#MALARIA: Kufanya Vipimo mapema huchangia kupunguza Maambukizi na Vifo
Upimaji huwawezesha watoa Huduma za #Afya kutofautisha kwa haraka kati ya Homa ya Malaria na isiyo ya Malaria, hivyo kutoa matibabu sahihi
Soma - https://jamii.app/MalariaDay22
#WorldMalariaDay #EndMalaria
Upimaji huwawezesha watoa Huduma za #Afya kutofautisha kwa haraka kati ya Homa ya Malaria na isiyo ya Malaria, hivyo kutoa matibabu sahihi
Soma - https://jamii.app/MalariaDay22
#WorldMalariaDay #EndMalaria
WATOTO KUFANYIANA VITENDO VYA UKATILI: Waziri Dorothy Gwajima amesema mmomonyoko wa maadili kwa Watoto umechangiwa na Wazazi kuwa na shughuli nyingi za maisha na kusahau jukumu la Malezi
> Nini kifanyike kupunguza matukio hayo kwa Watoto?
Soma - https://jamii.app/UkatiliKwaWatoto
> Nini kifanyike kupunguza matukio hayo kwa Watoto?
Soma - https://jamii.app/UkatiliKwaWatoto
MDAU: KAULI KINZANI ZA VIONGOZI ZINAWACHANGANYA RAIA
Anasema inashangaza Viongozi wanapotoa kauli tofauti katika jambo moja
Anahoji; Je, kila mmoja anayejisikia anasema cha kwake tu bila kujali kuna kupingana kauli kunakowachanganya Raia?
Soma > https://jamii.app/KauliViongozi
Anasema inashangaza Viongozi wanapotoa kauli tofauti katika jambo moja
Anahoji; Je, kila mmoja anayejisikia anasema cha kwake tu bila kujali kuna kupingana kauli kunakowachanganya Raia?
Soma > https://jamii.app/KauliViongozi
94% YA WATANZANIA WAPO HATARINI KUPATA MALARIA
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema bado Ugonjwa huo unaweka mzigo mkubwa ktk utoaji Huduma za #Afya
Mikoa inayoongoza kwa maambukizi ni Kigoma, Kagera, Geita, Mtwara, Lindi na Ruvuma
Soma - https://jamii.app/MalariaTZ
#EndMalaria
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema bado Ugonjwa huo unaweka mzigo mkubwa ktk utoaji Huduma za #Afya
Mikoa inayoongoza kwa maambukizi ni Kigoma, Kagera, Geita, Mtwara, Lindi na Ruvuma
Soma - https://jamii.app/MalariaTZ
#EndMalaria
Tanzania ina wakazi zaidi ya milioni 60 na Watu milioni 5.7 (sawa na 10%) wanasumbuliwa na Ugonjwa wa Kisukari
> Wenye miaka 20-79 ni waathirika wakubwa, huku utafiti ukionesha 35% ya wenye Kisukari wana madhara ya Ugonjwa huo kwenye Macho
Soma - https://jamii.app/UgonjwaWaKisukari
> Wenye miaka 20-79 ni waathirika wakubwa, huku utafiti ukionesha 35% ya wenye Kisukari wana madhara ya Ugonjwa huo kwenye Macho
Soma - https://jamii.app/UgonjwaWaKisukari
ASASI ZA KIRAIA-ZANZIBAR: Kukosekana kwa mifumo imara inayotoa fursa sawa za upatikanaji wa Haki za Msingi kwa Wanawake na Wanaume ndio chanzo cha Wanawake kukosa uwezo wa kudai Haki zao na kushiriki kikamilifu ktk ngazi za maamuzi
Soma - https://jamii.app/MifumoWanawake
Soma - https://jamii.app/MifumoWanawake
π1
DKT. SLAA: Huku kwetu Viongozi wa Serikali za Mitaa wanatoka kwenye chama fulani, hili lina madhara makubwa
> Kule katika nchi nilizotoka Wazee wenye sifa ndio wanaongoza Serikali za Mitaa. Wanatafuta wastaafu wenye sifa wanapewa nafasi ya kuongoza
Soma https://jamii.app/DrSlaaAfunguka
> Kule katika nchi nilizotoka Wazee wenye sifa ndio wanaongoza Serikali za Mitaa. Wanatafuta wastaafu wenye sifa wanapewa nafasi ya kuongoza
Soma https://jamii.app/DrSlaaAfunguka
TRA YAVIFUTIA RIBA VYOMBO VYA MOTO VISIVYO NA USAJILI
Mamlaka hiyo imefuta adhabu na riba kwa Vyombo vyote vya Moto vilivyoingizwa nchini bila kufuata Taratibu za Forodha
Wamiliki watakiwa kusajili rasmi vyombo vyao hadi kufikia Juni 30, 2022
Soma - https://jamii.app/RibaTRA
Mamlaka hiyo imefuta adhabu na riba kwa Vyombo vyote vya Moto vilivyoingizwa nchini bila kufuata Taratibu za Forodha
Wamiliki watakiwa kusajili rasmi vyombo vyao hadi kufikia Juni 30, 2022
Soma - https://jamii.app/RibaTRA
MDAU: Mwanaume kumpiga Mpenzi wake ni njia ya mkato baada ya kushindwa kwa nguvu ya hoja
> Mwanaume huyo anakosa nguvu ya kutetea hoja yake kimantiki hivyo anatumia nguvu kwa njia ya kipigo ili kuufunga mjadala au alazimishe suala lake lipite
Soma - https://jamii.app/UkatiliWanawake
> Mwanaume huyo anakosa nguvu ya kutetea hoja yake kimantiki hivyo anatumia nguvu kwa njia ya kipigo ili kuufunga mjadala au alazimishe suala lake lipite
Soma - https://jamii.app/UkatiliWanawake
WADAU WAALIKWA KUTOA MAONI KUHUSU MASUALA YA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI VYA SIASA
Miongoni mwa Masuala Makuu 9 yaliyoainishwa ili kuwasilishwa Serikalini ni Mfumo wa Maridhiano, Katiba Mpya, Mikutano ya hadhara pamoja na Masuala ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/MaoniKikosiKazi
Miongoni mwa Masuala Makuu 9 yaliyoainishwa ili kuwasilishwa Serikalini ni Mfumo wa Maridhiano, Katiba Mpya, Mikutano ya hadhara pamoja na Masuala ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/MaoniKikosiKazi
MIAKA 58 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mnamo Aprili 26, 1964 uliasisiwa na Hayati Mwalimu Nyerere na Hayati Sheikh Abeid Amani Karume. Muungano huu ulipelekea kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa #Tanzania
Tunawatakia Maadhimisho mema ya Siku ya Muungano
Soma zaidi - https://jamii.app/HistoriaMuungano
#UnionDay2022 #Muungano58
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mnamo Aprili 26, 1964 uliasisiwa na Hayati Mwalimu Nyerere na Hayati Sheikh Abeid Amani Karume. Muungano huu ulipelekea kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa #Tanzania
Tunawatakia Maadhimisho mema ya Siku ya Muungano
Soma zaidi - https://jamii.app/HistoriaMuungano
#UnionDay2022 #Muungano58
URUSI: KUNA HATARI YA VITA YA TATU YA DUNIA
Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergey Lavrov asema hatari hiyo ni kubwa na haiwezi kudharauliwa
Amshutumu Zelensky kwa kujifanya anataka majadiliano na kukosoa mbinu za Ukraine ktk Mazungumzo ya Amani
Soma - https://jamii.app/RussiaWW3
Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergey Lavrov asema hatari hiyo ni kubwa na haiwezi kudharauliwa
Amshutumu Zelensky kwa kujifanya anataka majadiliano na kukosoa mbinu za Ukraine ktk Mazungumzo ya Amani
Soma - https://jamii.app/RussiaWW3
SIMIYU: Wanaume wanaofanyiwa ukatili wa kijinsia ikiwamo kupigwa au kunyimwa unyumba na wake zao, wametakiwa kutoa taarifa Dawati la Jinsia ili wahusika wachukuliwe hatua stahiki kulingana na Sheria za nchi
Soma - https://jamii.app/WanaumeUkatili
#JamiiForums
Soma - https://jamii.app/WanaumeUkatili
#JamiiForums
RAIS SAMIA ATOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA 3,826
Msamaha huo uliotolewa na Rais kwa kuzingatia Masharti kadhaa utahusisha Wafungwa wa makosa mbalimbali yakiwemo usafirishaji wa Dawa za Kulevya na ubadhirifu wa Fedha na Mali za Umma
Soma - https://jamii.app/MsamahaMuungano
#UnionDay2022
Msamaha huo uliotolewa na Rais kwa kuzingatia Masharti kadhaa utahusisha Wafungwa wa makosa mbalimbali yakiwemo usafirishaji wa Dawa za Kulevya na ubadhirifu wa Fedha na Mali za Umma
Soma - https://jamii.app/MsamahaMuungano
#UnionDay2022
TETESI: POGBA AJIONDOA KWENYE KUNDI LA WHATSAPP LA WACHEZAJI
Kiungo Paul Pogba (29) anadaiwa kujiondoa kwenye Kundi hilo la Wachezaji wa Manchester United na kuwaambia ataondoka Klabuni hapo mwisho wa msimu huu
Inadaiwa amepokea ofa za kujiunga na PSG na Real Madrid
#JFSports
Kiungo Paul Pogba (29) anadaiwa kujiondoa kwenye Kundi hilo la Wachezaji wa Manchester United na kuwaambia ataondoka Klabuni hapo mwisho wa msimu huu
Inadaiwa amepokea ofa za kujiunga na PSG na Real Madrid
#JFSports
ETHIOPIA: Vikosi vya Waasi wa Tigray vyaripotiwa kuondoka #Afar, baada ya kushikilia eneo hilo tokea Juni 29, 2021
> Inaelezwa kuwa ni hatua muhimu katika kufikisha misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa vita ktk eneo hilo
Soma - https://jamii.app/MajeshiTigray
> Inaelezwa kuwa ni hatua muhimu katika kufikisha misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa vita ktk eneo hilo
Soma - https://jamii.app/MajeshiTigray
DR CONGO: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Mgonjwa wa pili wa #Ebola amefariki dunia Kaskazini Magharibi mwa Nchi hiyo, ikiwa ni siku chache baada ya mlipuko mpya kuripotiwa
Wakati huo huo, mwenendo wa Afya za takriban Watu 145 unafuatiliwa
Soma - https://jamii.app/EbolaDRC
Wakati huo huo, mwenendo wa Afya za takriban Watu 145 unafuatiliwa
Soma - https://jamii.app/EbolaDRC
ARUSHA: MTANDAO WA KUTEKA, KUBAKA, KUPORA WANAWAKE WAANZA KUDAKWA
Watu 2 wanaodaiwa kuongoza Mtandao wa Kuteka, Kupora na Kubaka Wanawake wanashikiliwa na Polisi
> Inadaiwa kuna kesi zaidi ya 20 Kituo Kikuu cha Polisi Arusha za matukio hayo
Soma - https://jamii.app/UbakajiUporaji
Watu 2 wanaodaiwa kuongoza Mtandao wa Kuteka, Kupora na Kubaka Wanawake wanashikiliwa na Polisi
> Inadaiwa kuna kesi zaidi ya 20 Kituo Kikuu cha Polisi Arusha za matukio hayo
Soma - https://jamii.app/UbakajiUporaji
π1
MAXENCE: KUOMBA βCONNECTIONβ NI KUSHIRIKI UDHALILISHAJI MTANDAONI
Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo anasema Elimu itolewe kwa Watumiaji wa Digitali kuwa usambazaji wa picha/video chafu hasa za Wanawake ni udhalilishaji
Soma - https://jamii.app/Udhalilishaji
Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo anasema Elimu itolewe kwa Watumiaji wa Digitali kuwa usambazaji wa picha/video chafu hasa za Wanawake ni udhalilishaji
Soma - https://jamii.app/Udhalilishaji
π1
WB: VITA YA URUSI NA #UKRAINE INAUMIZA KAYA MASIKINI
Ripoti ya Benki ya Dunia inakadiria bei za bidhaa muhimu kupanda kwa hadi 50%, hali inayoumiza zaidi Watu masikini
Ongezeko hilo linatajwa kuwa kubwa zaidi kushuhudiwa duniani ndani ya miaka 50
Soma - https://jamii.app/VitaUkraine
Ripoti ya Benki ya Dunia inakadiria bei za bidhaa muhimu kupanda kwa hadi 50%, hali inayoumiza zaidi Watu masikini
Ongezeko hilo linatajwa kuwa kubwa zaidi kushuhudiwa duniani ndani ya miaka 50
Soma - https://jamii.app/VitaUkraine
π1