UHURU KENYATTA: TANZANIA NA KENYA ZIKISHIRIKIANA PANDE ZOTE ZITASHINDA
- Rais wa Kenya amesema, "Wananchi wakijiona kama ndugu na kushirikiana badala la kushindana, pande zote zitashinda. Hatuna lolote la kushindana"
Soma > https://jamii.app/KenyaTZKenyatta
- Rais wa Kenya amesema, "Wananchi wakijiona kama ndugu na kushirikiana badala la kushindana, pande zote zitashinda. Hatuna lolote la kushindana"
Soma > https://jamii.app/KenyaTZKenyatta
RAIS SAMIA: HALI YA DEMOKRASIA NCHINI NI NZURI
- Ameeleza hayo alipokutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Maziwa Makuu
- Asema, Serikali itaendelea kushirikiana na Umoja wa Mataifa kulinda Usalama
Soma https://jamii.app/RaisSamiaUN
- Ameeleza hayo alipokutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Maziwa Makuu
- Asema, Serikali itaendelea kushirikiana na Umoja wa Mataifa kulinda Usalama
Soma https://jamii.app/RaisSamiaUN
Hotuba ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 05, 2021 akiwa Bungeni Kenya
WATU 27 AKIWEMO HALIMA MDEE WAFUTIWA KESI YA KUTOTII AMRI SEGEREA
- Mahakama imewafutia Kesi ya kufanya mkusanyiko na kutotii amri halali katika geti la Gereza la Segerea
- Ni baada ya Upande wa Mashtaka kushindwa kuleta mashahidi mbele ya Hakimu
Soma > https://jamii.app/KesiYafutwa
- Mahakama imewafutia Kesi ya kufanya mkusanyiko na kutotii amri halali katika geti la Gereza la Segerea
- Ni baada ya Upande wa Mashtaka kushindwa kuleta mashahidi mbele ya Hakimu
Soma > https://jamii.app/KesiYafutwa
BAKWATA: SIKUKUU YA EID KUSHEREHEKEWA MEI 13 AU MEI 14, 2021
- BAKWATA inawajulisha Wananchi wote Sikukuu ya EID EL-FITR itakuwa Mei 13 au 14 kutegemea kuandama kwa mwezi
- Swala ya Eid itaswaliwa Viwanja vya Mnazi Mmoja saa 1:30 asubuhi
Soma - https://jamii.app/BakwataEidElFitr
- BAKWATA inawajulisha Wananchi wote Sikukuu ya EID EL-FITR itakuwa Mei 13 au 14 kutegemea kuandama kwa mwezi
- Swala ya Eid itaswaliwa Viwanja vya Mnazi Mmoja saa 1:30 asubuhi
Soma - https://jamii.app/BakwataEidElFitr
MBUNGE KISHIMBA: VYUO VITAFUTE AJIRA KABLA YA KUSAJILI WANAFUNZI
- Mbunge wa Kahama Mjini asema Wazazi wamechoshwa na mfumo wa Elimu unavyofilisi mali zao tofauti na matarajio
- Ashauri Degree isomwe kwa miezi 8 ili Mtu aendelee na maisha mengine
Soma - https://jamii.app/KishimbaVyuoAjira
- Mbunge wa Kahama Mjini asema Wazazi wamechoshwa na mfumo wa Elimu unavyofilisi mali zao tofauti na matarajio
- Ashauri Degree isomwe kwa miezi 8 ili Mtu aendelee na maisha mengine
Soma - https://jamii.app/KishimbaVyuoAjira
MBUNGE NOAH: WATOTO WANACHUKIA SHULE KWASABABU YA LUGHA, TUNAWATESA KISAIKOLOJIA
- Mbunge wa Arumeru Magharibi amesema vikwazo vya Elimu viko vingi ikiwemo Lugha ya kufundishia, Chakula, Uhaba wa Walimu na kukosekana kwa Sera ya Elimu ujuzi
Soma - https://jamii.app/LughaShuleMbunge
- Mbunge wa Arumeru Magharibi amesema vikwazo vya Elimu viko vingi ikiwemo Lugha ya kufundishia, Chakula, Uhaba wa Walimu na kukosekana kwa Sera ya Elimu ujuzi
Soma - https://jamii.app/LughaShuleMbunge
LIGI YA MABINGWA ULAYA: JE, TIMU ZA EPL KUKUTANA FAINALI?
- Chelsea inahitaji sare tasa au ushindi wowote huku Madrid wakihitaji sare ya zaidi ya bao moja au ushindi wowote
- Je, Waingereza watakutana Fainali au Zidane ataibuka kidedea?
Soma > https://jamii.app/ChelMadrid
#CHERMA
- Chelsea inahitaji sare tasa au ushindi wowote huku Madrid wakihitaji sare ya zaidi ya bao moja au ushindi wowote
- Je, Waingereza watakutana Fainali au Zidane ataibuka kidedea?
Soma > https://jamii.app/ChelMadrid
#CHERMA
MBUNGE MWIJAGE: NASHINDWA KWENDA MISIBANI WANANIONA MCHAWI, MNISAIDIE
- Mbunge wa Muleba Kaskazini amesema Wananchi wanamwona kama mchawi kutokana na Wanafunzi kufariki Ziwani wakati wa kwenda Shuleni
- Aiomba Serikali kujenga Mabweni ktk Shule ya Bumbile ili Wanafunzi waache kusafiri kila mara
Soma - https://jamii.app/MulebaBweni
- Mbunge wa Muleba Kaskazini amesema Wananchi wanamwona kama mchawi kutokana na Wanafunzi kufariki Ziwani wakati wa kwenda Shuleni
- Aiomba Serikali kujenga Mabweni ktk Shule ya Bumbile ili Wanafunzi waache kusafiri kila mara
Soma - https://jamii.app/MulebaBweni