UKRAINE: WAFUNGWA WENYE UZOEFU WA KIJESHI KUACHWA HURU
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali asema wataachwa huru ili wasaidie kuipigania Nchi yao
Aidha, Wanawake wamesema watapambana kwa kuchangia damu ili kunusuru majeruhi
Soma - https://jamii.app/MilitaryExperience
#RussiaUkraineConflict
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali asema wataachwa huru ili wasaidie kuipigania Nchi yao
Aidha, Wanawake wamesema watapambana kwa kuchangia damu ili kunusuru majeruhi
Soma - https://jamii.app/MilitaryExperience
#RussiaUkraineConflict
MWANZA: 'MFALME ZUMARIDI' AKAMATWA NA POLISI
Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi anakabiliwa na tuhuma za usafirishaji haramu wa binadamu na unyonyaji. Amesafirisha watu 149 wakiwemo Watoto 24
Amekuwa akiwaaminisha watu kuwa yeye ni Mungu
Soma - https://jamii.app/MfalmeZumaridi
Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi anakabiliwa na tuhuma za usafirishaji haramu wa binadamu na unyonyaji. Amesafirisha watu 149 wakiwemo Watoto 24
Amekuwa akiwaaminisha watu kuwa yeye ni Mungu
Soma - https://jamii.app/MfalmeZumaridi
MPANGO WA VIBERENGE MLIMA KILIMANJARO WAINGIA DOA, WAZIRI MKUU AUKOSOA
Ametaka tathmini ya kina kufanyika akisema, "Nasikia mnataka kuweka kiberenge cha kupanda Mlima Kilimanjaro, mnataka kuua Mlima? Mkiweka machuma ya kupanda Mlima mtaharibu"
Soma - https://jamii.app/PMKili
Ametaka tathmini ya kina kufanyika akisema, "Nasikia mnataka kuweka kiberenge cha kupanda Mlima Kilimanjaro, mnataka kuua Mlima? Mkiweka machuma ya kupanda Mlima mtaharibu"
Soma - https://jamii.app/PMKili
#Ukraine imeonesha utayari wa kufanya mazungumzo na #Urusi mpakani mwa nchi hizo mbili ili kupunguza athari kwa raia wasio na hatia
Hatua imekuja baada ya Urusi kuonesha kuwa ingeweza kutumia Bomu la Nyuklia kuipiga Ukraine
Soma https://jamii.app/MazungumzoVita
#RussiaUkraineConflict
Hatua imekuja baada ya Urusi kuonesha kuwa ingeweza kutumia Bomu la Nyuklia kuipiga Ukraine
Soma https://jamii.app/MazungumzoVita
#RussiaUkraineConflict
UMOJA WA ULAYA (EU) WAPIGA MARUFUKU NDEGE ZA URUSI
Hii inamaanisha Ndege za Urusi hazitoweza kutua, kuruka au kupita juu ya anga la Nchi yoyote ya Umoja huo
Pia, umepiga marufuku Vyombo vya Habari vya Sputnik na Russia Today
Soma https://jamii.app/EURussiaBan
#RussiaUkraineCrisis
Hii inamaanisha Ndege za Urusi hazitoweza kutua, kuruka au kupita juu ya anga la Nchi yoyote ya Umoja huo
Pia, umepiga marufuku Vyombo vya Habari vya Sputnik na Russia Today
Soma https://jamii.app/EURussiaBan
#RussiaUkraineCrisis
#UPDATES - UKRAINE: Shirika la UNHCR limesema idadi ya wanaokimbia Vita Nchini #Ukraine imefikia Watu 368,000
Makadirio ya Jumamosi tu zaidi ya Watu 150,000 wamekimbilia #Poland, na Mataifa mengine ikiwemo #Hungary na #Romania
Soma https://jamii.app/RefugeesUkraine
#RussiaUkraineConflict
Makadirio ya Jumamosi tu zaidi ya Watu 150,000 wamekimbilia #Poland, na Mataifa mengine ikiwemo #Hungary na #Romania
Soma https://jamii.app/RefugeesUkraine
#RussiaUkraineConflict
DR CONGO: Boti ya mizigo imewaka moto Bandarini na kuua watu 20, huku wengine 11 wakiungua vibaya
Serikali imepiga marufuku abiria kupanda boti za mizigo lakini wengi hutumia usafiri huo kutokana na Miundombinu duni ya Barabara
Soma - https://jamii.app/20DeadDRC
#JamiiForums
Serikali imepiga marufuku abiria kupanda boti za mizigo lakini wengi hutumia usafiri huo kutokana na Miundombinu duni ya Barabara
Soma - https://jamii.app/20DeadDRC
#JamiiForums
MICHEZO: Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeiamuru Urusi kucheza Mechi bila Bendera na Wimbo wa Taifa katika viwanja visivyoegemea upande wowote, ikionya huenda Nchi hiyo ikaondolewa kwenye mashindano ikiwa hali ya #Ukraine haitaimarika
Soma https://jamii.app/FIFARussia
#JFSports
Soma https://jamii.app/FIFARussia
#JFSports
MICHEZO: Wajumbe wa Bodi ya Udhamini ya Chelsea hawajakubali maombi ya Roman Abramovich kukabidhi majukumu ya kuiongoza timu kwa bodi hiyo huku yeye akibaki kuwa Mmiliki
> Inaelezwa, hofu ya Wajumbe hao ni kuonekana wanatumia klabu kwa malengo binafsi
Soma - https://jamii.app/31/Chelsea
> Inaelezwa, hofu ya Wajumbe hao ni kuonekana wanatumia klabu kwa malengo binafsi
Soma - https://jamii.app/31/Chelsea
UFAHAMU UGONJWA WA POLIO (1)
Unasababishwa na Kirusi cha #Polio kinachoambukizwa kutoka kwa mtu aliyeathirika kwa kunywa/kula Chakula au kinywaji kilichochafuliwa na kinyesi chenye vimelea vya Ugonjwa
Unawaathiri zaidi Watoto chini ya Miaka 5
Soma - https://jamii.app/UgonjwaPolio
Unasababishwa na Kirusi cha #Polio kinachoambukizwa kutoka kwa mtu aliyeathirika kwa kunywa/kula Chakula au kinywaji kilichochafuliwa na kinyesi chenye vimelea vya Ugonjwa
Unawaathiri zaidi Watoto chini ya Miaka 5
Soma - https://jamii.app/UgonjwaPolio
RUKWA: Watu saba wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi kwenye maeneo tofauti katika Wilaya za Nkasi na Sumbawanga mkoani Rukwa, Februari 26, 2022
> Matukio yote hayo yametokea wakati watu hao wakiwa shambani
Soma - https://jamii.app/32/RadiYaua
#JamiiForums #JFMatukio
> Matukio yote hayo yametokea wakati watu hao wakiwa shambani
Soma - https://jamii.app/32/RadiYaua
#JamiiForums #JFMatukio
WATALII TAKRIBAN 1,000 KUTOKA UKRAINE WADAIWA KUKWAMA ZANZIBAR
Leila Mohammed Musa, ambaye ni Waziri wa Utalii #Zanzibar amesema wanapanga kuwapeleka Nchi jirani ya #Poland
Taarifa zaidi zitatolewa pindi Balozi wa Ukraine atakapofika Zanzibar leo
Soma - https://jamii.app/WataliiUkraineZNZ
Leila Mohammed Musa, ambaye ni Waziri wa Utalii #Zanzibar amesema wanapanga kuwapeleka Nchi jirani ya #Poland
Taarifa zaidi zitatolewa pindi Balozi wa Ukraine atakapofika Zanzibar leo
Soma - https://jamii.app/WataliiUkraineZNZ
Benki Kuu ya Urusi imetangaza kuongeza kiwango chake cha riba kufikia 20% kutoka 9.5%, ili kukabiliana na hatari ya kushuka kwa thamani ya Fedha na mfumuko wa bei
Pia, imeamuru Kampuni kuuza 80% ya mapato yao ya Fedha za kigeni
Soma - https://jamii.app/RussiaRateSpike
#RussiaUkraineWar
Pia, imeamuru Kampuni kuuza 80% ya mapato yao ya Fedha za kigeni
Soma - https://jamii.app/RussiaRateSpike
#RussiaUkraineWar
Balozi Dkt. Wilbrod Slaa amekiri kuudhika na maneno 'Mbowe si Gaidi' yanayotolewa na baadhi ya Wananchi kuhusu kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe
> Amesema Wananchi wanatakiwa kuiachia Mahakama kutoa maamuzi
Soma - https://jamii.app/34/Mbowe
#JamiiForums
> Amesema Wananchi wanatakiwa kuiachia Mahakama kutoa maamuzi
Soma - https://jamii.app/34/Mbowe
#JamiiForums
BULGARIA: Waziri Mkuu, Kiril Petkov asema atamfuta kazi Waziri wa Ulinzi, Stefan Yanev baada ya Kiongozi huyo kusita kuelezea uvamizi wa Urusi dhidi ya #Ukraine kama vita akisisitiza "Waziri wangu hawezi kutumia neno operesheni badala ya vita"
Soma - https://jamii.app/BulgariaMD
Soma - https://jamii.app/BulgariaMD
SERIKALI YAONDOA TOZO YA TSH. 100 KWENYE MAFUTA
Tozo hiyo kwa kila Lita ya Dizeli, Petroli na Mafuta ya Taa yaondolewa kulinda Wananchi na athari za mabadiliko ya Bei za Mafuta
Bei zimepanda kutokana na sababu kadhaa ikiwemo vita ya Urusi & Ukraine
Soma https://jamii.app/TZTozoMafuta
Tozo hiyo kwa kila Lita ya Dizeli, Petroli na Mafuta ya Taa yaondolewa kulinda Wananchi na athari za mabadiliko ya Bei za Mafuta
Bei zimepanda kutokana na sababu kadhaa ikiwemo vita ya Urusi & Ukraine
Soma https://jamii.app/TZTozoMafuta
#BELARUS: RAIS LUKASHENKO AJIONGEZEA MUDA WA KUKAA MADARAKANI
Tume ya Uchaguzi imesema 65% ya Watu waliopiga kura wameridhia mabadiliko ya #Katiba
Mabadiliko yanampa Rais Lukashenko aliyeiongoza tangu 1994 muda zaidi Madarakani na kinga ya Maisha
Soma - https://jamii.app/LukashenkoPower
Tume ya Uchaguzi imesema 65% ya Watu waliopiga kura wameridhia mabadiliko ya #Katiba
Mabadiliko yanampa Rais Lukashenko aliyeiongoza tangu 1994 muda zaidi Madarakani na kinga ya Maisha
Soma - https://jamii.app/LukashenkoPower
UKRAINE YASAINI MAOMBI YA KUJIUNGA UMOJA WA ULAYA (EU)
Pia, Rais Volodymyr ameomba Umoja huo uiruhusu #Ukraine ipate Uanachama mapema iwezekanavyo, chini ya Utaratibu Maalum wakati ikijilinda dhidi ya mashambulizi ya Urusi
Soma - https://jamii.app/UkraineEU
#RussiaUkraineCrisis
Pia, Rais Volodymyr ameomba Umoja huo uiruhusu #Ukraine ipate Uanachama mapema iwezekanavyo, chini ya Utaratibu Maalum wakati ikijilinda dhidi ya mashambulizi ya Urusi
Soma - https://jamii.app/UkraineEU
#RussiaUkraineCrisis
URUSI YAENDELEA KUISHAMBULIA UKRAINE LICHA YA MAZUNGUMZO
Makombora yaua watu kadhaa #Kharkiv, na ving'ora vya mashambulizi ya anga vimesikika tena katika Mji Mkuu, #Kyiv
Rais Volodymyr asema shambulio la Urusi huko Kharkiv ni uhalifu wa kivita
Soma - https://jamii.app/RussiaAttacks
Makombora yaua watu kadhaa #Kharkiv, na ving'ora vya mashambulizi ya anga vimesikika tena katika Mji Mkuu, #Kyiv
Rais Volodymyr asema shambulio la Urusi huko Kharkiv ni uhalifu wa kivita
Soma - https://jamii.app/RussiaAttacks