WATU 2,117,387 WAMEPATA DOZI KAMILI DHIDI YA #COVID19
Kuanzia Januari 29 - Februari 6, 2022 visa vipya 252 vilibainika kati ya watu 8,529 waliopimwa. Dar yaongoza ikiwa na maambukizi 184
Watu 792 wamepoteza maisha tangu mlipuko uanze
Soma https://jamii.app/DataUvikoTz
#UVIKO3 #JFAfya
Kuanzia Januari 29 - Februari 6, 2022 visa vipya 252 vilibainika kati ya watu 8,529 waliopimwa. Dar yaongoza ikiwa na maambukizi 184
Watu 792 wamepoteza maisha tangu mlipuko uanze
Soma https://jamii.app/DataUvikoTz
#UVIKO3 #JFAfya
CCM YAMPITISHA ZUNGU KUGOMBEA U-NAIBU SPIKA
- Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana leo chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Samia Suluhu imempitisha Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu kuwa Mgombea wa Kiti cha Naibu Spika wa Bunge
Soma https://jamii.app/ZunguCCM-NSpika
#Democracy
- Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana leo chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Samia Suluhu imempitisha Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu kuwa Mgombea wa Kiti cha Naibu Spika wa Bunge
Soma https://jamii.app/ZunguCCM-NSpika
#Democracy
Aliyewahi kuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Papa Benedict wa 16 amekiri makosa katika kushughulikia kesi za unyanyasaji wa kijinsia alipokuwa Askofu Mkuu wa Munich, na kuomba msamaha
Mawakili wake wanadai hakuwa wa kulaumiwa moja kwa moja
Soma - https://jamii.app/PapaBenRadhi
#Accountability
Mawakili wake wanadai hakuwa wa kulaumiwa moja kwa moja
Soma - https://jamii.app/PapaBenRadhi
#Accountability
SERIKALI YAFUTA KIFUNGU CHA SHERIA CHA KUWALINDA POLISI
Muswada huo uliopelekwa Bungeni kwa hati ya dharura uliibua sintofahamu kwa Wananchi huku wakihoji mantiki ya kuwakingia kifua Polisi endapo watafanya jinai na kuhalalisha mauaji ya raia
Soma - https://jamii.app/KifuaPolisi
#JFUwajibikaji #JFSheria
Muswada huo uliopelekwa Bungeni kwa hati ya dharura uliibua sintofahamu kwa Wananchi huku wakihoji mantiki ya kuwakingia kifua Polisi endapo watafanya jinai na kuhalalisha mauaji ya raia
Soma - https://jamii.app/KifuaPolisi
#JFUwajibikaji #JFSheria
#TUNISIA: Chama cha Majaji kimetoa wito wa kusitishwa kwa shughuli zote za Mahakama kuanzia Februari 9 ili kupinga hatua ya Rais Kais Saed ya kulivunja Baraza la Mahakama ya Juu
Awali Rais huyo aliwafuta kazi Mawaziri na kutwaa Mamlaka yote
Soma - https://jamii.app/MgomoJajiTunis
#Governance
Awali Rais huyo aliwafuta kazi Mawaziri na kutwaa Mamlaka yote
Soma - https://jamii.app/MgomoJajiTunis
#Governance
EU YAIONDOLEA BURUNDI VIKWAZO VYA KIUCHUMI
Ni kutokana na mazingira ya Amani ya Kisiasa pamoja na Maendeleo kwenye masuala muhimu ikiwemo #HakiZaBinadamu
Vikwazo viliwekwa baada ya Pierre Nkurunziza kuamua kugombea Urais kwa Muhula wa 3
Soma - https://jamii.app/BurSanctionsEU
#JFUchumi
Ni kutokana na mazingira ya Amani ya Kisiasa pamoja na Maendeleo kwenye masuala muhimu ikiwemo #HakiZaBinadamu
Vikwazo viliwekwa baada ya Pierre Nkurunziza kuamua kugombea Urais kwa Muhula wa 3
Soma - https://jamii.app/BurSanctionsEU
#JFUchumi
MDAU: Ili kupunguza uhalifu utokanao na wivu wa mapenzi, Elimu ya mahusiano itolewe na pia Viongozi wa Dini na Serikali washirikishwe
> Anaongeza, uwepo wa Wanasaikolojia unahitajika kwa ukubwa sana kama huduma ya matibabu mengine
Soma https://jamii.app/UhalifuSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
> Anaongeza, uwepo wa Wanasaikolojia unahitajika kwa ukubwa sana kama huduma ya matibabu mengine
Soma https://jamii.app/UhalifuSOC
#StoriesOfChange #JFMdau
MAANA YA R KWENYE FILAMU/MOVIE
Filamu yenye R (Restricted) ni ile iliyozuiliwa kutazamwa na Watoto walio chini ya miaka 17
Huwa na Maudhui ya Watu wazima ikiwemo Lugha ya Matusi, Vurugu kali, Utupu/Ngono na Dawa za Kulevya
Soma - https://jamii.app/PGMovies
#JFMaarifa
Filamu yenye R (Restricted) ni ile iliyozuiliwa kutazamwa na Watoto walio chini ya miaka 17
Huwa na Maudhui ya Watu wazima ikiwemo Lugha ya Matusi, Vurugu kali, Utupu/Ngono na Dawa za Kulevya
Soma - https://jamii.app/PGMovies
#JFMaarifa
Uonevu au Unyanyasaji kupitia Teknolojia unaweza kutokea kwenye Mitandao ya Kijamii. Ni tabia ya kujirudia inayolenga kumtisha, kumdhalilisha au kumkasirisha mlengwa
Umewahi kuwa mhanga wa uonevu wa mitandaoni? Ulichukua hatua gani?
Soma - https://jamii.app/UonevuMitandao
#CyberBullying #DigitalRights
Umewahi kuwa mhanga wa uonevu wa mitandaoni? Ulichukua hatua gani?
Soma - https://jamii.app/UonevuMitandao
#CyberBullying #DigitalRights
KUKAGUANA/KUCHUNGUZANA KIDEMOKRASIA NDIKO HULETA UWAJIBIKAJI NA MABADILIKO
Wananchi wanatarajia Serikali zao kutoa Huduma za Umma kwa ufanisi mkubwa ambao utakidhi mahitaji yao na kutambua Haki zao kama Binadamu. Pia, kupewa Uwezo wa kusema Kero zao na kuweza kusikilizwa na Mamlaka husika
Utafiti unaonesha Nchi zenye viwango vya chini vya Utoaji wa Huduma hazina #Sheria au zina Sheria dhaifu katika kuwapa adhabu wanaofanya vibaya (International IDEA 2013a).
Soma - https://jamii.app/KukaguanaDemokrasia
#Accountability
Wananchi wanatarajia Serikali zao kutoa Huduma za Umma kwa ufanisi mkubwa ambao utakidhi mahitaji yao na kutambua Haki zao kama Binadamu. Pia, kupewa Uwezo wa kusema Kero zao na kuweza kusikilizwa na Mamlaka husika
Utafiti unaonesha Nchi zenye viwango vya chini vya Utoaji wa Huduma hazina #Sheria au zina Sheria dhaifu katika kuwapa adhabu wanaofanya vibaya (International IDEA 2013a).
Soma - https://jamii.app/KukaguanaDemokrasia
#Accountability
RAIS SAMIA KUFANYA ZIARA UFARANSA NA UBELGIJI
Akiwa Ufaransa Rais atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani
Vilevile, atashuhudia utiaji saini baina ya Serikali ya Tanzania na Ufaransa
Soma - https://jamii.app/RaisKaziZiara
#Governance
Akiwa Ufaransa Rais atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali utakaojadili kuhusu Rasilimali Bahari Duniani
Vilevile, atashuhudia utiaji saini baina ya Serikali ya Tanzania na Ufaransa
Soma - https://jamii.app/RaisKaziZiara
#Governance
SIHA: MGANGA MFAWIDHI ASHUSHWA CHEO KWA HUDUMA MBOVU
Naibu Waziri wa #Afya, Dkt. Godwin Mollel amemshusha Cheo Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Siha baada ya Wananchi kulalamikia huduma mbovu na Mgonjwa kuachwa zaidi ya Saa 1 bila huduma
Soma - https://jamii.app/MgangaOutSiha
#JFUwajibikaji
Naibu Waziri wa #Afya, Dkt. Godwin Mollel amemshusha Cheo Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Siha baada ya Wananchi kulalamikia huduma mbovu na Mgonjwa kuachwa zaidi ya Saa 1 bila huduma
Soma - https://jamii.app/MgangaOutSiha
#JFUwajibikaji
BURUDANI: Wadau wa Jukwaa la Entertainment ndani ya JamiiForums.com wanasema Nyimbo za kale (Bendi) hazichuji na zinavutia hadi sasa
Wewe ni shabiki wa Bendi? Ni 'Classic' gani zinakuburudisha mpaka leo?
Zaidi, Tembelea - https://jamii.app/MuzikiBendi
#JFBurudani
Wewe ni shabiki wa Bendi? Ni 'Classic' gani zinakuburudisha mpaka leo?
Zaidi, Tembelea - https://jamii.app/MuzikiBendi
#JFBurudani
UREMBO/MITINDO: Unakumbuka Nguo au Mitindo gani ya 'Fashion' ya zamani ambayo kwasasa inaonekana kuwa Kituko ukivaa?
Wadau wa JamiiForums.com wametaja baadhi ikiwemo Chupi za VIP ambazo ilikuwa ikikatika inapanda juu. Viatu vya Raizon, Suruali za Kitambaa cha Mchele Mchele pamoja na Viatu vya utanikoma Saa 6
Mjadala zaidi - https://jamii.app/OldFashion
#JFBurudani
Wadau wa JamiiForums.com wametaja baadhi ikiwemo Chupi za VIP ambazo ilikuwa ikikatika inapanda juu. Viatu vya Raizon, Suruali za Kitambaa cha Mchele Mchele pamoja na Viatu vya utanikoma Saa 6
Mjadala zaidi - https://jamii.app/OldFashion
#JFBurudani
Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imeiamuru #Uganda kuilipa DRC dola milioni 325 kama fidia kwa kuingilia mgogoro wa Jimbo la Ituri Miaka ya 1990
ICJ imesema mapigano yaliyofanywa na Majeshi ya Uganda Nchini #DRC yalikiuka Sheria ya Kimataifa
Soma - https://jamii.app/ICJUGvsDRC
#JFDiplomasia
ICJ imesema mapigano yaliyofanywa na Majeshi ya Uganda Nchini #DRC yalikiuka Sheria ya Kimataifa
Soma - https://jamii.app/ICJUGvsDRC
#JFDiplomasia
UGANDA: Mwandishi Kakwenza Rukirabashaija ambaye aliwekwa chini ya ulinzi kwa takriban mwezi mmoja akituhumiwa kumkosoa Rais Yoweri Museveni amekimbia Nchini humo
Wakili wake amesema mazingira yalikuwa magumu kwa Kakwenza kuendelea kukaa
Soma - https://jamii.app/KakwenzaUG
#PressFreedom
Wakili wake amesema mazingira yalikuwa magumu kwa Kakwenza kuendelea kukaa
Soma - https://jamii.app/KakwenzaUG
#PressFreedom
LIBYA: MSAFARA WA WAZIRI MKUU WASHAMBULIWA KWA RISASI
Shambulio dhidi ya Abdulhamid Dbeibah Jijini Tripoli linakuja wakati kuna mvutano mkali kuhusu udhibiti wa Serikali
Uchaguzi Mkuu ulipangwa kufanyika Desemba 2021 lakini uliahirishwa
Soma - https://jamii.app/ShambulioPM
#JFSiasa
Shambulio dhidi ya Abdulhamid Dbeibah Jijini Tripoli linakuja wakati kuna mvutano mkali kuhusu udhibiti wa Serikali
Uchaguzi Mkuu ulipangwa kufanyika Desemba 2021 lakini uliahirishwa
Soma - https://jamii.app/ShambulioPM
#JFSiasa
MALEZI: ONESHA UMAKINI PALE UNAPOZUNGUMZA NA MTOTO WAKO
Mtoto huumizwa Kisaikolojia pale ambapo utaonesha kutokuwa makini wakati unazungumza naye. Unatakiwa kuhakikisha Macho yako hayatazami kwengine zaidi ya Uso wa Mtoto wako
Msikilize kwa makini na utumie Lugha rahisi kumwelewesha. Wataalamu wa makuzi wanaeleza, Watoto wanaosikilizwa hujengeka na kuwa Watu wazima wanaoheshimu mawazo ya wengine
Soma - https://jamii.app/ListenChild
#JFMalezi #Parenthood
Mtoto huumizwa Kisaikolojia pale ambapo utaonesha kutokuwa makini wakati unazungumza naye. Unatakiwa kuhakikisha Macho yako hayatazami kwengine zaidi ya Uso wa Mtoto wako
Msikilize kwa makini na utumie Lugha rahisi kumwelewesha. Wataalamu wa makuzi wanaeleza, Watoto wanaosikilizwa hujengeka na kuwa Watu wazima wanaoheshimu mawazo ya wengine
Soma - https://jamii.app/ListenChild
#JFMalezi #Parenthood