AUSTRALIA KUTUNGA SHERIA YA KUONESHA UTAMBULISHO WA WATUMIAJI WA MITANDAO
Imepanga kutunga Sheria hiyo kuiwajibisha Mitandao ya Kijamii kwa maudhui yanayochapishwa na watumiaji
Serikali yasema Uhuru wa kutoa maoni unapaswa kuendana na Uwajibikaji
Soma - https://jamii.app/WasiojulikanaMitandaoni
Imepanga kutunga Sheria hiyo kuiwajibisha Mitandao ya Kijamii kwa maudhui yanayochapishwa na watumiaji
Serikali yasema Uhuru wa kutoa maoni unapaswa kuendana na Uwajibikaji
Soma - https://jamii.app/WasiojulikanaMitandaoni
WHO YAHIMIZA KUTOFUNGIA MATAIFA KWA HOFU YA KIRUSI CHA OMICRON
Shirika la Afya Duniani limesisitiza kufuata Kanuni za Kisayansi za Kimataifa za 2005
Limesema Afrika Kusini na Botswana ni za kupongezwa kwa kuwa na uwazi kuhusu #Omicron
Soma - https://jamii.app/SABotswana
#UVIKO3
Shirika la Afya Duniani limesisitiza kufuata Kanuni za Kisayansi za Kimataifa za 2005
Limesema Afrika Kusini na Botswana ni za kupongezwa kwa kuwa na uwazi kuhusu #Omicron
Soma - https://jamii.app/SABotswana
#UVIKO3
Wizara ya Mambo ya nje ya #Morocco imesitisha Safari za Ndege za kuingia Nchini humo kwa muda wa wiki 2 kutokana na aina mpya ya Kirusi cha #Omicron
Asilimia 66 ya Watu wa Taifa hilo tayari wamepokea walau dozi moja ya Chanjo ya #COVID19
Soma - https://jamii.app/MoroccoFlightsBan
#UVIKO3
Asilimia 66 ya Watu wa Taifa hilo tayari wamepokea walau dozi moja ya Chanjo ya #COVID19
Soma - https://jamii.app/MoroccoFlightsBan
#UVIKO3
Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda amesema bei za mafuta ya kupikia zimepanda kwasababu 55% ya mafuta yanaagizwa kutoka nje
Athari za #COVID19 zimefanya uzalishaji kuwa finyu. Sababu nyingine ya bei kupanda ni gharama za usafirishaji
Soma - https://jamii.app/MafutaKupikia
#JFLeo
Athari za #COVID19 zimefanya uzalishaji kuwa finyu. Sababu nyingine ya bei kupanda ni gharama za usafirishaji
Soma - https://jamii.app/MafutaKupikia
#JFLeo
Sheria zinazolinda na kuzuia #UkatiliWaKijinsia Mitandaoni ni pamoja na Kanuni ya Maudhui ya Mtandaoni (OCR) 2020 ambayo inakataza kurusha Maudhui ya Udhalilishaji ikiwamo Picha/Video za Utupu
Ukatili wa Kijinsia Mtandaoni unazidi kukithiri kutokana na Uelewa mdogo wa Watumiaji, Utamaduni wa Jamii kukaa kimya badala ya kukemea pale unapoona Vitendo vya Ukatili
Soma - https://jamii.app/SheriaUkatiliOnline
#16DaysofActivism
Ukatili wa Kijinsia Mtandaoni unazidi kukithiri kutokana na Uelewa mdogo wa Watumiaji, Utamaduni wa Jamii kukaa kimya badala ya kukemea pale unapoona Vitendo vya Ukatili
Soma - https://jamii.app/SheriaUkatiliOnline
#16DaysofActivism
HOJA: Mdau wa JamiiForums anasema mahari si zawadi kwani zawadi haipangwi. Anadai Mahari ni kumuuza Mwanamke na ndiyo sababu isipolipwa Mtu hunyimwa Mke
Pia, inaondoa nafasi ya Mwanamke katika Ndoa kwa kumfanya Mwanaume awe na uwezo wa kumnyanyasa kwasababu amemlipia Mahari
Nini maoni yako?
Msome - https://jamii.app/KulipaMahari
#StoriesOfChange
Pia, inaondoa nafasi ya Mwanamke katika Ndoa kwa kumfanya Mwanaume awe na uwezo wa kumnyanyasa kwasababu amemlipia Mahari
Nini maoni yako?
Msome - https://jamii.app/KulipaMahari
#StoriesOfChange
WHO: OMICRON NI TISHIO, CHANJO NI MUHIMU
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Kirusi kipya cha Corona cha #Omicron ni hatari na kuna uwezekano maambukizi duniani kote yakaongezeka
Mataifa yahimizwa kusaidia chanjo Nchi masikini
Soma - https://jamii.app/Omicron
#UVIKO3
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Kirusi kipya cha Corona cha #Omicron ni hatari na kuna uwezekano maambukizi duniani kote yakaongezeka
Mataifa yahimizwa kusaidia chanjo Nchi masikini
Soma - https://jamii.app/Omicron
#UVIKO3
CHAD: Serikali ya Kijeshi imetoa msamaha kwa takriban Waasi 300 na Wapinzani kutokana na shinikizo kutoka upinzani
Msamaha unahusisha waliokuwa wamezuiliwa kutokana na tuhuma mbalimbali ikiwemo kutoa maoni, ugaidi na kuhujumu Serikali
Soma - https://jamii.app/PrisonersFreedChad
#Democracy
Msamaha unahusisha waliokuwa wamezuiliwa kutokana na tuhuma mbalimbali ikiwemo kutoa maoni, ugaidi na kuhujumu Serikali
Soma - https://jamii.app/PrisonersFreedChad
#Democracy
👍1
KILIMANJARO: Serikali imefungia uzalishaji wa pombe aina ya Simba kutokana na Pombe hiyo kuwa na kiwango kikubwa cha Asidi kisichofaa kwa matumizi ya Binadamu
> Pia, TBS imeagizwa kuchunguza viwanda vinavyozalisha pombe zinazotokana na Ndizi
Soma https://jamii.app/PombeSimba
> Pia, TBS imeagizwa kuchunguza viwanda vinavyozalisha pombe zinazotokana na Ndizi
Soma https://jamii.app/PombeSimba
Ukatili unajitokeza katika sura mbalimbali kama vile vipigo, Ukeketaji, Ubakaji, Mauaji ya Wanawake na Watoto wa Kike, kurithi Wajane, Udhalilishaji wa Wanawake Mitandaoni au kwenye Siasa, na rushwa ya ngono
Ukatili una athari mbaya kwa Wanawake na Watoto wa Kike, kwani huathiri Afya zao Kimwili na Kisaikolojia na hupelekea kudidimiza Maendeleo yao na ya Taifa kwa ujumla.
#JamiiForums #GenderBasedViolence #16DaysofActivism2021
Ukatili una athari mbaya kwa Wanawake na Watoto wa Kike, kwani huathiri Afya zao Kimwili na Kisaikolojia na hupelekea kudidimiza Maendeleo yao na ya Taifa kwa ujumla.
#JamiiForums #GenderBasedViolence #16DaysofActivism2021
Jamii Forums inatoa nafasi 2 za ajira kwa Wasanifu Grafiki (Graphic Designers)
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
MAJUKUMU: Kuandaa na kusanifu picha kulingana na mahitaji, Kuandaa na kuhariri picha mjongeo zitakazotumika kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
Kwa Maelezo zaidi tembelea - https://jamii.app/GraphicDesignersJF
RWANDA: WAZEE WAANZA KUPATIWA DOZI YA TATU YA CHANJO YA CORONA
Walio na umri wa zaidi ya miaka 50 na wenye maradhi wataanza kupokea dozi kuanzia leo, Novemba 30
Watumishi wa Afya wametajwa katika kundi la kupokea dozi hiyo dhidi ya #COVID19
Soma https://jamii.app/WazeeChanjo
#UVIKO3
Walio na umri wa zaidi ya miaka 50 na wenye maradhi wataanza kupokea dozi kuanzia leo, Novemba 30
Watumishi wa Afya wametajwa katika kundi la kupokea dozi hiyo dhidi ya #COVID19
Soma https://jamii.app/WazeeChanjo
#UVIKO3
TABORA: Wauguzi 2 wa Hospitali ya Kaliua wamesimamishwa kazi kwa vitendo vya utovu wa nidhamu
Mmoja anatuhumiwa kufanya mapenzi wodini na Daktari aliye katika mafunzo kwa vitendo huku mwingine akituhumiwa kuwa kinara katika utoaji wa Mimba
Soma - https://jamii.app/NursesFiredSex
#JFLeo
Mmoja anatuhumiwa kufanya mapenzi wodini na Daktari aliye katika mafunzo kwa vitendo huku mwingine akituhumiwa kuwa kinara katika utoaji wa Mimba
Soma - https://jamii.app/NursesFiredSex
#JFLeo
CHANJO ZA COVID-19 ZIMEPITIA HATUA ZA KIUSALAMA
Wataalamu wa Afya wa Chuo Kikuu cha Johns Hopkins wanasema utengenezwaji wa haraka haumaanishi hatua zilirukwa
Teknolojia zimekuwa zikiandaliwa kupambana na milipuko ya Virusi vya kuambukiza
Soma https://jamii.app/ChanjoUsalama
#UVIKO3
Wataalamu wa Afya wa Chuo Kikuu cha Johns Hopkins wanasema utengenezwaji wa haraka haumaanishi hatua zilirukwa
Teknolojia zimekuwa zikiandaliwa kupambana na milipuko ya Virusi vya kuambukiza
Soma https://jamii.app/ChanjoUsalama
#UVIKO3
CHINA YAIAHIDI AFRIKA DOZI BILIONI 1 ZA CHANJO
Rais Xi Jinping ameahidi kuipa Afrika Dozi Bilioni 1 za Chanjo dhidi ya #COVID19
Katika dozi hizo, Milioni 600 zitatoka #China moja kwa moja na Milioni 400 zitatoka kwa vyanzo vingine
Soma - https://jamii.app/ChinaChanjo
#UVIKO3
Rais Xi Jinping ameahidi kuipa Afrika Dozi Bilioni 1 za Chanjo dhidi ya #COVID19
Katika dozi hizo, Milioni 600 zitatoka #China moja kwa moja na Milioni 400 zitatoka kwa vyanzo vingine
Soma - https://jamii.app/ChinaChanjo
#UVIKO3
Mradi wa Uzalishaji wa Sukari Mbigiri ambao unamilikiwa na Kampuni tanzu ya Mkulazi Wilayani Kilosa ulilenga kuzalisha Sukari tani 50,000 kwa Mwaka
CAG alibaini Kampuni ya Mkulazi kushindwa kusimika mtambo wa kuchakata Sukari kwa wakati kinyume na mkataba wa Mwaka 2018
Pia, Kampuni haikuweza kusimamia Utendaji wa Wakulima wanaouzunguka Mradi kwa kuwapatia ushauri wa Kitaalamu
Soma - https://jamii.app/CAGSukariMbigiri
#JFUwajibikaji
CAG alibaini Kampuni ya Mkulazi kushindwa kusimika mtambo wa kuchakata Sukari kwa wakati kinyume na mkataba wa Mwaka 2018
Pia, Kampuni haikuweza kusimamia Utendaji wa Wakulima wanaouzunguka Mradi kwa kuwapatia ushauri wa Kitaalamu
Soma - https://jamii.app/CAGSukariMbigiri
#JFUwajibikaji
MALEZI: UDHALILISHAJI WA MTOTO KWA NJIA YA MANENO
Udhalilishaji kwa njia ya maneno unatokea pale ambapo Mzazi/Mlezi au Mtu aliye karibu na Mtoto anapotumia maneno yenye kumuumiza Mtoto Kihisia
Baadhi ya maneno ni; Kumkemea au kumkaripia mbele ya hadhara ya Watu au Familia/Ndugu. Kumuita Mtoto majina mabaya (Matusi) na majina mengine ikiwemo majina ya Wanyama
Soma - https://jamii.app/AbuseWordsChild
#Malezi #ChildViolence
Udhalilishaji kwa njia ya maneno unatokea pale ambapo Mzazi/Mlezi au Mtu aliye karibu na Mtoto anapotumia maneno yenye kumuumiza Mtoto Kihisia
Baadhi ya maneno ni; Kumkemea au kumkaripia mbele ya hadhara ya Watu au Familia/Ndugu. Kumuita Mtoto majina mabaya (Matusi) na majina mengine ikiwemo majina ya Wanyama
Soma - https://jamii.app/AbuseWordsChild
#Malezi #ChildViolence
Novemba 29, 2021, Taasisi ya WAJIBU ilizindua kitabu kiitwacho "Principles of Public Sector Auditing - The Case of SAI Tanzania" Jijini Dar es Salaam
-
Kitabu hicho kilizinduliwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Emanuel Tutuba kwa niaba ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba
-
Kitabu hicho kimeandikwa na CAG mstaafu na Mkurugenzi Mtendaji wa WAJIBU, CPA. Ludovick Utouh.
#JamiiForums #JFUwajibikaji
-
Kitabu hicho kilizinduliwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Emanuel Tutuba kwa niaba ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba
-
Kitabu hicho kimeandikwa na CAG mstaafu na Mkurugenzi Mtendaji wa WAJIBU, CPA. Ludovick Utouh.
#JamiiForums #JFUwajibikaji