NEC: WAGOMBEA MSIWE NA MATOKEO MFUKONI
> Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera amesema baadhi ya Wagombea wanajiaminisha kuwa wameshashinda
> Amesema NEC itahakikisha inatenda haki na kuwatangaza Wagombea watakaoshinda kihalali
Soma https://jamii.app/NECMatokeoWagombea
#Uchaguzi2020
> Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera amesema baadhi ya Wagombea wanajiaminisha kuwa wameshashinda
> Amesema NEC itahakikisha inatenda haki na kuwatangaza Wagombea watakaoshinda kihalali
Soma https://jamii.app/NECMatokeoWagombea
#Uchaguzi2020
NEC YASEMA HAINA TAARIFA YA MGOMBEA YEYOTE WA URAIS KUJITOA
> NEC imeeleza kuwa, kutofanya Kampeni kwa baadhi ya Wagombea wa Urais hakuwaondolei sifa ya kugombea
> Wagombea wote waliopitishwa watakuwepo ktk karatasi za kupigia kura
Soma https://jamii.app/NECWagombeaUrais
#Uchaguzi2020
> NEC imeeleza kuwa, kutofanya Kampeni kwa baadhi ya Wagombea wa Urais hakuwaondolei sifa ya kugombea
> Wagombea wote waliopitishwa watakuwepo ktk karatasi za kupigia kura
Soma https://jamii.app/NECWagombeaUrais
#Uchaguzi2020
DR. CONGO: ZAIDI YA WAFUNGWA 900 WATOROKA GEREZANI
> Wafungwa 900 wametoroka Gereza la Beni baada ya Wapiganaji kuvamia na kushambulia wakiwemo wa Kikundi cha Waasi cha ADF
> Kwa takwimu za UN, ADF imeua zaidi ya watu 1,000 tangu 2019
Soma https://jamii.app/Wafungwa900DRC
#JFLeo
> Wafungwa 900 wametoroka Gereza la Beni baada ya Wapiganaji kuvamia na kushambulia wakiwemo wa Kikundi cha Waasi cha ADF
> Kwa takwimu za UN, ADF imeua zaidi ya watu 1,000 tangu 2019
Soma https://jamii.app/Wafungwa900DRC
#JFLeo
TANZIA: MKURUGENZI MWENDESHAJI WA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO AFARIKI DUNIA
> Prof. Damian Gabagambi afariki dunia Oktoba 20 ktk Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
> Aliteuliwa na Rais kuwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa NDC Machi 23, 2018
Soma https://jamii.app/ProfGabagambi
> Prof. Damian Gabagambi afariki dunia Oktoba 20 ktk Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
> Aliteuliwa na Rais kuwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa NDC Machi 23, 2018
Soma https://jamii.app/ProfGabagambi
TANZANIA YAKOPA ZAIDI YA BILIONI 115 KUPAMBANA NA ATHARI ZA #COVID19
> AfDB imepitisha mkopo wa Dola Milioni 50.7 kwa #Tanzania
> Kwa mujibu wa AfDB, fedha hizo zitasaidia mpango wa Serikali wa takriban Bilioni 252 kupambana na #CoronaVirus
Soma https://jamii.app/MkopoCoronaTZ
#JFLeo
> AfDB imepitisha mkopo wa Dola Milioni 50.7 kwa #Tanzania
> Kwa mujibu wa AfDB, fedha hizo zitasaidia mpango wa Serikali wa takriban Bilioni 252 kupambana na #CoronaVirus
Soma https://jamii.app/MkopoCoronaTZ
#JFLeo
IGP SIRRO: POLISI IPO KUSIMAMIA HAKI, HAIPENDELEI
> Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amesema Wanasiasa wasihofu, Polisi watampigia saluti yeyote atakayechaguliwa
> Pia, amewataka Wanasiasa watimize wajibu ili wasiingize Taifa ktk uhalifu
Soma https://jamii.app/IGPSirroHaki
#TZ2020
> Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amesema Wanasiasa wasihofu, Polisi watampigia saluti yeyote atakayechaguliwa
> Pia, amewataka Wanasiasa watimize wajibu ili wasiingize Taifa ktk uhalifu
Soma https://jamii.app/IGPSirroHaki
#TZ2020
MAPISHI: JIFUNZE JINSI YA KUPIKA VITUMBUA
> Mahitaji ni mchele, tui zito la nazi, ute wa yai, unga wa sembe na wa ngano, hamira, hiliki na sukari
> Saga mchele na tui mpaka uwe laini. Tia yai, hamira na hiliki huku ukiendelea kusaga kisha weka sukari. Weka unga wa ngano na wa sembe na saga tena kidogo
> Weka kwenye chuma cha vitumbua na uanze kuchoma mpaka uone vimebadilika rangi
Soma https://jamii.app/MapishiVitumbua
> Mahitaji ni mchele, tui zito la nazi, ute wa yai, unga wa sembe na wa ngano, hamira, hiliki na sukari
> Saga mchele na tui mpaka uwe laini. Tia yai, hamira na hiliki huku ukiendelea kusaga kisha weka sukari. Weka unga wa ngano na wa sembe na saga tena kidogo
> Weka kwenye chuma cha vitumbua na uanze kuchoma mpaka uone vimebadilika rangi
Soma https://jamii.app/MapishiVitumbua
RIPOTI: 85% YA WAFANYAKAZI WA NDANI WANADHALILISHWA NCHINI #QATAR
> Shirika la Amnesty International limearifu 85% ya Wanawake huporwa hati za kusafiri wanapowasili nchini humo
> Hunyimwa mishahara, chakula, hutemewa mate, hupigwa na kunyanyaswa kingono
Soma https://jamii.app/QataraWafanyakazi
> Shirika la Amnesty International limearifu 85% ya Wanawake huporwa hati za kusafiri wanapowasili nchini humo
> Hunyimwa mishahara, chakula, hutemewa mate, hupigwa na kunyanyaswa kingono
Soma https://jamii.app/QataraWafanyakazi
NEC: HATUTARAJII KUONA MTU ANATANGAZA MATOKEO NJE YA UTARATIBU
> Tume ya Uchaguzi imesema Mamlaka ya kutangaza matokeo ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani yametolewa kwa Tume, Wasimamizi pamoja na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MamlakaUchaguziNEC
#TZ2020
> Tume ya Uchaguzi imesema Mamlaka ya kutangaza matokeo ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani yametolewa kwa Tume, Wasimamizi pamoja na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MamlakaUchaguziNEC
#TZ2020
JOHN FUMBO: VYAMA VISIVYO NA WABUNGE VINATESEKA KWA KUKOSA RUZUKU
> Mgombea Urais kupitia DP amesema, wanakosa hata nauli za kuwafikisha Mawakala maeneo ya kuapishwa
> Ashauri fedha ziwe zinatolewa kwa Vyama vyote vinavyoshiriki Uchaguzi
Soma https://jamii.app/DPUkataUchaguzi
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia DP amesema, wanakosa hata nauli za kuwafikisha Mawakala maeneo ya kuapishwa
> Ashauri fedha ziwe zinatolewa kwa Vyama vyote vinavyoshiriki Uchaguzi
Soma https://jamii.app/DPUkataUchaguzi
#TZ2020
DP: WASICHANA WATAKAOPATA UJAUZITO WATARUDI SHULENI
> Chama hicho kimesema endapo kitashinda, waliopata ujauzito watajifungua na kurudi Shule kwa kuwa elimu ni haki yao ya msingi
> Pia, kimeahidi kutoa elimu bure kikipata ridhaa ya kuongoza
Soma https://jamii.app/AhadiZaDP
#TZ2020
> Chama hicho kimesema endapo kitashinda, waliopata ujauzito watajifungua na kurudi Shule kwa kuwa elimu ni haki yao ya msingi
> Pia, kimeahidi kutoa elimu bure kikipata ridhaa ya kuongoza
Soma https://jamii.app/AhadiZaDP
#TZ2020
DKT. MAGUFULI AWAOMBA RADHI WATU WA MWANGA KWA KUCHELEWESHA MRADI WA MAJI
> Amewaomba radhi Wananchi wa Mwanga, Same na Korogwe kutokana na kutokamilika kwa mradi ambao ulitakiwa kukamilika 2017
> Ameahidi kusimamia mradi huo yeye mwenyewe
Soma https://jamii.app/MagufuliKilimanjaro
#TZ2020
> Amewaomba radhi Wananchi wa Mwanga, Same na Korogwe kutokana na kutokamilika kwa mradi ambao ulitakiwa kukamilika 2017
> Ameahidi kusimamia mradi huo yeye mwenyewe
Soma https://jamii.app/MagufuliKilimanjaro
#TZ2020
ZANZIBAR: CCM YAWASILISHA MALALAMIKO ZEC BAADA YA WAFUASI WAKE KUSHAMBULIWA
> Naibu Katibu Mkuu wa CCM #Zanzibar amesema matukio hayo yanalenga kuwatisha wafuasi wao kupiga kura
> Asema Siasa za chuki na uhasama zimepitwa na wakati
Soma https://jamii.app/CCMZECZnz
#Uchaguzi2020
> Naibu Katibu Mkuu wa CCM #Zanzibar amesema matukio hayo yanalenga kuwatisha wafuasi wao kupiga kura
> Asema Siasa za chuki na uhasama zimepitwa na wakati
Soma https://jamii.app/CCMZECZnz
#Uchaguzi2020
WILAYA YA MWANGA KUWA NA HOSPITALI 2 ZA WILAYA
> Mgombea Urais, Dkt. Magufuli ameahidi kufanya Kituo cha Afya cha Mwanga kuwa hospitali ya Wilaya
> Amesema Mwanga ina hospitali ya Wilaya iliyoko Usangi ila hakuna ubaya zikiwa mbili
Soma https://jamii.app/MwangaHospitali
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais, Dkt. Magufuli ameahidi kufanya Kituo cha Afya cha Mwanga kuwa hospitali ya Wilaya
> Amesema Mwanga ina hospitali ya Wilaya iliyoko Usangi ila hakuna ubaya zikiwa mbili
Soma https://jamii.app/MwangaHospitali
#Uchaguzi2020
AFRIKA KUSINI: HAWKS WAMKAMATA βNABIIβ BUSHIRI KWA UTAKATISHAJI FEDHA
> Kitengo cha Uchunguzi wa Makosa ya Jinai (#Hawks) kimemfikisha Mahakamani βNabiiβ Shepherd #Bushiri na mkewe Mary kwa tuhuma za kutakatisha takriban Tsh. Bilioni 14.4
Soma https://jamii.app/NabiiBushiri
> Kitengo cha Uchunguzi wa Makosa ya Jinai (#Hawks) kimemfikisha Mahakamani βNabiiβ Shepherd #Bushiri na mkewe Mary kwa tuhuma za kutakatisha takriban Tsh. Bilioni 14.4
Soma https://jamii.app/NabiiBushiri
ASKOFU KAKOBE: TUCHUNGE NDIMI ZETU, ULIMI UMEKUWA CHANZO KIKUBWA CHA MACHAFUKO
> Amesema maneno yasitamkwe tu kwasababu yanaweza kuwasha moto wa machafuko
> Asema machafuko yanapotokea kila kitu kinasimama ikimaanisha nchi inasimama
Soma https://jamii.app/ViongoziDiniAmani
#Uchaguzi2020
> Amesema maneno yasitamkwe tu kwasababu yanaweza kuwasha moto wa machafuko
> Asema machafuko yanapotokea kila kitu kinasimama ikimaanisha nchi inasimama
Soma https://jamii.app/ViongoziDiniAmani
#Uchaguzi2020
MAWAKALA 12 WA CHADEMA WAKATALIWA KUAPISHWA KATIKA JIMBO LA CHATO
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekataa kuwaapisha Mawakala 12 kutoka CHADEMA kwa kile walichobainisha kuwa wamefoji Saini ya Katibu Mkuu wa CHADEMA wa Wilaya
Soma - https://jamii.app/NECWakalaChato
#Uchaguzi2020
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekataa kuwaapisha Mawakala 12 kutoka CHADEMA kwa kile walichobainisha kuwa wamefoji Saini ya Katibu Mkuu wa CHADEMA wa Wilaya
Soma - https://jamii.app/NECWakalaChato
#Uchaguzi2020
TANZIA: MAWAKALA WANNE WA CHADEMA WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI
> Mawakala wanne wamefariki na wengine watatu wamejeruhiwa katika ajali ya gari
> Mwenyekiti wa CHADEMA Rukwa, Shadrack Malila amesema ajali imetokea barabara ya Molo-Sumbawanga
Soma https://jamii.app/VifoMawakalaCDM
> Mawakala wanne wamefariki na wengine watatu wamejeruhiwa katika ajali ya gari
> Mwenyekiti wa CHADEMA Rukwa, Shadrack Malila amesema ajali imetokea barabara ya Molo-Sumbawanga
Soma https://jamii.app/VifoMawakalaCDM
UCHAGUZI MKUU 2020 BADO SIKU 7: JE, KURA GANI ITAHESABIKA KUWA IMEHARIBIKA?
Karatasi ya Kura haitahesabiwa kuwa Kura Halali iwapo Kura hiyo:-
(i) Haina Muhuri wa Kituo
(ii) Imepigwa kwa Mgombea zaidi ya mmoja
(iii) Ina alama, au maandishi yanayoweza kumtambulisha mtu aliyepiga Kura
(iv) Haina alama yoyote
(v) Amepigiwa Mgombea aliyejitoa
Soma > https://jamii.app/KuraKuharibika
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums #JFLeo #Siasa
Karatasi ya Kura haitahesabiwa kuwa Kura Halali iwapo Kura hiyo:-
(i) Haina Muhuri wa Kituo
(ii) Imepigwa kwa Mgombea zaidi ya mmoja
(iii) Ina alama, au maandishi yanayoweza kumtambulisha mtu aliyepiga Kura
(iv) Haina alama yoyote
(v) Amepigiwa Mgombea aliyejitoa
Soma > https://jamii.app/KuraKuharibika
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums #JFLeo #Siasa