#COVID19: UINGEREZA YAIDHINISHA CHANJO MPYA YA VALNEVA
Ni chanjo ya sita kupewa idhini ya kupambana na Virusi vya Corona. Itatolewa kwa dozi mbili kwa watu wenye miaka 18 - 50
Tofauti kati ya dozi ya kwanza na ya pili inashauriwa kuwa siku 28
Soma - https://jamii.app/uingerezachanjo
Ni chanjo ya sita kupewa idhini ya kupambana na Virusi vya Corona. Itatolewa kwa dozi mbili kwa watu wenye miaka 18 - 50
Tofauti kati ya dozi ya kwanza na ya pili inashauriwa kuwa siku 28
Soma - https://jamii.app/uingerezachanjo
CAG: Kati ya Juni 2020 hadi Juni 30, 2021 Bohari Kuu ya Dawa haikupeleka Dawa na Vifaa Tiba vyenye thamani ya Tsh. Bilioni 1.17 kwa Mamlaka 9 za Serikali za Mitaa
Kutopeleka bidhaa hizo kunaathiri ubora wa huduma za #Afya
Soma zaidi > https://jamii.app/CAGReport2022
#CAGReport2022
Kutopeleka bidhaa hizo kunaathiri ubora wa huduma za #Afya
Soma zaidi > https://jamii.app/CAGReport2022
#CAGReport2022
Ili kuweza kuona fursa hizi na nyingine nyingi za Ajira, tembelea > https://jamii.app/NafasiAjira
#JamiiForums
#JamiiForums
ELIMU BILA MALIPO: CAG ABAINI MAMLAKA 25 ZILIPATA FEDHA PUNGUFU
Ripoti ya 2020/21 inasema Ukaguzi umebaini Fedha za Ruzuku kwa Shule za Msingi na Sekondari zilitolewa pungufu kwa Tsh. 4,252,600,723 katika Mamlaka 25 za Serikali za Mitaa
Soma - https://jamii.app/CAGReport2022
#RipotiCAG
Ripoti ya 2020/21 inasema Ukaguzi umebaini Fedha za Ruzuku kwa Shule za Msingi na Sekondari zilitolewa pungufu kwa Tsh. 4,252,600,723 katika Mamlaka 25 za Serikali za Mitaa
Soma - https://jamii.app/CAGReport2022
#RipotiCAG
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Filamu ya #RoyalTour ambayo itazinduliwa Aprili 18, 2022 haijatumia fedha za Watanzania
> Pia, Rais Samia alisema gharama za kutengeneza filamu hiyo ni Tsh. bilioni 7
Soma - https://jamii.app/MsigwaUtalii
#JamiiForums
> Pia, Rais Samia alisema gharama za kutengeneza filamu hiyo ni Tsh. bilioni 7
Soma - https://jamii.app/MsigwaUtalii
#JamiiForums
#CAGReport2022: Manispaa ya Temeke ililipa Bilioni 18.79 kama Malipo ya Fidia. Kati ya hizo, Tsh. Bilioni 2.16 zililipwa kwa Watu 94 Wasiotambuliwa na Serikali za Mitaa
Fidia hiyo ni ya ujenzi wa Miradi inayofadhiliwa kwa Fedha za Benki ya Dunia
Soma - https://jamii.app/CAGReport2022
Fidia hiyo ni ya ujenzi wa Miradi inayofadhiliwa kwa Fedha za Benki ya Dunia
Soma - https://jamii.app/CAGReport2022
WHO: MAAMBUKIZI NA VIFO VYA UVIKO-19 VIMEPUNGUA SANA AFRIKA
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema maambukizi ya #COVID19 yametoka 308,000 hadi chini ya 20,000 kwa wiki iliyopita huku vifo vikishuka kwa 29% na 37% ktk wiki za hivi karibuni
Soma - https://jamii.app/Covid-19Africa
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema maambukizi ya #COVID19 yametoka 308,000 hadi chini ya 20,000 kwa wiki iliyopita huku vifo vikishuka kwa 29% na 37% ktk wiki za hivi karibuni
Soma - https://jamii.app/Covid-19Africa
#CAGReport2022: Kati ya Mei 2016 hadi Septemba 2021 ajali 1,107 zilitokea katika Miundombinu ya BRT
> Ajali hizo zilisababisha vifo vya Watu 50, Majeruhi 211 na uharibifu mkubwa wa mali
Soma: https://jamii.app/CAGReport2022
> Ajali hizo zilisababisha vifo vya Watu 50, Majeruhi 211 na uharibifu mkubwa wa mali
Soma: https://jamii.app/CAGReport2022
Sanaa katika aina zake mbalimbali inaruhusu watu kujieleza. Pia, ina nafasi muhimu katika kutoa maarifa
Siku ya #Sanaa huadhimishwa ili kukuza ufahamu juu ya umuhimu wake katika maisha yetu ya kila siku
Je, Sanaa ina mchango gani kwako?
Soma - https://jamii.app/SikuYaSanaa
#WorldArtDay
Siku ya #Sanaa huadhimishwa ili kukuza ufahamu juu ya umuhimu wake katika maisha yetu ya kila siku
Je, Sanaa ina mchango gani kwako?
Soma - https://jamii.app/SikuYaSanaa
#WorldArtDay
CAG: MAJENGO MENGI YA SERIKALI NI HATARI KWA MAISHA YA WATU
#CAGReport2022 imebainisha majengo mengi ya #Serikali yamejengwa bila usanifu wa uokozi wa majanga ya moto
Kuna hatari ya kupoteza mali au maisha ya watu likitokea janga
Soma - https://jamii.app/CAGReport2022
#JamiiForums
#CAGReport2022 imebainisha majengo mengi ya #Serikali yamejengwa bila usanifu wa uokozi wa majanga ya moto
Kuna hatari ya kupoteza mali au maisha ya watu likitokea janga
Soma - https://jamii.app/CAGReport2022
#JamiiForums
#CAGReport2022: Serikali haijaanza uchimbaji wa Madini ya Tanzanite tangu ilipolitwaa eneo la Uchimbaji la Kitalu C, huko Mererani Mei 13, 2020
> Aidha, kuna njia haramu za uchimbaji katika eneo hilo bila ufahamu wa JWTZ
Soma - https://jamii.app/CAGReport2022
> Aidha, kuna njia haramu za uchimbaji katika eneo hilo bila ufahamu wa JWTZ
Soma - https://jamii.app/CAGReport2022
UNYANYASAJI/UKATILI KATIKA MAHUSIANO: Hii inaweza kuwa kwa vitendo vya kimwili, kingono, kihisia, kiuchumi au kisaikolojia
Unyanyasaji unaweza kutokea kwenye Ndoa, kwa watu ambao wanaishi pamoja au walio kwenye hatua za awali za uhusiano
Nini maoni yako kuhusu Unyanyasaji kwenye Mahusiano?
Soma - https://jamii.app/DomesticAbuse
#DomesticViolence
Unyanyasaji unaweza kutokea kwenye Ndoa, kwa watu ambao wanaishi pamoja au walio kwenye hatua za awali za uhusiano
Nini maoni yako kuhusu Unyanyasaji kwenye Mahusiano?
Soma - https://jamii.app/DomesticAbuse
#DomesticViolence
URUSI YATISHIA KUTUMIA NYUKLIA
Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama, Dmitry Medvedev ambaye ni Mshirika wa karibu wa Putin ameonya #Russia itapeleka silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu Ulaya ikiwa Sweden na Finland zitajiunga na NATO
Soma - https://jamii.app/RussiaNuklia
Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama, Dmitry Medvedev ambaye ni Mshirika wa karibu wa Putin ameonya #Russia itapeleka silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu Ulaya ikiwa Sweden na Finland zitajiunga na NATO
Soma - https://jamii.app/RussiaNuklia
CAG: WAFANYAKAZI 6 WAHUSIKA NA UBADHIRIFU WA TSH. BILIONI 3.9 BENKI KUU
Ubadhirifu huo ulitokana na mchakato wa kubadili Noti Chakavu ambapo Wafanyakazi 6 walihusika na mchezo huo uliofanyika Januari 2017 hadi Desemba 2019
Soma - https://jamii.app/CAGReport2022
#CAGReport2022
Ubadhirifu huo ulitokana na mchakato wa kubadili Noti Chakavu ambapo Wafanyakazi 6 walihusika na mchezo huo uliofanyika Januari 2017 hadi Desemba 2019
Soma - https://jamii.app/CAGReport2022
#CAGReport2022
MDAU: ACHA KUTAMANI MAFANIKIO, ANZA HATUA ZA KUFIKIA MALENGO
Anasisitiza kuwa mwaminifu na kufanya kazi zako kwa ubora katika fursa unayoitumikia
Anasema, ongeza ujuzi na epuka mambo yanayokupotezea muda na kukukwamisha kufikia malengo uliyonayo
Msome - https://jamii.app/MalengoSOC
Anasisitiza kuwa mwaminifu na kufanya kazi zako kwa ubora katika fursa unayoitumikia
Anasema, ongeza ujuzi na epuka mambo yanayokupotezea muda na kukukwamisha kufikia malengo uliyonayo
Msome - https://jamii.app/MalengoSOC
RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA MAKAMU RAIS WA MAREKANI
Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris wamefanya mazungumzo hayo Ikulu ya Marekani - Washington DC
Rais Samia amesema Serikali ya Tanzania inathamini mchango mkubwa wa Marekani, akitoa wito kwa Serikali ya Nchi hiyo kuhimiza Sekta Binafsi kufanya kazi na Tanzania
Soma - https://jamii.app/SamiaKamalaIkulu
#JFLeo
Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris wamefanya mazungumzo hayo Ikulu ya Marekani - Washington DC
Rais Samia amesema Serikali ya Tanzania inathamini mchango mkubwa wa Marekani, akitoa wito kwa Serikali ya Nchi hiyo kuhimiza Sekta Binafsi kufanya kazi na Tanzania
Soma - https://jamii.app/SamiaKamalaIkulu
#JFLeo
Masuala kadhaa aliyozungumza Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa Ikulu ya Marekani - Washington DC
Soma zaidi > https://jamii.app/SamiaKamalaIkulu
#JFLeo
Soma zaidi > https://jamii.app/SamiaKamalaIkulu
#JFLeo
❤1