JamiiForums
52.8K subscribers
34.4K photos
2.44K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Mjadala wa "Wanafunzi kuendelea na Masomo wakati wa Likizo" unaendelea hivi sasa kupitia Clubhouse

Kushiriki Bonyeza - https://www.clubhouse.com/join/jamiiforums/S1hdad7O/MwrAaJ4e

#JamiiForums
Yanayojiri katika Mjadala unaoendelea kupitia Clubhouse

#JamiiForums
Maoni ya wadau mbalimbali katika Mjadala wa "Wanafunzi kuendelea na Masomo wakati wa Likizo" unaoendelea Clubhouse

#JamiiForums
Baadhi ya masuala aliyozungumza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu katika Mjadala uliofanyika kupitia Clubhouse

#JamiiForums
MALEZI: ULINZI NI MUHIMU KWA WATOTO

Familia ndicho chanzo cha kwanza cha Ulinzi wa Mtoto. Wazazi/Walezi wana jukumu la kutengeneza mazingira ya Nyumbani ambayo ni salama na yenye upendo

Shule na Jamii zina jukumu la kutengeneza mazingira ya nje ya Nyumbani ambayo ni salama na rafiki kwa Mtoto

Soma - https://jamii.app/UlinziWatoto
#ChildSafety