KUELEKEA UCHAGUZI 28 OKTOBA 2020: MAMBO YA KUFAHAMU KUHUSU SANDUKU LA KURA
> Sanduku la kura linatakiwa kutengenezwa kwa namna ambayo inamruhusu mpiga kura kuweza kuweka karatasi ya kura bila kuweza kuitoa
Kwa elimu zaidi, soma > https://jamii.app/SandukuKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020
> Sanduku la kura linatakiwa kutengenezwa kwa namna ambayo inamruhusu mpiga kura kuweza kuweka karatasi ya kura bila kuweza kuitoa
Kwa elimu zaidi, soma > https://jamii.app/SandukuKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020
#UGANDA: WASAFIRI WAKAMATWA WAKIWA NA VYETI BANDIA VYA #COVID19
> Nchini humo, wasafiri hutakiwa kuwa na vyeti vya kupima #CoronaVirus saa 120 kabla ya safari
> Abiria wanaoingia hutakiwa kuwa na cheti kinachothibitisha wamepimwa ndani ya 72
Soma https://jamii.app/COVID19UGWasafiri
> Nchini humo, wasafiri hutakiwa kuwa na vyeti vya kupima #CoronaVirus saa 120 kabla ya safari
> Abiria wanaoingia hutakiwa kuwa na cheti kinachothibitisha wamepimwa ndani ya 72
Soma https://jamii.app/COVID19UGWasafiri
HESLB: ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA MIKOPO BADO HAIJATOKA
> Bodi ya Mikopo imesema mchakato wa uchambuzi wa maombi bado unaendelea na taarifa zinazosambaa mitandaoni zikiwaelekeza waombaji kupakua 'App' ili kuona orodha hiyo sio sahihi
Soma https://jamii.app/OrodhaMikopoHESLB
> Bodi ya Mikopo imesema mchakato wa uchambuzi wa maombi bado unaendelea na taarifa zinazosambaa mitandaoni zikiwaelekeza waombaji kupakua 'App' ili kuona orodha hiyo sio sahihi
Soma https://jamii.app/OrodhaMikopoHESLB
MAARIFA: JE, WAJUA MARAIS WASTAAFU KUJENGEWA NYUMBA NA SERIKALI NI KWA MUJIBU WA SHERIA?
> Kifungu cha 9.-(1) cha Sheria ya Huduma kwa Wanasiasa Wastaafu ya 1999 inaeleza
> Kupewa nyumba yenye samani zake na itakuwa na vyumba visivyopungua 4, viwili self contained
> Kifungu kidogo (i): Ndani ya nyumba hiyo kuwe na Ofisi ambayo itakuwa na samani zilizokamilika
> (ii) Nyumba ndogo kwa ajili ya msaidizi wa kazi za nyumbani (a servant quarter)
Soma > https://jamii.app/MaraisNyumba
#JamiiTalks
> Kifungu cha 9.-(1) cha Sheria ya Huduma kwa Wanasiasa Wastaafu ya 1999 inaeleza
> Kupewa nyumba yenye samani zake na itakuwa na vyumba visivyopungua 4, viwili self contained
> Kifungu kidogo (i): Ndani ya nyumba hiyo kuwe na Ofisi ambayo itakuwa na samani zilizokamilika
> (ii) Nyumba ndogo kwa ajili ya msaidizi wa kazi za nyumbani (a servant quarter)
Soma > https://jamii.app/MaraisNyumba
#JamiiTalks
DKT. MAGUFULI: UCHAGUZI HUU UTAAMUA TANZANIA IWE NA VIONGOZI WALINDA UHURU AU VIBARAKA WA MABEBERU
> Pia amesema, Uchaguzi huu utaamua kama tuendelee na Muungano na jitihada za kujenga Taifa linalojitegemea kiuchumi au turudi kuwa tegemezi
Soma https://jamii.app/JPMBagamoyo
#TZ2020
> Pia amesema, Uchaguzi huu utaamua kama tuendelee na Muungano na jitihada za kujenga Taifa linalojitegemea kiuchumi au turudi kuwa tegemezi
Soma https://jamii.app/JPMBagamoyo
#TZ2020
NEC YAWATAKA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI KUZINGATIA SHERIA ILI KUEPUKA MALALAMIKO
> Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Mahera Charles amesema, kuna baadhi ya watu wana chokochoko hivyo kufanya kazi kwa kuzingatia Kanuni na Sheria kutaepusha shari
Soma https://jamii.app/UchaguziChokochoko
#Uchaguzi2020
> Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Mahera Charles amesema, kuna baadhi ya watu wana chokochoko hivyo kufanya kazi kwa kuzingatia Kanuni na Sheria kutaepusha shari
Soma https://jamii.app/UchaguziChokochoko
#Uchaguzi2020
DKT. MWINYI: MUUNGANO HAUIUMIZI #ZANZIBAR BALI UNAINUFAISHA
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM amesema, Muungano unawafanya Wazanzibari kunufaika kibiashara na kiusalama
> Pia, Wazanzibari wanaitegemea #Tanzania Bara ili kupata mazao mengi
Soma https://jamii.app/ZnzDktMwinyi
#TZ2020
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM amesema, Muungano unawafanya Wazanzibari kunufaika kibiashara na kiusalama
> Pia, Wazanzibari wanaitegemea #Tanzania Bara ili kupata mazao mengi
Soma https://jamii.app/ZnzDktMwinyi
#TZ2020
LISSU: MAGUFULI ALIINGIA KWA KURA, ATAONDOKA KWA KURA
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema, ifikapo Oktoba 28 wananchi wapige kura kufuta machozi ya miaka 5
> Amesema Maandiko Matakatifu yanasema #Haki huinua Taifa, sio pesa wala barabara
Soma https://jamii.app/LissuHai
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema, ifikapo Oktoba 28 wananchi wapige kura kufuta machozi ya miaka 5
> Amesema Maandiko Matakatifu yanasema #Haki huinua Taifa, sio pesa wala barabara
Soma https://jamii.app/LissuHai
#TZ2020
THAILAND: WANANCHI WAANDAMANA KUPINGA UTAWALA WA KIFALME
> Raia wa #Thailand wameandamana kumshinikiza Waziri Mkuu, Prayuth Chan-ocha kujiuzulu na kuukomesha Mfumo wa Kifalme
> Pia, wanadai kuachiliwa kwa waliokamatwa kwasababu za Kisiasa
Soma https://jamii.app/ThailandMaandamano
> Raia wa #Thailand wameandamana kumshinikiza Waziri Mkuu, Prayuth Chan-ocha kujiuzulu na kuukomesha Mfumo wa Kifalme
> Pia, wanadai kuachiliwa kwa waliokamatwa kwasababu za Kisiasa
Soma https://jamii.app/ThailandMaandamano
QUEEN SENDIGA: KAMA KUNA KERO, TUMALIZE HASIRA KWENYE SANDUKU LA KURA
> Mgombea huyo Urais kupitia ADC, amewataka Wananchi kuacha kuingia kwenye ushawishi wa kuchafua Amani na badala yake wenye kero wakamalize hasira kwenye Sanduku la Kura
Tazama https://www.youtube.com/watch?v=DDFNDcdlVAs&feature=youtu.be
#TZ2020
> Mgombea huyo Urais kupitia ADC, amewataka Wananchi kuacha kuingia kwenye ushawishi wa kuchafua Amani na badala yake wenye kero wakamalize hasira kwenye Sanduku la Kura
Tazama https://www.youtube.com/watch?v=DDFNDcdlVAs&feature=youtu.be
#TZ2020
YouTube
QUEEN SENDIGA: KAMA KUNA KERO, TUMALIZE HASIRA KWENYE SANDUKU LA KURA
Mgombea Urais kupitia ADC amewataka wananchi kuacha kuingia kwenye ushawishi wa kuchafua amani
ASKOFU GWAJIMA: NINA JINA LA KIISLAM, NINAITWA RASHID
> Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe(CCM) amesema alipata jina hilo baada ya kutelekezwa Msikitini
> Suala hilo lilimpa sababu ya kuusaidia Uislamu ikiwemo kujenga Visima vya Maji Dar
Tazama https://youtu.be/ieu6HWyR910
#Uchaguzi2020
> Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe(CCM) amesema alipata jina hilo baada ya kutelekezwa Msikitini
> Suala hilo lilimpa sababu ya kuusaidia Uislamu ikiwemo kujenga Visima vya Maji Dar
Tazama https://youtu.be/ieu6HWyR910
#Uchaguzi2020
YouTube
Askofu Gwajima: Nina jina la kiislam, naitwa Rashid...
DKT. BASHIRU: WAGOMBEA WA CCM KUTOENGULIWA NI SUALA LA KUTII SHERIA
> Amesema wana vitengo vya Sheria ambavyo haviruhusu Wagombea kujaza fomu bila kuhakikiwa
> Amesema, kwao suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi
Soma https://jamii.app/CCMWagombeaSheria
#TZ2020
> Amesema wana vitengo vya Sheria ambavyo haviruhusu Wagombea kujaza fomu bila kuhakikiwa
> Amesema, kwao suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi
Soma https://jamii.app/CCMWagombeaSheria
#TZ2020
ARGENTINA: VISA VYA #CORONAVIRUS VYAFIKIA MILIONI 1
> #Argentina imerekodi visa 1,002,662, ikiwa ni nchi ndogo zaidi kurekodi visa zaidi ya Milioni 1
> Inakuwa nchi ya tano kuathirika zaidi duniani nyuma ya Marekani, India, Brazil na Urusi
Soma - https://jamii.app/COVID-Arg
> #Argentina imerekodi visa 1,002,662, ikiwa ni nchi ndogo zaidi kurekodi visa zaidi ya Milioni 1
> Inakuwa nchi ya tano kuathirika zaidi duniani nyuma ya Marekani, India, Brazil na Urusi
Soma - https://jamii.app/COVID-Arg
QUALITY GROUP LIMITED YAAMRIWA KUWALIPA TSH. MILIONI 232 WAANDISHI WAKE
> Mahakama ya Mwanzo ya Migogoro ya Kazi imeamuru Kampuni inayomilikiwa na Yusufu Manji, kuwalipa waliokuwa Waandishi wake kwa kuvunja Mikataba nao bila sababu maalumu
Soma https://jamii.app/ManjiWaandishi
#JFLeo
> Mahakama ya Mwanzo ya Migogoro ya Kazi imeamuru Kampuni inayomilikiwa na Yusufu Manji, kuwalipa waliokuwa Waandishi wake kwa kuvunja Mikataba nao bila sababu maalumu
Soma https://jamii.app/ManjiWaandishi
#JFLeo
#NIGERIA: SHULE ZA LAGOS ZAFUNGWA KUTOKANA NA MAANDAMANO
> Kamishna wa Elimu Mjini humo amesema hakuna uhakika wa usalama kwa Wanafunzi na Watumishi
> Maandamano ya kupinga ukatili wa Polisi yanaendelea maeneo mbalimbali nchini humo
Soma - https://jamii.app/SchoolClosureNGR
> Kamishna wa Elimu Mjini humo amesema hakuna uhakika wa usalama kwa Wanafunzi na Watumishi
> Maandamano ya kupinga ukatili wa Polisi yanaendelea maeneo mbalimbali nchini humo
Soma - https://jamii.app/SchoolClosureNGR
MOROGORO: MBARONI KWA KUCHANA MABANGO YA WAGOMBEA WA CCM
>Isihaka Exavery (20) anashikiliwa kwa tuhuma za kuchana picha za Mgombea Urais, Dkt. Magufuli na za Mgombea Udiwani, Seif Zahoro Chomoka
> Upelelezi ukikamilika atafikishwa Mahakamani
Soma https://jamii.app/MoroPichaMagufuli
#TZ2020
>Isihaka Exavery (20) anashikiliwa kwa tuhuma za kuchana picha za Mgombea Urais, Dkt. Magufuli na za Mgombea Udiwani, Seif Zahoro Chomoka
> Upelelezi ukikamilika atafikishwa Mahakamani
Soma https://jamii.app/MoroPichaMagufuli
#TZ2020
DKT. MAGUFULI: JINA LANGU LIPO NAMBA MOJA, USIHANGAIKE KUANGALIA KWINGINE
> Amewaambia Wananchi wasihangaike kuangalia kwingine kwasababu wale hawawahusu
> Asema, Uchaguzi ni wakati wa kuamua kama wanataka maendeleo au 'blah blah'
Soma - https://jamii.app/JPMKorogwe
#Uchaguzi2020
> Amewaambia Wananchi wasihangaike kuangalia kwingine kwasababu wale hawawahusu
> Asema, Uchaguzi ni wakati wa kuamua kama wanataka maendeleo au 'blah blah'
Soma - https://jamii.app/JPMKorogwe
#Uchaguzi2020
MAALIM SEIF: TULIKUBALIANA KUMUUNGA MKONO LISSU NA MEMBE AKIWEPO
> Baada ya kuona Kampeni zao zinasuasua, Kamati ya Uongozi ilikutana na Bernard Membe akiwepo
> Membe alitoa tarehe akisema ikifika hajaanza kampeni, ni bora kumuunga Lissu
Soma - https://jamii.app/MaalimMembeLissu
#TZ2020
> Baada ya kuona Kampeni zao zinasuasua, Kamati ya Uongozi ilikutana na Bernard Membe akiwepo
> Membe alitoa tarehe akisema ikifika hajaanza kampeni, ni bora kumuunga Lissu
Soma - https://jamii.app/MaalimMembeLissu
#TZ2020
DKT. MAGUFULI: NI WAKATI WA KUBORESHA MASLAHI YA WAFANYAKAZI
> Amesema "Miaka 5 iliyopita tumeimarisha uchumi, sasa 5 ijayo tutakuwa na jukumu la kuongeza mishahara. Huwezi kupandisha mishahara wakati huna uchumi, wengine wanazungumza tu"
Soma https://jamii.app/MaslahiWafanyakazi
#TZ2020
> Amesema "Miaka 5 iliyopita tumeimarisha uchumi, sasa 5 ijayo tutakuwa na jukumu la kuongeza mishahara. Huwezi kupandisha mishahara wakati huna uchumi, wengine wanazungumza tu"
Soma https://jamii.app/MaslahiWafanyakazi
#TZ2020
MAALIM SEIF: WAZANZIBARI WAMECHOKA, WAMEDHAMIRIA KULINDA DEMOKRASIA
> Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo amesema wanakwenda tarehe 27 na 28 wakiwa tayari kwa lolote litakalotokea kulinda #Demokrasia na #Haki ya watu kumchagua Rais wanayemtaka
Soma - https://jamii.app/MaalimHakiZnz
#TZ2020
> Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo amesema wanakwenda tarehe 27 na 28 wakiwa tayari kwa lolote litakalotokea kulinda #Demokrasia na #Haki ya watu kumchagua Rais wanayemtaka
Soma - https://jamii.app/MaalimHakiZnz
#TZ2020