MAHAKAMA KUU YA TANZANIA YATUPILIA MBALI WOSIA WA DKT. MENGI
- Imesema wosia wa Reginald Mengi wa Agosti 17, 2017 haukuzingatia misingi ya kisheria na uliandikwa kipindi ambacho alikuwa hana uwezo huo kutokanana maradhi yaliyomsumbua tokea 2016
Soma https://jamii.app/MirathiMengi
- Imesema wosia wa Reginald Mengi wa Agosti 17, 2017 haukuzingatia misingi ya kisheria na uliandikwa kipindi ambacho alikuwa hana uwezo huo kutokanana maradhi yaliyomsumbua tokea 2016
Soma https://jamii.app/MirathiMengi
MAJALIWA: MENEJA WA TEHAMA NA WENZAKE WASIMAMISHWE KAZI HADI UCHUNGUZI UKAMILIKE
Waziri Mkuu ametaka Meneja TEHAMA wa TANESCO na Wasaidizi wake wakae pembeni hadi uchunguzi ukamilike
> Aagiza wasiishie kusimamishwa siku 10 kama ilivyotangazwa awali
Soma https://jamii.app/LUKUSaga
Waziri Mkuu ametaka Meneja TEHAMA wa TANESCO na Wasaidizi wake wakae pembeni hadi uchunguzi ukamilike
> Aagiza wasiishie kusimamishwa siku 10 kama ilivyotangazwa awali
Soma https://jamii.app/LUKUSaga
👍1
RAIS MUSEVENI AKOSOA KILIMO CHA TUMBO (SUBSISTENCE ECONOMY)
Rais Yoweri Museveni wa #Uganda amesema Watu wengi hujihusisha na #Kilimo cha Tumbo tu na kujikuta Wakilima sana bila kupata maendeleo
Asema shida ni kutojua kitu sahihi cha kufanya
Soma https://jamii.app/UtiajiSainiTzUG
#Siasa
Rais Yoweri Museveni wa #Uganda amesema Watu wengi hujihusisha na #Kilimo cha Tumbo tu na kujikuta Wakilima sana bila kupata maendeleo
Asema shida ni kutojua kitu sahihi cha kufanya
Soma https://jamii.app/UtiajiSainiTzUG
#Siasa
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
RAIS SAMIA: BOMBA LA MAFUTA LITASAIDIA KUVUTA WAWEKEZAJI
Asema taswira ya Bara la Afrika imekuwa ikihusishwa na vita, njaa, kutokuwa na mazingira bora ya #Biashara
Anaamini Wawekezaji wengi wakubwa kutoka nje watakuja Afrika Mashariki
Soma > https://jamii.app/MuseveniZiaraTZ
#Siasa
Asema taswira ya Bara la Afrika imekuwa ikihusishwa na vita, njaa, kutokuwa na mazingira bora ya #Biashara
Anaamini Wawekezaji wengi wakubwa kutoka nje watakuja Afrika Mashariki
Soma > https://jamii.app/MuseveniZiaraTZ
#Siasa
MABONDIA 4 WA TANZANIA KUZICHAPA NCHINI URUSI MEI 20
Dullah Mbabe atakipiga na Pavel Silyagin kuwania mkanda wa #WBO. Twaha Kiduku atakuwa na Bek Nurmaganbet
Nasibu Ramadhani na Yergniy Pavlov huku Alphonce Mchumiatumbo atakuwa Vartan Arutyunyan
Soma - https://jamii.app/TanzanianBoxersRussia
Dullah Mbabe atakipiga na Pavel Silyagin kuwania mkanda wa #WBO. Twaha Kiduku atakuwa na Bek Nurmaganbet
Nasibu Ramadhani na Yergniy Pavlov huku Alphonce Mchumiatumbo atakuwa Vartan Arutyunyan
Soma - https://jamii.app/TanzanianBoxersRussia
RAIS SAMIA: TUNA MATEGEMEO YA KUPATA MAFUTA ZIWA EYASI
Amesema Mradi wa Bomba la Mafuta unachochea utafutaji wa Biashara ya Mafuta na Gesi Afrika Mashariki
Ametoa rai kwa Tanzania na Uganda kukamilisha majadiliano ya Mikataba iliyobaki
Soma > https://jamii.app/MuseveniZiaraTZ
Amesema Mradi wa Bomba la Mafuta unachochea utafutaji wa Biashara ya Mafuta na Gesi Afrika Mashariki
Ametoa rai kwa Tanzania na Uganda kukamilisha majadiliano ya Mikataba iliyobaki
Soma > https://jamii.app/MuseveniZiaraTZ
UN: NCHI ZA KIPATO CHA CHINI NA KATI ZINAHITAJI MITUNGI MILIONI 4 YA OKSIJENI KWA SIKU
Uwepo wa Oksijeni unaweza kupunguza 40% ya vifo vya #COVID19
Uhaba umeongeza idadi ya vifo vinavyoweza kuepukika huku Familia zikilipa fedha nyingi za Matibabu
Soma - https://jamii.app/UhitajiOksijeni
Uwepo wa Oksijeni unaweza kupunguza 40% ya vifo vya #COVID19
Uhaba umeongeza idadi ya vifo vinavyoweza kuepukika huku Familia zikilipa fedha nyingi za Matibabu
Soma - https://jamii.app/UhitajiOksijeni
SERIKALI: HATUTAKUBALI KUONA MWANDISHI WA HABARI ANAONEWA
Waziri Mkuu asema "Sio Sera ya Serikali kuonea Waandishi wa Habari"
Asema hatua kadhaa zinaendelea ktk kuyafungulia Magazeti ya Mawio, Mseto, Tanzania Daima na Mwanahalisi
Soma > https://jamii.app/UonevuWaandishi
#MediaFreedom
Waziri Mkuu asema "Sio Sera ya Serikali kuonea Waandishi wa Habari"
Asema hatua kadhaa zinaendelea ktk kuyafungulia Magazeti ya Mawio, Mseto, Tanzania Daima na Mwanahalisi
Soma > https://jamii.app/UonevuWaandishi
#MediaFreedom
HUMAN RESOURCE DAY: Siku hii imetengwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza Watu wote wanaohakikisha masuala yanayohusu Wafanyakazi yanasimamiwa kwa weledi katika maeneo yote yanayotoa ajira.
Je, una ujumbe gani kwenda kwa HR wako?
#HRDay2021 #JamiiForums
Je, una ujumbe gani kwenda kwa HR wako?
#HRDay2021 #JamiiForums
WADUDU NA MAGUGU HUIGHARIMU AFRIKA DOLA TRILIONI 3.5 KWA MWAKA
Utafiti uliofanywa na watafiti wa #Ghana, Uswizi, Uingereza na #Kenya umebainisha wadudu, mimea vamizi na magugu huigharimu Afrika
> Gharama huwa ktk palizi na uharibifu wa mazao
Soma https://jamii.app/MimeaVamizi
Utafiti uliofanywa na watafiti wa #Ghana, Uswizi, Uingereza na #Kenya umebainisha wadudu, mimea vamizi na magugu huigharimu Afrika
> Gharama huwa ktk palizi na uharibifu wa mazao
Soma https://jamii.app/MimeaVamizi
KUTOPATIKANA HUDUMA YA UMEME KUMEKUATHIRI KWA KIASI GANI?
Hali ya kutokuwepo umeme husababisha athari za moja kwa moja sekta mbalimbali muhimu kwa Uchumi kama Biashara
> Je, umeridhika na hatua zilizochukuliwa kutatua tatizo? Nini mapendekezo yako ili lisijirudie?
#JamiiForums
Hali ya kutokuwepo umeme husababisha athari za moja kwa moja sekta mbalimbali muhimu kwa Uchumi kama Biashara
> Je, umeridhika na hatua zilizochukuliwa kutatua tatizo? Nini mapendekezo yako ili lisijirudie?
#JamiiForums
NIPE FAGIO: WAOKOTA MAKOPO NI MUHIMU KTK KUTUNZA MAZINGIRA
Shirika la Nipe Fagio limesema Serikali iweke utaratibu wa kuwatambua waokota makopo na kuwaingiza kwenye ajira rasmi
Watambulike na kuheshimiwa ili kuwapa Moyo ktk kutunza Mazingira
Soma https://jamii.app/KuokotaMakopoAjira
Shirika la Nipe Fagio limesema Serikali iweke utaratibu wa kuwatambua waokota makopo na kuwaingiza kwenye ajira rasmi
Watambulike na kuheshimiwa ili kuwapa Moyo ktk kutunza Mazingira
Soma https://jamii.app/KuokotaMakopoAjira
ZIMBABWE YARIPOTI AINA MPYA YA KIRUSI CHA #COVID19 KUTOKA INDIA
Wasafiri watakaoingia #Zimbabwe wakitokea au kupitia India watakaa Karantini kwa gharama zao
Hatua hiyo imekuja baada ya Mwanafunzi aliyerejea kutoka #India kukutwa na kirusi cha India
Soma https://jamii.app/ZimbabweCOVID19
Wasafiri watakaoingia #Zimbabwe wakitokea au kupitia India watakaa Karantini kwa gharama zao
Hatua hiyo imekuja baada ya Mwanafunzi aliyerejea kutoka #India kukutwa na kirusi cha India
Soma https://jamii.app/ZimbabweCOVID19
ISRAEL NA PALESTINA ZASITISHA MAPIGANO
> Misri inatarajiwa kutuma Wajumbe nchini Israeli na Ukanda wa Gaza ili kumaliza mgogoro
> Mgogoro huu uliodumu kwa siku 11, umepelekea vifo vya Wapalestina zaidi ya 200 na Waisrael zaidi ya 10
Soma https://jamii.app/IsraelStopsFight
> Misri inatarajiwa kutuma Wajumbe nchini Israeli na Ukanda wa Gaza ili kumaliza mgogoro
> Mgogoro huu uliodumu kwa siku 11, umepelekea vifo vya Wapalestina zaidi ya 200 na Waisrael zaidi ya 10
Soma https://jamii.app/IsraelStopsFight
#COVID19: UWEZEKANO WA WAGONJWA MAHUTUTI KUFARIKI AFRIKA NI MKUBWA ZAIDI
Kwa mujibu wa Utafiti uliochapishwa na The Lancet, hali hiyo ni kutokana na Hospitali barani humo kukumbwa na uhaba wa vifaa muhimu vya kuokoa maisha na kukosa Wataalamu
Soma https://jamii.app/AfricaPatients
Kwa mujibu wa Utafiti uliochapishwa na The Lancet, hali hiyo ni kutokana na Hospitali barani humo kukumbwa na uhaba wa vifaa muhimu vya kuokoa maisha na kukosa Wataalamu
Soma https://jamii.app/AfricaPatients
MOROCCO YAZUIA MAANDAMANO YA WANANCHI KUPINGA MAUAJI UKANDA WA GAZA
Awali, Wananchi walifanya maandamano ya kushinikiza Nchi yao kufuta uhusiano na #Israel
Mapigano kati ya Israel na Palestina yamesitishwa baada ya siku 11 za kushambuliana
Soma - https://jamii.app/MoroccoMaandamano
Awali, Wananchi walifanya maandamano ya kushinikiza Nchi yao kufuta uhusiano na #Israel
Mapigano kati ya Israel na Palestina yamesitishwa baada ya siku 11 za kushambuliana
Soma - https://jamii.app/MoroccoMaandamano
Zao la #Chai ni mojawapo ya mazao ya kimkakati hapa nchini na kama litaimarishwa linaweza kuwa na tija zaidi kwa wakulima, wenye viwanda na Taifa kwa ujumla kuliko ilivyo sasa.
#InternationalTeaDay2021 #Jamiiforums
#InternationalTeaDay2021 #Jamiiforums