KAJALA NA PAULA WAHOJIWA KUHUSU TUHUMA ZA KUSAMBAZA PICHA ZA UTUPU ZA HARMONIZE
> Kajala Masanja na mwanaye walikamatwa na Polisi Aprili 19 jioni walipowasili nchini wakitokea Dubai na walihojiwa kwa saa kadhaa. Wameachiwa kwa dhamana
Soma https://jamii.app/KajalaPaula
#JFBurudani
> Kajala Masanja na mwanaye walikamatwa na Polisi Aprili 19 jioni walipowasili nchini wakitokea Dubai na walihojiwa kwa saa kadhaa. Wameachiwa kwa dhamana
Soma https://jamii.app/KajalaPaula
#JFBurudani
MHASIBU WA TPA KIGOMA AKAMATWA NA TAKUKURU KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
> Madaraka Robert aliyekuwa anatafutwa na TAKUKURU tangu Agosti 2020 amekamatwa Nyasaka Mkoani Mwanza
> Anatuhumiwa kukwepa kodi zaidi ya Tsh. Milioni 153.5
Soma https://jamii.app/MhasibuTPAKigoma
#KemeaRushwa
> Madaraka Robert aliyekuwa anatafutwa na TAKUKURU tangu Agosti 2020 amekamatwa Nyasaka Mkoani Mwanza
> Anatuhumiwa kukwepa kodi zaidi ya Tsh. Milioni 153.5
Soma https://jamii.app/MhasibuTPAKigoma
#KemeaRushwa
RAIS WA CHAD AFARIKI BAADA YA KUTANGAZWA MSHINDI WA UCHAGUZI
- Jeshi Nchini #Chad limesema Rais Idriss Deby amefariki Dunia kutokana na majeraha aliyoyapata wakati akiwaongoza Wanajeshi wanaopambana na Waasi Kaskazini mwa Nchi hiyo
Soma - https://jamii.app/RIPIdrissDerby
- Jeshi Nchini #Chad limesema Rais Idriss Deby amefariki Dunia kutokana na majeraha aliyoyapata wakati akiwaongoza Wanajeshi wanaopambana na Waasi Kaskazini mwa Nchi hiyo
Soma - https://jamii.app/RIPIdrissDerby
WASHINGTON, USA: MAHAKAMA YAITUPILIA MBALI RUFAA YA FAMILIA YA VALAMBHIA DHIDI YA TANZANIA
> Familia ya Valambhia ilitaka kulipwa zaidi ya Tsh. bilioni 149 kwa madai ununuzi wa vifaa vya kijeshi kati ya Kampuni ya TEL na Tanzania miaka ya 1980
Soma https://jamii.app/WashngtonDC
> Familia ya Valambhia ilitaka kulipwa zaidi ya Tsh. bilioni 149 kwa madai ununuzi wa vifaa vya kijeshi kati ya Kampuni ya TEL na Tanzania miaka ya 1980
Soma https://jamii.app/WashngtonDC
KAPUFI: IDADI YA WATU SIO TATIZO BALI KUWA NA WATU WENGI AMBAO NI TEGEMEZI
- Mbunge wa Mpanda amesema "Idadi ya Wazalishaji ikiwa ndogo tutaishia kutamani kujenga Madarasa mengi, kuongeza madawati na kukimbizana kufanya mambo kwa zimamoto"
Tazama - https://youtu.be/fJ4JksrEedU
#JFLeo
- Mbunge wa Mpanda amesema "Idadi ya Wazalishaji ikiwa ndogo tutaishia kutamani kujenga Madarasa mengi, kuongeza madawati na kukimbizana kufanya mambo kwa zimamoto"
Tazama - https://youtu.be/fJ4JksrEedU
#JFLeo
YouTube
Mbunge Kapufi: Idadi ya watu sio tatizo bali idadi kubwa ya watu tegemezi
UFUGAJI: SABABU ZA KUKU KUPUNGUZA UTAGAJI WA MAYAI (2)
- Upungufu wa virutubisho muhimu katika chakula cha Kuku wa Mayai husababisha kupungua kwa uzalishaji wa mayai
- Kupukutisha Manyoya: Katika kipindi hiki Kuku hupunguza au kusimamisha utagaji kwasababu hutumia Protini nyingi na nguvu kuotesha manyoya mapya
- Mtiririko wa utagaji wa Mayai kwa Kuku unaweza kuathiriwa na Joto katika mazingira. Kwa kawaida Kuku anahitaji Joto lisiwe chini ya 11°C lisiwe zaidi 28°C
Soma - https://jamii.app/MayaiKukuChini
- Upungufu wa virutubisho muhimu katika chakula cha Kuku wa Mayai husababisha kupungua kwa uzalishaji wa mayai
- Kupukutisha Manyoya: Katika kipindi hiki Kuku hupunguza au kusimamisha utagaji kwasababu hutumia Protini nyingi na nguvu kuotesha manyoya mapya
- Mtiririko wa utagaji wa Mayai kwa Kuku unaweza kuathiriwa na Joto katika mazingira. Kwa kawaida Kuku anahitaji Joto lisiwe chini ya 11°C lisiwe zaidi 28°C
Soma - https://jamii.app/MayaiKukuChini
HOJA: ELIMU YA SASA HAISAIDII KUJIAJIRI WALA HAITOI WAHITIMU WENYE SIFA STAHIKI
- Baadhi ya Wadau wanasema Wahitimu wengi hawana uelewa wa kile walichokisomea kutokana na kukariri, Taasisi zinazozalisha Wahitimu kuwa na hali mbaya, Walimu na Mitaala isiyo bora
- Wengine wanasema Wahitimu wenye hali mbaya wengi wao ni waliosoma kozi ambazo hawakuzipenda au walisoma kwa kufuata mkumbo/ushauri wa Watu fulani
- Je, una mtazamo gani kuhusu hili?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/ElimuKujiajiri
- Baadhi ya Wadau wanasema Wahitimu wengi hawana uelewa wa kile walichokisomea kutokana na kukariri, Taasisi zinazozalisha Wahitimu kuwa na hali mbaya, Walimu na Mitaala isiyo bora
- Wengine wanasema Wahitimu wenye hali mbaya wengi wao ni waliosoma kozi ambazo hawakuzipenda au walisoma kwa kufuata mkumbo/ushauri wa Watu fulani
- Je, una mtazamo gani kuhusu hili?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/ElimuKujiajiri
UGANDA: MADAKTARI WATAKA CHANJO YA #COVID19 IWE YA HIARI
- Ni baada ya Viongozi kadhaa wa Wilaya kutaka Watumishi wa Afya wapatiwe Chanjo kilazima
- Umoja wa Madaktari umesema Afya ni suala binafsi na kushauri kampeni za kujenga uelewa zifanyike
Soma https://jamii.app/ChanjoUganda
- Ni baada ya Viongozi kadhaa wa Wilaya kutaka Watumishi wa Afya wapatiwe Chanjo kilazima
- Umoja wa Madaktari umesema Afya ni suala binafsi na kushauri kampeni za kujenga uelewa zifanyike
Soma https://jamii.app/ChanjoUganda
ZANZIBAR: MCHELE TANI 42.5 WATEKETEZWA, UMEONEKANA HAUFAI KUTUMIWA NA BINADAMU
> Mchele huo uliingizwa toka India, umeteketezwa na Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDA)
> ZFDA yasema bidhaa zilizoisha muda hupelekea matatizo ya Saratani
Soma https://jamii.app/McheleZnz
> Mchele huo uliingizwa toka India, umeteketezwa na Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDA)
> ZFDA yasema bidhaa zilizoisha muda hupelekea matatizo ya Saratani
Soma https://jamii.app/McheleZnz
YANGA SC YATAMBULISHA KOCHA MPYA KUTOKA TUNISIA
- Uongozi wa Klabu ya Young Africans umemtambulisha rasmi Kocha Mkuu, Mohamed Nasreddine Nabi pamoja na Kocha Msaidizi, Sghir Hammadi kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu
#JFSports
- Uongozi wa Klabu ya Young Africans umemtambulisha rasmi Kocha Mkuu, Mohamed Nasreddine Nabi pamoja na Kocha Msaidizi, Sghir Hammadi kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu
#JFSports
MDAU ASHAURI NJIA ZA KUTUMIA KUPUNGUZA GHARAMA ZA MAISHA
> Mdau ameshauri kuacha matumizi yasiyo ya lazima kama kutoa ofa. Pia kutonunua kitu kama haujapanga
> Muhimu kuwa na Bima ya Afya, maisha nk. Pia penda kununua vitu kwa bei ya jumla
Zaidi, soma https://jamii.app/UgumuWaMaisha
> Mdau ameshauri kuacha matumizi yasiyo ya lazima kama kutoa ofa. Pia kutonunua kitu kama haujapanga
> Muhimu kuwa na Bima ya Afya, maisha nk. Pia penda kununua vitu kwa bei ya jumla
Zaidi, soma https://jamii.app/UgumuWaMaisha
CHAD: JESHI LAVUNJA SERIKALI. MTOTO WA DEBY KUONGOZA KIPINDI CHA MPITO
Kufuatia kifo cha Rais Idriss Deby, Jeshi litaongoza kwa miezi 18 na Baraza litaongozwa na Mahamat Idriss Deby
> Chad itaomboleza kwa siku 14. Mipaka ya anga na ardhi yafungwa
Soma https://jamii.app/ChadRaisMpito
Kufuatia kifo cha Rais Idriss Deby, Jeshi litaongoza kwa miezi 18 na Baraza litaongozwa na Mahamat Idriss Deby
> Chad itaomboleza kwa siku 14. Mipaka ya anga na ardhi yafungwa
Soma https://jamii.app/ChadRaisMpito
ZUNGU ATAKA KUWEPO KWA KODI KWENYE MITANDAO YA SIMU
- Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu, amependekeza kuwepo kwa kodi ya Uzalendo itakayokatwa kila siku kupitia Mitandao ya Simu kwa kila Mtanzania ili kuwa chanzo kipya cha mapato kwa Serikali
Soma - https://jamii.app/ZunguKodiMitandao
- Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu, amependekeza kuwepo kwa kodi ya Uzalendo itakayokatwa kila siku kupitia Mitandao ya Simu kwa kila Mtanzania ili kuwa chanzo kipya cha mapato kwa Serikali
Soma - https://jamii.app/ZunguKodiMitandao
NAMNA YA KUTAMBUA MWENZA WAKO ANA MSONGO WA MAWAZO (STRESS)
- Anakuwa Mtu wa kukasirika sana na kukerwa na kila kitu unachofanya. Pia, anaweza kuwa na huzuni wakati mwingi na hii hupelekea Mawasiliano yenu kuanza kudhoofika
- Hutumia muda mwingi kukamilisha kazi ndogo na huwa mzito katika kufanya maamuzi
Soma - https://jamii.app/MawazoHuzuni
#StressAwarenessMonth
- Anakuwa Mtu wa kukasirika sana na kukerwa na kila kitu unachofanya. Pia, anaweza kuwa na huzuni wakati mwingi na hii hupelekea Mawasiliano yenu kuanza kudhoofika
- Hutumia muda mwingi kukamilisha kazi ndogo na huwa mzito katika kufanya maamuzi
Soma - https://jamii.app/MawazoHuzuni
#StressAwarenessMonth
HALI YAKO YA MAISHA INAENDANA NA METHALI GANI?
> Wahenga walikuwa na misemo na methali walizotumia kupeana moyo, maonyo au mafunzo
> Kila mtu ana stori ambayo ni tofauti na mwingine. Je maisha yako yanaendana na methali ipi?
Soma https://jamii.app/MaishaMethali
> Wahenga walikuwa na misemo na methali walizotumia kupeana moyo, maonyo au mafunzo
> Kila mtu ana stori ambayo ni tofauti na mwingine. Je maisha yako yanaendana na methali ipi?
Soma https://jamii.app/MaishaMethali
WASANII KUWEKA MAUDHUI YOUTUBE BILA KULIPA ADA YA LESENI TCRA
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbas amesema wanatengeneza Kanuni ili wanaorusha maudhui ambayo si Habari wasilipe Leseni
> Amesema kuna tofauti kati ya Habari na Sanaa
Soma https://jamii.app/YouTubeBure
> Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbas amesema wanatengeneza Kanuni ili wanaorusha maudhui ambayo si Habari wasilipe Leseni
> Amesema kuna tofauti kati ya Habari na Sanaa
Soma https://jamii.app/YouTubeBure
MAREKANI: DEREK CHAUVIN AKUTWA NA HATIA YA KUMUUA GEORGE FLOYD
> Aliyekuwa Afisa wa Polisi Minneapolis ametiwa hatiani kwa kupiga goti shingoni mwa George Floyd na kumsababishia kifo
> Kitendo hicho kimetajwa kuwa kinyume na Mafunzo ya Kipolisi
Soma https://jamii.app/ChauvinVsFloyd
> Aliyekuwa Afisa wa Polisi Minneapolis ametiwa hatiani kwa kupiga goti shingoni mwa George Floyd na kumsababishia kifo
> Kitendo hicho kimetajwa kuwa kinyume na Mafunzo ya Kipolisi
Soma https://jamii.app/ChauvinVsFloyd