Yanayojiri katika Mazungumzo ya Demokrasia Nchini Tanzania kupitia Digitali yanayoendelea hivi sasa
Mazungumzo haya yanaongozwa na Balozi wa Sweden hapa Nchini, Anders SjΓΆberg
Fuatilia > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Mazungumzo haya yanaongozwa na Balozi wa Sweden hapa Nchini, Anders SjΓΆberg
Fuatilia > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Ungana nasi katika Mazungumzo ya Demokrasia Nchini #Tanzania kupitia Digitali yanayolenga kujenga na kubadilishana uzoefu kuhusu #Demokrasia ya Kidigitali kama njia ya kuimarisha Maendeleo
Zaidi, tembelea > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Zaidi, tembelea > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Maxence Melo: Nyanja za Kidigitali sasa hivi zinatoa nafasi kwa Watu kutoa maoni yao.
Tunaona hata Mamlaka za Serikali zikielekea huko kufahamu Wananchi wanasema nini
Hata Kesi za Mahakamani, sasa hivi Watu wanaweza kuzifuatilia kwa kutumia Uwanja wa Digitali
Soma zaidi > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Tunaona hata Mamlaka za Serikali zikielekea huko kufahamu Wananchi wanasema nini
Hata Kesi za Mahakamani, sasa hivi Watu wanaweza kuzifuatilia kwa kutumia Uwanja wa Digitali
Soma zaidi > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Maxence Melo: Tulipata changamoto sana kuhusu Sera yetu ya Faragha hata kufikishwa mahakamani lakini kwa sasa naona Serikali imesema wazi kuwa iko katika hatua za mwisho za uandaaji wa Muswada wa Ulinzi wa taarifa binafsi na faragha za Watanzania
#DemocracyTalkTz
#DemocracyTalkTz
Ungana nasi katika Mazungumzo ya Demokrasia Tanzania kupitia Digitali
Tembelea > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Tembelea > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Maoni ya Wadau mbalimbali katika Mazungumzo ya Demokrasia Tanzania kupitia Digitali
#JamiiForums #DemocracyTalkTz
#JamiiForums #DemocracyTalkTz
Katika Mjadala wa Demokrasia, Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza, Aidan Eyakuze amesema ni muhimu kuzungumza kwa namna gani Serikali inaongeza Demokrasia kupitia uwanja wa kidigitali
Amesisitiza kuwa Serikali ya Kidigitali sio Demokrasia ya Kidigitali, na Ushiriki wa Watu Kidigitali nao haumaanishi Demokrasia
Soma > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Amesisitiza kuwa Serikali ya Kidigitali sio Demokrasia ya Kidigitali, na Ushiriki wa Watu Kidigitali nao haumaanishi Demokrasia
Soma > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz