Rushwa ni tatizo kubwa kwa Nchi nyingi. Athari zake ni kubwa zaidi katika Nchi zinazoendelea
Fedha zilizokusudiwa kwa Maendeleo zinapopotea kutokana na Rushwa, utoaji wa Huduma za Msingi kwa Wananchi ikiwemo Maji, Afya na #Elimu hukwama. Hali hii inapelekea ukosefu wa Usawa na #Haki
#KemeaRushwa
Fedha zilizokusudiwa kwa Maendeleo zinapopotea kutokana na Rushwa, utoaji wa Huduma za Msingi kwa Wananchi ikiwemo Maji, Afya na #Elimu hukwama. Hali hii inapelekea ukosefu wa Usawa na #Haki
#KemeaRushwa
π3
HALI YA RUSHWA AFRIKA: Kwa mujibu wa Toleo la 10 la Global Corruption Barometer (GCB) β Africa, watu wengi barani humo wanaona Rushwa imeongezeka katika Nchi zao, na jitihada za kupambana na tatizo haziridhishi
Ili kukabiliana na changamoto hii, ni muhimu kwa Mamlaka kuimarisha Uwazi na Uwajibikaji hususan katika Masuala yanayohusisha Fedha za Umma
Zaidi, soma - https://jamii.app/WananchiRushwa
#KemeaRushwa
Ili kukabiliana na changamoto hii, ni muhimu kwa Mamlaka kuimarisha Uwazi na Uwajibikaji hususan katika Masuala yanayohusisha Fedha za Umma
Zaidi, soma - https://jamii.app/WananchiRushwa
#KemeaRushwa
π4
#JFSPORTS: Rais wa Shirikisho la Soka Afrika, Patrice Motsepe ametangaza kuanza kwa #AfricanSuperLeague ambayo itakuwa na zawadi ya Tsh. Bilioni 233.2
Michuano hiyo itakuwa na Timu 24 kutoka Mataifa 16 na #Michezo itaanza Agosti 23, 2022 hadi Mei 24, 2023.
#JamiiForums #Sports
Michuano hiyo itakuwa na Timu 24 kutoka Mataifa 16 na #Michezo itaanza Agosti 23, 2022 hadi Mei 24, 2023.
#JamiiForums #Sports
π12π4
UCHAGUZI KENYA: MBARONI KWA KUKATAA KUHESABU KURA
Jeshi la Polisi limewakamata wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kisauni, Kaunti ya #Mombasa baada ya kukataa kuhesabu kura walipobaini Mgombea (hajatajwa) amepata kura nyingi zaidi
Soma - https://jamii.app/KuraKenya
#KenyaDecides2022
Jeshi la Polisi limewakamata wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kisauni, Kaunti ya #Mombasa baada ya kukataa kuhesabu kura walipobaini Mgombea (hajatajwa) amepata kura nyingi zaidi
Soma - https://jamii.app/KuraKenya
#KenyaDecides2022
π3π€3
MSUMBIJI: Serikali imepiga marufuku Watu kurekodi matukio ya Ajali au majanga, kabla ya kupiga Simu kwa Mamlaka ya Dharura ya kutoa msaada
Hatua hiyo ni katika utekelezaji wa Sheria mpya ya Huduma ya Kitaifa ya Usalama wa Umma
Soma https://jamii.app/MarufukuKurekodi
#DigitalRights
Hatua hiyo ni katika utekelezaji wa Sheria mpya ya Huduma ya Kitaifa ya Usalama wa Umma
Soma https://jamii.app/MarufukuKurekodi
#DigitalRights
π9
UCHAGUZI KENYA: TWITTER KUONESHA MATOKEO YASIYO RASMI
Twitter imeanzisha kipengele cha kuripoti matokeo ya Uchaguzi Mkuu yasiyo rasmi ambapo kuanzia sasa tahadhari itawekwa chini ya matokeo ya kura yaliyowekwa na watu binafsi
Zaidi - https://jamii.app/TwitterKE
#KenyaDecides2022
Twitter imeanzisha kipengele cha kuripoti matokeo ya Uchaguzi Mkuu yasiyo rasmi ambapo kuanzia sasa tahadhari itawekwa chini ya matokeo ya kura yaliyowekwa na watu binafsi
Zaidi - https://jamii.app/TwitterKE
#KenyaDecides2022
π7
SAKATA LA JENEZA: Klabu ya Simba imewaomba Radhi waumini wa Dini ya Kikristo, Serikali na Jamii baada ya msanii Tundaman kutumia vifaa vya Dini ya Kikristo #SimbaDay
Simba imesema haikufahamu kama atatumia aina hiyo ya maudhui
Soma - https://jamii.app/SimbaRadhi
#JFSports
Simba imesema haikufahamu kama atatumia aina hiyo ya maudhui
Soma - https://jamii.app/SimbaRadhi
#JFSports
π21π3
CHICHARITO YUPO TAYARI KURUDI MAN UNITED
Straika wa zamani wa #ManUnited, Javier Hernandez βChicharitoβ amesema yupo tayari kuichezea timu hiyo bila malipo
Kwa sasa Chicharito (34) anaichezea LA Galaxy ya Marekani
Soma > https://jamii.app/Chicharito
#JFSports
Straika wa zamani wa #ManUnited, Javier Hernandez βChicharitoβ amesema yupo tayari kuichezea timu hiyo bila malipo
Kwa sasa Chicharito (34) anaichezea LA Galaxy ya Marekani
Soma > https://jamii.app/Chicharito
#JFSports
π19π2π1
KENYA: Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC) imetoa ruhusa kwa vyombo vya habari kutoa takwimu za kura kulingana na vyanzo vyao lakini matokeo rasmi yatatangazwa na IEBC baada ya zoezi la kuhesabu kura kukamilika
Soma: https://jamii.app/KenyaVotesResults
#KenyaDecides2022 #Democracy #Kenya2022
Soma: https://jamii.app/KenyaVotesResults
#KenyaDecides2022 #Democracy #Kenya2022
π18π1π±1
UCHAGUZI KENYA: ANAYEDAIWA KUUA KWA RISASI ASHINDA UBUNGE
Didmus Barasa amechaguliwa tena kuwa Mbunge wa Kimilili baada ya kupata kura 26,000 dhidi ya kura 9000 za DAP-K Brian Khaemba
> Barasa anadaiwa kumpiga risasi na kumuua Msaidizi wa Khaemba
Soma - https://jamii.app/BarasaMP
#KenyaDecides2022
Didmus Barasa amechaguliwa tena kuwa Mbunge wa Kimilili baada ya kupata kura 26,000 dhidi ya kura 9000 za DAP-K Brian Khaemba
> Barasa anadaiwa kumpiga risasi na kumuua Msaidizi wa Khaemba
Soma - https://jamii.app/BarasaMP
#KenyaDecides2022
π8π±1
#SOC2022: BADO SIKU 35. ANDIKA, USHINDE!
Andiko linatakiwa kuchochea mabadiliko chanya katika jamii
Linaweza kujikita kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo Elimu, Uchumi, Kilimo n.k
Mwisho wa kuwasilisha ni Septemba 14, 2022
Taarifa zaidi > jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange
Andiko linatakiwa kuchochea mabadiliko chanya katika jamii
Linaweza kujikita kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo Elimu, Uchumi, Kilimo n.k
Mwisho wa kuwasilisha ni Septemba 14, 2022
Taarifa zaidi > jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange
π2
STORIES OF CHANGE 2022: Mtanzania yeyote kuanzia miaka 18 anaruhusiwa kushiriki
Zawadi zitatolewa kwa Washindi 20
Kwa Maelezo zaidi > jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange #SOC2022
Zawadi zitatolewa kwa Washindi 20
Kwa Maelezo zaidi > jamii.app/Shindano2
#StoriesOfChange #SOC2022
π7
#SIERRALEONE: Serikali imetangaza amri ya kutotoka nje kwa Nchi nzima huku kukiwa na maandamano makubwa dhidi ya Serikali
Waandamanaji wanashinikiza Rais Julius Maada Bio ajiuzulu kutokana na kuongezeka kwa mfumuko wa bei
Zaidi - https://jamii.app/SierraLeoneCurfew
#SierraLeoneProtests
Waandamanaji wanashinikiza Rais Julius Maada Bio ajiuzulu kutokana na kuongezeka kwa mfumuko wa bei
Zaidi - https://jamii.app/SierraLeoneCurfew
#SierraLeoneProtests
π11
Kuhusu suala la kutosha au kutokutosha kwa Maziwa ya Mama, Wataalamu wa #Afya wanasema Tafiti zinaonesha asilimia kubwa ya wakina Mama Maziwa yao yanatosha kwa Watoto
Wengi hufikiri hawana Maziwa ya kutosha kwasababu utengenezaji wake pia unahusisha Saikolojia ya Mama mwenyewe. Mawazo mengi, Msongo wa Mawazo au kuchoka hupelekea utoaji wa Maziwa kupungua
#JamiiForums #BreastfeedingMom #WorldBreastfeedingWeek
Wengi hufikiri hawana Maziwa ya kutosha kwasababu utengenezaji wake pia unahusisha Saikolojia ya Mama mwenyewe. Mawazo mengi, Msongo wa Mawazo au kuchoka hupelekea utoaji wa Maziwa kupungua
#JamiiForums #BreastfeedingMom #WorldBreastfeedingWeek
π7
Uchambuzi wa Hoja za CAG unaonesha pamoja na kupata Hati Safi, Taasisi nyingi za Umma bado zina kasoro za Kiutendaji na zinahitaji kufuatiliwa ili kudhibiti uwezekano wa kuwepo kwa vitendo vya Rushwa na Ubadhirifu wa Rasilimali za Umma
Badala ya kuridhika na Hati Safi zilizotolewa na CAG, ni muhimu Bunge na Kamati zake kufuatilia utendaji wa Serikali na Taasisi zake na kuzingatia uzito wa Hoja pamoja na athari zake kwa Jamii
#JFUwajibikaji
Badala ya kuridhika na Hati Safi zilizotolewa na CAG, ni muhimu Bunge na Kamati zake kufuatilia utendaji wa Serikali na Taasisi zake na kuzingatia uzito wa Hoja pamoja na athari zake kwa Jamii
#JFUwajibikaji
π7π1
KENYA: ODINGA AMPITA RUTO KWA IDADI YA KURA
Kwa Mujibu wa Citizen, kufikia saa 6:30 mchana Raila Odinga alikuwa na Kura 6,431,752 (49.46%), William Ruto 6,389,957 (49.14%) Prof. Wajackoyah 56,430 (0.43%) na Waihiga 28,973 (0.22%)
Soma https://jamii.app/OdingaRuto
#KenyaDecides2022
Kwa Mujibu wa Citizen, kufikia saa 6:30 mchana Raila Odinga alikuwa na Kura 6,431,752 (49.46%), William Ruto 6,389,957 (49.14%) Prof. Wajackoyah 56,430 (0.43%) na Waihiga 28,973 (0.22%)
Soma https://jamii.app/OdingaRuto
#KenyaDecides2022
π11
UCHAGUZI KENYA: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Huru na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati amevionya Vyombo vya Habari kutotangaza Mshindi wa Kura ya Urais kabla ya Mamlaka hiyo
Amesema atakayeshinda atatangazwa na Tume
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Amesema atakayeshinda atatangazwa na Tume
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
π8
WAANGALIZI WAPONGEZA MCHAKATO WA UCHAGUZI KENYA
Kiongozi wa Wasimamizi hao kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Jakaya Kikwete amesema Wasimamizi wamefuatilia Vituo vyote kuanzia wakati wa Kampeni, Upigaji Kura hadi sasa
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Kiongozi wa Wasimamizi hao kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Jakaya Kikwete amesema Wasimamizi wamefuatilia Vituo vyote kuanzia wakati wa Kampeni, Upigaji Kura hadi sasa
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
π10π2
KATAVI: Machia Mbasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kupanga njama za kumuua Mabula Ntemange, anayedaiwa kuwa na Uhusiano na Mkewe yeye akiwa jela
Pia, amemtuhumu Mabula kwa kuchukua kodi katika Vibanda vyake vya Biashara
Soma https://jamii.app/NjamaMauaji
#JFMatukio
Pia, amemtuhumu Mabula kwa kuchukua kodi katika Vibanda vyake vya Biashara
Soma https://jamii.app/NjamaMauaji
#JFMatukio
π7