MDAU: VICHOCHEO VYA MABADILIKO ILI TANZANIA TUNAYOITAKA IPATIKANE
1) Utawala wa Sheria na wa Haki: Kuna umuhimu wa kuwa si tu na Katiba Mpya, bali Katiba bora inayoweka misingi mizuri ya mgawanyo mzuri wa madaraka na mamlaka na uendeshaji wa shughuli za Serikali na Sera za Taifa
2) Uhuru wa Maoni: Wananchi wana Haki ya kutoa maoni na kufikisha ujumbe wao kwa Mamlaka husika kwa njia zinazokubalika Kikatiba
Soma - https://jamii.app/MabadilikoTZ
#StoriesOfChange
1) Utawala wa Sheria na wa Haki: Kuna umuhimu wa kuwa si tu na Katiba Mpya, bali Katiba bora inayoweka misingi mizuri ya mgawanyo mzuri wa madaraka na mamlaka na uendeshaji wa shughuli za Serikali na Sera za Taifa
2) Uhuru wa Maoni: Wananchi wana Haki ya kutoa maoni na kufikisha ujumbe wao kwa Mamlaka husika kwa njia zinazokubalika Kikatiba
Soma - https://jamii.app/MabadilikoTZ
#StoriesOfChange
CHINA YATAJWA KUWA MKAMATAJI MKUBWA ZAIDI WA WAANDISHI WA HABARI
Ripoti ya Reporters Without Borders inasema Wanahabari 127 wanashikiliwa hivi sasa
China imekuwa ikifanya kile kilichotajwa kama kampeni ya ukandamizaji dhidi ya Uandishi wa Habari
Soma - https://jamii.app/RipotiRSFChina
Ripoti ya Reporters Without Borders inasema Wanahabari 127 wanashikiliwa hivi sasa
China imekuwa ikifanya kile kilichotajwa kama kampeni ya ukandamizaji dhidi ya Uandishi wa Habari
Soma - https://jamii.app/RipotiRSFChina
Katika siku za karibuni mitandao ya kijamii na Mifumo ya Kidijitali imekuwa maeneo muhimu kwa Jamii ya Tanzania kutumia #UhuruWaKujieleza na kupigania haki zao nyingine
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Dijitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Dijitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
UJERUMANI: Bunge limepiga Kura na kumpitisha Olaf Scholz wa Social Democrat Party kuwa Kansela mpya wa Nchi hiyo baada ya Angela Merkel ambaye ameitumikia kwa miaka 16
Ataongoza Serikali mpya ya Mseto kati ya SPD na vyama vingine viwili
Soma - https://jamii.app/ScholzGermany
#JFLeo
Ataongoza Serikali mpya ya Mseto kati ya SPD na vyama vingine viwili
Soma - https://jamii.app/ScholzGermany
#JFLeo
UPUNGUFU WA MIUNDOMBINU SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Mwaka 2019/20 CAG aliainisha Mamlaka ya Serikali za Mitaa 51 zilikuwa na upungufu wa Miundombinu ya Shule
Upungufu mkubwa ulikuwa kwenye nyumba za Walimu na majengo ya Utawala
Soma - https://jamii.app/MiundombinuShule
#JFUwajibikaji
Mwaka 2019/20 CAG aliainisha Mamlaka ya Serikali za Mitaa 51 zilikuwa na upungufu wa Miundombinu ya Shule
Upungufu mkubwa ulikuwa kwenye nyumba za Walimu na majengo ya Utawala
Soma - https://jamii.app/MiundombinuShule
#JFUwajibikaji
RAIS KENYATTA KUFANYA ZIARA YA SIKU 2 TANZANIA
Rais wa Kenya anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Sherehe za Uhuru zitakazofanyika Dar es Salaam
Vilevile akiwa Nchini, Rais Uhuru Kenyatta na Rais Samia watashuhudia utiaji saini wa Mikataba nane
Soma https://jamii.app/ShereheUhuru
#JFLeo
Rais wa Kenya anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Sherehe za Uhuru zitakazofanyika Dar es Salaam
Vilevile akiwa Nchini, Rais Uhuru Kenyatta na Rais Samia watashuhudia utiaji saini wa Mikataba nane
Soma https://jamii.app/ShereheUhuru
#JFLeo
#BANGLADESH: Mahakama imewahukumu adhabu ya kifo Wanafunzi 20 wa Chuo Kikuu kwa mauaji ya Kijana aliyeikosoa Serikali kwenye Mitandao ya Kijamii
Abrar Fahad alimkosoa Waziri Mkuu, Sheikh Hasina kwa kusaini makubaliano ya kugawana Maji na #India
Soma - https://jamii.app/FahadMurderBang
Abrar Fahad alimkosoa Waziri Mkuu, Sheikh Hasina kwa kusaini makubaliano ya kugawana Maji na #India
Soma - https://jamii.app/FahadMurderBang
KUELEKEA MIAKA 60 YA UHURU: RAIS SAMIA AHUTUBIA TAIFA
- Rais Samia Suluhu Hassan anahutubia Taifa kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara)
- Tanganyika ilipata Uhuru kutoka kwa Uingereza mnamo Desemba 09, 1961
Fuatilia: https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
- Rais Samia Suluhu Hassan anahutubia Taifa kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara)
- Tanganyika ilipata Uhuru kutoka kwa Uingereza mnamo Desemba 09, 1961
Fuatilia: https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
JamiiForums
LIVE - Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwa Taifa kuelekea miaka 60 ya...
Kuelekea Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Taifa leo tarehe 08 Desemba, 2021, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka 60, Tanzania imefanikiwa kujenga Uchumi hadi kufikia Nchi ya Uchumi wa Kati wa Chini mapema kuliko ilivyokadiriwa kwenye Malengo ya Dira ya Taifa
Asema, "Wastani wa Pato kwa Mtu kwa mwaka 1961 lilikuwa Tsh. 776 na kwa mwaka jana 2020 ni Tsh. 2,653,790"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
Asema, "Wastani wa Pato kwa Mtu kwa mwaka 1961 lilikuwa Tsh. 776 na kwa mwaka jana 2020 ni Tsh. 2,653,790"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye Miundombinu ya Umeme, akieleza kuwa kabla ya Uhuru Nchi ilikuwa na uwezo wa kuzalisha Megawati 17.5 za Umeme lakini sasa ni Megawati 1,909
Amesema, "Lengo letu ni kuendelea kuongeza uzalishaji wa umeme ili kuendana na malengo ya kugeuza Tanzania kuwa Nchi ya Viwanda"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
Amesema, "Lengo letu ni kuendelea kuongeza uzalishaji wa umeme ili kuendana na malengo ya kugeuza Tanzania kuwa Nchi ya Viwanda"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
AFYA: Rais Samia Suluhu Hassan amesema mwaka 1961 kulikuwa na Hospitali 113, Vituo vya Afya 22 na Zahanati 1,188. Hivi sasa Nchi ina jumla ya Zahanati 7,163, Vituo vya Afya 929 na Hospitali 369
Asema, "Tunaendelea kuboresha sekta hii kwa kuhakikisha tunaajiri Madaktari wengi zaidi ili tuweze kufikia viwango vya WHO"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
Asema, "Tunaendelea kuboresha sekta hii kwa kuhakikisha tunaajiri Madaktari wengi zaidi ili tuweze kufikia viwango vya WHO"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
RAIS SAMIA: TUNA MFUMO BORA WA KUWEKA VIONGOZI MADARAKANI
Amesema sote ni mashahidi Tanzania imekuwa na Mfumo bora wa kuweka Viongozi madarakani unaoheshimiwa na imara kupitia Chaguzi zinazofanyika kila baada ya miaka mitano
Ameeleza, "Wananchi wamekuwa wakitekeleza Haki yao ya msingi ya kikatiba ya kuchagua viongozi wanaowataka"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
Amesema sote ni mashahidi Tanzania imekuwa na Mfumo bora wa kuweka Viongozi madarakani unaoheshimiwa na imara kupitia Chaguzi zinazofanyika kila baada ya miaka mitano
Ameeleza, "Wananchi wamekuwa wakitekeleza Haki yao ya msingi ya kikatiba ya kuchagua viongozi wanaowataka"
Soma - https://jamii.app/SamiaHotuba-Dec21
#Miaka60YaUhuru
Katika siku za karibuni mitandao ya kijamii na Mifumo ya Kidijitali imekuwa maeneo muhimu kwa Jamii ya Tanzania kutumia #UhuruWaKujieleza na kupigania haki zao nyingine
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA
Tanganyika ilipata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza Desemba 09, 1961. Harakati za Uhuru ziliongozwa na Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere
Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara imetajwa kuchangia kuleta mafanikio mbalimbali yakiwemo; Kujenga Umoja wa Kitaifa, Kuimarisha Uchumi, kuboresha Huduma za Kijamii na kuimarisha Demokrasia na Utawala wa Sheria
Unazungumziaje miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika?
#Miaka60YaUhuru #Tanzania60
Tanganyika ilipata Uhuru wake kutoka kwa Waingereza Desemba 09, 1961. Harakati za Uhuru ziliongozwa na Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere
Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara imetajwa kuchangia kuleta mafanikio mbalimbali yakiwemo; Kujenga Umoja wa Kitaifa, Kuimarisha Uchumi, kuboresha Huduma za Kijamii na kuimarisha Demokrasia na Utawala wa Sheria
Unazungumziaje miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika?
#Miaka60YaUhuru #Tanzania60
Katika siku za karibuni mitandao ya kijamii na Mifumo ya Kidijitali imekuwa maeneo muhimu kwa Jamii ya Tanzania kutumia #UhuruWaKujieleza na kupigania haki zao nyingine
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Tukifurahia Miaka 60 ya Uhuru wa #Tanganyika ni kwa kiwango gani tumeweza kuitumia mifumo ya Digitali katika kusimamia Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala Bora?
Ungana nasi katika Mjadala huu utakaofanyika kupitia Clubhouse Desemba 9, 2021
#JamiiForums #DigitalSpaces #Democracy
Matukio Katika Picha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaongoza Viongozi wa Kitaifa na Kimataifa pamoja na Wananchi katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara yanayofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam
#Miaka60YaUhuru
#Miaka60YaUhuru