UKRAINE: Makombora ya Urusi yaliyorushwa yameripotiwa kuua takriban Watu 20 wakiwemo watoto watatu huku wengine 90 wakijeruhiwa
> Imeelezwa kuwa, makombora hayo yalirushwa kutoka katika Nyambizi ya Urusi
Soma https://jamii.app/20KilledInUkraine
#RussiaUkraineWar
> Imeelezwa kuwa, makombora hayo yalirushwa kutoka katika Nyambizi ya Urusi
Soma https://jamii.app/20KilledInUkraine
#RussiaUkraineWar
😁13👍6😢3👎1
#JFAFYA: Shirika la Afya Duniani limeonya kuwa Afrika inakabiliwa na ongezeko la 60% la Magonjwa ambayo huenea kutoka kwa Wanyama hadi kwa Binadamu
> Miongoni mwa magonjwa hayo ni #Ebola, Magonjwa ya Kuvuja Damu, #Dengue, Kimeta na #MonkeyPox
Soma https://jamii.app/MagonjwaWHO
#PublicHealth
> Miongoni mwa magonjwa hayo ni #Ebola, Magonjwa ya Kuvuja Damu, #Dengue, Kimeta na #MonkeyPox
Soma https://jamii.app/MagonjwaWHO
#PublicHealth
👍5👎1
RAIS WA SRI LANKA AJIUZULU KWA BARUA PEPE
Rais Gotabaya Rajapaksa amewasilisha barua ya kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo kwa Spika wa Bunge kupitia Barua pepe
Inadaiwa ametuma Barua hiyo baada ya kuwasili Nchini Singapore
Soma - https://jamii.app/GotabayaOut
#Democracy
Rais Gotabaya Rajapaksa amewasilisha barua ya kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo kwa Spika wa Bunge kupitia Barua pepe
Inadaiwa ametuma Barua hiyo baada ya kuwasili Nchini Singapore
Soma - https://jamii.app/GotabayaOut
#Democracy
👍14😁10
CHELSEA YASITISHA MPANGO WA KUMSAJILI CRISTIANO RONALDO
Ni baada ya Kocha Thomas Tuchel kusema anataka mchezaji anayecheza kitimu na si kuangalia kipaji cha mmoja
Kufuatia kauli hiyo, itabidi Ronaldo abaki Man. Utd au atafute timu nyingine
Soma https://jamii.app/ChelseaCR7
#JFSports
Ni baada ya Kocha Thomas Tuchel kusema anataka mchezaji anayecheza kitimu na si kuangalia kipaji cha mmoja
Kufuatia kauli hiyo, itabidi Ronaldo abaki Man. Utd au atafute timu nyingine
Soma https://jamii.app/ChelseaCR7
#JFSports
👍42😁8🤩3👎2😱2❤1🤔1🤮1
RIPOTI: Takriban Watoto Milioni 25 duniani walishindwa kupatiwa kwa wakati Chanjo muhimu zinazowalinda dhidi ya Magonjwa mbalimbali mwaka 2021
Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto (UNICEF) inasema hali hiyo ilitokana na utoaji wa huduma za Afya kuathiriwa na COVID-19
Soma - https://jamii.app/WatotoChanjo
#JFAfya
Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto (UNICEF) inasema hali hiyo ilitokana na utoaji wa huduma za Afya kuathiriwa na COVID-19
Soma - https://jamii.app/WatotoChanjo
#JFAfya
👍4🤔2
JULAI 15: SIKU YA UJUZI KWA VIJANA DUNIANI
Inakadiriwa kuwa, nafasi za kazi Milioni 600 zitahitajika kuundwa katika kipindi cha miaka 15 ijayo ili kukidhi mahitaji ya Ajira kwa Vijana
Idadi ya Vijana inatarajiwa kuongezeka kwa zaidi ya Milioni 78 kati ya 2021 - 2030, ikielezwa takriban nusu ya ongezeko hilo itakuwa katika Nchi masikini
Soma - https://jamii.app/UjuziVijana
#WYSD2022
Inakadiriwa kuwa, nafasi za kazi Milioni 600 zitahitajika kuundwa katika kipindi cha miaka 15 ijayo ili kukidhi mahitaji ya Ajira kwa Vijana
Idadi ya Vijana inatarajiwa kuongezeka kwa zaidi ya Milioni 78 kati ya 2021 - 2030, ikielezwa takriban nusu ya ongezeko hilo itakuwa katika Nchi masikini
Soma - https://jamii.app/UjuziVijana
#WYSD2022
👍6
Kwa mujibu wa Shirika la UNICEF, Vijana watatu kati ya wanne hawana Ujuzi unaohitajika kwenye Ajira
Waliopo Nchi masikini wana uwezekano mdogo zaidi wa kuwa na Ujuzi muhimu kwa fursa za Ajira/Ujasiriamali
Mifumo ya Elimu inatajwa kukwamisha Vijana na Watoto wengi, ikiwaacha bila Maarifa, Ujuzi na hamasa yoyote
Soma - https://jamii.app/UjuziVijana
#WYSD2022
Waliopo Nchi masikini wana uwezekano mdogo zaidi wa kuwa na Ujuzi muhimu kwa fursa za Ajira/Ujasiriamali
Mifumo ya Elimu inatajwa kukwamisha Vijana na Watoto wengi, ikiwaacha bila Maarifa, Ujuzi na hamasa yoyote
Soma - https://jamii.app/UjuziVijana
#WYSD2022
👍5😁3😢1
LUGHA: NINI KINASABABISHA WATU KUCHANGANYA MATUMIZI YA "R" NA "L"?
Mdau wa Jukwaa la Lugha anahoji ni nini kinapelekea makosa kwenye matumizi ya herufi "R" na "L" kuanzia kuyaandika mpaka kutamka?
Anatolea mfano maneno "Rakini" badala ya "Lakini", "Kalili" badala ya "Kariri"
Je, unapata changamoto kwenye matumizi ya herufi hizo?
Mjadala - https://jamii.app/MdauLughaRL
#JFLugha
Mdau wa Jukwaa la Lugha anahoji ni nini kinapelekea makosa kwenye matumizi ya herufi "R" na "L" kuanzia kuyaandika mpaka kutamka?
Anatolea mfano maneno "Rakini" badala ya "Lakini", "Kalili" badala ya "Kariri"
Je, unapata changamoto kwenye matumizi ya herufi hizo?
Mjadala - https://jamii.app/MdauLughaRL
#JFLugha
👍11
MAHAKAMA: ZUIO LA TWITTER NIGERIA LILIKIUKA SHERIA
Mahakama ya Haki ya ECOWAS imesema zuio hilo la mwaka 2021 lilikiuka Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na kunyima Wananchi Haki ya #UhuruWaKujieleza na kupata taarifa
Nigeria imetakiwa kuhakikisha marufuku kama hiyo haijirudii
Soma - https://jamii.app/TwitterBanNGR
#DigitalRights #FreedomOfExpression
Mahakama ya Haki ya ECOWAS imesema zuio hilo la mwaka 2021 lilikiuka Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na kunyima Wananchi Haki ya #UhuruWaKujieleza na kupata taarifa
Nigeria imetakiwa kuhakikisha marufuku kama hiyo haijirudii
Soma - https://jamii.app/TwitterBanNGR
#DigitalRights #FreedomOfExpression
👍6
Taasisi ya WAJIBU imezindua Ripoti za Uwajibikaji, Mapato na matumizi ya Fedha za Umma 2020/21 iliyotokana na ripoti za Ukaguzi za Mamlaka ya Serikali za Mitaa, Miradi ya Maendeleo, Mashirika ya Umma na Serikali Kuu zilizotolewa na CAG
Dhumuni ni kuwapatia Wananchi taarifa ya namna Serikali ilivyotekeleza Bajeti ya Taifa katika ukusanyaji wa Mapato na Matumizi ya fedha za Umma kwa mwaka
#JFUwajibikaji
Dhumuni ni kuwapatia Wananchi taarifa ya namna Serikali ilivyotekeleza Bajeti ya Taifa katika ukusanyaji wa Mapato na Matumizi ya fedha za Umma kwa mwaka
#JFUwajibikaji
👍8
10% PUNGUFU KWENYE MAKUSANYO: Mwaka 2020/21 Serikali ilipanga kukusanya Tsh. trilioni 34.8, hata hivyo ilikusanya Tsh. trilioni 31.3 (90% ya makadirio)
> Hili ni ongezeko la 5% ikilinganishwa na 2019/20 ambapo Serikali ilishindwa kukusanya Mapato iliyokadirikia kwa 5%
#JFUwajibikaji
> Hili ni ongezeko la 5% ikilinganishwa na 2019/20 ambapo Serikali ilishindwa kukusanya Mapato iliyokadirikia kwa 5%
#JFUwajibikaji
👍6🤔2🔥1
UPUNGUFU WA MAJENGO YA MAHABUSU NA WAFUNGWA
Gereza la Keko lilikuwa na msongamano mkubwa zaidi ambapo lilikuwa na Wafungwa 1,075 zaidi ya uwezo wake sawa na 194%
Magereza 8 kati ya 15 yaliyokaguliwa hayakuwa na huduma ya Maji Safi na Salama kutokana na kutolipia Huduma ya Maji kwa Mamlaka husika
#JFUwajibikaji
Gereza la Keko lilikuwa na msongamano mkubwa zaidi ambapo lilikuwa na Wafungwa 1,075 zaidi ya uwezo wake sawa na 194%
Magereza 8 kati ya 15 yaliyokaguliwa hayakuwa na huduma ya Maji Safi na Salama kutokana na kutolipia Huduma ya Maji kwa Mamlaka husika
#JFUwajibikaji
😢7🤔3👍2
KUCHELEWA KWA RIPOTI ZA CAG
Mwenyekiti wa Kamati ya PAC, Japhet Hasunga amesema CAG anatumia mifumo kuandaa ripoti yake hivyo ripoti hizo zitoke mapema ili Bunge pia liweze kuzijadili mapema
Hasunga amesema hiyo itatoa fursa ya Uwajibikaji kabla fedha nyingine hazijaombwa Bungeni
#JFUwajibikaji
Mwenyekiti wa Kamati ya PAC, Japhet Hasunga amesema CAG anatumia mifumo kuandaa ripoti yake hivyo ripoti hizo zitoke mapema ili Bunge pia liweze kuzijadili mapema
Hasunga amesema hiyo itatoa fursa ya Uwajibikaji kabla fedha nyingine hazijaombwa Bungeni
#JFUwajibikaji
👍14🤔2
SOMALIA: WAANDISHI WAHIMIZA SHERIA ZA VYOMBO VYA HABARI KUREKEBISHWA
Wamesema Kanuni za Adhabu na Sheria ya Vyombo vya Habari zimekuwa tishio kwa usalama wao
Wameeleza kuwa Sheria mpya hailindi usiri wa Vyanzo vya Habari, na inaruhusu Waandishi kuhukumiwa bila kupewa nafasi ya kukata rufaa
Soma - https://jamii.app/SomaliaJounalists
#PressFreedom
Wamesema Kanuni za Adhabu na Sheria ya Vyombo vya Habari zimekuwa tishio kwa usalama wao
Wameeleza kuwa Sheria mpya hailindi usiri wa Vyanzo vya Habari, na inaruhusu Waandishi kuhukumiwa bila kupewa nafasi ya kukata rufaa
Soma - https://jamii.app/SomaliaJounalists
#PressFreedom
👍7
RAIS WA MPITO AAPISHWA SRI LANKA
Ranil Wickremesinghe aliyekuwa Waziri Mkuu ameapishwa kuwa Rais wa Mpito, akimrithi Gotabaya Rajapaksa aliyejiuzulu kufuatia maandamano
Atahudumu kwa muda uliosalia katika Muhula wa Rajapaksa unaokamilika 2024
Soma - https://jamii.app/RaisMpyaSriLanka
#Governance
Ranil Wickremesinghe aliyekuwa Waziri Mkuu ameapishwa kuwa Rais wa Mpito, akimrithi Gotabaya Rajapaksa aliyejiuzulu kufuatia maandamano
Atahudumu kwa muda uliosalia katika Muhula wa Rajapaksa unaokamilika 2024
Soma - https://jamii.app/RaisMpyaSriLanka
#Governance
👍11🔥1
GEITA: Mkuu wa Wilaya ya Geita, Wilson Shimo amethibitisha vifo vya Wachimbaji 3 wa dhahabu na majeruhi wawili baada ya kuangukiwa na kifusi katika machimbo ya Nyamatagata
> Shughuli kwenye machimbo hayo zimesimamishwa kwa muda
Soma - https://jamii.app/VifoGeita
#JFMatukio
> Shughuli kwenye machimbo hayo zimesimamishwa kwa muda
Soma - https://jamii.app/VifoGeita
#JFMatukio
👍8😢3👎2
MANCHESTER UNITED YAMSAJILI ERIKSEN
Christian Eriksen (30) amesaini mkataba wa miaka mitatu kufuatia kufanyiwa uchunguzi mkali wa afya
Mchezaji huyo anaimarisha safu ya kiungo ya Erik ten Hag baada ya kuchagua kutosalia Brentford, alikokuwa msimu uliopita kwa mkopo
#JFSports
Christian Eriksen (30) amesaini mkataba wa miaka mitatu kufuatia kufanyiwa uchunguzi mkali wa afya
Mchezaji huyo anaimarisha safu ya kiungo ya Erik ten Hag baada ya kuchagua kutosalia Brentford, alikokuwa msimu uliopita kwa mkopo
#JFSports
👍16👏1
JOTO KALI: UINGEREZA YATANGAZA HALI YA DHARURA
Mamlaka imetangaza hali ya dharura ya Kitaifa na kutoa onyo la joto kali katika baadhi ya maeneo
Wataalamu wamesema joto linaweza kufikia viwango vya juu vinavyoweza kuathiri watu na miundombinu
Soma - https://jamii.app/UKHeatRise
Mamlaka imetangaza hali ya dharura ya Kitaifa na kutoa onyo la joto kali katika baadhi ya maeneo
Wataalamu wamesema joto linaweza kufikia viwango vya juu vinavyoweza kuathiri watu na miundombinu
Soma - https://jamii.app/UKHeatRise
👍8🤔4👎2❤1🔥1😁1
UGANDA: Zaidi ya watu 500,000 katika Mkoa wa Karamoja wanakabiliwa na njaa iliyosababishwa na ukame uliodumu kwa muda mrefu
Aidha, watu kadhaa wameripotiwa kufariki dunia maeneo ya Kaskazini Mashariki ya Nchi hiyo kutokana na njaa
Soma - https://jamii.app/UgandaNjaa
Aidha, watu kadhaa wameripotiwa kufariki dunia maeneo ya Kaskazini Mashariki ya Nchi hiyo kutokana na njaa
Soma - https://jamii.app/UgandaNjaa
😢11👍4😱1
MISRI KUONDOA VIKOSI VYAKE VYA KULINDA AMANI NCHINI MALI
UN imesema Misri itaondoa Wanajeshi wake ifikapo Agosti 15. Kujitoa kwao ni pigo jingine baada ya doria za Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa nchini Mali kusitishwa kwa muda
Wanajeshi 7 wa Misri wameuawa mwaka 2022
Soma https://jamii.app/VikosiMali
#Diplomacy
UN imesema Misri itaondoa Wanajeshi wake ifikapo Agosti 15. Kujitoa kwao ni pigo jingine baada ya doria za Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa nchini Mali kusitishwa kwa muda
Wanajeshi 7 wa Misri wameuawa mwaka 2022
Soma https://jamii.app/VikosiMali
#Diplomacy
👍11👏1