MICHEZO: Mpambano kati ya Wolves na Arsenal hautochezwa leo baada ya Wolves kuomba usogezwe mbele kwasababu haina wachezaji wa kutosha kutokana na #COVID19 na majeruhi
Kwa jumla Premier League ya England imeahirisha Mechi 15 katika kipindi cha wiki mbili na nusu zilizopita kutokana na visa vya Corona katika timu mbalimbali
Soma - https://jamii.app/EPLPostponed
#Sports
Kwa jumla Premier League ya England imeahirisha Mechi 15 katika kipindi cha wiki mbili na nusu zilizopita kutokana na visa vya Corona katika timu mbalimbali
Soma - https://jamii.app/EPLPostponed
#Sports
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema kulingana na mwenendo wa Deni la Taifa kufikia Trilioni 70, ipo siku Nchi itapigwa mnada
Ameongeza "Kipi ni bora, sisi Tanzania ya Miaka 60 tuendelee kukopa madeni makubwa makubwa au tubanane tufanye wenyewe hapa?"
Soma https://jamii.app/NdugaiTZMnada
Ameongeza "Kipi ni bora, sisi Tanzania ya Miaka 60 tuendelee kukopa madeni makubwa makubwa au tubanane tufanye wenyewe hapa?"
Soma https://jamii.app/NdugaiTZMnada
RAIS SAMIA: TUTAKOPA TUMALIZE MIRADI YA MAENDELEO
Asema hakuna Nchi isiyokopa, na hata Mataifa yaliyoendelea yana Mikopo mikubwa
Ameeleza, "Ukikopa unajenga kwa haraka, ukisubiri ukusanye za kwako utamaliza lini kujenga? Mradi wa Matrilioni unasubiri za kwako utaumaliza lini"
Soma - https://jamii.app/MikopoMaendeleo
#JFLeo
Asema hakuna Nchi isiyokopa, na hata Mataifa yaliyoendelea yana Mikopo mikubwa
Ameeleza, "Ukikopa unajenga kwa haraka, ukisubiri ukusanye za kwako utamaliza lini kujenga? Mradi wa Matrilioni unasubiri za kwako utaumaliza lini"
Soma - https://jamii.app/MikopoMaendeleo
#JFLeo
IKULU, DAR: Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema katika miezi michache aliyokaa kwenye Serikali ya Awamu ya Sita, ameona mambo mengi ambayo huko nyuma hayakuwa yakifanyika lakini sasa hivi yanataka kuanza, akisisitiza hatokubali
Soma - https://jamii.app/SSHIkuluDar
#JFLeo
Soma - https://jamii.app/SSHIkuluDar
#JFLeo
GUINEA: Kiongozi aliyeingia Madarakani kwa kuipindua Serikali, Kanali Mamady Doumbouya ameikabidhi Timu ya Taifa Bendera ili kwenda kushiriki Michuano ya kombe la #AFCON2021
Mamady ameiambia Timu hiyo "Rudini na Kombe la sivyo mtarudisha Fedha zote tulizowekeza kwenu"
#Sports
Mamady ameiambia Timu hiyo "Rudini na Kombe la sivyo mtarudisha Fedha zote tulizowekeza kwenu"
#Sports
UFARANSA: Katika kukabiliana na #COVID19, Waziri Mkuu Jean Castex amesema kuanzia Januari 03 kufanyia kazi nyumbani itakuwa lazima kwa angalau siku 3 kwa wiki kwa watakaoweza
Mikusanyiko ya ndani itatakiwa kuwa na watu 2,000 na ya Nje 5,000
Soma https://jamii.app/COVIDFrance
#UVIKO3
Mikusanyiko ya ndani itatakiwa kuwa na watu 2,000 na ya Nje 5,000
Soma https://jamii.app/COVIDFrance
#UVIKO3
GAMBIA: MAHAKAMA YATUPILIA MBALI OMBI LA KUBATILISHA MATOKEO YA UCHAGUZI
Mpinzani Ousainou Darboe alisema Kampeni zilihusisha rushwa
Ilidaiwa Rais Adama Barrow au Wanachama wa Chama chake waliwapa Fedha/Zawadi Wanakijiji ili wapate kura
Soma - https://jamii.app/UchaguziGambia
Mpinzani Ousainou Darboe alisema Kampeni zilihusisha rushwa
Ilidaiwa Rais Adama Barrow au Wanachama wa Chama chake waliwapa Fedha/Zawadi Wanakijiji ili wapate kura
Soma - https://jamii.app/UchaguziGambia
MAREKANI: WASIO NA DALILI ZA COVID-19 KUJITENGA KWA SIKU TANO
Waliokutwa na Virusi baada ya kujitenga kwa Siku 10 wanapaswa kuvaa Barakoa kwa Siku 5 wanapokuwa karibu na wengine
#Omicron inachukua 73% ya maambukizi ya Corona Nchini Marekani
Soma https://jamii.app/5DaysNteenUS
#UVIKO3
Waliokutwa na Virusi baada ya kujitenga kwa Siku 10 wanapaswa kuvaa Barakoa kwa Siku 5 wanapokuwa karibu na wengine
#Omicron inachukua 73% ya maambukizi ya Corona Nchini Marekani
Soma https://jamii.app/5DaysNteenUS
#UVIKO3
URUSI: MAHAKAMA YAAMURU SHIRIKA LA HAKI ZA BINADAMU KUFUNGWA
Shirika la Memorial limefungwa kwa kuvunja Sheria za kujisajili kama wakala wa Mashirika ya kigeni
Urusi kuna ukandamizaji dhidi ya upinzani na makundi ya Haki za Binadamu
Soma - https://jamii.app/MemorialClosed
#HumanRights
Shirika la Memorial limefungwa kwa kuvunja Sheria za kujisajili kama wakala wa Mashirika ya kigeni
Urusi kuna ukandamizaji dhidi ya upinzani na makundi ya Haki za Binadamu
Soma - https://jamii.app/MemorialClosed
#HumanRights
GAVANA BoT: HUWEZI KUTUMIA FEDHA ZA NDANI KWENYE MIRADI
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga amesema Mikopo haikopwi kwa ajili ya kula bali kufanya Miradi ambayo itaendelea kuzalisha na kuleta uhimilivu mzuri wa deni
Akihojiwa na Clouds Media amesema "Nchi haiwezi ikaweka rehani Watu au rasilimali zake na inazitumia ili Serikali iendelee kupata kipato"
Soma - https://jamii.app/LuogaMikopo
#JFLeo
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga amesema Mikopo haikopwi kwa ajili ya kula bali kufanya Miradi ambayo itaendelea kuzalisha na kuleta uhimilivu mzuri wa deni
Akihojiwa na Clouds Media amesema "Nchi haiwezi ikaweka rehani Watu au rasilimali zake na inazitumia ili Serikali iendelee kupata kipato"
Soma - https://jamii.app/LuogaMikopo
#JFLeo
HONG KONG: Polisi wamewakamata Watu sita kutoka Tovuti ya Stand News kwa tuhuma za njama ya kuchapisha uchochezi
Ofisi ya Tovuti hiyo imevamiwa na Maafisa wapatao 200. Polisi wasema waliidhinishwa kukamata nyenzo muhimu za Habari
Soma - https://jamii.app/StandNewsHK
#PressFreedom
Ofisi ya Tovuti hiyo imevamiwa na Maafisa wapatao 200. Polisi wasema waliidhinishwa kukamata nyenzo muhimu za Habari
Soma - https://jamii.app/StandNewsHK
#PressFreedom
NACHINGWEA: Wananchi waliouziwa Ardhi kuanzia Juni 2020 mpaka Desemba 2021 wametakiwa kurudisha Ardhi kwani mauziano hayo ni batili
DC Hashim Komba amesema Serikali ilisitisha ugawaji wa Ardhi tangu Juni 2020 mpaka pale itakapotoa mwongozo rasmi
Soma - https://jamii.app/ViwanjaNachingwea
DC Hashim Komba amesema Serikali ilisitisha ugawaji wa Ardhi tangu Juni 2020 mpaka pale itakapotoa mwongozo rasmi
Soma - https://jamii.app/ViwanjaNachingwea
#COVID19: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema athari inayotokana na Kirusi cha Corona aina ya Omicron bado ipo juu. Maambukizi ulimwenguni yameongezeka kwa 11% wiki iliyopita
Ushahidi waonesha #Omicron ina ukuaji wa haraka zaidi
Soma - https://jamii.app/WHOOmicron
#UVIKO3
Ushahidi waonesha #Omicron ina ukuaji wa haraka zaidi
Soma - https://jamii.app/WHOOmicron
#UVIKO3
SOMALIA: JUMUIYA ZA KIMATAIFA ZAINGILIA MVUTANO WA RAIS NA WAZIRI MKUU
Rais Mohamed Abdullahi alimsimamisha kazi Waziri Mkuu, Mohammed Roble kufuatia tuhuma za ufisadi, kitendo ambacho Waziri Roble amesema ni jaribio la Mapinduzi
Soma - https://jamii.app/SiasaSomalia
Rais Mohamed Abdullahi alimsimamisha kazi Waziri Mkuu, Mohammed Roble kufuatia tuhuma za ufisadi, kitendo ambacho Waziri Roble amesema ni jaribio la Mapinduzi
Soma - https://jamii.app/SiasaSomalia
Marekani inapanga kuchukua hatua mpya ili kushinikiza Utawala wa Kijeshi Nchini #Myanmar kurudisha Serikali ya Kiraia kutokana na kukandamizwa kwa Wapinzani
UN imetahadharisha juu ya ongezeko la visa vya ukiukwaji wa Haki za Binadamu
Soma - https://jamii.app/USvsMyanmar
#Democracy
UN imetahadharisha juu ya ongezeko la visa vya ukiukwaji wa Haki za Binadamu
Soma - https://jamii.app/USvsMyanmar
#Democracy
DARFUR, SUDAN: GHALA LA WFP LAVAMIWA NA WATU WENYE SILAHA
Ghala la Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) lilikuwa na Tani 1,900 za Chakula cha Msaada
Darfur imeshuhudia ongezeko la mapigano tangu Oktoba kutokana na migogoro ya ardhi na maji
Soma - https://jamii.app/WFPLooted
Ghala la Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) lilikuwa na Tani 1,900 za Chakula cha Msaada
Darfur imeshuhudia ongezeko la mapigano tangu Oktoba kutokana na migogoro ya ardhi na maji
Soma - https://jamii.app/WFPLooted
ZANZIBAR: Rais Hussein Mwinyi amemteua Charles Martin Hilary kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano - Ikulu
Yusuph Nassor ameteuliwa kuwa
Mkurugenzi Mkuu Taasisi ya Viwango (ZBS) na Dkt. Idrissa Hija kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhaulishaji Ardhi
Soma - https://jamii.app/UteuziZnz3
Yusuph Nassor ameteuliwa kuwa
Mkurugenzi Mkuu Taasisi ya Viwango (ZBS) na Dkt. Idrissa Hija kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhaulishaji Ardhi
Soma - https://jamii.app/UteuziZnz3
ASHRAF GHANI: SIKUWA NA NAMNA NYINGINE ZAIDI YA KUKIMBIA AFGHANISTAN
Rais wa zamani wa #Afghanistan amekanusha kuwepo mazungumzo ya kuwaachia #Taliban Madaraka kwa amani, kama walivyodai Maafisa wa zamani wa Afghanistan na Marekani
Soma - https://jamii.app/AshrafGhaniFlee
#JFLeo
Rais wa zamani wa #Afghanistan amekanusha kuwepo mazungumzo ya kuwaachia #Taliban Madaraka kwa amani, kama walivyodai Maafisa wa zamani wa Afghanistan na Marekani
Soma - https://jamii.app/AshrafGhaniFlee
#JFLeo
AFRIKA KUSINI YALEGEZA KANUNI ZA KUDHIBITI COVID-19
Serikali inaamini Nchi imepita kilele cha Wimbi la Nne
Marufuku ya watu kuwa nje kuanzia saa sita usiku imeondolewa. Mikusanyiko ya ndani haitakiwi kuzidi watu 1,000 na nje watu 2,000
Soma - https://jamii.app/OmicronSA
#UVIKO3
Serikali inaamini Nchi imepita kilele cha Wimbi la Nne
Marufuku ya watu kuwa nje kuanzia saa sita usiku imeondolewa. Mikusanyiko ya ndani haitakiwi kuzidi watu 1,000 na nje watu 2,000
Soma - https://jamii.app/OmicronSA
#UVIKO3
👍1
CHINA: WACHEZAJI MPIRA WAPIGWA MARUFUKU KUCHORA TATTOO
Mamlaka ya Michezo Nchini #China imepiga marufuku Wachezaji wa Timu ya Taifa na Wanamichezo wengine kujichora #Tattoo na kuamuru walionazo waziondoe ili kuwa mfano mzuri kwa Jamii
Soma - https://jamii.app/TattooBanChina
#Sports
Mamlaka ya Michezo Nchini #China imepiga marufuku Wachezaji wa Timu ya Taifa na Wanamichezo wengine kujichora #Tattoo na kuamuru walionazo waziondoe ili kuwa mfano mzuri kwa Jamii
Soma - https://jamii.app/TattooBanChina
#Sports