#GAMBIA: Wananchi wanapiga kura ktk Uchaguzi wa kihistoria, ambao kwa mara ya kwanza Rais wa zamani, Yahya Jammeh hayumo kwenye kinyang'anyiro hicho
Rais wa sasa, Adama Barrow aliyechaguliwa 2016 ana matumaini ya kushinda muhula wa 2
Soma - https://jamii.app/GambiaElection
#GambiaDecides
Rais wa sasa, Adama Barrow aliyechaguliwa 2016 ana matumaini ya kushinda muhula wa 2
Soma - https://jamii.app/GambiaElection
#GambiaDecides
#ETHIOPIA: Wizara ya Elimu imetangaza kufungwa kwa Shule zote za Sekondari kwa wiki moja, ili Wanafunzi wasaidie kuvuna Chakula Mashambani
Inakadiriwa zaidi ya Wanafunzi Milioni 1.2 hawapo Shuleni kutokana na mapigano yanayoendelea
Soma - https://jamii.app/SchoolsClosedEth
#JFLeo
Inakadiriwa zaidi ya Wanafunzi Milioni 1.2 hawapo Shuleni kutokana na mapigano yanayoendelea
Soma - https://jamii.app/SchoolsClosedEth
#JFLeo
Watu wa umri wa miaka 15 na kuendelea wanaojiajiri(tafsiri ya kitaifa) kwa shughuli zisizohusika na kilimo wapungua kwa 3.9%
Kwa takwimu za NBS, waliokuwa wanafanya shughuli binafsi zisizo za Kilimo 2014 ni 26.6% ya walioajiriwa, na 2021 ni 22.7%
Soma - https://jamii.app/Kujiajiri2021
Kwa takwimu za NBS, waliokuwa wanafanya shughuli binafsi zisizo za Kilimo 2014 ni 26.6% ya walioajiriwa, na 2021 ni 22.7%
Soma - https://jamii.app/Kujiajiri2021
TAKWIMU: Vitabu vya Biashara kwa Wanafunzi wa Kidato cha 5 na 6 ni vichache ikilinganishwa na masomo mengine
Mwaka 2021, kulikuwa na vitabu 378 vya Accountancy, 392 Commerce na 4,057 Economics. Shule za Serikali zina vitabu vingi zaidi vya Kemia
Soma - https://jamii.app/VitabuBiashara
Mwaka 2021, kulikuwa na vitabu 378 vya Accountancy, 392 Commerce na 4,057 Economics. Shule za Serikali zina vitabu vingi zaidi vya Kemia
Soma - https://jamii.app/VitabuBiashara
SERIKALI: HATUJABAINI KIRUSI CHA OMICRON MPAKA SASA
Yasema Maabara ya Taifa imekuwa ikichunguza mabadiliko ya kirusi kuangalia uwepo wa anuai zinazotokana na mabadiliko ya #COVID19, ikiwemo Omicron
Wananchi wasisitizwa kuchukua tahadhari
Soma https://jamii.app/OmicronTZ
#UVIKO3
Yasema Maabara ya Taifa imekuwa ikichunguza mabadiliko ya kirusi kuangalia uwepo wa anuai zinazotokana na mabadiliko ya #COVID19, ikiwemo Omicron
Wananchi wasisitizwa kuchukua tahadhari
Soma https://jamii.app/OmicronTZ
#UVIKO3
UCHAGUZI GAMBIA: Mamlaka zimemtangaza Rais Adama Barrow kuwa mshindi wa Uchaguzi Mkuu, akipata takriban 53% ya Kura huku Mpinzani Ousainou Darboe akipata 28%
Awali, Darboe na Wagombea wengine walisema wasingekubali matokeo ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/BarrowGambia
#JFLeo
Awali, Darboe na Wagombea wengine walisema wasingekubali matokeo ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/BarrowGambia
#JFLeo
INDIA: WANANCHI WACHOMA MAGARI YA JESHI BAADA YA WENZAO KUUAWA KIMAKOSA
Kiongozi wa Jimbo la Nagaland, Neiphiu Rio ameamuru kufanyika uchunguzi wa haraka
Wanajeshi walililenga kwa risasi lori moja na kusababisha vifo vya Watu 6
Soma - https://jamii.app/JeshiLauaRaia
#HumanRights
Kiongozi wa Jimbo la Nagaland, Neiphiu Rio ameamuru kufanyika uchunguzi wa haraka
Wanajeshi walililenga kwa risasi lori moja na kusababisha vifo vya Watu 6
Soma - https://jamii.app/JeshiLauaRaia
#HumanRights
SUDAN: JESHI LASEMA LITAACHIA MADARAKA BAADA YA UCHAGUZI
Jenerali Abdel Fattah al-Burhan asema Jeshi litaacha kujishughulisha na Siasa baada ya Uchaguzi wa mwaka 2023
Takriban watu 44 wamefariki kutokana na maandamano ya kupinga Jeshi
Soma - https://jamii.app/JeshiSiasaSudan
#JFLeo
Jenerali Abdel Fattah al-Burhan asema Jeshi litaacha kujishughulisha na Siasa baada ya Uchaguzi wa mwaka 2023
Takriban watu 44 wamefariki kutokana na maandamano ya kupinga Jeshi
Soma - https://jamii.app/JeshiSiasaSudan
#JFLeo
Katika ukaguzi wa uendeshaji wa Mfuko wa Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu, CAG alibaini;
65% ya Mikopo iliyotolewa kwenye Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu haikurejeshwa
Kwa mwaka 2019/20, CAG alionesha Mamlaka za Serikali za Mitaa 130 zilitoa Mikopo yenye thamani ya Tsh. Bilioni 42.9, lakini Tsh. Bilioni 27.8 sawa na 65% ya mikopo hiyo haikurejeshwa
Soma - https://jamii.app/MfukoUwezeshaji
#JFUwajibikaji
65% ya Mikopo iliyotolewa kwenye Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu haikurejeshwa
Kwa mwaka 2019/20, CAG alionesha Mamlaka za Serikali za Mitaa 130 zilitoa Mikopo yenye thamani ya Tsh. Bilioni 42.9, lakini Tsh. Bilioni 27.8 sawa na 65% ya mikopo hiyo haikurejeshwa
Soma - https://jamii.app/MfukoUwezeshaji
#JFUwajibikaji
MDAU: MATATIZO YATOKANAYO NA UKOSEFU WA LISHE BORA KWA MTOTO
(i) Matatizo ya ukuaji: Mtoto yeyote ambaye lishe yake ni duni, huwa na matatizo ya ukuaji. Ili Mtoto akue vizuri lazima kuwe na Protini ya kutosha ambayo hufanya kazi ya kuujenga Mwili
(ii) Mtoto kuishiwa nguvu: Hii huwakuta Watoto wengi sana, ambao mara nyingi hukonda kupita kiasi. Mwili huitaji Vyakula kama Wanga, Protini na Mafuta ili uweze kuzalisha nguvu
Msome - https://jamii.app/LisheBoraAkili
#StoriesOfChange
(i) Matatizo ya ukuaji: Mtoto yeyote ambaye lishe yake ni duni, huwa na matatizo ya ukuaji. Ili Mtoto akue vizuri lazima kuwe na Protini ya kutosha ambayo hufanya kazi ya kuujenga Mwili
(ii) Mtoto kuishiwa nguvu: Hii huwakuta Watoto wengi sana, ambao mara nyingi hukonda kupita kiasi. Mwili huitaji Vyakula kama Wanga, Protini na Mafuta ili uweze kuzalisha nguvu
Msome - https://jamii.app/LisheBoraAkili
#StoriesOfChange
DKT. NDUGULILE: CHANGAMOTO YA DARAJA LA KIGAMBONI NI TOZO
Mbunge wa Kigamboni amesema Changamoto kubwa ni tozo, akitolea Mfano wa Daladala moja kutozwa Tsh. 5,000 kila linapopita
Amuomba Rais Samia kuliangalia jambo hilo ili kuleta nafuu kwa Watu
Soma - https://jamii.app/TozoDarajaKigmb
Mbunge wa Kigamboni amesema Changamoto kubwa ni tozo, akitolea Mfano wa Daladala moja kutozwa Tsh. 5,000 kila linapopita
Amuomba Rais Samia kuliangalia jambo hilo ili kuleta nafuu kwa Watu
Soma - https://jamii.app/TozoDarajaKigmb
RAIS SAMIA: NITAENDELEA KUZUNGUKA KUWAAMBIA WAWEKEZAJI WAJE TANZANIA
Asema, "Kama nimekubali kubeba mzigo wa kuongoza Nchi, kuna mambo kadhaa yaliyoelekezwa ndani ya Ilani niyatimize. Sitayatimiza kwa kukaa Dodoma/Magogoni, lazima nikaonane na watu"
Soma https://jamii.app/SSHWawekezajiTZ
Asema, "Kama nimekubali kubeba mzigo wa kuongoza Nchi, kuna mambo kadhaa yaliyoelekezwa ndani ya Ilani niyatimize. Sitayatimiza kwa kukaa Dodoma/Magogoni, lazima nikaonane na watu"
Soma https://jamii.app/SSHWawekezajiTZ
KENYA: WASAFIRI WOTE KULAZIMIKA KUWA NA CHETI CHA CHANJO
Kenya imetangaza hatua kali zinazolenga kuzuia kuenea kwa aina mpya ya #COVID19
Waziri wa #Afya amesema ni lazima kwa wageni kuwa na cheti cha Chanjo kabla ya kuingia Nchini humo
Soma - https://jamii.app/CertVaccineKE
#UVIKO3
Kenya imetangaza hatua kali zinazolenga kuzuia kuenea kwa aina mpya ya #COVID19
Waziri wa #Afya amesema ni lazima kwa wageni kuwa na cheti cha Chanjo kabla ya kuingia Nchini humo
Soma - https://jamii.app/CertVaccineKE
#UVIKO3
MYANMAR: AUNG SAN SUU KYI AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 4
Kiongozi huyo aliyetolewa Madarakani na Jeshi akutwa na hatia ya uchochezi na kuvunja Kanuni za Corona
Aung San Suu Kyi yupo kifungo cha nyumbani tangu Februari, na anakabiliwa na Mashtaka 11
Soma https://jamii.app/AungSanSuu4
Kiongozi huyo aliyetolewa Madarakani na Jeshi akutwa na hatia ya uchochezi na kuvunja Kanuni za Corona
Aung San Suu Kyi yupo kifungo cha nyumbani tangu Februari, na anakabiliwa na Mashtaka 11
Soma https://jamii.app/AungSanSuu4
COVID-19: DALILI AMBAZO HUWAPATA WATU WACHACHE
WHO imetaja dalili hizo ni Kupata maumivu ya kichwa, Kuwashwa kooni, Maumivu mwilini, kuhara, upele au vidole kubadilika rangi na macho kuwa mekundu
Unasisitizwa kwenda Kituo cha Afya ukizipata
Soma https://jamii.app/LessCommon
#UVIKO3
WHO imetaja dalili hizo ni Kupata maumivu ya kichwa, Kuwashwa kooni, Maumivu mwilini, kuhara, upele au vidole kubadilika rangi na macho kuwa mekundu
Unasisitizwa kwenda Kituo cha Afya ukizipata
Soma https://jamii.app/LessCommon
#UVIKO3
Vitendo vya Rushwa ya Ngono vinaendelea kushamiri kutokana na Uelewa mdogo wa Jamii juu ya #Sheria zinazozuia rushwa hiyo
Pia, Watendewa huogopa kutoa taarifa kwa hofu ya kuachishwa kazi, kunyimwa huduma, kuachishwa masomo au kufelishwa kwa makusudi kwa Wanafunzi hasa wa Vyuo Vikuu
Je, umewahi kuombwa Rushwa ya Ngono au kushuhudia Mtu akiombwa Rushwa ya Ngono?
#16DaysofActivism2021
Pia, Watendewa huogopa kutoa taarifa kwa hofu ya kuachishwa kazi, kunyimwa huduma, kuachishwa masomo au kufelishwa kwa makusudi kwa Wanafunzi hasa wa Vyuo Vikuu
Je, umewahi kuombwa Rushwa ya Ngono au kushuhudia Mtu akiombwa Rushwa ya Ngono?
#16DaysofActivism2021
MDAU: UMUHIMU WA MTU/JAMII KUIFAHAMU AFYA YA AKILI
1. Husaidia kuweza kutambua changamoto ndogondogo zinazoweza kupelekea tatizo la Akili ikiwemo Msongo wa Mawazo ambao usipopatiwa ufumbuzi, hupelekea tatizo la Akili liitwalo Sonona (#Depression)
2. Kuitambua Afya ya Akili kunasaidia kupambana na shida ya kiwewe (Post Traumatic #Stress Problem) inayosababishwa na majanga mbalimbali ikiwemo kufiwa na Mtu wa karibu sana
Msome - https://jamii.app/BenefitsAfyaAkili
#StoriesOfChange
1. Husaidia kuweza kutambua changamoto ndogondogo zinazoweza kupelekea tatizo la Akili ikiwemo Msongo wa Mawazo ambao usipopatiwa ufumbuzi, hupelekea tatizo la Akili liitwalo Sonona (#Depression)
2. Kuitambua Afya ya Akili kunasaidia kupambana na shida ya kiwewe (Post Traumatic #Stress Problem) inayosababishwa na majanga mbalimbali ikiwemo kufiwa na Mtu wa karibu sana
Msome - https://jamii.app/BenefitsAfyaAkili
#StoriesOfChange
AFRIKA KUSINI: Rais Cyril Ramaphosa anasema Hospitali zinaandaliwa kulaza wagonjwa zaidi, wakati Kirusi cha #Omicron kikiendelea kuenea na kupelekea Wimbi la 4
Amewataka Wananchi kuvaa barakoa na kuepuka misongamano ili kupunguza maambukizi
Soma https://jamii.app/Wave4SA
#UVIKO3
Amewataka Wananchi kuvaa barakoa na kuepuka misongamano ili kupunguza maambukizi
Soma https://jamii.app/Wave4SA
#UVIKO3
GOBA, DAR: Watu wanne (Wanawake 2 na Wanaume 2) wameripotiwa kufariki dunia huku wengine 17 wakijeruhiwa baada ya jengo lililokuwa linajengwa eneo la Goba kwa Awadhi Jijini Dar es Salaam kuangukia nyumba za jirani
Soma - https://jamii.app/GobaVifo4
#JFLeo
Soma - https://jamii.app/GobaVifo4
#JFLeo
LUDEWA: AJINYONGA BAADA YA KUTOTAJWA JINA KWENYE MISA
Raban Razalo (48) amejinyonga na waya kwa madai ya kutoridhishwa na kitendo cha Mchungaji kutomtaja jina wakati wa misa ya shukrani iliyofanywa na Mkewe baada ya Mtoto wao kupona mguu
Soma - https://jamii.app/BabaKifoPadri
Raban Razalo (48) amejinyonga na waya kwa madai ya kutoridhishwa na kitendo cha Mchungaji kutomtaja jina wakati wa misa ya shukrani iliyofanywa na Mkewe baada ya Mtoto wao kupona mguu
Soma - https://jamii.app/BabaKifoPadri