JamiiForums
52.7K subscribers
34.4K photos
2.45K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
MADHARA YA ULAJI WA UDONGO

- Kuhisi kushiba muda wote, hivyo husababisha mwili kukosa virutubisho

- Kuna uwezekano wa kula sumu kwenye udongo

Soma > https://jamii.app/MadharaUlajiUdongo

#JamiiAfya #JFLeo #JamiiTalks
DC WA SONGWE ADAIWA KUTISHIA KUMUUA MBUNGE WA SONGWE

- Philipo Mulugo amemtuhumu Samuel Jeremiah kutishia kumuua kwa kumfuatilia kuhusu matumizi ya fedha za michango ya Wawekezaji wa Ufuta

- Pia, asema DC haelewani na DED wa Halmashauri ya Wilaya

Soma - https://jamii.app/DCSongweMbunge
TUNDU LISSU: KATIBA INARUHUSU MIKUTANO YA KISIASA ILA POLISI WANA SHERIA YA KUZUIA

- Amesema #Sheria za Tawala za Mikoa bado ni za Chama Kimoja

- RC's na DC's wanaweka Watu ndani, Rais ana Mamlaka ya kuweka Watu kizuizini bila kupelekwa Mahakamani

Soma https://jamii.app/LissuMikutano
UMEWAHI KUWA NA MATARAJIO MAKUBWA KISHA UKAUMIZWA?

- Matarajio yaliyokithiri juu ya jambo au mtu fulani huweza kupelekea msongo wa mawazo kwakuwa yasipotimia unaweza kuumia sana

- Hivyo usitegemee kupewa furaha na wengine, tafuta njia zako binafsi za kujifurahisha

#JamiiTalks
TMA: KIMBUNGA #JOBO KINAPUNGUZA KASI KADIRI KINAVYOISOGELEA NCHI KAVU

TMA imesema kuwa kimbunga hicho sasa kinasafiri kwa kasi ya 18Km/h

> Wananchi wametahadharishwa kuwa kitasababisha mawimbi makubwa baharini na mvua kubwa ukanda wa Pwani

Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
DAR: WATU 49 WAMEKAMATWA KWA TUHUMA ZA WIZI WA PIKIPIKI NA MAGARI

> Wamekamatwa maeneo mbalimbali ya Dar ktk oparesheni maalum

> Wamekutwa wakiwa na pikipiki 10 na vifaa vyake, gari moja likiwa limetolewa viti na vipuri vya magari

Soma https://jamii.app/WeziMagariDSM
KIMBUNGA JOBO KIMERUDI KWENYE KASI YA AWALI

> Kimbunga JOBO kimekadiriwa kuwa umbali wa kilometa 76 kutoka Kisiwa cha Mafia Mkoani Pwani huku kikisafiri kwa kasi ya 20Km/h

> TMA imesema kasi ya 20km/h ni kasi kubwa

Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
KILWA: ZAIDI YA TANI MOJA YA HEROIN YAKAMATWA

> Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na #DawaZaKulevya imekamata zaidi ya tani moja ya dawa za kulevya aina ya Heroin eneo la Kilwa Masoko zikisafirishwa kwa kutumia Jahazi

Soma https://jamii.app/DawaHeroinKilwa
TMA: KIMBUNGA JOBO HAKIPO

> Kimbunga JOBO kimepungua nguvu kadiri kilivyokuwa kinakaribia nchi kavu na hakutakuwa na madhara ya moja kwa moja yaliyotarajiwa

> Wananchi wameshauriwa kuendelea kufuatilia taarifa za utabiri kutoka TMA

Soma https://jamii.app/KimbungaJoboDhaifu
KENYA: WENYE VVU WALALAMIKIA UHABA WA DAWA ZA KUPUNGUZA MAKALI

- Uhaba wa Dawa umesababishwa na mzozo kati ya Serikali na USAID kutokana na kuongeza ushuru wa misaada

- Pia, USAID inatilia shaka madai ya rushwa dhidi ya Mamlaka ya Vifaa Tiba

Soma https://jamii.app/ARVsLackKE
MKURUGENZI WA TEMEKE ASIMAMISHWA KAZI KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA

> Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amemsimamisha Lusubilo J. Mwakibibi baada ya malalamiko

> Pia, DED wa Sumbawanga amesimamishwa kwa usimamizi mbovu wa Miradi

Soma https://jamii.app/MkurugenziTMK
ATHARI ZA MAAMBUKIZI YA MALARIA

- Matatizo ya kupumua
- Matatizo ya Ini
- Mshtuko wa Moyo
- Figo kushindwa kufanya kazi
- Kuvimba na kupasuka kwa bandama
- Kupungukiwa na maji mwilini

#InternationalMalariaDay #Malaria #JamiiAfya #JFLeo #WorldMalariaDay
WAKILI WA SERIKALI MWANDAMIZI MBARONI KWA RUSHWA YA TSH. MILIONI 5

> TAKUKURU Mkoa wa Manyara inamshikilia Mwendesha Mashtaka wa Serikali mkoani humo, Mutalemwa Kishenyi kwa kupokea rushwa ya Tsh. Milioni 5 kutoka kwa watuhumiwa

Soma zaidi - https://jamii.app/KishenyiArrested