#LIBERIA: WATU 29 WAFARIKI KWENYE MKANYAGANO WA MAOMBI
Polisi wasema vifo huenda vikaongezeka kwasababu baadhi ya waliojeruhiwa wana hali mbaya
Mchungaji Abraham Kromah aliandaa kusanyiko la Maombi la Siku 2 lililofanyika ktk Uwanja wa Mpira
Soma https://jamii.app/29DeadStampede
#JFMatukio
Polisi wasema vifo huenda vikaongezeka kwasababu baadhi ya waliojeruhiwa wana hali mbaya
Mchungaji Abraham Kromah aliandaa kusanyiko la Maombi la Siku 2 lililofanyika ktk Uwanja wa Mpira
Soma https://jamii.app/29DeadStampede
#JFMatukio
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema inakadiriwa Watanzania milioni 1.7 wanaishi na Virusi vya UKIMWI huku 12% kati yao wakiwa hawatambui hali zao
Kati ya wanaotambua hali zao, 98% wanatumia Dawa na 92% wamefanikiwa kufubaza makali ya virusi
Soma https://jamii.app/VVUTanzania
#JFAfya
Kati ya wanaotambua hali zao, 98% wanatumia Dawa na 92% wamefanikiwa kufubaza makali ya virusi
Soma https://jamii.app/VVUTanzania
#JFAfya
SUDAN: MAJAJI WAKEMEA MAUAJI YA WAANDAMANAJI
Majaji na Waendesha Mashtaka kadhaa wamekemea mauaji ya Waandamanaji wapatao 70 tangu Jeshi kuchukua Madaraka
Wametoa rai ya kumaliza ghasia hizo zilizopelekea zaidi ya watu 2,000 kujeruhiwa
Soma - https://jamii.app/VifoSudan
#Democracy #HumanRights
Majaji na Waendesha Mashtaka kadhaa wamekemea mauaji ya Waandamanaji wapatao 70 tangu Jeshi kuchukua Madaraka
Wametoa rai ya kumaliza ghasia hizo zilizopelekea zaidi ya watu 2,000 kujeruhiwa
Soma - https://jamii.app/VifoSudan
#Democracy #HumanRights
#COVID19: Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa (CDC) Afrika kimetaka Chanjo zinazotolewa kuwa na muda wa matumizi kati ya miezi 3 hadi 6 ili Mataifa yaweze kupanga usambazaji kikamilifu
10.4% ya Waafrika wameshapata Chanjo kikamilifu
Soma - https://jamii.app/CDCMudaChanjo
#UVIKO3 #JFAfya
10.4% ya Waafrika wameshapata Chanjo kikamilifu
Soma - https://jamii.app/CDCMudaChanjo
#UVIKO3 #JFAfya
DEMOKRASIA NA MIFUMO YA UWAJIBIKAJI
#Demokrasia ni nguvu ya wengi katika kufanya maamuzi yanayohusu Umma na kuweka usawa wa Kisiasa katika matumizi ya nguvu hiyo. Ni lazima iwape Wananchi uwezo wa kujieleza na kuwasilisha hoja zao
Kuwepo kwa Mifumo ya #Uwajibikaji katika Demokrasia ni kuhakikisha Maafisa wa Serikali wanatoa huduma kwa Watu, vinginevyo wanawajibishwa ipasavyo ikiwa hawatafanya hivyo
Soma - https://jamii.app/DemocracyAccountability
#Democracy #Accountability
#Demokrasia ni nguvu ya wengi katika kufanya maamuzi yanayohusu Umma na kuweka usawa wa Kisiasa katika matumizi ya nguvu hiyo. Ni lazima iwape Wananchi uwezo wa kujieleza na kuwasilisha hoja zao
Kuwepo kwa Mifumo ya #Uwajibikaji katika Demokrasia ni kuhakikisha Maafisa wa Serikali wanatoa huduma kwa Watu, vinginevyo wanawajibishwa ipasavyo ikiwa hawatafanya hivyo
Soma - https://jamii.app/DemocracyAccountability
#Democracy #Accountability
MATUKIO YA UKATILI WA KIJINSIA YAMEKITHIRI, HATUA ZICHUKULIWE
Mdau wa JamiiForums.com anashauri kuwepo Agenda Maalum za kupambana na tatizo hili kwani Ukatili dhidi ya Wanawake, Wanaume na hata Watoto unafanyika kila siku
Anasema tunapaswa kulipokea jambo hili kama janga la Taifa
Soma - https://jamii.app/UkatiliJamii
#StoriesOfChange #UkatiliKijinsia
Mdau wa JamiiForums.com anashauri kuwepo Agenda Maalum za kupambana na tatizo hili kwani Ukatili dhidi ya Wanawake, Wanaume na hata Watoto unafanyika kila siku
Anasema tunapaswa kulipokea jambo hili kama janga la Taifa
Soma - https://jamii.app/UkatiliJamii
#StoriesOfChange #UkatiliKijinsia
SABABU ZINAZOPELEKEA WATU KUAMUA KUJIUA
1. Matatizo ya Afya ya Akili: Watu wengi hufanya maamuzi ya kujaribu kujiua baada ya kupatwa na Msongo wa Mawazo au Sonona
2. Kupitia Matukio mabaya: Mtu ambaye amepitia matukio mabaya ikiwemo Ukatili Utotoni, Ubakaji, Unyanyasaji wa kimwili au Vita yuko katika hatari kubwa ya kujiua, hata miaka mingi baada ya tukio hilo
Soma - https://jamii.app/ReasonsSuicide
#MentalHealth #SuicideAttempts
1. Matatizo ya Afya ya Akili: Watu wengi hufanya maamuzi ya kujaribu kujiua baada ya kupatwa na Msongo wa Mawazo au Sonona
2. Kupitia Matukio mabaya: Mtu ambaye amepitia matukio mabaya ikiwemo Ukatili Utotoni, Ubakaji, Unyanyasaji wa kimwili au Vita yuko katika hatari kubwa ya kujiua, hata miaka mingi baada ya tukio hilo
Soma - https://jamii.app/ReasonsSuicide
#MentalHealth #SuicideAttempts
MICHEZO: Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Duniani limewavua Mikanda ya Ubingwa wa WBF Intercontinental Mabondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo (Champez) na Ibrahim Class kutokana na kutotetea mikanda hiyo kwa muda mrefu kama sheria za WBF zilivyo
Soma https://jamii.app/MwakinyoNoWBF
#JFSports
Soma https://jamii.app/MwakinyoNoWBF
#JFSports
TCRA YAAGIZWA KUELEKEZA KAMPUNI ZA MAWASILIANO KUSITISHA BEI MPYA ZA VIFURUSHI
Waziri wa Habari amesema "Kuna gharama kidogo zimeongezeka kwa baadhi ya Mitandao ya Simu. Tunataka Mawasiliano yawe rahisi, bora na kisasa"
Asema Serikali inatambua pengine ni mahitaji ya Soko, lakini kasi ya kuongeza gharama hizo isiwe kubwa
Soma - https://jamii.app/NapeBeiVifurushi
#DigitalRights
Waziri wa Habari amesema "Kuna gharama kidogo zimeongezeka kwa baadhi ya Mitandao ya Simu. Tunataka Mawasiliano yawe rahisi, bora na kisasa"
Asema Serikali inatambua pengine ni mahitaji ya Soko, lakini kasi ya kuongeza gharama hizo isiwe kubwa
Soma - https://jamii.app/NapeBeiVifurushi
#DigitalRights
MDAU: MITANDAO NI KICHOCHEO KIPYA CHA DEMOKRASIA NA MABADILIKO
Mshiriki wa #StoriesOfChange anasema baadhi ya taarifa ambazo zimesaidia Serikali, Vyama vya Siasa, Asasi za Kiraia, Mashirika ya Dini na Makundi mbalimbali ya Jamii kuchukua hatua zilianzia Mitandaoni
Anashauri Mitandao ya kijamii itumike vizuri, na uwekezaji mkubwa ufanyike kwenye Teknolojia ili kuwafikia wengi zaidi
Soma - https://jamii.app/MitandaoSOC
#Democracy
Mshiriki wa #StoriesOfChange anasema baadhi ya taarifa ambazo zimesaidia Serikali, Vyama vya Siasa, Asasi za Kiraia, Mashirika ya Dini na Makundi mbalimbali ya Jamii kuchukua hatua zilianzia Mitandaoni
Anashauri Mitandao ya kijamii itumike vizuri, na uwekezaji mkubwa ufanyike kwenye Teknolojia ili kuwafikia wengi zaidi
Soma - https://jamii.app/MitandaoSOC
#Democracy
IRINGA: ASKARI ASHIKILIWA NA TAKUKURU KWA RUSHWA
Taratibu za kumfikisha Mahakamani Koplo Steven Philimoni Mchomvu ambaye picha zake zimesambaa Mitandaoni zinaendelea
Askari huyo wa Usalama Barabarani alikamatwa akipokea Rushwa inayofikia Tsh. 152,000 kutoka kwenye Magari
Soma - https://jamii.app/PCCBAskari
#KemeaRushwa #JFUwajibikaji
Taratibu za kumfikisha Mahakamani Koplo Steven Philimoni Mchomvu ambaye picha zake zimesambaa Mitandaoni zinaendelea
Askari huyo wa Usalama Barabarani alikamatwa akipokea Rushwa inayofikia Tsh. 152,000 kutoka kwenye Magari
Soma - https://jamii.app/PCCBAskari
#KemeaRushwa #JFUwajibikaji
MUTAHABA: WANAFUNZI KUTOWAPENDA WALIMU WA HESABU HUCHANGIA KUFELI
Kamishna wa Elimu, Dkt. Lyabwene Mutahaba, amesema sababu nyingine ya Wanafunzi kufanya vibaya ni mazingira ya ufundishaji kutokuwa rafiki
Amefafanua, "Baadhi ya Shule Mwalimu akitoa Hesabu 10 anakuwa na mzigo wa fimbo. Mwanafunzi atakayekosa Hesabu 5 atachapwa viboko 5, akikosa 3 atachapwa fimbo 3"
Soma - https://jamii.app/KufeliHisabati
#JFElimu
Kamishna wa Elimu, Dkt. Lyabwene Mutahaba, amesema sababu nyingine ya Wanafunzi kufanya vibaya ni mazingira ya ufundishaji kutokuwa rafiki
Amefafanua, "Baadhi ya Shule Mwalimu akitoa Hesabu 10 anakuwa na mzigo wa fimbo. Mwanafunzi atakayekosa Hesabu 5 atachapwa viboko 5, akikosa 3 atachapwa fimbo 3"
Soma - https://jamii.app/KufeliHisabati
#JFElimu
MVUA ZAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME
Upepo mkali na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali Nchini zimeathiri Miundombinu ya Umeme
Shirika la Umeme lasema hali hiyo imepelekea baadhi ya watu kukosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti
Soma - https://jamii.app/TZMvuaUmeme
Upepo mkali na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali Nchini zimeathiri Miundombinu ya Umeme
Shirika la Umeme lasema hali hiyo imepelekea baadhi ya watu kukosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti
Soma - https://jamii.app/TZMvuaUmeme
RAIS SAMIA: SERIKALI ITASHIRIKIANA NA MACHIFU
Akishiriki Tamasha la Utamaduni amesema, "Kumekuwa na maneno mengi kuhusu Serikali na Uchifu. Tumeamua kuwa na jukwaa la pamoja baina ya Serikali, Machifu na Wazee wa Kimila ili kuhifadhi Desturi zetu"
Soma - https://jamii.app/SerikaliMachifu
#JFSiasa
Akishiriki Tamasha la Utamaduni amesema, "Kumekuwa na maneno mengi kuhusu Serikali na Uchifu. Tumeamua kuwa na jukwaa la pamoja baina ya Serikali, Machifu na Wazee wa Kimila ili kuhifadhi Desturi zetu"
Soma - https://jamii.app/SerikaliMachifu
#JFSiasa
ARUSHA: MKE WA MTU ADAIWA KUULIWA NA MCHEPUKO WAKE
Mwili wa Teddy Mallya umekutwa umetupwa ktk Shamba la Migomba ukiwa na majeraha ikiwemo ya kungβatwa
Emmanuel Lazaro anadaiwa kutekeleza mauaji hayo akimtuhumu marehemu kutoa ujauzito wake
Soma - https://jamii.app/MkeKifoHawara
#GBV #UkatiliKijinsia #JFMatukio
Mwili wa Teddy Mallya umekutwa umetupwa ktk Shamba la Migomba ukiwa na majeraha ikiwemo ya kungβatwa
Emmanuel Lazaro anadaiwa kutekeleza mauaji hayo akimtuhumu marehemu kutoa ujauzito wake
Soma - https://jamii.app/MkeKifoHawara
#GBV #UkatiliKijinsia #JFMatukio
#AFCON2021: HATUA YA MTOANO KUENDELEA KESHO
Hatua ya makundi ya michuano hiyo inayofanyika Cameroon imemalizika Januari 20, 2021.
Timu 16 zilizofuzu kucheza hatua ya mtoano zitaendelea na michuano kesho.
Je, ni timu gani unaipa nafasi ya kuweza kuondoka na Kombe?
#JFSports
Hatua ya makundi ya michuano hiyo inayofanyika Cameroon imemalizika Januari 20, 2021.
Timu 16 zilizofuzu kucheza hatua ya mtoano zitaendelea na michuano kesho.
Je, ni timu gani unaipa nafasi ya kuweza kuondoka na Kombe?
#JFSports
UTURUKI: Polisi Nchini humo wanamshikilia Mwanahabari Sedef Kabas kwa madai ya kumtusi Rais Recep Tayyip Erdogan kwenye Runinga na #Twitter
Kumtusi Rais ni uhalifu Nchini Uturuki na huenda ukasababisha kifungo cha miaka minne jela.
Soma - https://jamii.app/KabasArrested
#PressFreedom
Kumtusi Rais ni uhalifu Nchini Uturuki na huenda ukasababisha kifungo cha miaka minne jela.
Soma - https://jamii.app/KabasArrested
#PressFreedom
DODOMA: WATU WATANO WA FAMILIA MOJA WAUAWA
Waliouawa ni Mume, Mke, Watoto wawili na Mjukuu mmoja ambao ni Wakazi wa kijiji cha Zanka wilayani Bahi
Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Onesmo Lyanga amesema miili yao inafanyiwa Uchunguzi
Soma - https://jamii.app/Vifo5Dodoma
#JFMatukio
Waliouawa ni Mume, Mke, Watoto wawili na Mjukuu mmoja ambao ni Wakazi wa kijiji cha Zanka wilayani Bahi
Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Onesmo Lyanga amesema miili yao inafanyiwa Uchunguzi
Soma - https://jamii.app/Vifo5Dodoma
#JFMatukio
YAOUNDE, CAMEROON: MOTO WAUA TAKRIBAN WATU 16 NA KUJERUHI 8
Serikali imesema Ripoti ya Awali inaonesha moto ulisababishwa na milipuko ya fataki ambazo mara nyingi zinatumika maeneo hayo
Milipuko hiyo ilipelekea hofu na mkanyagano
Soma - https://jamii.app/NightClubFire
#JFMatukio
Serikali imesema Ripoti ya Awali inaonesha moto ulisababishwa na milipuko ya fataki ambazo mara nyingi zinatumika maeneo hayo
Milipuko hiyo ilipelekea hofu na mkanyagano
Soma - https://jamii.app/NightClubFire
#JFMatukio
#AFCON2021: BURKINA FASO YAFUZU KUINGIA ROBO FAINALI
- #TeamBurkinaFaso imefanikiwa kuingia hatua ya robo fainali kwenye michuano hiyo baada ya kuifunga #TeamGabon kwa mikwaju ya penati 7-6
- Timu hizo zilimaliza dakika 120 za mchezo zikiwa zimefungana goli 1-1
#JFSports
- #TeamBurkinaFaso imefanikiwa kuingia hatua ya robo fainali kwenye michuano hiyo baada ya kuifunga #TeamGabon kwa mikwaju ya penati 7-6
- Timu hizo zilimaliza dakika 120 za mchezo zikiwa zimefungana goli 1-1
#JFSports