GEITA: Mkuu wa Wilaya ya Geita, Wilson Shimo amethibitisha vifo vya Wachimbaji 3 wa dhahabu na majeruhi wawili baada ya kuangukiwa na kifusi katika machimbo ya Nyamatagata
> Shughuli kwenye machimbo hayo zimesimamishwa kwa muda
Soma - https://jamii.app/VifoGeita
#JFMatukio
> Shughuli kwenye machimbo hayo zimesimamishwa kwa muda
Soma - https://jamii.app/VifoGeita
#JFMatukio
👍8😢3👎2
MANCHESTER UNITED YAMSAJILI ERIKSEN
Christian Eriksen (30) amesaini mkataba wa miaka mitatu kufuatia kufanyiwa uchunguzi mkali wa afya
Mchezaji huyo anaimarisha safu ya kiungo ya Erik ten Hag baada ya kuchagua kutosalia Brentford, alikokuwa msimu uliopita kwa mkopo
#JFSports
Christian Eriksen (30) amesaini mkataba wa miaka mitatu kufuatia kufanyiwa uchunguzi mkali wa afya
Mchezaji huyo anaimarisha safu ya kiungo ya Erik ten Hag baada ya kuchagua kutosalia Brentford, alikokuwa msimu uliopita kwa mkopo
#JFSports
👍16👏1
JOTO KALI: UINGEREZA YATANGAZA HALI YA DHARURA
Mamlaka imetangaza hali ya dharura ya Kitaifa na kutoa onyo la joto kali katika baadhi ya maeneo
Wataalamu wamesema joto linaweza kufikia viwango vya juu vinavyoweza kuathiri watu na miundombinu
Soma - https://jamii.app/UKHeatRise
Mamlaka imetangaza hali ya dharura ya Kitaifa na kutoa onyo la joto kali katika baadhi ya maeneo
Wataalamu wamesema joto linaweza kufikia viwango vya juu vinavyoweza kuathiri watu na miundombinu
Soma - https://jamii.app/UKHeatRise
👍8🤔4👎2❤1🔥1😁1
UGANDA: Zaidi ya watu 500,000 katika Mkoa wa Karamoja wanakabiliwa na njaa iliyosababishwa na ukame uliodumu kwa muda mrefu
Aidha, watu kadhaa wameripotiwa kufariki dunia maeneo ya Kaskazini Mashariki ya Nchi hiyo kutokana na njaa
Soma - https://jamii.app/UgandaNjaa
Aidha, watu kadhaa wameripotiwa kufariki dunia maeneo ya Kaskazini Mashariki ya Nchi hiyo kutokana na njaa
Soma - https://jamii.app/UgandaNjaa
😢11👍4😱1
MISRI KUONDOA VIKOSI VYAKE VYA KULINDA AMANI NCHINI MALI
UN imesema Misri itaondoa Wanajeshi wake ifikapo Agosti 15. Kujitoa kwao ni pigo jingine baada ya doria za Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa nchini Mali kusitishwa kwa muda
Wanajeshi 7 wa Misri wameuawa mwaka 2022
Soma https://jamii.app/VikosiMali
#Diplomacy
UN imesema Misri itaondoa Wanajeshi wake ifikapo Agosti 15. Kujitoa kwao ni pigo jingine baada ya doria za Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa nchini Mali kusitishwa kwa muda
Wanajeshi 7 wa Misri wameuawa mwaka 2022
Soma https://jamii.app/VikosiMali
#Diplomacy
👍11👏1
AFRIKA KUSINI: Mamia waandamana kushinikiza kuondolewa kwa Rais Ramaphosa kutokana na kupanda kwa gharama za maisha na kukatika kwa umeme mara kwa mara
> Sababu nyingine ni kukithiri kwa rushwa ktk Taasisi za Umma na ukosefu wa ajira
Soma https://jamii.app/MaandamanoAfrikaKusini
#Democracy
> Sababu nyingine ni kukithiri kwa rushwa ktk Taasisi za Umma na ukosefu wa ajira
Soma https://jamii.app/MaandamanoAfrikaKusini
#Democracy
👍14🔥4😁2
BARCELONA YAKUBALIWA KUMSAJILI LEWANDOWSKI
Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert #Lewandowski atasajiliwa kwa takriban Tsh. Bilioni 117
> Anasafiri leo kwenda Hispania kukamilisha usajili huo, anatarajiwa kusaini miaka mitatu
Soma https://jamii.app/LewandowskiBarca
#JFSports
Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert #Lewandowski atasajiliwa kwa takriban Tsh. Bilioni 117
> Anasafiri leo kwenda Hispania kukamilisha usajili huo, anatarajiwa kusaini miaka mitatu
Soma https://jamii.app/LewandowskiBarca
#JFSports
👍21
TMA: NJOMBE KUNA SAKITU SIYO THELUJI
Mamlaka Hali ya Hewa (TMA) imefafanua kuwa kinachotokea Njombe hivi karibuni ni Sakitu inayosababishwa na umande kuganda na siyo Theluji
> Pia, Upepo wa Kusi unasababisha baridi kali maeneo mengine Nchini
Soma https://jamii.app/BaridiLaNjombe
Mamlaka Hali ya Hewa (TMA) imefafanua kuwa kinachotokea Njombe hivi karibuni ni Sakitu inayosababishwa na umande kuganda na siyo Theluji
> Pia, Upepo wa Kusi unasababisha baridi kali maeneo mengine Nchini
Soma https://jamii.app/BaridiLaNjombe
👍11😁2🎉1
UTAFITI: KANDA YA ZIWA YAONGOZA UKATILI WA WENZA
Wataalamu wa Afya wamesema Mikoa inayoongoza ni Mara, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Geita
> Mikoa ambayo ina kiwango cha chini cha ukatili kwa wenza ni Pemba, Ukanda wa Pwani na Tanga
Soma https://jamii.app/UkatiliRipoti
#JFSaikolojia
Wataalamu wa Afya wamesema Mikoa inayoongoza ni Mara, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Geita
> Mikoa ambayo ina kiwango cha chini cha ukatili kwa wenza ni Pemba, Ukanda wa Pwani na Tanga
Soma https://jamii.app/UkatiliRipoti
#JFSaikolojia
👍14🤔1
KOCHA WA BARCELONA AZUIWA MAREKANI
Kocha Xavi Hernandez amezuiwa kwenda Marekani kutokana na rekodi ya kuingia Nchini Iran zaidi ya mara tatu
Ili kuingia Marekani, yeyote mwenye rekodi kama hiyo anatakiwa kupata kibali maalum
Soma > https://jamii.app/XaviMarekani
#JFSports
Kocha Xavi Hernandez amezuiwa kwenda Marekani kutokana na rekodi ya kuingia Nchini Iran zaidi ya mara tatu
Ili kuingia Marekani, yeyote mwenye rekodi kama hiyo anatakiwa kupata kibali maalum
Soma > https://jamii.app/XaviMarekani
#JFSports
😱12👍7😁7💩7🤔5🎉1
KENYA: MTENGENEZA MAUDHUI YA 'TIKTOK' ALAZWA BAADA YA KULA BUIBUI
Inadaiwa Aq9ine alianza kuumwa kifua huku joto la mwili likifika 48℃ baada ya kula buibui
Baada ya kushambuliwa Mitandaoni amesema akipona, atapika na kula chura na nyoka
Soma - https://jamii.app/TiktokerHospitalized
Inadaiwa Aq9ine alianza kuumwa kifua huku joto la mwili likifika 48℃ baada ya kula buibui
Baada ya kushambuliwa Mitandaoni amesema akipona, atapika na kula chura na nyoka
Soma - https://jamii.app/TiktokerHospitalized
😁10🤔6👍1
MEXICO: Helikopta iliyokuwa ikitumika kusaka wahalifu wakiwemo wa dawa za kulevya imeanguka na kuua watu 14, huku mmoja akijeruhiwa vibaya
Chanzo cha ajali ya ndege hiyo hakijawekwa wazi
Soma - https://jamii.app/HelikoptaMexico
Chanzo cha ajali ya ndege hiyo hakijawekwa wazi
Soma - https://jamii.app/HelikoptaMexico
👍8😁4🤔4👎2🤮1
Huduma ya Intaneti imetoa usaidizi mkubwa katika kutafuta kazi, lakini bado ina safari ndefu kuwa namna ya kutegemewa katika kutafuta kazi kwenye jamii masikini kwani ufikiaji wake ni changamoto
Kwa mujibu wa Takwimu za Benki ya Dunia, ongezeko la 10% la upenyaji wa Intaneti Afrika linaweza kuongeza Pato la mtu mmoja mmoja kwa karibu 2.5%
Soma - https://jamii.app/HudumaIntaneti
#JFData #DigitalRights
Kwa mujibu wa Takwimu za Benki ya Dunia, ongezeko la 10% la upenyaji wa Intaneti Afrika linaweza kuongeza Pato la mtu mmoja mmoja kwa karibu 2.5%
Soma - https://jamii.app/HudumaIntaneti
#JFData #DigitalRights
👍7
WAMAREKANI 61 MARUFUKU KUINGIA IRAN
Iran imetoa orodha ya majina 61 ya Wamarekani ambao hawaruhusiwi kuingi Iran. Sababu kubwa ni kuunga mkono kikundi cha MEK ambacho wanakishutumu kwa ugaidi
Wengi wao ni Maofisa wa Serikali
Soma - https://jamii.app/IranUSA
#JFDiplomasia
Iran imetoa orodha ya majina 61 ya Wamarekani ambao hawaruhusiwi kuingi Iran. Sababu kubwa ni kuunga mkono kikundi cha MEK ambacho wanakishutumu kwa ugaidi
Wengi wao ni Maofisa wa Serikali
Soma - https://jamii.app/IranUSA
#JFDiplomasia
👍14👎1
MDAU: JINSI YA KUTIBU/KUZUIA KISUKARI KWA KUTUMIA LISHE
Saga Karoti, Tango, Kitunguu Maji, Hoho, Nyanya na Limau likiwa na maganda na mbegu zake
> Kunywa mchanganyiko huo kila asubuhi dakika 45 au 60 kabla ya kula kitu kingine
Je, unafahamu lishe gani nyingine?
Soma https://jamii.app/TibaYaKisukari
#PublicHealth #JFAfya
Saga Karoti, Tango, Kitunguu Maji, Hoho, Nyanya na Limau likiwa na maganda na mbegu zake
> Kunywa mchanganyiko huo kila asubuhi dakika 45 au 60 kabla ya kula kitu kingine
Je, unafahamu lishe gani nyingine?
Soma https://jamii.app/TibaYaKisukari
#PublicHealth #JFAfya
👍29❤3🤮3😁2
MANCHESTER UNITED KUMSAJILI LISANDRO
Imefikia makubaliano na Ajax kumsajili Lisandro Martinez (24) kwa £55.3m (Tsh. 151,522,000,000)
Atakuwa beki wa 2 ghali zaidi ktk klabu hiyo baada ya Harry Maguire
Atasaini mkataba wa miaka 5 na kulipwa £120,000 (Tsh. 328,800,000) kwa wiki
#JFSports
Imefikia makubaliano na Ajax kumsajili Lisandro Martinez (24) kwa £55.3m (Tsh. 151,522,000,000)
Atakuwa beki wa 2 ghali zaidi ktk klabu hiyo baada ya Harry Maguire
Atasaini mkataba wa miaka 5 na kulipwa £120,000 (Tsh. 328,800,000) kwa wiki
#JFSports
👍23😁9🔥3💩2
#UKRAINE: Rais Volodymyr Zelensky amewafuta kazi Mkuu wa Idara ya Usalama, Ivan Bakanov na Mwendesha Mashtaka Mkuu, Iryna Venediktova
Amesema hatua hiyo ni kufuatia tuhuma za maafisa wao kushirikiana na #Russia
Soma https://jamii.app/MaafisaUkaine
Amesema hatua hiyo ni kufuatia tuhuma za maafisa wao kushirikiana na #Russia
Soma https://jamii.app/MaafisaUkaine
👍11😢1
CHELSEA YATAKA KUWASAJILI KIMPEMBE NA KOUNDE
Chelsea imetoa ofa ya Paundi Milioni 40 (Tsh. 109,600,000,000) ili kumnasa Beki wa PSG, Presnel Kimpembe (26)
Aidha, imerejea kwenye mazungumzo ya kumsajili Beki wa Sevilla, Jules Kounde (23) anayewaniwa pia na Barcelona
#JFSports
Chelsea imetoa ofa ya Paundi Milioni 40 (Tsh. 109,600,000,000) ili kumnasa Beki wa PSG, Presnel Kimpembe (26)
Aidha, imerejea kwenye mazungumzo ya kumsajili Beki wa Sevilla, Jules Kounde (23) anayewaniwa pia na Barcelona
#JFSports
👍8🥰1
ARSENAL MBIONI KUMSAJILI ZINCHENKO
Arsenal ina tumaini la kumsajili Beki wa Manchester City, Oleksandr Zinchenko (25) wiki hii, baada ya kutoa ofa ya Paundi Milioni 35 (Tsh. 95,900,000,000)
Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta anathamini sana uwezo wa Beki huyo wa Kushoto
#JFSports
Arsenal ina tumaini la kumsajili Beki wa Manchester City, Oleksandr Zinchenko (25) wiki hii, baada ya kutoa ofa ya Paundi Milioni 35 (Tsh. 95,900,000,000)
Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta anathamini sana uwezo wa Beki huyo wa Kushoto
#JFSports
👍9🔥1
Kila Julai 18, Siku ya Mandela au Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela inasherehekewa duniani kote kuenzi mafanikio ya Kiongozi huyo
Kwa mwaka 2022, Maadhimisho haya yanaangazia Usalama wa Chakula na Mabadiliko ya TabiaNchi
Mandela alizaliwa Julai 18, 1918 na kufariki dunia Desemba 5, 2013. Alikuwa Rais wa Afrika Kusini kati ya 1994 - 1999
Soma zaidi - https://jamii.app/Mandela2022
#MandelaDay
Kwa mwaka 2022, Maadhimisho haya yanaangazia Usalama wa Chakula na Mabadiliko ya TabiaNchi
Mandela alizaliwa Julai 18, 1918 na kufariki dunia Desemba 5, 2013. Alikuwa Rais wa Afrika Kusini kati ya 1994 - 1999
Soma zaidi - https://jamii.app/Mandela2022
#MandelaDay
👍9👏1