VUNJO: MREMA NA TLP WAMPOKEA MAGUFULI
> Pia, Mgombea huyo wa Ubunge wa Jimbo la Vunjo (TLP) na wafuasi wake wamempa Dkt. Magufuli zawadi ya mbuzi na mkungu wa ndizi
> TLP walitangaza mapema kuwa, CCM ikimsimamisha Magufuli watampigia kampeni
Soma https://jamii.app/TLPCCMVunjo
#TZ2020
> Pia, Mgombea huyo wa Ubunge wa Jimbo la Vunjo (TLP) na wafuasi wake wamempa Dkt. Magufuli zawadi ya mbuzi na mkungu wa ndizi
> TLP walitangaza mapema kuwa, CCM ikimsimamisha Magufuli watampigia kampeni
Soma https://jamii.app/TLPCCMVunjo
#TZ2020
IGP SIRRO: MAGAIDI ZAIDI YA 300 WALIVAMIA KIJIJI NA KUFANYA UHALIFU
> Magaidi hao kutoka Msumbiji walivamia Kijiji cha Kitaya Mkoani Mtwara na kufanya uhalifu ikiwemo mauaji
> Amesema baadhi ya watu wamekamatwa, na wengine ni raia wa hapa
Soma - https://jamii.app/MagaidiMtwara
> Magaidi hao kutoka Msumbiji walivamia Kijiji cha Kitaya Mkoani Mtwara na kufanya uhalifu ikiwemo mauaji
> Amesema baadhi ya watu wamekamatwa, na wengine ni raia wa hapa
Soma - https://jamii.app/MagaidiMtwara
QUEEN SENDIGA AAHIDI KUBORESHA SEKTA BINAFSI ILI KUKUZA UCHUMI
> Amesema kwa sasa Sekta binafsi na Serikali kumekuwa na uadui japo wanacheka kwa nje ila ndani wana maumivu
> Mgombea huyo wa ADC ameomba kupewa kura ili kukuza uchumi wa nchi
Soma https://jamii.app/ADCSingida
#TZ2020
> Amesema kwa sasa Sekta binafsi na Serikali kumekuwa na uadui japo wanacheka kwa nje ila ndani wana maumivu
> Mgombea huyo wa ADC ameomba kupewa kura ili kukuza uchumi wa nchi
Soma https://jamii.app/ADCSingida
#TZ2020
MAJALIWA: NAFASI YA URAIS INAGUSA MAISHA YAKO, SIO JAMBO LA MCHEZO
> Kassim Majaliwa akiwa Wilayani Masasi amesema, Urais wa #Tanzania unataka mtu mwenye uwezo wa kuongoza watu zaidi ya Milioni 60 wenye Dini, Vyama, Makabila na uwezo tofauti
Soma https://jamii.app/MajaliwaMasasi
#TZ2020
> Kassim Majaliwa akiwa Wilayani Masasi amesema, Urais wa #Tanzania unataka mtu mwenye uwezo wa kuongoza watu zaidi ya Milioni 60 wenye Dini, Vyama, Makabila na uwezo tofauti
Soma https://jamii.app/MajaliwaMasasi
#TZ2020
UJERUMANI: WAZIRI WA AFYA AKUTWA NA #COVID19
> Waziri wa Afya wa #Ujerumani, Jens Spahn amethibitishwa kukutwa na #CoronaVirus na tayari amejitenga
> Visa 11,287 vimerekodiwa ndani ya saa 24 zilizopita na maambukizi kufikia 391,355 hadi sasa
Soma https://jamii.app/UjerumaniWaziri
> Waziri wa Afya wa #Ujerumani, Jens Spahn amethibitishwa kukutwa na #CoronaVirus na tayari amejitenga
> Visa 11,287 vimerekodiwa ndani ya saa 24 zilizopita na maambukizi kufikia 391,355 hadi sasa
Soma https://jamii.app/UjerumaniWaziri
NEC: MPIGA KURA ANAWEZA KUOMBA KARATASI NYINGINE AKIKOSEA AU KUBADILI UAMUZI
> Ofisa wa NEC, Flora Mkama amesema, wapiga kura wana haki ya kuomba karatasi nyingine ya kupigia kura endapo itatokea kwa bahati mbaya amekosea au amebadili uamuzi
Soma https://jamii.app/KaratasiKuraNEC
#TZ2020
> Ofisa wa NEC, Flora Mkama amesema, wapiga kura wana haki ya kuomba karatasi nyingine ya kupigia kura endapo itatokea kwa bahati mbaya amekosea au amebadili uamuzi
Soma https://jamii.app/KaratasiKuraNEC
#TZ2020
SAUDI ARABIA: MWANAMFALME ADAIWA KUHUSIKA NA MAUAJI YA KHASHOGGI
> Mchumba wa Jamal Khashoggi, Hatice Cengiz anamshtaki Mwanamfalme Mohammed Bin Salman kwa kutoa amri ya kuuawa kwa Jamal
> Jamal alikuwa mkosoaji wa Serikali ya Saudi Arabia
Soma https://jamii.app/CrownPrinceSued
> Mchumba wa Jamal Khashoggi, Hatice Cengiz anamshtaki Mwanamfalme Mohammed Bin Salman kwa kutoa amri ya kuuawa kwa Jamal
> Jamal alikuwa mkosoaji wa Serikali ya Saudi Arabia
Soma https://jamii.app/CrownPrinceSued
KIGOMA: VIONGOZI 5 WA CHADEMA MBARONI KWA KUKUTWA NA KADI 14 ZA MPIGA KURA
> Waliokamatwa ni Hezron Vicent, Ezekia Samakere, Sheby Kasuka, Helson Miniho na Denis Lubuye
> RPC Manyama amesema walihojiwa lakini majibu yao hayakuwa na mashiko
Soma https://jamii.app/CDMKadiKura
#TZ2020
> Waliokamatwa ni Hezron Vicent, Ezekia Samakere, Sheby Kasuka, Helson Miniho na Denis Lubuye
> RPC Manyama amesema walihojiwa lakini majibu yao hayakuwa na mashiko
Soma https://jamii.app/CDMKadiKura
#TZ2020
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YAWAASA VIONGOZI WA DINI KUTOFANYA KAMPENI ZA KISIASA
> Imewaasa Viongozi wa Dini kutowaambia Wananchi wamchague Mgombea fulani kwasababu kufanya hivyo ni kinyume na kifungu cha 17(c) cha Sheria ya Jumuiya
Soma https://jamii.app/MOHaViongoziDini
#Uchaguzi2020
> Imewaasa Viongozi wa Dini kutowaambia Wananchi wamchague Mgombea fulani kwasababu kufanya hivyo ni kinyume na kifungu cha 17(c) cha Sheria ya Jumuiya
Soma https://jamii.app/MOHaViongoziDini
#Uchaguzi2020
MAALIM SEIF: NITAKUBALI MATOKEO IKIWA UCHAGUZI UTAKUWA HURU
> Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo amesema atakubali matokeo endapo atashindwa, ikiwa Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki
> Pia, hatakuwa na tatizo kumpongeza Dkt. Hussein Mwinyi (CCM)
Soma https://jamii.app/MaalimMatokeoHaki
#TZ2020
> Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo amesema atakubali matokeo endapo atashindwa, ikiwa Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki
> Pia, hatakuwa na tatizo kumpongeza Dkt. Hussein Mwinyi (CCM)
Soma https://jamii.app/MaalimMatokeoHaki
#TZ2020
GUINEA: WATU 10 WAUAWA KUTOKANA NA GHASIA BAADA YA UCHAGUZI
> Raia 8 na Polisi 2 wameuawa ktk ghasia za kupinga matokeo ya awali ya Uchaguzi wa Rais
> #Guinea ilifanya Uchaguzi Oktoba 18 na matokeo yanaonesha Rais Alpha Conde anaongoza
Soma https://jamii.app/GhasiaUchaguziGuinea
> Raia 8 na Polisi 2 wameuawa ktk ghasia za kupinga matokeo ya awali ya Uchaguzi wa Rais
> #Guinea ilifanya Uchaguzi Oktoba 18 na matokeo yanaonesha Rais Alpha Conde anaongoza
Soma https://jamii.app/GhasiaUchaguziGuinea
CECILIA MMANGA: WAUGUZI WENYE SHAHADA HAWATAKI KWENDA VIJIJINI
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini amesema Watawasomesha wasafishaji wa Wodi za Hospitali kozi za Ukunga na wakifuzu watapelekwa Vijijini ili kupunguza vifo vya Wajawazito
Soma https://jamii.app/VifoWajawazito
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini amesema Watawasomesha wasafishaji wa Wodi za Hospitali kozi za Ukunga na wakifuzu watapelekwa Vijijini ili kupunguza vifo vya Wajawazito
Soma https://jamii.app/VifoWajawazito
#TZ2020
#NIGERIA: WATU 12 WAUAWA NA POLISI KATIKA MAANDAMANO
> Shirika la Amnesty International limesema uchunguzi umebaini ushahidi wa vifo 12 huku mamia wakijeruhiwa
> Limewatuhumu Polisi na Wanajeshi kutumia nguvu kupita kiasi
Soma https://jamii.app/12DeadNGR
#EndSARS
> Shirika la Amnesty International limesema uchunguzi umebaini ushahidi wa vifo 12 huku mamia wakijeruhiwa
> Limewatuhumu Polisi na Wanajeshi kutumia nguvu kupita kiasi
Soma https://jamii.app/12DeadNGR
#EndSARS
RAIS MAGUFULI: TANZANIA INAHITAJI JOZI MILIONI 54 ZA VIATU KWA MWAKA
> Ameyasema hayo alipokuwa anazindua Kiwanda cha bidhaa za Ngozi kilichopo Mkoani #Kilimanjaro
> Kiwanda hicho kitatengeneza ajira milioni 3 na ajira 3000 za moja kwa moja
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
> Ameyasema hayo alipokuwa anazindua Kiwanda cha bidhaa za Ngozi kilichopo Mkoani #Kilimanjaro
> Kiwanda hicho kitatengeneza ajira milioni 3 na ajira 3000 za moja kwa moja
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
RAIS MAGUFULI: TANZANIA 'IMETOBOA' KWENYE MAENDELEO YA KWELI
> Amesema Kiuchumi #Tanzania imetoboa kutokana na wingi wa Viwanda vilivyopo
> Ametoa wito kwa Watanzania kununua bidhaa za ndani ili kukuza #Uchumi wa Nchi
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
> Amesema Kiuchumi #Tanzania imetoboa kutokana na wingi wa Viwanda vilivyopo
> Ametoa wito kwa Watanzania kununua bidhaa za ndani ili kukuza #Uchumi wa Nchi
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
MMANGA: VIJANA MSISUBIRI AJIRA, KUWENI KAMA MARASTA
> Mgombea Urais JMT kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amewataka Vijana kuacha kusubiri ajira Serikalini
> Asema Serikali yake itakuja na kauli ya 'Kilimo cha kufa na Kupona'
Soma https://jamii.app/DemkorasiaMakiniAjira
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais JMT kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amewataka Vijana kuacha kusubiri ajira Serikalini
> Asema Serikali yake itakuja na kauli ya 'Kilimo cha kufa na Kupona'
Soma https://jamii.app/DemkorasiaMakiniAjira
#Uchaguzi2020
RAIS MAGUFULI: TANZANIA NYEUPE PEE (HAINA CORONA)
> Amesema, chapisho la Gazeti la New York Times kuhusu hali ya #COVID19 Duniani limeitaja #Tanzania ikiwa nyeupe
> Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo na vimeondoka kwa maombi
Tazama https://youtu.be/9ajyBdWJEeA
#JPM
> Amesema, chapisho la Gazeti la New York Times kuhusu hali ya #COVID19 Duniani limeitaja #Tanzania ikiwa nyeupe
> Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo na vimeondoka kwa maombi
Tazama https://youtu.be/9ajyBdWJEeA
#JPM
YouTube
Rais Magufuli: Tanzania Nyeupe pee (Haina Corona)
Rais Magufuli amesema chapisho la gazeti la New York Times linaloonesha hali ya #CoronaVirus duniani imeonyesha #Tanzania ikiwa nyeupe
Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo
Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo
RC KUNENGE AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA FUJO OKTOBA 28
> Mkuu wa Mkoa wa Dar amesema wamejipanga na amewahakikishia usalama Wapiga kura
> Awataka Wananchi wajitokeze bila wasiwasi kupiga kura kwa kuwa Polisi wamejiandaa kudhibiti vurugu
Tazama https://youtu.be/9uAzHABcDiM
#Uchaguzi2020
> Mkuu wa Mkoa wa Dar amesema wamejipanga na amewahakikishia usalama Wapiga kura
> Awataka Wananchi wajitokeze bila wasiwasi kupiga kura kwa kuwa Polisi wamejiandaa kudhibiti vurugu
Tazama https://youtu.be/9uAzHABcDiM
#Uchaguzi2020
YouTube
RC KUNENGE AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA FUJO SIKU YA UCHAGUZI
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge ametoa onyo kwa Watu au Vikundi vya Watu vinavyopanga kufanya fujo Oktoba 28, 2020
Ameeleza kuwa, Vyombo vya Ulinzi na Usalama vimejipanga vizuri kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa amani na usalama
Ameeleza kuwa, Vyombo vya Ulinzi na Usalama vimejipanga vizuri kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa amani na usalama
DAR: AHUKUMIWA MIAKA 2 JELA KWA KUMUUA MKEWE BILA KUKUSUDIA
> Yusuph Ismail (45) alimuua Magdalena Fabian kwa kumchapa fimbo na kumnyonga kwa madai ya kukosa uaminifu
> Wakati tukio linatokea Novemba 2013, wawili hao walikuwa wamelewa
Soma - https://jamii.app/HukumuMauaji
> Yusuph Ismail (45) alimuua Magdalena Fabian kwa kumchapa fimbo na kumnyonga kwa madai ya kukosa uaminifu
> Wakati tukio linatokea Novemba 2013, wawili hao walikuwa wamelewa
Soma - https://jamii.app/HukumuMauaji