#BELARUS: TOVUTI YA HABARI YAONDOLEWA HEWANI KWA MADAI YA UKWEPAJI KODI
Mamlaka zimevamia Ofisi za Tut.by pamoja na makazi ya Mhariri
Matukio ya uvamizi ni sehemu ya ukandamizaji unaofanywa dhidi ya wanaotofautiana na Serikali
Soma > https://jamii.app/PressBelarus
Mamlaka zimevamia Ofisi za Tut.by pamoja na makazi ya Mhariri
Matukio ya uvamizi ni sehemu ya ukandamizaji unaofanywa dhidi ya wanaotofautiana na Serikali
Soma > https://jamii.app/PressBelarus
MDAU: ILI KUFANIKIWA KIBIASHARA KUWA NA URAFIKI NA WANAOFANYA BIASHARA KAMA YAKO
> Anasema itakusaidia kujua sehemu za kupata vitu kwa bei nafuu
> Anaongeza, wasio na biashara kama yako wanaweza kukufanya uache biashara na kujaribu wanazofanya wao
Soma https://jamii.app/BiasharaUrafiki
> Anasema itakusaidia kujua sehemu za kupata vitu kwa bei nafuu
> Anaongeza, wasio na biashara kama yako wanaweza kukufanya uache biashara na kujaribu wanazofanya wao
Soma https://jamii.app/BiasharaUrafiki
DULLAH MBABE: MABONDIA WA TANZANIA MSIENDE URUSI NA KAZAKHSTAN
Bondia wa #Tanzania, Abdallah Pazi amesema hatokwenda kupigana Urusi na Kazakhstan kwani mabondia wa huko ni wakali
Asema Mabondia wa huko hawapoi na wanapiga ngumi kama mawe
Soma - https://jamii.app/DullahMbabe
#Michezo
Bondia wa #Tanzania, Abdallah Pazi amesema hatokwenda kupigana Urusi na Kazakhstan kwani mabondia wa huko ni wakali
Asema Mabondia wa huko hawapoi na wanapiga ngumi kama mawe
Soma - https://jamii.app/DullahMbabe
#Michezo
RAIS SAMIA ABADILISHA UTEUZI WA WAKUU WA MIKOA YA ARUSHA NA SIMIYU
- John Mongella aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha
- David Kafulila ambaye awali aliteuliwa kuwa RC Arusha atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu
#JamiiForums #JFLeo
- John Mongella aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha
- David Kafulila ambaye awali aliteuliwa kuwa RC Arusha atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu
#JamiiForums #JFLeo
JAJI MKUU: DPP NI CHUJIO LA KWANZA LA HAKI
Prof. Ibrahim Juma amesema, "DPP hawezi kuingiliwa na mtu yeyote, hata Jaji Mkuu hana mamlaka ya kuingilia kazi yake"
Asema Mkurugenzi wa Mashtaka amepewa wajibu wa kuangalia maslahi ya Taifa
Soma > https://jamii.app/HakiDPP
Prof. Ibrahim Juma amesema, "DPP hawezi kuingiliwa na mtu yeyote, hata Jaji Mkuu hana mamlaka ya kuingilia kazi yake"
Asema Mkurugenzi wa Mashtaka amepewa wajibu wa kuangalia maslahi ya Taifa
Soma > https://jamii.app/HakiDPP
DKT. MPANGO AWAASA WAKUU WA MIKOA WASIWE WALEVI NA WAZINZI
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Isdor Mpango, amewataka Wakuu wa Mikoa walioapishwa Mei 19, 2021 wafanye kazi kwa weledi
Asema Kiongozi mzuri ni yule mwenye busara na bidii ya kazi
Soma - https://jamii.app/WelediUongozi
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Isdor Mpango, amewataka Wakuu wa Mikoa walioapishwa Mei 19, 2021 wafanye kazi kwa weledi
Asema Kiongozi mzuri ni yule mwenye busara na bidii ya kazi
Soma - https://jamii.app/WelediUongozi
NEW YORK, MAREKANI: KAMPUNI YA TRUMP KUFANYIWA UCHUNGUZI WA JINAI
Mwanasheria Mkuu amekuwa akichunguza kama uongo uliripotiwa kwenye thamani ya mali ili Kampuni ipate Mikopo na faida za Kiuchumi na Kodi
Trump asema Uchunguzi unachochewa kisiasa
Soma > https://jamii.app/TrumpInvestigation
Mwanasheria Mkuu amekuwa akichunguza kama uongo uliripotiwa kwenye thamani ya mali ili Kampuni ipate Mikopo na faida za Kiuchumi na Kodi
Trump asema Uchunguzi unachochewa kisiasa
Soma > https://jamii.app/TrumpInvestigation
SERIKALI YAONGEZA VITUO VYA KUPIMA VIRUSI VYA CORONA KWENYE VIWANJA VYA NDEGE
Viwanja vya Ndege vimeongezewa vituo vya kupima #COVID19 kutoka vituo 2 hadi kufikia 10
Pia, Serikali imebadili mfumo wa malipo wa huduma hiyo kuwa wa kieletroniki
Soma https://jamii.app/COVID19TestAirports
Viwanja vya Ndege vimeongezewa vituo vya kupima #COVID19 kutoka vituo 2 hadi kufikia 10
Pia, Serikali imebadili mfumo wa malipo wa huduma hiyo kuwa wa kieletroniki
Soma https://jamii.app/COVID19TestAirports
Embe ni chanzo kizuri cha Vitamin A ambayo ni muhimu kwa ajili ya Macho
> Embe lina nyuzi nyuzi ambazo ni muhimu katika kumengβenya chakula
#JamiiForums #LisheChakula
> Embe lina nyuzi nyuzi ambazo ni muhimu katika kumengβenya chakula
#JamiiForums #LisheChakula
MALAWI: CHANJO 19,000 ZA #COVID19 ZILIZOISHA MUDA WA MATUMIZI KUHARIBIWA
Mamlaka za Afya zitaharibu dozi 19,000 za #AstraZeneca ambazo zimeisha muda wa matumizi
Maafisa wasema kutumia chanjo iliyopita muda itawaoongezea woga raia
Soma - https://jamii.app/MalawiChanjo
Mamlaka za Afya zitaharibu dozi 19,000 za #AstraZeneca ambazo zimeisha muda wa matumizi
Maafisa wasema kutumia chanjo iliyopita muda itawaoongezea woga raia
Soma - https://jamii.app/MalawiChanjo
RUKWA: AHUKUMIWA KUNYONGWA KWA KOSA LA KUMUUA BABA YAKE ILI ARITHI MALI
Seni Lisesi (33) alikodi Watu na kuvamia Nyumba ya Baba yake Desemba 4, 2016 katika kijiji cha Mwadui na kumuua Lisesi Magadula (50) kwa kumkatakata mapanga
Soma - https://jamii.app/HukumuKunyongwa
Seni Lisesi (33) alikodi Watu na kuvamia Nyumba ya Baba yake Desemba 4, 2016 katika kijiji cha Mwadui na kumuua Lisesi Magadula (50) kwa kumkatakata mapanga
Soma - https://jamii.app/HukumuKunyongwa
MENEJA TEHAMA NA HUDUMA ZA BIASHARA TANESCO ASIMAMISHWA KAZI KWA SIKU 10
Lonus Feruzi na wasaidizi wake, Frank Mushi na Idda Njau, wametakiwa kutoa maelezo kuhusu tatizo la kununua Umeme kielektroniki
Maelezo yasipojitosheleza wataondolewa kazini
Soma - https://jamii.app/SakataLaUmeme
Lonus Feruzi na wasaidizi wake, Frank Mushi na Idda Njau, wametakiwa kutoa maelezo kuhusu tatizo la kununua Umeme kielektroniki
Maelezo yasipojitosheleza wataondolewa kazini
Soma - https://jamii.app/SakataLaUmeme
UNAFAHAMU MTUNZI AKIFARIKI, SHERIA INALINDA KAZI ZAKE KWA MIAKA 50?
- Sheria za Hakimiliki hulinda wamiliki zaidi ya zinavyolinda maisha yao.
- Kwa Tanzania, kazi zinalindwa kwa miaka 50 baada ya Mtunzi wa mwisho kufariki
Soma > https://jamii.app/HakiMiaka50
#CreativeIndustryTz
- Sheria za Hakimiliki hulinda wamiliki zaidi ya zinavyolinda maisha yao.
- Kwa Tanzania, kazi zinalindwa kwa miaka 50 baada ya Mtunzi wa mwisho kufariki
Soma > https://jamii.app/HakiMiaka50
#CreativeIndustryTz
WAANDAMANAJI NA VIKOSI VYA USALAMA WAENDELEA KUVUTANA CHAD
Vikosi vimetumia mabomu ya machozi kutawanya waandamanaji katika Mji Mkuu wa N'Djamena
Umoja wa Afrika (AU) umeunga mkono Utawala wa Jeshi na kutaka Uchaguzi ufanyike katika miezi 18
Soma https://jamii.app/ChadMaandamano
Vikosi vimetumia mabomu ya machozi kutawanya waandamanaji katika Mji Mkuu wa N'Djamena
Umoja wa Afrika (AU) umeunga mkono Utawala wa Jeshi na kutaka Uchaguzi ufanyike katika miezi 18
Soma https://jamii.app/ChadMaandamano
ACT WAZALENDO: TUTAPINGA MATOKEO YA BUHIGWE MAHAKAMANI
Wamepinga na matokeo ya Uchaguzi mdogo Buhigwe na Kata za Miuta, Ikizu na Ligoma wakidai kulikuwa na udanganyifu ikiwemo kukamata kura bandia
> Pia, wamemwandikia barua Rais Samia kueleza hayo
Soma https://jamii.app/MatokeoYapingwa
Wamepinga na matokeo ya Uchaguzi mdogo Buhigwe na Kata za Miuta, Ikizu na Ligoma wakidai kulikuwa na udanganyifu ikiwemo kukamata kura bandia
> Pia, wamemwandikia barua Rais Samia kueleza hayo
Soma https://jamii.app/MatokeoYapingwa
KWANINI CHUMVI ILIITWA KWA JINA TOFAUTI USIKU?
- Kuna walioita Mkubwa wa Mboga, Mkubwa wa Jiko, Dawa ya Mboga, Dawa ya Jiko nk ili mradi jina Chumvi lisitajwe wakati wa usiku
Soma https://jamii.app/ChumviZamani
- Kuna walioita Mkubwa wa Mboga, Mkubwa wa Jiko, Dawa ya Mboga, Dawa ya Jiko nk ili mradi jina Chumvi lisitajwe wakati wa usiku
Soma https://jamii.app/ChumviZamani
BRIGEDIA JENERALI RAJABU MABELE ATEULIWA KUWA MKUU WA JKT
Ameteuliwa na Rais Samia baada ya Meja Jenerali Charles Mbuge kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera
Pia, Kanali Absolomon Shausi ameteuliwa na kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa SUMA-JKT
Soma > https://jamii.app/UteuziJKT
Ameteuliwa na Rais Samia baada ya Meja Jenerali Charles Mbuge kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera
Pia, Kanali Absolomon Shausi ameteuliwa na kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa SUMA-JKT
Soma > https://jamii.app/UteuziJKT
RAIS YOWERI MUSEVENI KUFANYA ZIARA YA SIKU 1 TANZANIA
Leo Mei 20, 2021, Rais wa Uganda na Rais Samia Suluhu watashuhudia utiaji saini Mikataba ya Utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima hadi Bandari ya Tanga
Soma > https://jamii.app/MuseveniZiaraTZ
Leo Mei 20, 2021, Rais wa Uganda na Rais Samia Suluhu watashuhudia utiaji saini Mikataba ya Utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima hadi Bandari ya Tanga
Soma > https://jamii.app/MuseveniZiaraTZ