SERIKALI: MATUMIZI HOLELA YA P2 YANAWEZA KUSABABISHA UGUMBA NA SARATANI
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema wanatambua kuna matumizi mabaya ya Dawa hizo hasa kwa Watoto wa Shule akieleza, "Kwa sasa inaonekana wanaogopa zaidi mimba kuliko UKIMWI!"
Soma - https://jamii.app/SerikaliP2
#JFAfya
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema wanatambua kuna matumizi mabaya ya Dawa hizo hasa kwa Watoto wa Shule akieleza, "Kwa sasa inaonekana wanaogopa zaidi mimba kuliko UKIMWI!"
Soma - https://jamii.app/SerikaliP2
#JFAfya
Ungana nasi katika Mjadala ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto?
Bonyeza > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto?
Bonyeza > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
Ungana nasi katika Mjadala huu unaoendelea ndani ya Clubhouse - https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
#JFAfya
Ungana nasi katika Mjadala huu unaoendelea ndani ya Clubhouse - https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
#JFAfya
Baadhi ya yaliyojadiliwa katika Mjadala na Wataalamu kuhusu Saratani kwa Watoto uliofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JFAfya
#JFAfya
DAR: Maila Majula (29) Mkazi wa Makongo Juu, anashikiliwa na Polisi kwa kudanganya kuibiwa Gari aina ya Toyota IST
Uchunguzi ulibaini alipewa Tsh. Milioni 10 na Kaka yake ili akaziweke Benki ila alizitumia na kuamua kutengeneza tukio hilo
Soma - https://jamii.app/AjifanyaPolisi
#JFMatukio
Uchunguzi ulibaini alipewa Tsh. Milioni 10 na Kaka yake ili akaziweke Benki ila alizitumia na kuamua kutengeneza tukio hilo
Soma - https://jamii.app/AjifanyaPolisi
#JFMatukio
KESI YA MBOWE: UPANDE WA MASHTAKA WAFUNGA USHAHIDI
Wakili wa Serikali, Robert Kidando amesema "Baada ya Ushahidi wa Shahidi wa 13 tunaialika Mahakama ione Washtakiwa wote 4 wana Kesi ya kujibu hivyo hatua nyingine kwa ajili ya kujitetea ifuate"
Soma - https://jamii.app/MboweKesiUshahidi
#JFSiasa
Wakili wa Serikali, Robert Kidando amesema "Baada ya Ushahidi wa Shahidi wa 13 tunaialika Mahakama ione Washtakiwa wote 4 wana Kesi ya kujibu hivyo hatua nyingine kwa ajili ya kujitetea ifuate"
Soma - https://jamii.app/MboweKesiUshahidi
#JFSiasa
NAPE: HAKUNA WIZI KWENYE 'BUNDLE' ZA SIMU
Amesema, "Malalamiko kwamba kuna 'Bundle' zinatumika bila Mtumiaji kuzitumia yamekuwepo. Uchambuzi umefanyika na Matokeo yanaonesha hakuna wizi uliotokea, isipokuwa kuna tatizo la matumizi ya simu za kisasa"
Soma - https://jamii.app/WiziBandoSimu
#DigitalRights
Amesema, "Malalamiko kwamba kuna 'Bundle' zinatumika bila Mtumiaji kuzitumia yamekuwepo. Uchambuzi umefanyika na Matokeo yanaonesha hakuna wizi uliotokea, isipokuwa kuna tatizo la matumizi ya simu za kisasa"
Soma - https://jamii.app/WiziBandoSimu
#DigitalRights