AFGHANISTAN: Serikali ya Taliban imezivunja Tume mbili za Uchaguzi pamoja na Wizara mbili za Amani na masuala ya Bunge
Yasema Asasi hizo hazina maana kulingana na hali ya #Afghanistan na itazifufua Tume na Wizara endapo kutakuwa na haja
Soma - https://jamii.app/TumeUchagTaliban
#Democracy
Yasema Asasi hizo hazina maana kulingana na hali ya #Afghanistan na itazifufua Tume na Wizara endapo kutakuwa na haja
Soma - https://jamii.app/TumeUchagTaliban
#Democracy
WAFUNGWA 5,704 WAPATA MSAMAHA WA RAIS
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 5,704 kwa masharti mbalimbali
Msamaha haujahusisha Wafungwa wanaotumikia adhabu kadhaa zikiwemo za makosa ya kujaribu kuua na Uhujumu Uchumi
Soma - https://jamii.app/MsamahaWafungwa
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 5,704 kwa masharti mbalimbali
Msamaha haujahusisha Wafungwa wanaotumikia adhabu kadhaa zikiwemo za makosa ya kujaribu kuua na Uhujumu Uchumi
Soma - https://jamii.app/MsamahaWafungwa
POLISI: ASKOFU MWINGIRA AANZE KUHOJIWA NDANI YA SAA 24
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar, Jumanne Muliro amesema hatua hiyo imefikiwa baada ya kufuatilia kauli zinazodaiwa kutolewa na Askofu huyo, na kuona zinajenga hofu na chuki kwa Wananchi
Soma - https://jamii.app/MwingiraSaa24
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar, Jumanne Muliro amesema hatua hiyo imefikiwa baada ya kufuatilia kauli zinazodaiwa kutolewa na Askofu huyo, na kuona zinajenga hofu na chuki kwa Wananchi
Soma - https://jamii.app/MwingiraSaa24
JAJI MWAMBEGELE ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI
Rais Samia amemteua Jaji Jacob Casthom Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)
Anachukua nafasi ya Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage aliyemaliza muda wake
Soma - https://jamii.app/ViongoziUteuzi
#JFLeo
Rais Samia amemteua Jaji Jacob Casthom Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)
Anachukua nafasi ya Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage aliyemaliza muda wake
Soma - https://jamii.app/ViongoziUteuzi
#JFLeo
KENYA: BABA AUA MWANAYE KWA KUMSUMBUA USINGIZINI
James Tarus (73) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua Mwanaye(31) kwa kumgonga na mbao
Kijana alirudi amelewa na kumwamsha Baba yake huku akinyanyua kitanda, jambo lililomkasirisha Mzee
Soma https://jamii.app/SonDeadSleep
#JFLeo
James Tarus (73) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua Mwanaye(31) kwa kumgonga na mbao
Kijana alirudi amelewa na kumwamsha Baba yake huku akinyanyua kitanda, jambo lililomkasirisha Mzee
Soma https://jamii.app/SonDeadSleep
#JFLeo
MDAU: SABABU ZINAZOPELEKEA BIASHARA ZA VIJANA WENGI KUFA
1. Kukosekana kwa sababu yenye mashiko kwanini wameanza Biashara: Biashara imara inajengwa kwa msingi imara wa kwanini Biashara hii na sio nyingine
2. Usimamizi mbovu: Usimamizi ni moja ya mambo muhimu katika kukuza Biashara lakini Watu wamekuwa hawachukulii uzito unaostahili. Wengine huweka Watu wenye malengo tofauti na wasio na uchungu na Biashara
Soma - https://jamii.app/BiasharaVijana
#StoriesOfChange
1. Kukosekana kwa sababu yenye mashiko kwanini wameanza Biashara: Biashara imara inajengwa kwa msingi imara wa kwanini Biashara hii na sio nyingine
2. Usimamizi mbovu: Usimamizi ni moja ya mambo muhimu katika kukuza Biashara lakini Watu wamekuwa hawachukulii uzito unaostahili. Wengine huweka Watu wenye malengo tofauti na wasio na uchungu na Biashara
Soma - https://jamii.app/BiasharaVijana
#StoriesOfChange
ZAIDI YA SAFARI 6,000 ZA NDEGE ZAFUTWA
Kulingana na tovuti ya Flightware.com zaidi ya safari 6,000 za Ndege zimefutwa Duniani kote tangu Desemba 25
Mashirika mengi yametaja Kirusi cha #Omicron kuwa sababu ya kufuta safari hizo
Soma - https://jamii.app/OmicronFlights
#UVIKO3
Kulingana na tovuti ya Flightware.com zaidi ya safari 6,000 za Ndege zimefutwa Duniani kote tangu Desemba 25
Mashirika mengi yametaja Kirusi cha #Omicron kuwa sababu ya kufuta safari hizo
Soma - https://jamii.app/OmicronFlights
#UVIKO3
MWANAMUZIKI DEFAO AFARIKI DUNIA
Mwanamuziki Mkongwe wa Rhumba kutoka Congo, Francoise Lulendo Matumona maarufu General Defao amefariki baada ya kuugua kwa muda mfupi
Alijizolea umaarufu mkubwa kwa miondoko yake ya Ndombolo and Ekibinda Nkoi
Soma https://jamii.app/DefaoDies
#JFLeo
Mwanamuziki Mkongwe wa Rhumba kutoka Congo, Francoise Lulendo Matumona maarufu General Defao amefariki baada ya kuugua kwa muda mfupi
Alijizolea umaarufu mkubwa kwa miondoko yake ya Ndombolo and Ekibinda Nkoi
Soma https://jamii.app/DefaoDies
#JFLeo
POLAND: RAIS AKATAA SHERIA TATA YA HABARI
Rais Andrzej Duda ametumia Kura Turufu (Veto) kukataa Sheria ya Umiliki wa Vyombo vya Habari
Wakosoaji walisema Sheria hiyo inalenga kunyamazisha Kituo cha TVN24 ambacho hukosoa Serikali
Soma - https://jamii.app/PolandRaisVeto
#PressFreedom
Rais Andrzej Duda ametumia Kura Turufu (Veto) kukataa Sheria ya Umiliki wa Vyombo vya Habari
Wakosoaji walisema Sheria hiyo inalenga kunyamazisha Kituo cha TVN24 ambacho hukosoa Serikali
Soma - https://jamii.app/PolandRaisVeto
#PressFreedom
MICHEZO: Mpambano kati ya Wolves na Arsenal hautochezwa leo baada ya Wolves kuomba usogezwe mbele kwasababu haina wachezaji wa kutosha kutokana na #COVID19 na majeruhi
Kwa jumla Premier League ya England imeahirisha Mechi 15 katika kipindi cha wiki mbili na nusu zilizopita kutokana na visa vya Corona katika timu mbalimbali
Soma - https://jamii.app/EPLPostponed
#Sports
Kwa jumla Premier League ya England imeahirisha Mechi 15 katika kipindi cha wiki mbili na nusu zilizopita kutokana na visa vya Corona katika timu mbalimbali
Soma - https://jamii.app/EPLPostponed
#Sports
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema kulingana na mwenendo wa Deni la Taifa kufikia Trilioni 70, ipo siku Nchi itapigwa mnada
Ameongeza "Kipi ni bora, sisi Tanzania ya Miaka 60 tuendelee kukopa madeni makubwa makubwa au tubanane tufanye wenyewe hapa?"
Soma https://jamii.app/NdugaiTZMnada
Ameongeza "Kipi ni bora, sisi Tanzania ya Miaka 60 tuendelee kukopa madeni makubwa makubwa au tubanane tufanye wenyewe hapa?"
Soma https://jamii.app/NdugaiTZMnada
RAIS SAMIA: TUTAKOPA TUMALIZE MIRADI YA MAENDELEO
Asema hakuna Nchi isiyokopa, na hata Mataifa yaliyoendelea yana Mikopo mikubwa
Ameeleza, "Ukikopa unajenga kwa haraka, ukisubiri ukusanye za kwako utamaliza lini kujenga? Mradi wa Matrilioni unasubiri za kwako utaumaliza lini"
Soma - https://jamii.app/MikopoMaendeleo
#JFLeo
Asema hakuna Nchi isiyokopa, na hata Mataifa yaliyoendelea yana Mikopo mikubwa
Ameeleza, "Ukikopa unajenga kwa haraka, ukisubiri ukusanye za kwako utamaliza lini kujenga? Mradi wa Matrilioni unasubiri za kwako utaumaliza lini"
Soma - https://jamii.app/MikopoMaendeleo
#JFLeo
IKULU, DAR: Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema katika miezi michache aliyokaa kwenye Serikali ya Awamu ya Sita, ameona mambo mengi ambayo huko nyuma hayakuwa yakifanyika lakini sasa hivi yanataka kuanza, akisisitiza hatokubali
Soma - https://jamii.app/SSHIkuluDar
#JFLeo
Soma - https://jamii.app/SSHIkuluDar
#JFLeo
GUINEA: Kiongozi aliyeingia Madarakani kwa kuipindua Serikali, Kanali Mamady Doumbouya ameikabidhi Timu ya Taifa Bendera ili kwenda kushiriki Michuano ya kombe la #AFCON2021
Mamady ameiambia Timu hiyo "Rudini na Kombe la sivyo mtarudisha Fedha zote tulizowekeza kwenu"
#Sports
Mamady ameiambia Timu hiyo "Rudini na Kombe la sivyo mtarudisha Fedha zote tulizowekeza kwenu"
#Sports
UFARANSA: Katika kukabiliana na #COVID19, Waziri Mkuu Jean Castex amesema kuanzia Januari 03 kufanyia kazi nyumbani itakuwa lazima kwa angalau siku 3 kwa wiki kwa watakaoweza
Mikusanyiko ya ndani itatakiwa kuwa na watu 2,000 na ya Nje 5,000
Soma https://jamii.app/COVIDFrance
#UVIKO3
Mikusanyiko ya ndani itatakiwa kuwa na watu 2,000 na ya Nje 5,000
Soma https://jamii.app/COVIDFrance
#UVIKO3
GAMBIA: MAHAKAMA YATUPILIA MBALI OMBI LA KUBATILISHA MATOKEO YA UCHAGUZI
Mpinzani Ousainou Darboe alisema Kampeni zilihusisha rushwa
Ilidaiwa Rais Adama Barrow au Wanachama wa Chama chake waliwapa Fedha/Zawadi Wanakijiji ili wapate kura
Soma - https://jamii.app/UchaguziGambia
Mpinzani Ousainou Darboe alisema Kampeni zilihusisha rushwa
Ilidaiwa Rais Adama Barrow au Wanachama wa Chama chake waliwapa Fedha/Zawadi Wanakijiji ili wapate kura
Soma - https://jamii.app/UchaguziGambia
MAREKANI: WASIO NA DALILI ZA COVID-19 KUJITENGA KWA SIKU TANO
Waliokutwa na Virusi baada ya kujitenga kwa Siku 10 wanapaswa kuvaa Barakoa kwa Siku 5 wanapokuwa karibu na wengine
#Omicron inachukua 73% ya maambukizi ya Corona Nchini Marekani
Soma https://jamii.app/5DaysNteenUS
#UVIKO3
Waliokutwa na Virusi baada ya kujitenga kwa Siku 10 wanapaswa kuvaa Barakoa kwa Siku 5 wanapokuwa karibu na wengine
#Omicron inachukua 73% ya maambukizi ya Corona Nchini Marekani
Soma https://jamii.app/5DaysNteenUS
#UVIKO3
URUSI: MAHAKAMA YAAMURU SHIRIKA LA HAKI ZA BINADAMU KUFUNGWA
Shirika la Memorial limefungwa kwa kuvunja Sheria za kujisajili kama wakala wa Mashirika ya kigeni
Urusi kuna ukandamizaji dhidi ya upinzani na makundi ya Haki za Binadamu
Soma - https://jamii.app/MemorialClosed
#HumanRights
Shirika la Memorial limefungwa kwa kuvunja Sheria za kujisajili kama wakala wa Mashirika ya kigeni
Urusi kuna ukandamizaji dhidi ya upinzani na makundi ya Haki za Binadamu
Soma - https://jamii.app/MemorialClosed
#HumanRights
GAVANA BoT: HUWEZI KUTUMIA FEDHA ZA NDANI KWENYE MIRADI
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga amesema Mikopo haikopwi kwa ajili ya kula bali kufanya Miradi ambayo itaendelea kuzalisha na kuleta uhimilivu mzuri wa deni
Akihojiwa na Clouds Media amesema "Nchi haiwezi ikaweka rehani Watu au rasilimali zake na inazitumia ili Serikali iendelee kupata kipato"
Soma - https://jamii.app/LuogaMikopo
#JFLeo
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga amesema Mikopo haikopwi kwa ajili ya kula bali kufanya Miradi ambayo itaendelea kuzalisha na kuleta uhimilivu mzuri wa deni
Akihojiwa na Clouds Media amesema "Nchi haiwezi ikaweka rehani Watu au rasilimali zake na inazitumia ili Serikali iendelee kupata kipato"
Soma - https://jamii.app/LuogaMikopo
#JFLeo
HONG KONG: Polisi wamewakamata Watu sita kutoka Tovuti ya Stand News kwa tuhuma za njama ya kuchapisha uchochezi
Ofisi ya Tovuti hiyo imevamiwa na Maafisa wapatao 200. Polisi wasema waliidhinishwa kukamata nyenzo muhimu za Habari
Soma - https://jamii.app/StandNewsHK
#PressFreedom
Ofisi ya Tovuti hiyo imevamiwa na Maafisa wapatao 200. Polisi wasema waliidhinishwa kukamata nyenzo muhimu za Habari
Soma - https://jamii.app/StandNewsHK
#PressFreedom