzi na kuwapeleka Mahakamani pamoja na ushahidi ili Mahakama iweze kufanya uchambuzi na kutoa hukumu
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
> Wanawajibika kukamata Watuhumiwa, kufanya uchunguzi na kuwapeleka Mahakamani pamoja na ushahidi ili Mahakama iweze kufanya uchambuzi na kutoa hukumu
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
MSUMBIJI: MTOTO WA RAIS MSTAAFU AKAMATWA KWA KASHFA YA RUSHWA
> Ndambi Guebuza, mtoto wa Rais mstaafu wa Msumbiji, Armando Guebuza amekamatwa tangu mwishoni mwa wiki iliyopita kwa kashfa ya rushwa ya dola bilioni 2 za deni la Taifa
Soma https://jamii.app/PresidentSonArrestedCorruption
> Ndambi Guebuza, mtoto wa Rais mstaafu wa Msumbiji, Armando Guebuza amekamatwa tangu mwishoni mwa wiki iliyopita kwa kashfa ya rushwa ya dola bilioni 2 za deni la Taifa
Soma https://jamii.app/PresidentSonArrestedCorruption
BODI YA FILAMU YAMRUHUSU WEMA SEPETU KUENDELEA NA SANAA
> Alipewa adhabu ya kutoendelea na shughuli za sanaa baada ya kusambaza maudhui ya ngono mtandaoni mwaka 2018
> Imemfungulia adhabu hiyo kwa kuwa amefanya aliyoagizwa kwa zaidi ya 75%
Soma - https://jamii.app/WemaSepetuAsamehewaTFB
> Alipewa adhabu ya kutoendelea na shughuli za sanaa baada ya kusambaza maudhui ya ngono mtandaoni mwaka 2018
> Imemfungulia adhabu hiyo kwa kuwa amefanya aliyoagizwa kwa zaidi ya 75%
Soma - https://jamii.app/WemaSepetuAsamehewaTFB
MBOWE NA MATIKO WARUDISHWA MAHABUSU KUSUBIRI RUFAA YA DPP
> Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe(Mbunge wa Hai) na Esther Matiko(Mbunge wa Tarime Mjini) warejeshwa gerezani kusubiri uamuzi wa Mahakama kuhusu maombi yao ya dhamana
Zaidi, soma => https://jamii.app/MboweMatikoVsDPP
> Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe(Mbunge wa Hai) na Esther Matiko(Mbunge wa Tarime Mjini) warejeshwa gerezani kusubiri uamuzi wa Mahakama kuhusu maombi yao ya dhamana
Zaidi, soma => https://jamii.app/MboweMatikoVsDPP
SUDAN KUSINI: GESI ILIYOTUMIKA KUWATAWANYA WAANDAMANAJI YASABABISHA KIFO
> Mwanaume muuza matunda ndani ya Mji wa Khartoum amefariki kwa kile kinachoelezwa kuwa alivuta gesi ya kutoa machozi iliyotumika kuwatawanya waandamanaji
Soma =>https://jamii.app/GesiKifoSudan
#JFInaternational
> Mwanaume muuza matunda ndani ya Mji wa Khartoum amefariki kwa kile kinachoelezwa kuwa alivuta gesi ya kutoa machozi iliyotumika kuwatawanya waandamanaji
Soma =>https://jamii.app/GesiKifoSudan
#JFInaternational
UINGEREZA: WABUNGE 7 WA CHAMA CHA LABOUR WAJIUZULU
> Wabunge saba kutoka Chama kikuu cha upinzani nchini Uingereza (Labour) wamejiuzulu kutokana na kutokukubaliani kuhusu Uingereza kujitoa Umoja wa Ulaya na vita dhidi ya ubaguzi
Soma - https://jamii.app/7PMsResignUK
#JFInternational
> Wabunge saba kutoka Chama kikuu cha upinzani nchini Uingereza (Labour) wamejiuzulu kutokana na kutokukubaliani kuhusu Uingereza kujitoa Umoja wa Ulaya na vita dhidi ya ubaguzi
Soma - https://jamii.app/7PMsResignUK
#JFInternational
AFYA: UFAHAMU UGONJWA WA PUMU
> Ugonjwa wa pumu huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu zinazojulikana kama ''bronchioles''
> Kupitia JamiiForums, ipo mada inayochambua zaidi kuhusu ugonjwa huu
Zaidi, soma > https://jamii.app/UgonjwaPumu
#JFAfya
> Ugonjwa wa pumu huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu zinazojulikana kama ''bronchioles''
> Kupitia JamiiForums, ipo mada inayochambua zaidi kuhusu ugonjwa huu
Zaidi, soma > https://jamii.app/UgonjwaPumu
#JFAfya
TANZANIA YATAJWA KUWA NA KIWANGO KIKUBWA CHA KODI KATIKA SEKTA YA MADINI
> Taarifa hii imetolewa na taasisi inayoshughulika na usimamizi wa rasilimali za asili na maendeleo endelevu dunia (NRGI)
> Imeleeza kuwa kiwango cha kodi kwa Tanzania ni asilimia 74
Soma => https://jamii.app/KodiMadiniTz
> Taarifa hii imetolewa na taasisi inayoshughulika na usimamizi wa rasilimali za asili na maendeleo endelevu dunia (NRGI)
> Imeleeza kuwa kiwango cha kodi kwa Tanzania ni asilimia 74
Soma => https://jamii.app/KodiMadiniTz