KENYA: Mahakama ya Juu imebatilisha uamuzi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) wa uandikishaji wa Wapiga kura kwa Mfumo wa Kielektroniki pekee kwa kigezo cha kuepuka Uchakachuaji wa Kura katika Uchaguzi wa Agosti 9
Soma https://jamii.app/Kenya2022Uchaguzi
#KenyaDecides
Soma https://jamii.app/Kenya2022Uchaguzi
#KenyaDecides
π₯°1
MAREKANI: Wanahabari wa #Reuters wamepanga kugoma kupinga ongezeko la Mishahara la 1% ambalo haliendani na Mfumuko wa Bei wa 9%
> Hivi karibuni Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari nchini humo wamelalamika kutotendewa haki na Waajiri wao
Soma https://jamii.app/MgomoReuters
> Hivi karibuni Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari nchini humo wamelalamika kutotendewa haki na Waajiri wao
Soma https://jamii.app/MgomoReuters
π4π1π1
MAREKANI: Rais Joe Biden amesaini amri inayolenga kulinda Haki ya kutoa Mimba
Amri hiyo inawataka Maafisa wa #Afya kuruhusu Fedha za Umma kutumika kuwasaidia Wanawake kusafiri kwenda kwenye Majimbo wanakoweza kutoa Mimba
Soma - https://jamii.app/BidenMimba
#HumanRights
Amri hiyo inawataka Maafisa wa #Afya kuruhusu Fedha za Umma kutumika kuwasaidia Wanawake kusafiri kwenda kwenye Majimbo wanakoweza kutoa Mimba
Soma - https://jamii.app/BidenMimba
#HumanRights
π6π5π€―3
INDIA: Bunge limetupilia Mbali Muswada wa Ulinzi wa Taarifa Binafsi na Faragha unaotajwa kuipa Serikali Mamlaka ya kudai taarifa za Wateja kutoka kwa Kampuni za Teknolojia
Wadau wamesema hatua hiyo italinda faragha za Raia
Soma https://jamii.app/DataProtectionAndPrivacy
#DigitalRights
Wadau wamesema hatua hiyo italinda faragha za Raia
Soma https://jamii.app/DataProtectionAndPrivacy
#DigitalRights
π3
Kwa mujibu wa Ripoti ya Shirika la Mawasiliano (ITU) Mataifa ambayo gharama za Intaneti zipo juu yana idadi kubwa zaidi ya watu wasiotumia Mtandao
Intaneti ni Huduma ambayo inategemewa na wengi katika shughuli zetu. Ni muhimu kila mmoja kuweza kuifikia ili kunufaika nayo kikamilifu
#DigitalRights
Intaneti ni Huduma ambayo inategemewa na wengi katika shughuli zetu. Ni muhimu kila mmoja kuweza kuifikia ili kunufaika nayo kikamilifu
#DigitalRights
π9
Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Watu Wenye Ulemavu (CRPD) ulipitishwa mwaka 2006 kukabiliana na ukiukwaji mkubwa wa #HakiZaBinadamu unaofanywa dhidi ya Watu wenye Ulemavu duniani kote
Ni muhimu kwa Watu wenye Ulemavu kuwa washiriki hai katika Jamii zao na kuishi Maisha yenye kuridhisha
Fahamu zaidi - https://jamii.app/CRPD15
#HumanRights
Ni muhimu kwa Watu wenye Ulemavu kuwa washiriki hai katika Jamii zao na kuishi Maisha yenye kuridhisha
Fahamu zaidi - https://jamii.app/CRPD15
#HumanRights
π2β€1
IRINGA: KINYOZI AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 30 KWA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI
Batista Ngwale (27) amekutwa na hatia katika Mahakama ya Wilaya ya Iringa, ikielezwa alisababisha Binti kusitisha masomo
Binti huyo alikuwa anasoma Kidato cha Nne
Soma > https://jamii.app/HukumuIringa
#JFMatukio
Batista Ngwale (27) amekutwa na hatia katika Mahakama ya Wilaya ya Iringa, ikielezwa alisababisha Binti kusitisha masomo
Binti huyo alikuwa anasoma Kidato cha Nne
Soma > https://jamii.app/HukumuIringa
#JFMatukio
π6
UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Eric Hamissi kuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL). Amewahi kuhudumu kama Mkurugenzi Mkuu wa TPA
Vilevile, Stephen Kagaigai ameteuliwa na Rais kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TBC
#Governance
Vilevile, Stephen Kagaigai ameteuliwa na Rais kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TBC
#Governance
π5π3
FAIDA ZA MTOTO KUNYONYESHWA NDANI YA SAA MOJA BAADA YA KUZALIWA
1) Kusaidia Maziwa ya Mama kutoka mapema
2) Kusaidia kumpa Mtoto joto
3) Kujenga uhusiano wa kihisia na upendo kati ya Mama na Mtoto
Fahamu zaidi > https://jamii.app/KunyonyeshaMtoto
#WorldBreastfeedingWeek
1) Kusaidia Maziwa ya Mama kutoka mapema
2) Kusaidia kumpa Mtoto joto
3) Kujenga uhusiano wa kihisia na upendo kati ya Mama na Mtoto
Fahamu zaidi > https://jamii.app/KunyonyeshaMtoto
#WorldBreastfeedingWeek
π12π2β€1
SOMALIA: Umoja wa Mataifa umesema takriban 90% ya Raia wanakabiliwa na ukame Nchini humo, hali iliyopelekea watu 918,000 kuhama makazi yao
Pia Utapiamlo pamoja na milipuko ya magonjwa inaripotiwa kuongezeka
Soma - https://jamii.app/SomaliaDrought
Pia Utapiamlo pamoja na milipuko ya magonjwa inaripotiwa kuongezeka
Soma - https://jamii.app/SomaliaDrought
π9
FAIDA ZA STRAWBERRY MWILINI
- Husaidia kuimarisha uwezo wa Ubongo katika kuweka na kutunza kumbukumbu
- Yana kiwango kikubwa cha Madini ya Zinc ambayo husaidia kuimarisha #Afya ya Uzazi kwa Mwanaume
-
- Matunda haya yana Vitamini E ambayo hunyoosha mikunjo ya Ngozi na kupunguza mchakato wa kuzeeka
Soma - https://jamii.app/StrawberryFaida
#JFAfya
- Husaidia kuimarisha uwezo wa Ubongo katika kuweka na kutunza kumbukumbu
- Yana kiwango kikubwa cha Madini ya Zinc ambayo husaidia kuimarisha #Afya ya Uzazi kwa Mwanaume
-
- Matunda haya yana Vitamini E ambayo hunyoosha mikunjo ya Ngozi na kupunguza mchakato wa kuzeeka
Soma - https://jamii.app/StrawberryFaida
#JFAfya
π15π₯°1
CHINA YARUSHA MAKOMBORA KARIBU NA TAIWAN
Imerusha Makombora kufuatia ziara ya Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi ktk kisiwa hicho
#Taiwan inadai Makombora yalikuwa 11, pia kulikuwa na Ndege za kijeshi zilizoonekana kuzunguka eneo
Soma https://jamii.app/MakomboraYaChina
#JamiiForums
Imerusha Makombora kufuatia ziara ya Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi ktk kisiwa hicho
#Taiwan inadai Makombora yalikuwa 11, pia kulikuwa na Ndege za kijeshi zilizoonekana kuzunguka eneo
Soma https://jamii.app/MakomboraYaChina
#JamiiForums
π12
RWANDA YATUHUMIWA KUWASAIDIA WAASI WA M23 NCHINI #DRC
Kwa mujibu wa ripoti ya Baraza la Usalama la UN, #Rwanda imefanya uingiliaji wa Kijeshi katika Ardhi ya Congo tangu Novemba 2021
Pia, ilitoa Wanajeshi kwaajili ya operesheni za M23
Soma - https://jamii.app/RWDM23UN
Kwa mujibu wa ripoti ya Baraza la Usalama la UN, #Rwanda imefanya uingiliaji wa Kijeshi katika Ardhi ya Congo tangu Novemba 2021
Pia, ilitoa Wanajeshi kwaajili ya operesheni za M23
Soma - https://jamii.app/RWDM23UN
π8
SUDAN KUSINI: SERIKALI YA MPITO KUBAKI MADARAKANI KWA MIAKA MIWILI ZAIDI
Sudan Kusini ilipaswa kufanya Uchaguzi Februari 2023, lakini hadi sasa Serikali hiyo imeshindwa kutimiza masharti muhimu ya makubaliano ikiwemo kuandaa #Katiba mpya
Soma - https://jamii.app/SudanMpito2
#Democracy
Sudan Kusini ilipaswa kufanya Uchaguzi Februari 2023, lakini hadi sasa Serikali hiyo imeshindwa kutimiza masharti muhimu ya makubaliano ikiwemo kuandaa #Katiba mpya
Soma - https://jamii.app/SudanMpito2
#Democracy
Ukatili/Uonevu Mtandaoni hupenya katika kila nyanja ya maisha ya Mwathirika, na unaweza kusababisha matatizo ya Kisaikolojia na Kijamii
Kuwa "Raia bora wa Mtandaoni" (Good Netizen) ni pamoja na kujua kile kinachofaa kufanya katika mazingira ya Mtandaoni
#JamiiForums #DigitalRights #CyberBullying
Kuwa "Raia bora wa Mtandaoni" (Good Netizen) ni pamoja na kujua kile kinachofaa kufanya katika mazingira ya Mtandaoni
#JamiiForums #DigitalRights #CyberBullying
Mara baada ya kujifungua, Mama na Mtoto wagusane Ngozi kwa Ngozi ili kusaidia Maziwa kutoka
Virutubisho vilivyomo kwenye Maziwa ni:
Maji 87%
Wanga 7%
Mafuta 4%
Protini 1%
Vingine 1% (Vitamini, Madini, Kingamwili, Vimeng'enya, Kiinitete)
Soma > https://jamii.app/KunyonyeshaMtoto
#WBW2022
Virutubisho vilivyomo kwenye Maziwa ni:
Maji 87%
Wanga 7%
Mafuta 4%
Protini 1%
Vingine 1% (Vitamini, Madini, Kingamwili, Vimeng'enya, Kiinitete)
Soma > https://jamii.app/KunyonyeshaMtoto
#WBW2022
π9
#JFDATA: Matumizi ya Intaneti Duniani yaliongezeka maradufu kutokana na Mlipuko wa COVID-19 uliopelekea wengi kuitumia kwa Kazi, Masomo, Huduma muhimu na Mawasiliano
Mwaka 2020, Watumiaji wa Intaneti waliongezeka kwa 10.2% ambayo inatajwa kuwa idadi kubwa zaidi katika kipindi cha miaka 10. Kwa Mwaka 2021, ongezeko hilo lilifikia 5.8%
Fahamu zaidi - https://jamii.app/DataInternet
Mwaka 2020, Watumiaji wa Intaneti waliongezeka kwa 10.2% ambayo inatajwa kuwa idadi kubwa zaidi katika kipindi cha miaka 10. Kwa Mwaka 2021, ongezeko hilo lilifikia 5.8%
Fahamu zaidi - https://jamii.app/DataInternet
π5π1
SENEGAL: Serikali imetia saini Mkataba wa Amani na Waasi wa Chama cha Movement of Democratic Forces of Casamance (MFDC) wanaotaka kujitenga
Mkataba huo unatajwa kuweza kumaliza mzozo uliodumu tokea Mwaka 1982 Nchini humo
Soma https://jamii.app/AmaniSenegal
#Governance
Mkataba huo unatajwa kuweza kumaliza mzozo uliodumu tokea Mwaka 1982 Nchini humo
Soma https://jamii.app/AmaniSenegal
#Governance
π5
Mdau anasema kuficha wazo la #Biashara na huku ukiwa huna mtaji si ufahari ila ni kuendeleza Umasikini
Ameshauri kuwashirikisha Wadau wa maendeleo ili kupata msaada wa hali na mali wa utekelezaji wa wazo hilo na kulipa uhai
Msome - https://jamii.app/BusinessIdea
#JFBiashara
Ameshauri kuwashirikisha Wadau wa maendeleo ili kupata msaada wa hali na mali wa utekelezaji wa wazo hilo na kulipa uhai
Msome - https://jamii.app/BusinessIdea
#JFBiashara
π4
MDAU: NAWEZAJE KUTUMIA KOMPYUTA KUINGIZA KIPATO?
Mdau wa JamiiForums.com anaomba ushauri akisema ameshawahi kuitumia kwenye shughuli za Stationery na ana uwezo wa βVideo productionβ
Je, umewahi kuingiza kipato kupitia Kompyuta? Mshauri Mdau anavyoweza kujiajiri
Mjadala - https://jamii.app/ComputerKujiajiri
#Maisha #JFBiashara
Mdau wa JamiiForums.com anaomba ushauri akisema ameshawahi kuitumia kwenye shughuli za Stationery na ana uwezo wa βVideo productionβ
Je, umewahi kuingiza kipato kupitia Kompyuta? Mshauri Mdau anavyoweza kujiajiri
Mjadala - https://jamii.app/ComputerKujiajiri
#Maisha #JFBiashara
π2π₯1π₯°1