KENYA: Tume ya Uchaguzi imesitisha Uchaguzi wa Ugavana katika Kaunti za Kakamega na Mombasa, kutokana na makosa ya uchapishaji kwenye karatasi za kupigia kura
Tarehe nyingine ya Kupiga kura itatangazwa hapo baadaye
Soma https://jamii.app/UchaguziUgavana
#KenyaDecides
Tarehe nyingine ya Kupiga kura itatangazwa hapo baadaye
Soma https://jamii.app/UchaguziUgavana
#KenyaDecides
👍13🔥2
WAKENYA KUAMUA RAIS AJAYE
Taifa hilo litamchagua Rais wake wa Tano leo Agosti 9, 2022
Wapiga Kura wanaotarajiwa kushiriki zoezi ni 22,120,458
Wagombea Urais ni pamoja na George Wajackoyah, David Mwaure, William Ruto na Raila Odinga
Fuatilia Yanayojiri > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides
Taifa hilo litamchagua Rais wake wa Tano leo Agosti 9, 2022
Wapiga Kura wanaotarajiwa kushiriki zoezi ni 22,120,458
Wagombea Urais ni pamoja na George Wajackoyah, David Mwaure, William Ruto na Raila Odinga
Fuatilia Yanayojiri > https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides
👍12🔥3
PICHA: Mgombea Urais wa Kenya, William Ruto amepiga Kura katika Shule ya Msingi Kosachei huko Sugoi. Mgombea Mwenza wake, Rigathi Gachagua naye amepiga Kura eneo la Mathira, Kaunti ya Nyeri
Mgombea Mwenza wa Raila Odinga kupitia Azimio la Umoja, Martha Karua amepiga Kura huko Gichugu, Kaunti ya Kirinyaga na Mgombea David Waihiga Mwaure amepiga Kura yake Jijini Nairobi
#KenyaDecides2022
Mgombea Mwenza wa Raila Odinga kupitia Azimio la Umoja, Martha Karua amepiga Kura huko Gichugu, Kaunti ya Kirinyaga na Mgombea David Waihiga Mwaure amepiga Kura yake Jijini Nairobi
#KenyaDecides2022
👍12🎉2
KENYATTA APIGA KURA: Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amepiga kura eneo Gatundu Kusini, Kaunti ya Kiambu huku akiwataka Wakenya kuipa Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC) muda na nafasi ya kujumlisha na kutangaza matokeo kwa uhuru
Amesema "Matumaini ya Wakenya wengi kuwa uchaguzi huu utakuwa Huru na Haki, Watu wapige kura na kurudi nyumbani kwa amani"
#Democracy #KenyaDecides2022
Amesema "Matumaini ya Wakenya wengi kuwa uchaguzi huu utakuwa Huru na Haki, Watu wapige kura na kurudi nyumbani kwa amani"
#Democracy #KenyaDecides2022
👍9👏1
KENYA: Mgombea Ubunge wa Kenya Kwanza, Hamisi Butichi anashikiliwa na Polisi baada ya kukutwa na mapanga na silaha nyingine katika Kituo cha Kupigia Kura
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
🤔7👍4
KENYA: Raia 11 wamewasilisha ombi ktk Mahakama ya Juu kuzuia kuapishwa kwa William Ruto na Rigathi Gachagua ikiwa watashinda, wakisema kuapishwa kwao kutakuwa ni ukiukwaji wa Katiba
> Wawili hao wametajwa kuwa na kashfa za Ufisadi na Uhujumu Uchumi
Soma - https://jamii.app/KuapishwaRuto
#Democracy #KenyaDecides2022
> Wawili hao wametajwa kuwa na kashfa za Ufisadi na Uhujumu Uchumi
Soma - https://jamii.app/KuapishwaRuto
#Democracy #KenyaDecides2022
👍18
UCHAGUZI KENYA: Mwanaume mmoja amejeruhiwa kwa risasi katika eneo la Eldoret nje ya ofisi ya mmoja wa Wagombea Ugavana wa Uasin Gishu
> Jeshi la Polisi limesema uchunguzi wa kilichotokea unaendelea
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides #Democracy #Kenya2022
> Jeshi la Polisi limesema uchunguzi wa kilichotokea unaendelea
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides #Democracy #Kenya2022
👍6🤔1
KENYA: Mgombea wa Urais wa UDA, William Ruto amesema yupo tayari kukubali matokeo ya mchakato wa Uchaguzi Huru na wa Haki
> Ruto amesema kwa kawaida matatizo ya Uchaguzi huja pale ambapo Wagombea hukataa matokeo
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#Democracy #KenyaDecides2022
> Ruto amesema kwa kawaida matatizo ya Uchaguzi huja pale ambapo Wagombea hukataa matokeo
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#Democracy #KenyaDecides2022
👍8🤔1
UCHAGUZI KENYA: Mgombea Mwenza wa Urais wa UDA, Rigathi Gachagua alilazimika kusubiri kwa muda mrefu baada ya Mfumo wa Kibiomertiki kushindwa kumtambua
> Hata hivyo alipiga kura kupitia Orodha ya Wapiga Kura iliyochapishwa
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
> Hata hivyo alipiga kura kupitia Orodha ya Wapiga Kura iliyochapishwa
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
👍8❤1
KENYA: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imesimamisha Uchaguzi wa Wabunge wa Jimbo la Rongai, Kaunti ya Nakuru baada majina ya Wagombea, Masanduku ya Kura na Karatasi za Kupigia Kura kukosekana kwenye Vituo vya Kupigia Kura
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
👍6
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
NAIROBI, KENYA: Mgombea Urais kupitia Azimio la Umoja, Raila Odinga amesindikizwa na kundi kubwa la Wafuasi wake katika Kituo cha Kura kilichopo Shule ya Msingi Old Kibera alipokwenda kupiga kura
> Odinga anagombea nafasi hiyo kwa mara ya 5
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#Democracy #KenyaDecides2022
> Odinga anagombea nafasi hiyo kwa mara ya 5
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#Democracy #KenyaDecides2022
👍12
UCHAGUZI KENYA: Mgombea Urais wa Chama cha Roots, Prof. George Wajackoyah ameshindwa kupiga kura katika Kituo cha Matungu baada ya mfumo wa biometriki kutomtambua
Taratibu za kuwezesha Upigaji kura zinaendelea
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Taratibu za kuwezesha Upigaji kura zinaendelea
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
👍7
KENYA: Polisi wa kupambana na ghasia wamepelekwa katika Jimbo la Rongai baada Uchaguzi wa Wabunge kuahirishwa
> Waandamanaji wenye hasira wamechoma matairi ya gari nje ya Kituo cha Kupiga kura cha Mercy Njeri
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
> Waandamanaji wenye hasira wamechoma matairi ya gari nje ya Kituo cha Kupiga kura cha Mercy Njeri
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022 #Democracy
👍6😁1
#JFDATA: Uchaguzi Mkuu wa Kenya unafanyika leo Agosti 9, 2022 ambapo Wapiga Kura 22,120,458 wamesajiliwa huku Vituo vya Kupigia Kura vikiwa 46,229
Wagombea wapatao 16,108 wanawania katika Nafasi mbalimbali. Miongoni mwa Nafasi 6 zinazowaniwa ni Urais, Ugavana, Useneta na Ubunge
#KenyaDecides2022 #Democracy
Wagombea wapatao 16,108 wanawania katika Nafasi mbalimbali. Miongoni mwa Nafasi 6 zinazowaniwa ni Urais, Ugavana, Useneta na Ubunge
#KenyaDecides2022 #Democracy
👍9
KENYA: Wanamgambo wa Al-Shabaab wameripotiwa kuvamia lori lililokuwa na Raia waliokuwa wanaelekea kupiga kura, kuwaamuru kushuka na kisha kulichoma moto
> Wanadaiwa kuwaonya Wenyeji kutoshiriki zoezi la Upigaji wa Kura
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
> Wanadaiwa kuwaonya Wenyeji kutoshiriki zoezi la Upigaji wa Kura
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
👍11👎5
UCHAGUZI KENYA: Raia 6,567,869 wamepiga Kura kufikia saa 6 mchana, ikiwa ni 30% tu ya Wapiga Kura wote Nchini humo
Aidha, Wakenya wanaoishi katika Nchi 12 ikiwemo #Tanzania wanaruhusiwa Kupiga Kura katika Vituo vilivyoidhinishwa
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
Aidha, Wakenya wanaoishi katika Nchi 12 ikiwemo #Tanzania wanaruhusiwa Kupiga Kura katika Vituo vilivyoidhinishwa
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
👍15
KENYA: Tume ya Uchaguzi imeidhinisha Vituo 238 kutumia Sajili za Mikono kupiga kura, ikiwa Mfumo wa Biometriki utasumbua
> Vituo 84 ni katika Jimbo la Makueni na 154 kutoka Matungu, Mumias-Mashariki na Magharibi
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
> Vituo 84 ni katika Jimbo la Makueni na 154 kutoka Matungu, Mumias-Mashariki na Magharibi
Soma - https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
👍2
KENYA: Mbunge wa Nakuru, David Gikaria anayetetea nafasi yake ktk Uchaguzi wa 2022, anashikiliwa na Polisi baada ya kutokea mabishano kati yake na Askari katika Kituo cha Kupiga Kura
> Gikaria anawania Ubunge kupitia UDA
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
> Gikaria anawania Ubunge kupitia UDA
Soma https://jamii.app/KenyaElect2022
#KenyaDecides2022
👍4