Jopo la Wazungumzaji litahusisha hadhira inayowakilisha Serikali, Mashirika ya kiraia na Wabunifu.
Wadau wakuu watazungumza kuhusu hali ya sasa ya Demokrasia ya Kidigitali Nchini #Tanzania pamoja na matarajio yake. Kuangazia mafanikio yaliyopatikana na changamoto kupitia #Teknolojia za Kidigitali ili kukuza Serikali iliyo wazi na ushiriki hai wa Wananchi.
#JamiiForums #Democracy #DigitalSpaces
Wadau wakuu watazungumza kuhusu hali ya sasa ya Demokrasia ya Kidigitali Nchini #Tanzania pamoja na matarajio yake. Kuangazia mafanikio yaliyopatikana na changamoto kupitia #Teknolojia za Kidigitali ili kukuza Serikali iliyo wazi na ushiriki hai wa Wananchi.
#JamiiForums #Democracy #DigitalSpaces
Yanayojiri katika Mazungumzo ya Demokrasia Nchini Tanzania kupitia Digitali yanayoendelea hivi sasa
Mazungumzo haya yanaongozwa na Balozi wa Sweden hapa Nchini, Anders Sjรถberg
Fuatilia > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Mazungumzo haya yanaongozwa na Balozi wa Sweden hapa Nchini, Anders Sjรถberg
Fuatilia > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Ungana nasi katika Mazungumzo ya Demokrasia Nchini #Tanzania kupitia Digitali yanayolenga kujenga na kubadilishana uzoefu kuhusu #Demokrasia ya Kidigitali kama njia ya kuimarisha Maendeleo
Zaidi, tembelea > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Zaidi, tembelea > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Maxence Melo: Nyanja za Kidigitali sasa hivi zinatoa nafasi kwa Watu kutoa maoni yao.
Tunaona hata Mamlaka za Serikali zikielekea huko kufahamu Wananchi wanasema nini
Hata Kesi za Mahakamani, sasa hivi Watu wanaweza kuzifuatilia kwa kutumia Uwanja wa Digitali
Soma zaidi > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Tunaona hata Mamlaka za Serikali zikielekea huko kufahamu Wananchi wanasema nini
Hata Kesi za Mahakamani, sasa hivi Watu wanaweza kuzifuatilia kwa kutumia Uwanja wa Digitali
Soma zaidi > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Maxence Melo: Tulipata changamoto sana kuhusu Sera yetu ya Faragha hata kufikishwa mahakamani lakini kwa sasa naona Serikali imesema wazi kuwa iko katika hatua za mwisho za uandaaji wa Muswada wa Ulinzi wa taarifa binafsi na faragha za Watanzania
#DemocracyTalkTz
#DemocracyTalkTz
Ungana nasi katika Mazungumzo ya Demokrasia Tanzania kupitia Digitali
Tembelea > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Tembelea > https://jamii.app/DemocracyTalk
#DemocracyTalkTz
Maoni ya Wadau mbalimbali katika Mazungumzo ya Demokrasia Tanzania kupitia Digitali
#JamiiForums #DemocracyTalkTz
#JamiiForums #DemocracyTalkTz