JamiiForums
52.8K subscribers
34.4K photos
2.44K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Maxence Melo: Nyanja za Kidigitali sasa hivi zinatoa nafasi kwa Watu kutoa maoni yao.

Tunaona hata Mamlaka za Serikali zikielekea huko kufahamu Wananchi wanasema nini

Hata Kesi za Mahakamani, sasa hivi Watu wanaweza kuzifuatilia kwa kutumia Uwanja wa Digitali

Soma zaidi > https://jamii.app/DemocracyTalk

#DemocracyTalkTz
Maxence Melo: Tulipata changamoto sana kuhusu Sera yetu ya Faragha hata kufikishwa mahakamani lakini kwa sasa naona Serikali imesema wazi kuwa iko katika hatua za mwisho za uandaaji wa Muswada wa Ulinzi wa taarifa binafsi na faragha za Watanzania

#DemocracyTalkTz
Ungana nasi katika Mazungumzo ya Demokrasia Tanzania kupitia Digitali

Tembelea > https://jamii.app/DemocracyTalk

#DemocracyTalkTz
Maoni ya Wadau mbalimbali katika Mazungumzo ya Demokrasia Tanzania kupitia Digitali

#JamiiForums #DemocracyTalkTz
Ili kuweza kutuma Maombi ya nafasi hizi tembelea - https://jamii.app/NafasiAjira

#JamiiForums
Katika Mjadala wa Demokrasia, Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza, Aidan Eyakuze amesema ni muhimu kuzungumza kwa namna gani Serikali inaongeza Demokrasia kupitia uwanja wa kidigitali

Amesisitiza kuwa Serikali ya Kidigitali sio Demokrasia ya Kidigitali, na Ushiriki wa Watu Kidigitali nao haumaanishi Demokrasia

Soma > https://jamii.app/DemocracyTalk

#DemocracyTalkTz
MWIGULU: MFUMUKO WA BEI HAUTOKANI NA UZEMBE WA SERIKALI

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kupanda kwa gharama za maisha na mfumuko wa bei kunatokana na majanga yanayoendelea kuikumba Dunia na sio matatizo ya Sera

Soma https://jamii.app/MfumkoWaBei
#JFUchumi
TAKUKURU YAINGILIA KATI SAKATA LA MAKONDA NA GHALIB SAID MOHAMED KUGOMBEA KIWANJA

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Salum Hamduni athibitisha wanafanyia kazi suala hilo

Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Dar, Idrisa Kayera amesema Mamlaka zinafanya Uchunguzi

Soma - https://jamii.app/MakondaGSM
PUTIN: OPERESHENI YA URUSI NCHINI UKRAINE IMEFANIKIWA

Rais wa #Urusi, Vladimir Putin amesema Operesheni ya Kijeshi Nchini #Ukraine imefanikiwa

> Amesema Benki Kuu ya Urusi haina haja ya kuchapisha pesa mpya

Soma > https://jamii.app/UkraineRussia

#JamiiForums #RussianUkraineWar
RAIS SAMIA: NAPENDA KUIONA TANZANIA YENYE #DEMOKRASIA YA KISTAARABU

Katika mahojiano na Mwananchi Digital, amesema anapenda kuiona #Tanzania yenye Raia wanaojielewa ktk kuitetea Nchi, sio wanaoambiwa waingie barabarani na kuharibu mali za watu

Soma - https://jamii.app/Wanaojielewa
MWANZA: Diana Bundala 'Mfalme Zumaridi' na wenzake 84 wamefikishwa Mahakamani kusomewa Maelezo ya awali katika mashtaka matatu yakiwemo usafirishaji haramu wa binadamu na kuzuia Maofisa wa Serikali kutimiza wajibu wao

Soma - https://jamii.app/Zumaridi

#JamiiForums #JFLeo
NJOMBE: JELA MIAKA 30 KWA KUMBAKA MPWA WAKE WA MIAKA 15

Mahakama imemhukumu Furaha Samweli Ligate miaka 30 jela kwa kumbaka Mpwa wake aliyekuwa amehitimu Darasa la Saba mwaka 2021

Mshtakiwa alitishia endapo angesema anafanyiwa ukatili huo

Soma - https://jamii.app/UbakajiNjombe

#JFLeo
NIGER: WATU 21 WAUAWA KATIKA SHAMBULIO LA KIGAIDI

Watu waliokuwa na silaha nzito wanaodhaniwa kuwa ni magaidi wameshambulia basi na lori eneo la Tillaberi

Maafisa wa Polisi wawili wameuawa na mmoja kujeruhiwa katika shambulio hilo

Soma - https://jamii.app/Niger21
#JFLeo