SAA 5 KABLA YA UCHAGUZI NIGERIA: TUME YATANGAZA KUAHIRISHA KWA WIKI MOJA
> Uchaguzi wa Rais na Wabunge umesogezwa mbele hadi Jumamosi tarehe 23 mwezi huu
> Aidha, uchaguzi wa Magavana umepangwa kufanyika tarehe 9 ya mwezi Machi 2019
Soma => https://jamii.app/NigeriaElectionDelayed
> Uchaguzi wa Rais na Wabunge umesogezwa mbele hadi Jumamosi tarehe 23 mwezi huu
> Aidha, uchaguzi wa Magavana umepangwa kufanyika tarehe 9 ya mwezi Machi 2019
Soma => https://jamii.app/NigeriaElectionDelayed
WANAWAKE WENYE MIAKA 30+ HATARINI KUUGUA SARATANI
> Breast Cancer Now limefadhili utafiti uliobaini kwamba, Saratani hutambulika mapema kwa wanawake wenye umri kati ya miaka 35 hadi 39 wanapofanyiwa uchunguzi kila mwaka(mammograms)
Zaidi, soma - https://jamii.app/WomenVsBreastCancer
#JFAfya
> Breast Cancer Now limefadhili utafiti uliobaini kwamba, Saratani hutambulika mapema kwa wanawake wenye umri kati ya miaka 35 hadi 39 wanapofanyiwa uchunguzi kila mwaka(mammograms)
Zaidi, soma - https://jamii.app/WomenVsBreastCancer
#JFAfya
MISRI: MCHAKATO WA RAIS ABDEL FATTAH KUKAA MADARAKANI HADI 2034 WAANZA
> Mchakato huo utamuwezesha rais Abdel Fattah al-Sisi kukaa madarakani hata baada ya muhula wake kuisha 2022
> Wabunge 485 kati ya 596 wameunga mkono mabadiliko hayo
Soma => https://jamii.app/MisriRais2034
#JFInternational
> Mchakato huo utamuwezesha rais Abdel Fattah al-Sisi kukaa madarakani hata baada ya muhula wake kuisha 2022
> Wabunge 485 kati ya 596 wameunga mkono mabadiliko hayo
Soma => https://jamii.app/MisriRais2034
#JFInternational
KAYA 2,086 ZAKUMBWA NA MAFURIKO MTWARA
> Wananchi wa vitongoji vya Migombani-Mbuyuni na Mchangani wamelazimika kuyahama makazi yao kufuatia kufurika kwa maji ktk Mto Ruvuma
> Kumetokea uharibifu wa zaidi ya Ekari 3,014 za Mpunga na Mahindi
Soma - https://jamii.app/Kaya2086MafurikoMTR
> Wananchi wa vitongoji vya Migombani-Mbuyuni na Mchangani wamelazimika kuyahama makazi yao kufuatia kufurika kwa maji ktk Mto Ruvuma
> Kumetokea uharibifu wa zaidi ya Ekari 3,014 za Mpunga na Mahindi
Soma - https://jamii.app/Kaya2086MafurikoMTR
ARUSHA: MKURUGENZI WA KAMPUNI YA OBC AFIKISHWA MAHAKAMANI
> Siku 3 zilizopita Serikali iliagiza kukamatwa kwa ndugu, Isack Mollel(59) Mkurugenzi wa Ortello Business Cooperation, kwa tuhuma za kuajiri Wafanyakazi 10 wa kigeni bila vibali
Soma => https://jamii.app/MkurugenziOBCMahakamani
> Siku 3 zilizopita Serikali iliagiza kukamatwa kwa ndugu, Isack Mollel(59) Mkurugenzi wa Ortello Business Cooperation, kwa tuhuma za kuajiri Wafanyakazi 10 wa kigeni bila vibali
Soma => https://jamii.app/MkurugenziOBCMahakamani
SERIKALI YAAHIDI KUSHIGHULIKIA SUALA LA KIJANA ALIYEPIGWA RISASI NA POLISI, ARUSHA
> Ahadi hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola
> Richard Peter, alipigwa risasi na Askari Polisi ktk eneo la Kituo cha Polisi, Usa River
Soma > https://jamii.app/SerikaliVsMauajiArusha
> Ahadi hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola
> Richard Peter, alipigwa risasi na Askari Polisi ktk eneo la Kituo cha Polisi, Usa River
Soma > https://jamii.app/SerikaliVsMauajiArusha
Mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kati ya Yanga SC dhidi ya Simba SC umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa bao 1 kwa 0
> Goli pekee la Simba SC limefungwa na Meddie Kagere kunako dakika ya 71 ya mchezo huo
#JFLeo #JFMichezo
> Goli pekee la Simba SC limefungwa na Meddie Kagere kunako dakika ya 71 ya mchezo huo
#JFLeo #JFMichezo
MAREKANI: WATANO WAFARIKI KWENYE MAJIBIZANO YA RISASI
> Watu 5 wameripotiwa kufariki na askari 5 kujeruhiwa ktk makabiliano ya risasi yaliyotokea ktk jimbo la Illinois nchini Marekani
> Aliyeendesha shambulizi hilo naye ameuawa
Soma - https://jamii.app/5KilledGunmanUS
#JFInternational
> Watu 5 wameripotiwa kufariki na askari 5 kujeruhiwa ktk makabiliano ya risasi yaliyotokea ktk jimbo la Illinois nchini Marekani
> Aliyeendesha shambulizi hilo naye ameuawa
Soma - https://jamii.app/5KilledGunmanUS
#JFInternational
AKIUA KICHANGA KWA KUJIFUNGULIA KWENYE NDOO ILIYOJAA MAJI
- Polisi mkoani Manyara inamshikilia Ramla Omary(23) kwa kutupa kichanga shimoni baada ya kukiua alipokuwa anajifungua
- Inaelezwa Ramla amefanya hivyo kwa madai kuwa ana maisha magumu
Zaidi, soma https://jamii.app/AjifunguliaNdooMNYR
- Polisi mkoani Manyara inamshikilia Ramla Omary(23) kwa kutupa kichanga shimoni baada ya kukiua alipokuwa anajifungua
- Inaelezwa Ramla amefanya hivyo kwa madai kuwa ana maisha magumu
Zaidi, soma https://jamii.app/AjifunguliaNdooMNYR
SIMIYU: MWILI WAOKOTWA UKIWA UMETOLEWA BAADHI YA VIUNGO
- Mwili wa Mmwanamke ambaye jina lake halijafahamika umeokotwa katika kijiji cha Lamadi Wilayani Busega
- Umekutwa katika nyumba chakavu ukiwa umekatwa sehemu za siri na titi la kushoto
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiMwanamkeSMY1
- Mwili wa Mmwanamke ambaye jina lake halijafahamika umeokotwa katika kijiji cha Lamadi Wilayani Busega
- Umekutwa katika nyumba chakavu ukiwa umekatwa sehemu za siri na titi la kushoto
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiMwanamkeSMY1
UFARANSA: MAANDAMANO YAFANYIKA KWA MIEZI MITATU MFULULIZO
- Waandamanaji wanaovaa vizibao vya njano na kupinga sera za kiuchumi za Rais Macron waliandamana jana
- Takribani Waandamanaji 41,500 waliandamana ikiwa ni wikiendi ya 14 mfululizo
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamaniVisibaoNjano
- Waandamanaji wanaovaa vizibao vya njano na kupinga sera za kiuchumi za Rais Macron waliandamana jana
- Takribani Waandamanaji 41,500 waliandamana ikiwa ni wikiendi ya 14 mfululizo
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamaniVisibaoNjano
MWANZA: POMBE KALI ZILIZOKUWA HAZIJALIPIWA USHURU ZAKAMATWA
- TRA imekamata katoni 10,786 za pombe ya Shimha Waragi zilizokuwa ziingizwe sokoni
- Kiwanda kinachotengeneza pombe hizo kinadaiwa kilitaka kukwepa ushuru wa Tsh. Milioni 38.6
Zaidi, soma https://jamii.app/PombeKaliMwanzaTRA
- TRA imekamata katoni 10,786 za pombe ya Shimha Waragi zilizokuwa ziingizwe sokoni
- Kiwanda kinachotengeneza pombe hizo kinadaiwa kilitaka kukwepa ushuru wa Tsh. Milioni 38.6
Zaidi, soma https://jamii.app/PombeKaliMwanzaTRA
UGONJWA WA VITILIGO: CHANZO, DALILI NA TIBA
> Husababishwa na kinga za mwili kujishambulia (autoimmune reaction) na kuathiri seli za melanocytes zinazotengeza rangi ya ngozi na kusababisha mabaka meupe katika baadhi ya maeneo ya mwili
Zaidi, soma https://jamii.app/UgonjwaVitiligo
> Husababishwa na kinga za mwili kujishambulia (autoimmune reaction) na kuathiri seli za melanocytes zinazotengeza rangi ya ngozi na kusababisha mabaka meupe katika baadhi ya maeneo ya mwili
Zaidi, soma https://jamii.app/UgonjwaVitiligo
TUME YA UCHAGUZI NIGERIA YAKANA KUINGILIWA KISIASA
- Yasema sababu ya kuahirisha uchaguzi si ya kisiasa wala kiusalama bali mazingira mabaya yaliyochelewesha ndege zilizobeba vifaa
- Aidha, sababu nyingine ni ofisi 3 za Tume kuungua kwa moto
Zaidi, soma https://jamii.app/NigeriaElectionDelayed
- Yasema sababu ya kuahirisha uchaguzi si ya kisiasa wala kiusalama bali mazingira mabaya yaliyochelewesha ndege zilizobeba vifaa
- Aidha, sababu nyingine ni ofisi 3 za Tume kuungua kwa moto
Zaidi, soma https://jamii.app/NigeriaElectionDelayed
BAADA YA KIPIGO, KOCHA WA YANGA AISIFU SIMBA
- Kocha Mwinyi Zahera amekisifu kikosi cha Simba na kusema Wachezaji wa Yanga walikosa ubunifu jana
- Amesema Wachezaji wake ni wazuri ila wanakosa suluhisho la namna ya kucheza na kufunga magoli
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAikubaliSimba
- Kocha Mwinyi Zahera amekisifu kikosi cha Simba na kusema Wachezaji wa Yanga walikosa ubunifu jana
- Amesema Wachezaji wake ni wazuri ila wanakosa suluhisho la namna ya kucheza na kufunga magoli
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAikubaliSimba
PAPA FRANCIS AMVUA MADARAKA KADINALI KWA KUMBAKA MTOTO
- Kadinali wa zamani, Theodore McCarrick(88) amevuliwa madaraka ikiwa ni miaka 50 tangu atuhumiwe
- Amepatikana na hatia ya kuvunja amri ya 6 kwa kufanya uzinzi na mtoto na watu wazima
Zaidi, soma https://jamii.app/UbakajiKadinaliMadaraka19
- Kadinali wa zamani, Theodore McCarrick(88) amevuliwa madaraka ikiwa ni miaka 50 tangu atuhumiwe
- Amepatikana na hatia ya kuvunja amri ya 6 kwa kufanya uzinzi na mtoto na watu wazima
Zaidi, soma https://jamii.app/UbakajiKadinaliMadaraka19
ZIMBABWE: WATU 24 WAFARIKI BAADA YA MACHIMBO YA MADINI KUJAA MAJI
- Ni baada ya migodi miwili ya dhahabu kukumbwa na mafuriko Ijumaaa kufuatia bwawa la karibu kuvunja kingo zake
- Watu wengine 8 wameokolewa huku wengine wakihofiwa kupoteza maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/ZimbabweMinesFlooded
- Ni baada ya migodi miwili ya dhahabu kukumbwa na mafuriko Ijumaaa kufuatia bwawa la karibu kuvunja kingo zake
- Watu wengine 8 wameokolewa huku wengine wakihofiwa kupoteza maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/ZimbabweMinesFlooded
KENYA YAKANUSHA KUMUITA BALOZI WAKE WA SOMALIA NYUMBANI
- Imesema imemuita kwenda Mogadishu kwa ajili ya majadiliano na ushauri kuhusu mgogoro wa mpaka baharini
- Pia wameiomba Somalia kutuma Mwakilishi ili kupata taarifa za pande zote
Zaidi, soma https://jamii.app/Kenya-SomaliaCrisis
- Imesema imemuita kwenda Mogadishu kwa ajili ya majadiliano na ushauri kuhusu mgogoro wa mpaka baharini
- Pia wameiomba Somalia kutuma Mwakilishi ili kupata taarifa za pande zote
Zaidi, soma https://jamii.app/Kenya-SomaliaCrisis
SAUDI ARABIA YAITETEA 'APP' YA KUWAFUATILIA WANAWAKE
- Serikali imetetea 'app' hiyo ya simu inayowezesha Wanaume kufuatilia nyendo za Wanawake wanaowahusu
- Yasema programu hiyo ya Absher inasaidia jamii pamoja na Wanawake, Wazee na Walemavu
Zaidi, soma https://jamii.app/SaudiaYateteaApp
- Serikali imetetea 'app' hiyo ya simu inayowezesha Wanaume kufuatilia nyendo za Wanawake wanaowahusu
- Yasema programu hiyo ya Absher inasaidia jamii pamoja na Wanawake, Wazee na Walemavu
Zaidi, soma https://jamii.app/SaudiaYateteaApp
SERIKALI YATANGAZA VITA NA WATEKAJI WA WATOTO
> Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza vita na watu wanaoteka watoto na kudai fedha au kuwaua
> Amesema ujambazi Wilayani Kibondo na Kakonko kwa kiasi kikubwa unafanywa na wageni kutoka nje
Soma - https://jamii.app/SerikaliVsWatekajiWatoto
> Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza vita na watu wanaoteka watoto na kudai fedha au kuwaua
> Amesema ujambazi Wilayani Kibondo na Kakonko kwa kiasi kikubwa unafanywa na wageni kutoka nje
Soma - https://jamii.app/SerikaliVsWatekajiWatoto