TCRA: BEI ZA VIFURUSHI ZIMEREJEA KAMA AWALI
- Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetaarifu kurejeshwa kwa bei za awali za vifurushi vya mawasiliano
- Raia mwenye changamoto atoe taarifa kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii
Soma https://jamii.app/VifurushiVimerekebishwa
#DigitalRights
- Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetaarifu kurejeshwa kwa bei za awali za vifurushi vya mawasiliano
- Raia mwenye changamoto atoe taarifa kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii
Soma https://jamii.app/VifurushiVimerekebishwa
#DigitalRights
ISRAEL: WATU 44 WAFARIKI DUNIA KWA KUKANYAGANA
- Vifo hivyo vimetokea katika tamasha la kidini ambapo wengine wamejeruhiwa
- Imeripotiwa maelfu walihudhuria tamasha hilo ambalo limetajwa kuwa kubwa zaidi Israel tangu kuanza kwa #COVID19
Soma https://jamii.app/44DieIsrael
- Vifo hivyo vimetokea katika tamasha la kidini ambapo wengine wamejeruhiwa
- Imeripotiwa maelfu walihudhuria tamasha hilo ambalo limetajwa kuwa kubwa zaidi Israel tangu kuanza kwa #COVID19
Soma https://jamii.app/44DieIsrael
SHINYANGA: WATUMISHI KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA MATUMIZI MABAYA YA MAMLAKA
- TAKUKURU itawafikisha Mahakamani Watumishi wa Halmashauri, Godfrey Mwagairo na Edward Maduhu
- Mwagairo atashtakiwa kwa Uhujumu Uchumi na Maduhu kwa kosa la jinai
Soma > https://jamii.app/WatumishiMahakamani
- TAKUKURU itawafikisha Mahakamani Watumishi wa Halmashauri, Godfrey Mwagairo na Edward Maduhu
- Mwagairo atashtakiwa kwa Uhujumu Uchumi na Maduhu kwa kosa la jinai
Soma > https://jamii.app/WatumishiMahakamani
AINA MPYA YA KIRUSI CHA CORONA KUTOKA INDIA CHARIPOTIWA UGANDA
- Mbali na Kirusi hicho cha B.1.617, aina nyingine 4 zimethibitishwa Nchini humo
- Mamlaka zimesema Virusi vinavyosambaa zaidi #Uganda ni kutoka UK, Afrika Kusini na #India
Soma > https://jamii.app/IndianVariantUG
- Mbali na Kirusi hicho cha B.1.617, aina nyingine 4 zimethibitishwa Nchini humo
- Mamlaka zimesema Virusi vinavyosambaa zaidi #Uganda ni kutoka UK, Afrika Kusini na #India
Soma > https://jamii.app/IndianVariantUG
ZIMBABWE YALAUMIWA KWA UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU TANGU KUWEPO KWA #COVID19
> #Zimbabwe imelaumiwa kukiuka haki za kimsingi za Binadamu ikiwemo kuwakamata Wanaharakati kwa kuandamana dhidi ya Serikali kushindwa kuwasaidia walioathiriwa
Soma - https://jamii.app/HakiZaBinadamuZimbabwe
> #Zimbabwe imelaumiwa kukiuka haki za kimsingi za Binadamu ikiwemo kuwakamata Wanaharakati kwa kuandamana dhidi ya Serikali kushindwa kuwasaidia walioathiriwa
Soma - https://jamii.app/HakiZaBinadamuZimbabwe
CCM YAMCHAGUA SAMIA SULUHU KUWA MWENYEKITI WA CHAMA
- Ktk Mkutano Mkuu Maalum uliofanyika Aprili 30 Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa Mgombea pekee wa nafasi hiyo ambapo amepata 100% ya kura
- Amechukua nafasi hiyo baada ya Hayati Dkt. John Magufuli
Soma https://jamii.app/SamiaMwenyekiti
- Ktk Mkutano Mkuu Maalum uliofanyika Aprili 30 Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa Mgombea pekee wa nafasi hiyo ambapo amepata 100% ya kura
- Amechukua nafasi hiyo baada ya Hayati Dkt. John Magufuli
Soma https://jamii.app/SamiaMwenyekiti
LAZARO NYALANDU AREJEA CCM
> Lazaro Nyalandu amerejea CCM akitokea CHADEMA. Amerejea Aprili 30 katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika Dodoma
> Nyalandu aliwahi kuwa mtia nia wa kugombea Urais kupitia CHADEMA ktk Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/NyalanduCCM
> Lazaro Nyalandu amerejea CCM akitokea CHADEMA. Amerejea Aprili 30 katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika Dodoma
> Nyalandu aliwahi kuwa mtia nia wa kugombea Urais kupitia CHADEMA ktk Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/NyalanduCCM
DKT. KIONGO: NI KOSA KURUSHIANA NYIMBO YA MSANII BILA IDHINI YAKE
- Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni amesema, "#Sheria ya Mtandao (Cyber Law) inakataza na inasema Mtu anaweza kulipa faini ya Milioni 5 au kifungo"
Soma > https://jamii.app/IdhiniKurushaNyimbo
#JFLeo #Sanaa
- Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni amesema, "#Sheria ya Mtandao (Cyber Law) inakataza na inasema Mtu anaweza kulipa faini ya Milioni 5 au kifungo"
Soma > https://jamii.app/IdhiniKurushaNyimbo
#JFLeo #Sanaa
WADAU WALALAMIKIA UCHAFU WA SOKO LA MACHINJIO MWANZA
> Soko la Machinjio lililoko Kirejeshi Igoma - Nyamagana limelalamikiwa kuwa hatarishi kwa Afya ya watumiaji kutokana na uchafu
> Inadaiwa Wananchi wanalipa kodi za vibanda Tsh. 15,000 na vizimba Tsh. 6,000 kwa mwezi lakini eneo halijafanyiwa maboresho
Soma - https://jamii.app/SokoLaNdizi
> Soko la Machinjio lililoko Kirejeshi Igoma - Nyamagana limelalamikiwa kuwa hatarishi kwa Afya ya watumiaji kutokana na uchafu
> Inadaiwa Wananchi wanalipa kodi za vibanda Tsh. 15,000 na vizimba Tsh. 6,000 kwa mwezi lakini eneo halijafanyiwa maboresho
Soma - https://jamii.app/SokoLaNdizi
DANIEL CHONGOLO APENDEKEZWA KUWA KATIBU MKUU CCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu Hassan amempendekeza Ndg. Daniel Chongolo kuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho
> Kwa sasa, Chongolo ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar
Soma > https://jamii.app/ChongoloKatibuCCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu Hassan amempendekeza Ndg. Daniel Chongolo kuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho
> Kwa sasa, Chongolo ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar
Soma > https://jamii.app/ChongoloKatibuCCM
WAIRAN 7 WANAODAIWA KUSAFIRISHA HEROIN WAFIKISHWA MAHAKAMANI
- Wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi wakikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha Heroin (Kilo 504.36) na Methamphetamine (Kilo 355)
- Wanakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi
Soma > https://jamii.app/Wairan7Mahakama
- Wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi wakikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha Heroin (Kilo 504.36) na Methamphetamine (Kilo 355)
- Wanakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi
Soma > https://jamii.app/Wairan7Mahakama
#COVID19: VIFO BRAZIL VYAFIKIA 400,000. UUNGWAJI MKONO WA RAIS BOLSONARO WAPOROMOKA
- Bunge laanza uchunguzi kuhusu namna Serikali inavyoshughulikia mlipuko
- Mara nyingi Rais Jair Bolsonaro amekuwa akipinga Lockdown na ameendelea kukosolewa vikali
Soma https://jamii.app/BrazilVifo
- Bunge laanza uchunguzi kuhusu namna Serikali inavyoshughulikia mlipuko
- Mara nyingi Rais Jair Bolsonaro amekuwa akipinga Lockdown na ameendelea kukosolewa vikali
Soma https://jamii.app/BrazilVifo
KENYA: MAHUSIANO KATI YA MAAFISA WA POLISI KUPIGWA MARUFUKU
- Serikali inaandaa Kanuni zitakazozuia Polisi kuoana au kuwa na mahusiano na Polisi wenzao
- Hatua hiyo inalenga kupambana na matukio ya unyanyasaji wa kijinsia pamoja na mauaji
Soma > https://jamii.app/NdoaPolisiKE
- Serikali inaandaa Kanuni zitakazozuia Polisi kuoana au kuwa na mahusiano na Polisi wenzao
- Hatua hiyo inalenga kupambana na matukio ya unyanyasaji wa kijinsia pamoja na mauaji
Soma > https://jamii.app/NdoaPolisiKE
JAMIIFORUMS INAKUTAKIA 'WEEKEND' NJEMA
> Tunawatakia Watembeleaji wa JamiiForums.com na wafuatiliaji wa kurasa zetu kwenye Mitandao ya Kijamii mwisho mwema wa Juma
> Tembelea JamiiForums.com na ujisajili kwa kubofya 'Register' na kisha fuata maelekezo
#JamiiForums #TGIF
> Tunawatakia Watembeleaji wa JamiiForums.com na wafuatiliaji wa kurasa zetu kwenye Mitandao ya Kijamii mwisho mwema wa Juma
> Tembelea JamiiForums.com na ujisajili kwa kubofya 'Register' na kisha fuata maelekezo
#JamiiForums #TGIF
KUPAMBANA NA #COVID19: MITAMBO YA OKSIJENI YASIMIKWA KUBORESHA HUDUMA
Serikali imesema uwekezaji huo utaweza kujibu changamoto kipindi cha mlipuko wa #COVID19
Imesimikwa Hospitali 7 za Rufaa na inalenga kuzalisha mitungi 200 ya Oxygen kwa saa 24
Soma - https://jamii.app/MitamboHewa
Serikali imesema uwekezaji huo utaweza kujibu changamoto kipindi cha mlipuko wa #COVID19
Imesimikwa Hospitali 7 za Rufaa na inalenga kuzalisha mitungi 200 ya Oxygen kwa saa 24
Soma - https://jamii.app/MitamboHewa
TANGA: WATU WAWILI WAUAWA NA TEMBO NDANI YA WIKI 1
> Tembo waliovamia makazi ya Watu ktk mtaa wa Malezi wapelekea Wananchi kuishi kwa hofu
> Aprili 30, 2021 asubuhi, Mtu wa pili aliuawa alipokuwa na wajukuu zake wakichimba mihogo ya futari
Soma - https://jamii.app/TemboHandeni
> Tembo waliovamia makazi ya Watu ktk mtaa wa Malezi wapelekea Wananchi kuishi kwa hofu
> Aprili 30, 2021 asubuhi, Mtu wa pili aliuawa alipokuwa na wajukuu zake wakichimba mihogo ya futari
Soma - https://jamii.app/TemboHandeni
TUCTA: WAFANYAKAZI KUTOONGEZEWA MISHAHARA KUMEPUNGUZA ARI YA KAZI
- Kaimu Katibu Mkuu wa TUCTA asema Mishahara haijaongezwa kwa miaka 8 kwa Sekta isiyo rasmi na miaka 6 kwa Sekta ya Umma
- Asema "Gharama zimezidi kupanda, stahiki zimeendelea kuwa duni"
Soma https://jamii.app/MishaharaWafanyakazi
- Kaimu Katibu Mkuu wa TUCTA asema Mishahara haijaongezwa kwa miaka 8 kwa Sekta isiyo rasmi na miaka 6 kwa Sekta ya Umma
- Asema "Gharama zimezidi kupanda, stahiki zimeendelea kuwa duni"
Soma https://jamii.app/MishaharaWafanyakazi
RAIS MWINYI: CORONA ILISABABISHA SHIDA HATA KWENYE ULIPAJI MISHAHARA
- Asema Wataalamu wakiwemo Walimu na Watumishi wa Afya wanastahili kufikishwa sehemu nzuri ya mishahara
- Amesema Uchumi ukiimarika Serikali ya Awamu ya 8 itaanza na kada ya kati
Soma https://jamii.app/MwinyiMishahara
- Asema Wataalamu wakiwemo Walimu na Watumishi wa Afya wanastahili kufikishwa sehemu nzuri ya mishahara
- Amesema Uchumi ukiimarika Serikali ya Awamu ya 8 itaanza na kada ya kati
Soma https://jamii.app/MwinyiMishahara
SERIKALI YAPUNGUZA PAYE KWA 1%
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu ametangaza punguzo ya Kodi ya 'Lipa kadiri unavyovuna' (PAYE) kutoka 9% hadi 8% ili kuwapa unafuu watumishi
> Hii imetokana na ombi la Katibu Mkuu wa TUCTA kuomba kupunguziwa kodi hiyo kwenye mishahara
Soma > https://jamii.app/RaisMeiMosi
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu ametangaza punguzo ya Kodi ya 'Lipa kadiri unavyovuna' (PAYE) kutoka 9% hadi 8% ili kuwapa unafuu watumishi
> Hii imetokana na ombi la Katibu Mkuu wa TUCTA kuomba kupunguziwa kodi hiyo kwenye mishahara
Soma > https://jamii.app/RaisMeiMosi