UPDATES: Mamlaka Nchini #Ukraine zinasema shambulio la Urusi limeua Wanajeshi wapatao 70 kwenye Kitengo cha Kijeshi huko Okhtyrka, Mji ulioko kati ya Kharkiv na Kyiv
Umoja wa Mataifa umesema idadi ya watu waliokimbia Ukraine imefikia 520,000
Soma - https://jamii.app/UrusiUkraine1
Umoja wa Mataifa umesema idadi ya watu waliokimbia Ukraine imefikia 520,000
Soma - https://jamii.app/UrusiUkraine1
UFAHAMU UGONJWA WA POLIO (2)
Ugonjwa huu hauna tiba, na njia kuu ya kuuzuia ni kuwapatia watoto chanjo ya Polio ambayo hutolewa kwa Dozi Nne
Wataalamu wanasema ni muhimu Mtoto akamilishe ratiba ya Chanjo kama inavyotakiwa ili kupata kinga kamili
Soma - https://jamii.app/UgonjwaPolio
Ugonjwa huu hauna tiba, na njia kuu ya kuuzuia ni kuwapatia watoto chanjo ya Polio ambayo hutolewa kwa Dozi Nne
Wataalamu wanasema ni muhimu Mtoto akamilishe ratiba ya Chanjo kama inavyotakiwa ili kupata kinga kamili
Soma - https://jamii.app/UgonjwaPolio
LINDI: MGANGA ATUHUMIWA KUMBAKA MWANAFUNZI
Jeshi la Polisi Mkoani humo linamtafuta Mganga wa Kienyeji Juma Salumu maarufu 'Juma Kipanya' anayekabiliwa na tuhuma za kubaka na kumpa ujauzito Mwanafunzi (15) wa Darasa la Saba
Soma - https://jamii.app/LindiMganga
#HumanRightsViolations
Jeshi la Polisi Mkoani humo linamtafuta Mganga wa Kienyeji Juma Salumu maarufu 'Juma Kipanya' anayekabiliwa na tuhuma za kubaka na kumpa ujauzito Mwanafunzi (15) wa Darasa la Saba
Soma - https://jamii.app/LindiMganga
#HumanRightsViolations
URUSI: Kocha wa Klabu ya Lokomotiv Moscow, Markus Gisdol (52), amejiuzulu akipinga uvamizi wa Urusi kwa Ukraine
Asema βSiwezi kuwa kwenye uwanja wa mazoezi huko Moscow kufundisha wachezaji wakati umbali wa Kilomita chache yanatolewa maagizo yanayoleta mateso kwa watuβ
#JFSports
Asema βSiwezi kuwa kwenye uwanja wa mazoezi huko Moscow kufundisha wachezaji wakati umbali wa Kilomita chache yanatolewa maagizo yanayoleta mateso kwa watuβ
#JFSports
GENEVA: Zaidi ya Wajumbe 140 wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, leo Machi 1, 2022 walitoka nje ya ukumbi wakikataa kusikiliza hotuba ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergei Lavrov
> Wanapinga uvamizi wa Urusi Nchini Ukraine
Soma - https://jamii.app/UNRussia
> Wanapinga uvamizi wa Urusi Nchini Ukraine
Soma - https://jamii.app/UNRussia
ADIDAS YAVUNJA USHIRIKIANO NA URUSI
Adidas imesimamisha ushirikiano na Chama cha Soka cha Urusi baada ya nchi hiyo kuvamia Ukraine
Adidas ambayo ni Kampuni ya 2 kwa ukubwa kwa utengenezaji wa vifaa vya michezo, imesitisha udhamini wa jezi za Urusi ulioanza mwaka 2008
#JFSports
Adidas imesimamisha ushirikiano na Chama cha Soka cha Urusi baada ya nchi hiyo kuvamia Ukraine
Adidas ambayo ni Kampuni ya 2 kwa ukubwa kwa utengenezaji wa vifaa vya michezo, imesitisha udhamini wa jezi za Urusi ulioanza mwaka 2008
#JFSports
GHANA: Kundi la kwanza la Raia wa Ghana wakiwemo Wanafunzi limewasili Accra Nchini humo toka Ukraine ambapo kuna machafuko ya kushambuliwa na Urusi
> Inaelezwa kuwa, wengi wa Raia hao wanaelekea Slovakia, Hungary, Romania na Poland
Soma - https://jamii.app/GhanaUkraine
> Inaelezwa kuwa, wengi wa Raia hao wanaelekea Slovakia, Hungary, Romania na Poland
Soma - https://jamii.app/GhanaUkraine
UTEUZI: Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Yusuph Juma Mwenda kuwa Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB). Uteuzi wake unaanza leo Machi 01, 2022
Kabla ya kuteuliwa na Rais Mwinyi, Mwenda alikuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Soma - https://jamii.app/UteuziZRB
Kabla ya kuteuliwa na Rais Mwinyi, Mwenda alikuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Soma - https://jamii.app/UteuziZRB
MDAU: WAZAZI HUCHANGIA KUHARIBU NDOA ZA WATOTO WAO
Anasema Ndugu/Wazazi wanapokuja kukaa kwa Mtoto wao mwenye Ndoa huwa na Mitazamo tofauti ya namna wanavyotegemea Ndoa iwe na huweza hata kuleta mfarakano na kuharibu Uhusiano uliopo
Ikiwa Ndugu wanakuja kuishi nanyi ni vema kuwe na sababu zinazochangia kukaa na nyie ikiwemo Ugonjwa au Maisha magumu. Lakini kama Mzazi ana nguvu na anaweza kufanya kazi zake za kawaida ni makosa kuishi kwa Mwanao aliyeoa/aliyeolewa
Msome - https://jamii.app/WazaziNdoaMtoto
#Maisha #Mapenzi
Anasema Ndugu/Wazazi wanapokuja kukaa kwa Mtoto wao mwenye Ndoa huwa na Mitazamo tofauti ya namna wanavyotegemea Ndoa iwe na huweza hata kuleta mfarakano na kuharibu Uhusiano uliopo
Ikiwa Ndugu wanakuja kuishi nanyi ni vema kuwe na sababu zinazochangia kukaa na nyie ikiwemo Ugonjwa au Maisha magumu. Lakini kama Mzazi ana nguvu na anaweza kufanya kazi zake za kawaida ni makosa kuishi kwa Mwanao aliyeoa/aliyeolewa
Msome - https://jamii.app/WazaziNdoaMtoto
#Maisha #Mapenzi
π1
VISA NA MASTERCARD ZAFUNGIA TAASISI ZA FEDHA ZA URUSI
- Zimezifungia Taasisi hizo kutumia mifumo ya huduma zake ikiwa ni sehemu ya vikwazo kwa Urusi
- Pia, zimeahidi kutoa Dola za Kimarekani Milioni 2 kila moja kwa ajili ya kusaidia Ukraine
Soma https://jamii.app/VisaMastercard-Ur
#JFLeo
- Zimezifungia Taasisi hizo kutumia mifumo ya huduma zake ikiwa ni sehemu ya vikwazo kwa Urusi
- Pia, zimeahidi kutoa Dola za Kimarekani Milioni 2 kila moja kwa ajili ya kusaidia Ukraine
Soma https://jamii.app/VisaMastercard-Ur
#JFLeo
FC SPARTAK MOSCOW: TUMETOLEWA EUROPA KWA SABABU ZISIZO ZA KIMICHEZO
Klabu hiyo ya Urusi iliyotolewa Ligi ya Europa kutokana na Urusi kuvamia Ukraine, imesema hatua hiyo inasikitisha
Imesema βTunaamini michezo hata kwenye wakati mgumu inatakiwa kujenga madaraja na si kuyaunguzaβ
#JFSports
Klabu hiyo ya Urusi iliyotolewa Ligi ya Europa kutokana na Urusi kuvamia Ukraine, imesema hatua hiyo inasikitisha
Imesema βTunaamini michezo hata kwenye wakati mgumu inatakiwa kujenga madaraja na si kuyaunguzaβ
#JFSports
MAHAKAMA YA ICC KUCHUNGUZA UHALIFU WA KIVITA UKRAINE
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imesema ktk uchunguzi wa awali imeridhika kuna sababu za msingi za kuamini madai ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya Binadamu umefanyika Nchini Ukraine
Soma https://jamii.app/ICCUkraine
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imesema ktk uchunguzi wa awali imeridhika kuna sababu za msingi za kuamini madai ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya Binadamu umefanyika Nchini Ukraine
Soma https://jamii.app/ICCUkraine
RAIS BIDEN: PUTIN ALIKATAA DIPLOMASIA, HAJUI KILICHOPO MBELE
Asema Vita dhidi ya #Ukraine ilipangwa bila kuchochewa, na Rais Putin alifikiri Nchi za Magharibi hazitojibu
Marekani itapiga marufuku Ndege za Urusi kwenye Anga lake
Soma - https://jamii.app/BidenPutin
#RussiaUkraine
Asema Vita dhidi ya #Ukraine ilipangwa bila kuchochewa, na Rais Putin alifikiri Nchi za Magharibi hazitojibu
Marekani itapiga marufuku Ndege za Urusi kwenye Anga lake
Soma - https://jamii.app/BidenPutin
#RussiaUkraine
LEO NI JUMATANO YA MAJIVU. KWARESMA KUANZA
- Siku ya kwanza ya Kwaresma huitwa Jumatano ya Majivu kutokana na tendo la kupakwa Majivu
- Kwaresma ni siku 40 za kufunga, kusali, kutafakari Neno la Mungu na kufanya matendo ya huruma
Kwa Historia, soma - https://jamii.app/Kwaresima
- Siku ya kwanza ya Kwaresma huitwa Jumatano ya Majivu kutokana na tendo la kupakwa Majivu
- Kwaresma ni siku 40 za kufunga, kusali, kutafakari Neno la Mungu na kufanya matendo ya huruma
Kwa Historia, soma - https://jamii.app/Kwaresima
JE, WAJUA?: Chupa moja ya Damu inaweza kuokoa Maisha ya Watu Watatu. Mwanamke anaweza kuchangia Damu kila baada ya Miezi 4 na Mwanaume anaweza kuchangia kila baada ya Miezi Mitatu
Kila unapotoa Damu unafanyiwa uchunguzi mdogo wa #Afya. Damu inayochangiwa huchunguzwa Virusi vya UKIMWI, Kaswende na Homa ya Ini (Hepatitis B&C). Matokeo ya uchunguzi hayatolewi hadharani, bali ni mtoaji tu ndiye atakayepewa.
#JamiiForums #BloodDonation #DidYouKnow
Kila unapotoa Damu unafanyiwa uchunguzi mdogo wa #Afya. Damu inayochangiwa huchunguzwa Virusi vya UKIMWI, Kaswende na Homa ya Ini (Hepatitis B&C). Matokeo ya uchunguzi hayatolewi hadharani, bali ni mtoaji tu ndiye atakayepewa.
#JamiiForums #BloodDonation #DidYouKnow
MDAU: UTHUBUTU NI SILAHA YA MAFANIKIO
Anasema woga wa kufanya makosa ni tabia iliyowafungia wengi nje ya fursa nono, ikiwapotezea muda na ujasiri. Hatua mojawapo kutoka kwenye umasikini na unyonge ni kutoogopa gharama za makosa
Soma - https://jamii.app/UthubutuSOC
#StoriesOfChange
Anasema woga wa kufanya makosa ni tabia iliyowafungia wengi nje ya fursa nono, ikiwapotezea muda na ujasiri. Hatua mojawapo kutoka kwenye umasikini na unyonge ni kutoogopa gharama za makosa
Soma - https://jamii.app/UthubutuSOC
#StoriesOfChange
Kampuni ya kutengeneza Ndege ya Marekani ya #Boeing (BA.N) imesitisha usambazaji wa Vifaa, matengenezo na usaidizi wa kiufundi kwa Mashirika ya Ndege ya Urusi kama sehemu ya vikwazo vilivyowekwa kutokana na uvamizi wake #Ukraine
Soma - https://jamii.app/BoeingRussia
#RussiaUkraineWar
Soma - https://jamii.app/BoeingRussia
#RussiaUkraineWar
Kuelekea Siku ya Usikivu Duniani (Machi 03, 2022), Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema zaidi ya Watu Bilioni 1 Duniani wapo katika hatari ya kupoteza uwezo wa kusikia kutokana na mazoea ya kusikiliza muziki kwa sauti kubwa, na kwa muda mrefu
Soma - https://jamii.app/WHD2022
Soma - https://jamii.app/WHD2022
NJOMBE: WANANCHI WALIOIBIWA MASUFURIA YA WALI WAITWA POLISI
Wananchi #Njombe wameitwa kituoni kutambua mali zilizokamatwa wakati wa doria ya Polisi
Baadhi ya mali ni magodoro, pikipiki, sufuria, mitungi ya gesi, jiko, laptop na TV
Soma - https://jamii.app/SufuriaNjombe
#JamiiForums
Wananchi #Njombe wameitwa kituoni kutambua mali zilizokamatwa wakati wa doria ya Polisi
Baadhi ya mali ni magodoro, pikipiki, sufuria, mitungi ya gesi, jiko, laptop na TV
Soma - https://jamii.app/SufuriaNjombe
#JamiiForums
APPLE YASITISHA KUUZA BIDHAA URUSI
Kampuni hiyo kubwa ya Teknolojia pia imesema huduma nyingine zikiwemo Apple Pay na Apple Maps zitadhibitiwa kufuatia uvamizi uliofanywa na Urusi dhidi ya #Ukraine, na kupekelea maelfu kukimbilia Mataifa jirani
Soma - https://jamii.app/AppleUrusi
Kampuni hiyo kubwa ya Teknolojia pia imesema huduma nyingine zikiwemo Apple Pay na Apple Maps zitadhibitiwa kufuatia uvamizi uliofanywa na Urusi dhidi ya #Ukraine, na kupekelea maelfu kukimbilia Mataifa jirani
Soma - https://jamii.app/AppleUrusi