EPL: MANCHESTER CITY YACHUKUA UBINGWA
-
Ushindi wa bao 2-1 wa #LeicesterCity dhidi ya #ManchesterUnited umeipa nafasi #ManchesterCity kuchukua ubingwa wa ligi hiyo ikiwa na Michezo mitatu mkononi
#JFSports #JFLeo
-
Ushindi wa bao 2-1 wa #LeicesterCity dhidi ya #ManchesterUnited umeipa nafasi #ManchesterCity kuchukua ubingwa wa ligi hiyo ikiwa na Michezo mitatu mkononi
#JFSports #JFLeo
HOSPITALI YA MUHIMBILI KUANZA KUPANDIKIZA MIMBA
Kwa mwaka 2021/22 Muhimbili itapandikiza Uboho (Bone Marrow) kwa wenye Kansa ya Damu, kutoa huduma za upandikizaji Mimba (IVF) na ujenzi wa jengo la Wagonjwa Binafsi lenye vitanda 200
Soma - https://jamii.app/IVFMuhimbili
Kwa mwaka 2021/22 Muhimbili itapandikiza Uboho (Bone Marrow) kwa wenye Kansa ya Damu, kutoa huduma za upandikizaji Mimba (IVF) na ujenzi wa jengo la Wagonjwa Binafsi lenye vitanda 200
Soma - https://jamii.app/IVFMuhimbili
Leo tarehe 12 Mei ni Siku ya Kimataifa ya Wauguzi
> Tunatambua kuwa Upatikanaji wa Huduma Bora za #Afya unawategemea sana Wauguzi
> Wauguzi: Hutoa huduma ya Afya kwa Wajawazito, Mama na Mtoto na Hutoa Chanjo mbalimbali
> Pia, huwahudumia waathirika wa magonjwa mbalimbali yakiwemo Kansa, Corona, UKIMWI, ajali na mengine mengi yanayoambukiza na yasiyoambukiza
> Kwa ujumla, Wauguzi ni watu wa Msaada sana kwetu
> Tunatambua kuwa Upatikanaji wa Huduma Bora za #Afya unawategemea sana Wauguzi
> Wauguzi: Hutoa huduma ya Afya kwa Wajawazito, Mama na Mtoto na Hutoa Chanjo mbalimbali
> Pia, huwahudumia waathirika wa magonjwa mbalimbali yakiwemo Kansa, Corona, UKIMWI, ajali na mengine mengi yanayoambukiza na yasiyoambukiza
> Kwa ujumla, Wauguzi ni watu wa Msaada sana kwetu
URUSI KULETA SHERIA YA KUMZUIA NAVALNY NA WAFUASI WAKE KUWA WABUNGE
Muswada utawasilishwa Mei 18, 2021 na endapo ukipitishwa, #Sheria itawazuia Wanachama wa "Siasa kali" kuwa Wabunge (Alexei Navalny na Wananchi wanaokiunga mkono Chama chake)
Soma https://jamii.app/RussiaPoliticsLaw
Muswada utawasilishwa Mei 18, 2021 na endapo ukipitishwa, #Sheria itawazuia Wanachama wa "Siasa kali" kuwa Wabunge (Alexei Navalny na Wananchi wanaokiunga mkono Chama chake)
Soma https://jamii.app/RussiaPoliticsLaw
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
RAIS SAMIA AWASILI UGANDA KUHUDHURIA UAPISHO WA MUSEVENI
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu, amewasili #Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Yoweri Museveni
> Museveni alitangazwa mshindi wa Uchaguzi kwa kupata 58.64% ya Kura
Soma https://jamii.app/SamiaUganda
#M7SwearsIn2021
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu, amewasili #Uganda kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Yoweri Museveni
> Museveni alitangazwa mshindi wa Uchaguzi kwa kupata 58.64% ya Kura
Soma https://jamii.app/SamiaUganda
#M7SwearsIn2021
AFRIKA KUSINI YAPENDEKEZA MWANAMKE KUWA NA MUME ZAIDI YA MMOJA
Idara ya Mambo ya Ndani imependekeza Sheria ya kuwaruhusu Wanawake kuolewa na Mwanaume zaidi ya mmoja (#Polyandry)
Pia, Ndoa za Wahindi, Wayahudi, Waislamu na Rastafarian zitambuliwe
Soma - https://jamii.app/PolyandrySA
Idara ya Mambo ya Ndani imependekeza Sheria ya kuwaruhusu Wanawake kuolewa na Mwanaume zaidi ya mmoja (#Polyandry)
Pia, Ndoa za Wahindi, Wayahudi, Waislamu na Rastafarian zitambuliwe
Soma - https://jamii.app/PolyandrySA
GAZA: WAPALESTINA 36 WAUAWA BAADA YA KUSHAMBULIWA NA ISRAEL
Mbali na vifo, watu wengine 250 wamejeruhiwa kufuatia mashambulizi ya maroketi ambayo yameanguka katika bomba la mafuta na kusababisha moto mkubwa
> Kundi la Hamas limeapa kulipa kisasi
Soma https://jamii.app/GazaMashambulizi
Mbali na vifo, watu wengine 250 wamejeruhiwa kufuatia mashambulizi ya maroketi ambayo yameanguka katika bomba la mafuta na kusababisha moto mkubwa
> Kundi la Hamas limeapa kulipa kisasi
Soma https://jamii.app/GazaMashambulizi
YOWERI MUSEVENI AAPISHWA KUWA RAIS WA UGANDA KWA MIAKA MINGINE MITANO
Rais Yoweri Museveni ameapishwa kwa mara ya sita mfululizo kuliongoza Taifa hilo hadi mwaka 2026
Museveni amekuwa Kiongozi wa #Uganda tangu mwaka 1986
Soma - https://jamii.app/MuseveniSworn
Rais Yoweri Museveni ameapishwa kwa mara ya sita mfululizo kuliongoza Taifa hilo hadi mwaka 2026
Museveni amekuwa Kiongozi wa #Uganda tangu mwaka 1986
Soma - https://jamii.app/MuseveniSworn
TANGA: WATENDAJI WATATU KUFUKUZWA KAZI KWA UBADHIRIFU
Baraza la Madiwani Handeni limewafukuza kazi Watendaji wa Kata kwa matumizi mabaya ya Fedha za Serikali
> Mahakama iliwakuta na hatia Watendaji wawili, Juma Kikoti na Juma Kidungwe
Soma https://jamii.app/WatendajiWaKijiji
Baraza la Madiwani Handeni limewafukuza kazi Watendaji wa Kata kwa matumizi mabaya ya Fedha za Serikali
> Mahakama iliwakuta na hatia Watendaji wawili, Juma Kikoti na Juma Kidungwe
Soma https://jamii.app/WatendajiWaKijiji
NJIA ZA KUJIJENGEA UAMINIFU KWENYE BIASHARA YAKO
Jenga uhusiano mzuri na Wateja: Toa huduma bora, wajali Wateja wanapopata changamoto na kuwa tayari kutatua changamoto zao
Tekeleza unachoahidi: Hakuna kitu kinapoteza Imani ya Wateja kama kuahidi akija kwako atapata kitu fulani halafu asikipate
Soma zaidi - https://jamii.app/UaminifuBiashara
#Biashara
Jenga uhusiano mzuri na Wateja: Toa huduma bora, wajali Wateja wanapopata changamoto na kuwa tayari kutatua changamoto zao
Tekeleza unachoahidi: Hakuna kitu kinapoteza Imani ya Wateja kama kuahidi akija kwako atapata kitu fulani halafu asikipate
Soma zaidi - https://jamii.app/UaminifuBiashara
#Biashara
DAR: POLISI WAUA WATATU WANAOSHUKIWA KUWA MAJAMBAZI
Tukio limetokea Mbagala ambapo Polisi imesema watu hao walikuwa kwenye pikipiki ikidhaniwa walijiandaa kufanya ujambazi
Walikaidi amri walipoambiwa wasimame na kuanza kuwarushia Polisi risasi
Soma https://jamii.app/Majambazi3DSM
Tukio limetokea Mbagala ambapo Polisi imesema watu hao walikuwa kwenye pikipiki ikidhaniwa walijiandaa kufanya ujambazi
Walikaidi amri walipoambiwa wasimame na kuanza kuwarushia Polisi risasi
Soma https://jamii.app/Majambazi3DSM
CHINA YAIPA TANZANIA MSAADA WA TSH. BILIONI 35.37
Tanzania imepokea Tsh. Bilioni 35.37 zitakazotumika kwa miradi ya Maendeleo itakayokubaliwa na China na Tanzania
> Baadhi ya miradi ni kuboresha Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kuwa Chuo Kikuu
Soma https://jamii.app/ChinaTzMsaada
Tanzania imepokea Tsh. Bilioni 35.37 zitakazotumika kwa miradi ya Maendeleo itakayokubaliwa na China na Tanzania
> Baadhi ya miradi ni kuboresha Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kuwa Chuo Kikuu
Soma https://jamii.app/ChinaTzMsaada
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi, ametangaza Sikukuu ya Eid El-Fitr itasherehekewa Ijumaa ya Mei 14, 2021
- Asema Mwandamo wa Mwezi haujaonekana sehemu yoyote hivyo Waislamu wataendelea na Mfungo
#JFLeo
- Asema Mwandamo wa Mwezi haujaonekana sehemu yoyote hivyo Waislamu wataendelea na Mfungo
#JFLeo
DAR: MBARONI KWA TUHUMA ZA KUTISHIA KUUA KWA BASTOLA
Mfanyabiashara Adelard Lyakurwa alimtishia bastola Valence Lekule maeneo ya Kariakoo
Alienda kinyume na Kifungu cha 89 (2)(a) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 iliyofanyiwa marejeo 2019
Soma > https://jamii.app/BastolaKutishia
Mfanyabiashara Adelard Lyakurwa alimtishia bastola Valence Lekule maeneo ya Kariakoo
Alienda kinyume na Kifungu cha 89 (2)(a) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 iliyofanyiwa marejeo 2019
Soma > https://jamii.app/BastolaKutishia
CHELSEA NA ARSENAL KUMENYANA USIKU WA LEO
-
Mchezo huo wa Ligi Kuu ya #England unatarajiwa kuanza majira ya saa 4:15 usiku (EAT) katika Dimba la Stamford Bridge
-
Endapo Chelsea FC itashinda itafikisha alama 67 na kukwea hadi nafasi ya 3 katika msimamo wa Ligi
-
Arsenal FC itasaka ushindi ili kufufua matumaini ya kupigania nafasi ya kufuzu Ligi ya #EUROPA
#EPL #Chelsea #Arsenal
-
Mchezo huo wa Ligi Kuu ya #England unatarajiwa kuanza majira ya saa 4:15 usiku (EAT) katika Dimba la Stamford Bridge
-
Endapo Chelsea FC itashinda itafikisha alama 67 na kukwea hadi nafasi ya 3 katika msimamo wa Ligi
-
Arsenal FC itasaka ushindi ili kufufua matumaini ya kupigania nafasi ya kufuzu Ligi ya #EUROPA
#EPL #Chelsea #Arsenal
RWANDA KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA EID EL FITRI KESHO
- Serikali ya Rwanda imetangaza kuwa kesho ni siku ya mapumziko kwa Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi baada ya Usharika wa Waislamu nchini humo kutangaza kuwa kesho ni Eid El Fitri
Soma https://jamii.app/EidRwanda
#EidElFitri
- Serikali ya Rwanda imetangaza kuwa kesho ni siku ya mapumziko kwa Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi baada ya Usharika wa Waislamu nchini humo kutangaza kuwa kesho ni Eid El Fitri
Soma https://jamii.app/EidRwanda
#EidElFitri