#GHANA: RAIS ADDO ASHINDA UCHAGUZI MKUU
> Rais Nana Akufo-Addo amepata 51.6% ya kura zote huku mpinzani wake, John Mahama akipata 47.4%
> Mahama ambaye alikuwa Rais kuanzia 2012-2017 bado hajatoa kauli yoyote kuhusu kukubali matokeo
Soma - https://jamii.app/AddoWinsGH
> Rais Nana Akufo-Addo amepata 51.6% ya kura zote huku mpinzani wake, John Mahama akipata 47.4%
> Mahama ambaye alikuwa Rais kuanzia 2012-2017 bado hajatoa kauli yoyote kuhusu kukubali matokeo
Soma - https://jamii.app/AddoWinsGH
KUONGEZEKA KWA JOTO NYAKATI ZA USIKU KTK MIKOA 13 NA ZANZIBAR
> TMA imesema kutakuwa na hali ya joto kutokana na kiwango kikubwa cha unyevu angani kinachofikia zaidi ya 80%
> Joto litaongezeka Februari 2021 na kupungua kuelekea Machi 2021
Soma - https://jamii.app/JotoUsiku
> TMA imesema kutakuwa na hali ya joto kutokana na kiwango kikubwa cha unyevu angani kinachofikia zaidi ya 80%
> Joto litaongezeka Februari 2021 na kupungua kuelekea Machi 2021
Soma - https://jamii.app/JotoUsiku
ETHIOPIA: UPINZANI WATAKA VIONGOZI WAO KUACHIWA HURU
> Chama Kikuu cha Upinzani kimesema ni ngumu kujiandaa na Uchaguzi bila Viongozi hao waliokamatwa Julai kufuatia vurugu baada ya kifo cha Mwanamuziki/Mwanaharakati, Hachalu Hundessa
Soma - https://jamii.app/UpinzaniET
> Chama Kikuu cha Upinzani kimesema ni ngumu kujiandaa na Uchaguzi bila Viongozi hao waliokamatwa Julai kufuatia vurugu baada ya kifo cha Mwanamuziki/Mwanaharakati, Hachalu Hundessa
Soma - https://jamii.app/UpinzaniET
BAGONZA: MARA ZOTE MSEMA KWELI LAZIMA ACHUKIWE
> Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe amesema, ni lazima kila mtu awe tayari kusimamia ukweli na kukubali gharama
> Asema, kuna dalili za kuliangamiza Taifa kwa sababu watu wanaamini uongo
Soma - https://jamii.app/BagonzaUkweli
#Siasa
> Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe amesema, ni lazima kila mtu awe tayari kusimamia ukweli na kukubali gharama
> Asema, kuna dalili za kuliangamiza Taifa kwa sababu watu wanaamini uongo
Soma - https://jamii.app/BagonzaUkweli
#Siasa
MAREKANI: YOUTUBE KUFUTA MAUDHUI YANAYODAI UCHAGUZI ULIKUWA NA UDANGANYIFU
- Mabadiliko yatafanyika kwa video mpya, zikiwemo zinazotoka kwa Rais Trump
- #YouTube imesema Majimbo mengi yameshathibitisha matokeo ya Uchaguzi kuamua Rais Mteule
Soma https://jamii.app/VoterFraudVideos
- Mabadiliko yatafanyika kwa video mpya, zikiwemo zinazotoka kwa Rais Trump
- #YouTube imesema Majimbo mengi yameshathibitisha matokeo ya Uchaguzi kuamua Rais Mteule
Soma https://jamii.app/VoterFraudVideos
DESEMBA 10: SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI ZA BINADAMU
- Iliasisiwa na Umoja wa Mataifa 1950 ili Watu watambue umuhimu wa #HakiZaBinadamu na utunzaji wake
- Dunia inatakiwa kulinda haki za makundi maalum na kuzuia ubaguzi na umasikini
Soma - https://jamii.app/HumanRights2020
#HumanRightsDay
- Iliasisiwa na Umoja wa Mataifa 1950 ili Watu watambue umuhimu wa #HakiZaBinadamu na utunzaji wake
- Dunia inatakiwa kulinda haki za makundi maalum na kuzuia ubaguzi na umasikini
Soma - https://jamii.app/HumanRights2020
#HumanRightsDay
WIZARA YA MALIASILI: MAINI NA MAFUTA YA TEMBO SIO DAWA YA KANSA
- Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Kijazi amesema, hakuna utafiti wa Kisayansi unaoonesha mafuta na maini ya Tembo ni Dawa ya Kansa, na Majangili wanawadanganya Wananchi
Soma - https://jamii.app/TemboDawaKansa
- Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Kijazi amesema, hakuna utafiti wa Kisayansi unaoonesha mafuta na maini ya Tembo ni Dawa ya Kansa, na Majangili wanawadanganya Wananchi
Soma - https://jamii.app/TemboDawaKansa
DUNIA YATAHADHARISHWA KUHUSU ONGEZEKO LA JOTO
- Mpango wa Mazingira wa UN (UNEP) umesema Joto la Dunia linaelekea kuongezeka kwa zaidi ya digrii 3
- Shirika la Hali ya Hewa Duniani limesema 2020 ungekuwa mwaka wa Joto wa 3 baada ya 2016 na 2019
Soma https://jamii.app/RiseHeatEarth
- Mpango wa Mazingira wa UN (UNEP) umesema Joto la Dunia linaelekea kuongezeka kwa zaidi ya digrii 3
- Shirika la Hali ya Hewa Duniani limesema 2020 ungekuwa mwaka wa Joto wa 3 baada ya 2016 na 2019
Soma https://jamii.app/RiseHeatEarth
GODBLESS LEMA APATA HIFADHI CANADA
- Mbunge huyo wa zamani wa Jimbo la Arusha Mjini (CHADEMA) amepata hifadhi ya kisiasa nchini #Canada
- Kwa mujibu wa Wakili wake, George Luchiri Wajackoyah, Lema pamoja na Familia yake wameondoka Kenya jana
Soma https://jamii.app/LemaCanada
- Mbunge huyo wa zamani wa Jimbo la Arusha Mjini (CHADEMA) amepata hifadhi ya kisiasa nchini #Canada
- Kwa mujibu wa Wakili wake, George Luchiri Wajackoyah, Lema pamoja na Familia yake wameondoka Kenya jana
Soma https://jamii.app/LemaCanada
FACEBOOK YAKABILIWA NA KESI YA KUTAKA KUUA KAMPUNI PINZANI
- Kampuni ya #Facebook Inc inaweza kulazimishwa kuuza mali zake ikiwemo #WhatsApp na #Instagram baada ya Tume ya Biashara ya Marekani kufungua kesi ikisema iliwarubuni washindani wake
Soma https://jamii.app/FBLawSuits
- Kampuni ya #Facebook Inc inaweza kulazimishwa kuuza mali zake ikiwemo #WhatsApp na #Instagram baada ya Tume ya Biashara ya Marekani kufungua kesi ikisema iliwarubuni washindani wake
Soma https://jamii.app/FBLawSuits
#COVID19: AFRIKA KUSINI YAKUMBWA NA WIMBI LA PILI LA MAAMBUKIZI
- Waziri wa Afya asema, kuna ongezeko la maambukizi kwa wenye miaka 15-19 kutokana sherehe nyingi zinazohusisha Vijana
- Visa vimefikia 828,598, vifo 22,574 na 754,658 wamepona
Soma - https://jamii.app/2ndWaveSA
- Waziri wa Afya asema, kuna ongezeko la maambukizi kwa wenye miaka 15-19 kutokana sherehe nyingi zinazohusisha Vijana
- Visa vimefikia 828,598, vifo 22,574 na 754,658 wamepona
Soma - https://jamii.app/2ndWaveSA
PICHA YA DIEGO MARADONA YAPENDEKEZWA KUCHAPISHWA KWENYE PESA YA #ARGENTINA
> Seneta Norma Durango amewasilisha Muswada Bungeni unaopendekezwa uso wa #Maradona na picha ya moja ya mabao yake kuwekwa kwenye noti kubwa zaidi ya Nchi hiyo
Soma https://jamii.app/MaradonaCurrency
#JFLeo #Sports
> Seneta Norma Durango amewasilisha Muswada Bungeni unaopendekezwa uso wa #Maradona na picha ya moja ya mabao yake kuwekwa kwenye noti kubwa zaidi ya Nchi hiyo
Soma https://jamii.app/MaradonaCurrency
#JFLeo #Sports
PINDA: WATUMISHI WANAPASWA KUWA MSAADA KUTATUA KERO ZA WANANCHI
- Waziri Mkuu Mstaafu ametoa wito kwa Watumishi kujitathmini ikiwa wanazingatia miongozo ya kazi
- Pia, amewataka Viongozi kuhakikisha wanasimamia ahadi na viapo vya uadilifu
Soma - https://jamii.app/PindaKeroWananchi
- Waziri Mkuu Mstaafu ametoa wito kwa Watumishi kujitathmini ikiwa wanazingatia miongozo ya kazi
- Pia, amewataka Viongozi kuhakikisha wanasimamia ahadi na viapo vya uadilifu
Soma - https://jamii.app/PindaKeroWananchi
MSUMBIJI: SERIKALI YAPINGA RAIA KUPEWA SILAHA ILI KUDHIBITI MASHAMBULIZI
- Waziri Mkuu amesema ni hatari na silaha zinapaswa kumilikiwa na watu sahihi
- Wakazi wa Cabo Delgado wamekuwa wakiomba kupatiwa silaha wasaidie kupambana na Wanamgambo
Soma - https://jamii.app/SilahaWananchiMZ
- Waziri Mkuu amesema ni hatari na silaha zinapaswa kumilikiwa na watu sahihi
- Wakazi wa Cabo Delgado wamekuwa wakiomba kupatiwa silaha wasaidie kupambana na Wanamgambo
Soma - https://jamii.app/SilahaWananchiMZ
MAJALIWA: TUSIKUBALI KUSHAWISHIWA NA ANAYETUMIWA NA WATU WENYE LENGO LA KUTUTAWALA
- Amewataka Vijana wasikubali kurubuniwa na Watu wasioipenda #Tanzania
- Asema #Uzalendo ni muhimu ktk kujenga umoja na Vijana ni zaidi ya 60% ya Watanzania
Soma - https://jamii.app/MajaliwaUzalendo
- Amewataka Vijana wasikubali kurubuniwa na Watu wasioipenda #Tanzania
- Asema #Uzalendo ni muhimu ktk kujenga umoja na Vijana ni zaidi ya 60% ya Watanzania
Soma - https://jamii.app/MajaliwaUzalendo
DAR: MFANYABIASHARA AJIUA KWA MSONGO WA MAWAZO
- Jeshi la Polisi Kanda Maalum limesema tukio limetokea Ubungo Kibangu na Marehemu alijipiga risasi akitumia bastola ya Revolver
- Ktk tukio lingine, Polisi wamethibitisha kuuawa kwa jambazi 1
Soma https://jamii.app/TaarifaPolisi
- Jeshi la Polisi Kanda Maalum limesema tukio limetokea Ubungo Kibangu na Marehemu alijipiga risasi akitumia bastola ya Revolver
- Ktk tukio lingine, Polisi wamethibitisha kuuawa kwa jambazi 1
Soma https://jamii.app/TaarifaPolisi
MAALIM SEIF: ACT-WAZALENDO IPO NA ITAENDELEA KUWEPO
- Asema, nguvu ya Chama hicho si silaha wala mabomu bali ni Umoja na mshikamano uliopo
- Ameeleza kuwa, ana jukumu la kutekeleza yaliyoamuliwa kwenye Vikao vya Kitaifa na atasimamia hilo
Soma - https://jamii.app/ACTMaalimSeif
- Asema, nguvu ya Chama hicho si silaha wala mabomu bali ni Umoja na mshikamano uliopo
- Ameeleza kuwa, ana jukumu la kutekeleza yaliyoamuliwa kwenye Vikao vya Kitaifa na atasimamia hilo
Soma - https://jamii.app/ACTMaalimSeif
SIKU YA HAKI ZA BINADAMU: WANAHABARI 42 WAMEUAWA 2020 WAKIWA KAZINI
- Ripoti mpya ya IFJ inasema #Mexico inaongoza kwa idadi ya Waandishi wanaouawa ikifuatiwa na #Pakistan
- Mataifa mengine ni #Afghanistan, India, Iraq na Nigeria
Soma - https://jamii.app/IFJJournalistsDeath
#HumanRights
- Ripoti mpya ya IFJ inasema #Mexico inaongoza kwa idadi ya Waandishi wanaouawa ikifuatiwa na #Pakistan
- Mataifa mengine ni #Afghanistan, India, Iraq na Nigeria
Soma - https://jamii.app/IFJJournalistsDeath
#HumanRights
IGP SIRRO AWATAKA WANANCHI KUACHA KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI
> Mkuu wa Jeshi la Polisi #Tanzania amewataka Wananchi kuacha tabia ya kujichukulia #Sheria mkononi ikiwemo kufunga barabara kwa kuweka mawe na kusababisha usumbufu
Angalia - https://youtu.be/6C3x4c6_4p0
#JFLeo #Siasa
> Mkuu wa Jeshi la Polisi #Tanzania amewataka Wananchi kuacha tabia ya kujichukulia #Sheria mkononi ikiwemo kufunga barabara kwa kuweka mawe na kusababisha usumbufu
Angalia - https://youtu.be/6C3x4c6_4p0
#JFLeo #Siasa
YouTube
IGP SIMON SIRRO AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANANCHI WALIOWEKA MAWE BARABARANI
IGP Simon Sirro akizungumza na baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kelema wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Arusha
Alilazimika kusimama na kuzungumza na wananchi hao kufuatia kitendo chao cha kufunga barabara kuu ya Dodoma…
Alilazimika kusimama na kuzungumza na wananchi hao kufuatia kitendo chao cha kufunga barabara kuu ya Dodoma…
UJASIRIAMALI: FAHAMU FALSAFA YA BIASHARA ILI KUPATA MAFANIKIO
- Mdau anasema, Falsafa ya #Biashara ni seti ya Kanuni, Taratibu na Mienendo ambayo Mfanyabiashara au Kampuni inaiamini na hutumia kuamua jinsi ya kushughulikia maeneo ya utendaji
- Falsafa ya biashara inaelezea kusudi la biashara na malengo yake. Inaweza kuorodhesha maadili maalum ambayo ni muhimu kwa Wafanyakazi, Watendaji au mipaka, ambayo husaidia kukua kwa biashara
Soma zaidi - https://jamii.app/FalsafaBiashara
#Biashara
- Mdau anasema, Falsafa ya #Biashara ni seti ya Kanuni, Taratibu na Mienendo ambayo Mfanyabiashara au Kampuni inaiamini na hutumia kuamua jinsi ya kushughulikia maeneo ya utendaji
- Falsafa ya biashara inaelezea kusudi la biashara na malengo yake. Inaweza kuorodhesha maadili maalum ambayo ni muhimu kwa Wafanyakazi, Watendaji au mipaka, ambayo husaidia kukua kwa biashara
Soma zaidi - https://jamii.app/FalsafaBiashara
#Biashara