KISUTU, DAR: MADABIDA NA WENZAKE WAACHIWA HURU
Aliyekuwa M/kiti wa CCM - Dar, Ramadhani Madabida na wenzake 5 walikuwa wakikabiliwa na mashtaka matano likiwemo la kusambaza makopo 7,776 ya Dawa Bandia za kufubaza VVU (ARV) aina ya Antiretroviral.
Soma - https://jamii.app/MadabidaFree
Aliyekuwa M/kiti wa CCM - Dar, Ramadhani Madabida na wenzake 5 walikuwa wakikabiliwa na mashtaka matano likiwemo la kusambaza makopo 7,776 ya Dawa Bandia za kufubaza VVU (ARV) aina ya Antiretroviral.
Soma - https://jamii.app/MadabidaFree
MTWARA: MWANAFUNZI AANDIKA BARUA KWA MWALIMU MKUU KUKATAA SHULE
Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza Shule ya Sekondari Madimba ameandika barua kwa Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo kukataa kuendelea kusoma, akisema Masomo yamemshinda
Soma - https://jamii.app/ShuleBasiUvuvi
#JFLeo
Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza Shule ya Sekondari Madimba ameandika barua kwa Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo kukataa kuendelea kusoma, akisema Masomo yamemshinda
Soma - https://jamii.app/ShuleBasiUvuvi
#JFLeo
NAIROBI, KENYA: MUSWADA WA KUDHIBITI KAMARI WAANDALIWA
Muswada huo utafanya Michezo ya kubeti na kamari Jijini #Nairobi iwe inachezwa kwenye Hoteli zenye hadhi ya Nyota Tano na Casino tu, huku muda wa kucheza ukiwa saa 2 usiku hadi 12 alfajiri
Soma - https://jamii.app/BettingGambling
Muswada huo utafanya Michezo ya kubeti na kamari Jijini #Nairobi iwe inachezwa kwenye Hoteli zenye hadhi ya Nyota Tano na Casino tu, huku muda wa kucheza ukiwa saa 2 usiku hadi 12 alfajiri
Soma - https://jamii.app/BettingGambling
UKRAINE: RAIS KUMPATIA SILAHA KILA RAIA ANAYETAKA KUIPIGA URUSI
Rais Volodymyr Zelensky amewahamasisha Raia kupigania Nchi yao, na kusema silaha zitatolewa
Kufuatia Urusi kuivamia, #Ukraine imesitisha uhusiano wake wa Kidiplomasia na Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/SilahaUkraine
Rais Volodymyr Zelensky amewahamasisha Raia kupigania Nchi yao, na kusema silaha zitatolewa
Kufuatia Urusi kuivamia, #Ukraine imesitisha uhusiano wake wa Kidiplomasia na Taifa hilo
Soma - https://jamii.app/SilahaUkraine
WANAOVUJISHA MIAMALA YA WATEJA KUCHUKULIWA HATUA
Waziri wa Sheria, George Simbachawene ameagiza Kampuni za Mawasiliano kuchunguzwa na hatua kuwachukuliwa dhidi ya Watumishi ambao wanavujisha Taarifa za Miamala ya Wateja kwa wahalifu wa Mitandaoni
Soma - https://jamii.app/WatejaTaarifa
Waziri wa Sheria, George Simbachawene ameagiza Kampuni za Mawasiliano kuchunguzwa na hatua kuwachukuliwa dhidi ya Watumishi ambao wanavujisha Taarifa za Miamala ya Wateja kwa wahalifu wa Mitandaoni
Soma - https://jamii.app/WatejaTaarifa
SCHALKE O4 KUONDOA NEMBO YA KAMPUNI YA URUSI KWENYE JEZI
- Klabu hiyo ya Ujerumani imethibitisha kuondoa kwenye jezi zake nembo ya mdhamini mkuu wa Klabu, Kampuni ya Gazprom inayomilikiwa na Urusi
- Imesema sehemu ilipokuwa inakaa nembo yatawekwa maneno βSchalke 04β
#JFSports
- Klabu hiyo ya Ujerumani imethibitisha kuondoa kwenye jezi zake nembo ya mdhamini mkuu wa Klabu, Kampuni ya Gazprom inayomilikiwa na Urusi
- Imesema sehemu ilipokuwa inakaa nembo yatawekwa maneno βSchalke 04β
#JFSports
TANESCO: KUANZIA JULAI, UMEME UTAINGIA BILA KUANDIKA TOKEN KWENYE MITA
Kuanzia Julai, Smart Meters zitaanza kutumika. Umeme utawaka moja kwa moja kama ilivyo huduma za king'amuzi
Suala la Token liliwahi kulalamikiwa kupitia #StoriesOfChange ya JF
Soma - https://jamii.app/SmartMeters
Kuanzia Julai, Smart Meters zitaanza kutumika. Umeme utawaka moja kwa moja kama ilivyo huduma za king'amuzi
Suala la Token liliwahi kulalamikiwa kupitia #StoriesOfChange ya JF
Soma - https://jamii.app/SmartMeters
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
#UPDATES: Takriban Raia 10 na Wanajeshi 40 wa #Ukraine wameripotiwa kuuawa katika mashambulizi ya Anga yaliyofanywa na Urusi leo Februari 24, 2022 katika Mji wa #Odessa
Taarifa ya Vifo hivyo imetolewa na Msaidizi wa Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine alipozungumza na Waandishi.
#RussianInvasion #RussiaUkraine
Taarifa ya Vifo hivyo imetolewa na Msaidizi wa Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine alipozungumza na Waandishi.
#RussianInvasion #RussiaUkraine
MDAU: VITU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUHAMIA DAR
Anashauri wanaotaka kuhamia Dar wahakikishe wana Ujuzi na Nidhamu ya Fedha
Asema si tatizo Kijana wa Mkoani kuja Dar, lakini ni muhimu kujiuliza; Mambo yakienda tofauti utafanyaje?
Soma - https://jamii.app/DarKuhamia
#StoriesOfChange
Anashauri wanaotaka kuhamia Dar wahakikishe wana Ujuzi na Nidhamu ya Fedha
Asema si tatizo Kijana wa Mkoani kuja Dar, lakini ni muhimu kujiuliza; Mambo yakienda tofauti utafanyaje?
Soma - https://jamii.app/DarKuhamia
#StoriesOfChange
UKRAINE: Rais Volodymyr Zelensky ameagiza wanaume nchini humo wenye umri wa miaka 18-60 kuilinda nchi yao
> Taarifa zinasema Majeshi ya Urusi yameshauteka Uwanja wa Ndege wa Jeshi la Ukraine pamoja na Kinu cha Nyuklia cha Chernobil
Soma https://jamii.app/WanaumeUkraine
> Taarifa zinasema Majeshi ya Urusi yameshauteka Uwanja wa Ndege wa Jeshi la Ukraine pamoja na Kinu cha Nyuklia cha Chernobil
Soma https://jamii.app/WanaumeUkraine
Ukraine: Watu zaidi ya 137 wahofiwa kufariki baada ya mlipuko uliosikika katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Kyiv
Majeshi ya Urusi yameonekana kuendelea na mashambulizi mbali na kuwekewa vikwazo na Marekani na Ulaya
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
Majeshi ya Urusi yameonekana kuendelea na mashambulizi mbali na kuwekewa vikwazo na Marekani na Ulaya
#JamiiForums #RussiaUkraineConflict
GEITA: AUAWA KWA TUHUMA ZA KUJARIBU KUMBAKA MWANAFUNZI
Kijana mwenye umri kati ya miaka 18 - 22 ameuawa na kuchomwa moto akidaiwa kujaribu kubaka Mwanafunzi aliyekuwa akielekea Shuleni
M/kiti wa Mtaa anashikiliwa na Polisi kusaidia kubaini wahusika
Soma https://jamii.app/GeitaAuawa
Kijana mwenye umri kati ya miaka 18 - 22 ameuawa na kuchomwa moto akidaiwa kujaribu kubaka Mwanafunzi aliyekuwa akielekea Shuleni
M/kiti wa Mtaa anashikiliwa na Polisi kusaidia kubaini wahusika
Soma https://jamii.app/GeitaAuawa
β€1
#UPDATES: Mashirika ya Ndege ya Uingereza yamepigwa marufuku kutua katika Viwanja vya Ndege vya Urusi pamoja na kupita kwenye Anga lake
Uamuzi huo unafuatia uamuzi wa Uingereza kupiga marufuku Shirika la Ndege la Urusi, #Aeroflot kutua Nchini Uingereza.
#RussiaUkraineConflict
Uamuzi huo unafuatia uamuzi wa Uingereza kupiga marufuku Shirika la Ndege la Urusi, #Aeroflot kutua Nchini Uingereza.
#RussiaUkraineConflict
π1
UEFA: FAINALI YA KLABU BINGWA ULAYA HAITAFANYIKA URUSI
- UEFA imehamisha fainali ya Klabu Bingwa Ulaya kutoka St. Petersburg, Urusi kwenda Paris, Ufaransa
- Fainali hiyo itakayochezwa Mei 28, 2022 itachezwa katika uwanja wa Stade de France badala ya Gazprom Arena
#JFSports
- UEFA imehamisha fainali ya Klabu Bingwa Ulaya kutoka St. Petersburg, Urusi kwenda Paris, Ufaransa
- Fainali hiyo itakayochezwa Mei 28, 2022 itachezwa katika uwanja wa Stade de France badala ya Gazprom Arena
#JFSports
π1
SERIKALI: WATANZANIA WALIO UKRAINE WAWE WATULIVU
Wizara ya Mambo ya Nje imesema hakuna Mtanzania aliyepata madhara hadi sasa
Serikali imewashauri Watanzania wafuate maelekezo ya #Ukraine, na kuwasiliana na Ubalozi
Soma - https://jamii.app/UkraineWatanzania
#RussiaUkraineConflict
Wizara ya Mambo ya Nje imesema hakuna Mtanzania aliyepata madhara hadi sasa
Serikali imewashauri Watanzania wafuate maelekezo ya #Ukraine, na kuwasiliana na Ubalozi
Soma - https://jamii.app/UkraineWatanzania
#RussiaUkraineConflict
UKRAINE YAOMBA MSAADA WA MAJESHI YENYE NGUVU
Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelensky amelalamika Mataifa yenye nguvu kuwaacha wajipambanie huku wakitazama kwa mbali
> Amesema vikwazo vilivyowekwa havijamshawishi Rais Vladimir Putin kuacha mashambulizi
Soma https://jamii.app/UkraineYaombaMsaada
Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelensky amelalamika Mataifa yenye nguvu kuwaacha wajipambanie huku wakitazama kwa mbali
> Amesema vikwazo vilivyowekwa havijamshawishi Rais Vladimir Putin kuacha mashambulizi
Soma https://jamii.app/UkraineYaombaMsaada
KIGOMA: MGANGA ATUHUMIWA KUMUUA MTEJA ALIYETAKA KUZIKA FEDHA ZA BIASHARA
Dereva wa Pikipiki na Mganga wa Kienyeji wanatuhumiwa kumuua na kisha kumfukia Mwanamke aliyekuwa ameenda kuzindika Fedha za Biashara kiasi cha Tsh. Milioni 9
Soma - https://jamii.app/MtejaKifoZindiko
#HumanRights
Dereva wa Pikipiki na Mganga wa Kienyeji wanatuhumiwa kumuua na kisha kumfukia Mwanamke aliyekuwa ameenda kuzindika Fedha za Biashara kiasi cha Tsh. Milioni 9
Soma - https://jamii.app/MtejaKifoZindiko
#HumanRights
MAREKANI: ASKARI 3 WANAOTUHUMIWA KUMUUA GEORGE FLOYD WAKUTWA NA HATIA
Maafisa hao wa zamani wa #Minneapolis walishtakiwa kwa kumnyima Floyd Haki yake ya matibabu wakati Afisa Derek Chauvin alipomkandamiza kwa goti shingoni mnamo Mei 25, 2020
Soma - https://jamii.app/FloydCaseGuilt
Maafisa hao wa zamani wa #Minneapolis walishtakiwa kwa kumnyima Floyd Haki yake ya matibabu wakati Afisa Derek Chauvin alipomkandamiza kwa goti shingoni mnamo Mei 25, 2020
Soma - https://jamii.app/FloydCaseGuilt
#UKRAINE YATAKA MAZUNGUMZO NA URUSI
Rais Volodymyr Zelensky ametaka mazungumzo na Rais Vladimir Putin ili kunusuru Raia wasio na hatia
China imesema Urusi ipo tayari kwa mazungumzo baada ya Rais Putin kuongea na Rais Xi Jinping
Soma https://jamii.app/Mazungumzo
#RussiaUkraineConflict
Rais Volodymyr Zelensky ametaka mazungumzo na Rais Vladimir Putin ili kunusuru Raia wasio na hatia
China imesema Urusi ipo tayari kwa mazungumzo baada ya Rais Putin kuongea na Rais Xi Jinping
Soma https://jamii.app/Mazungumzo
#RussiaUkraineConflict