ARUSHA: 3 WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
> Washtakiwa walikusanya ushuru wa utalii wa utamaduni kati ya Julai 2017 hadi Machi 2018 na hawakuwasilisha makusanyo Halmashauri ya Karatu na kusababisha hasara ya Tsh. 11,409,045
Soma https://jamii.app/KaratuUhujumu
> Washtakiwa walikusanya ushuru wa utalii wa utamaduni kati ya Julai 2017 hadi Machi 2018 na hawakuwasilisha makusanyo Halmashauri ya Karatu na kusababisha hasara ya Tsh. 11,409,045
Soma https://jamii.app/KaratuUhujumu
KILIMANJARO: MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA NA KUMSABABISHIA KIFO MKEWE
> Zakayo Kimaro anatuhumiwa kumpiga na kumsababishia kifo Magdalena Makishe (61)
> Kimaro amedaiwa kumuuza ng'ombe wa mkewe na alipoulizwa akamshambulia mkewe kwa fimbo
Soma https://jamii.app/MkeSihaMauaji
> Zakayo Kimaro anatuhumiwa kumpiga na kumsababishia kifo Magdalena Makishe (61)
> Kimaro amedaiwa kumuuza ng'ombe wa mkewe na alipoulizwa akamshambulia mkewe kwa fimbo
Soma https://jamii.app/MkeSihaMauaji
DODOMA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo analihutubia Bunge kwa mara ya kwanza
- Hotuba ya Rais Samia inatarajiwa kutoa dira ya Uongozi wake tangu alipochukua kijiti kutoka kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Fuatilia - https://youtu.be/bgAuUQupxxU
#JFLeo
- Hotuba ya Rais Samia inatarajiwa kutoa dira ya Uongozi wake tangu alipochukua kijiti kutoka kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
Fuatilia - https://youtu.be/bgAuUQupxxU
#JFLeo
YouTube
Hotuba ya Rais Samia Suluhu BUNGENI, Dodoma - Aprili 22, 2021
Hotuba ya Rais Samia Suluhu Bungeni, Dodoma
#Samia #Suluhu #Hotuba #Bungeni #Dodoma
Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania katika hotuba itakayotoa mwelekeo wa nini hasa amepanga kutimiza katika muhula wake wa kwanza madarakani.…
#Samia #Suluhu #Hotuba #Bungeni #Dodoma
Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania katika hotuba itakayotoa mwelekeo wa nini hasa amepanga kutimiza katika muhula wake wa kwanza madarakani.…
RAIS SAMIA: MIAKA MITANO IJAYO KUNAHITAJIKA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA ZA UZALISHAJI ZINAZOTOA AJIRA KWA WINGI
> Rais Samia amesema Uchumi ulikuwa unakuwa kwa 6.9% lakini #COVID19 imefanya ukue kwa 4.7%. Wataboresha Mazingira ya Uwekezaji ili kuleta ajira
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia
> Rais Samia amesema Uchumi ulikuwa unakuwa kwa 6.9% lakini #COVID19 imefanya ukue kwa 4.7%. Wataboresha Mazingira ya Uwekezaji ili kuleta ajira
Soma https://jamii.app/22HotubaSamia