UCHAGUZI MKUU 2020 NA UDHALILISHWAJI WA WAGOMBEA WANAWAKE
> Inaelezwa Mgombea Ubunge Tarime Mjini, Esther Matiko (CHADEMA) amekuwa akidhalilishwa na baadhi ya watu huku wengine wakiwa ni viongozi kama Polisi anayedaiwa kumtukana juzi
Soma - https://jamii.app/MilaWagombeaKe
#Uchaguzi2020
> Inaelezwa Mgombea Ubunge Tarime Mjini, Esther Matiko (CHADEMA) amekuwa akidhalilishwa na baadhi ya watu huku wengine wakiwa ni viongozi kama Polisi anayedaiwa kumtukana juzi
Soma - https://jamii.app/MilaWagombeaKe
#Uchaguzi2020
DR CONGO: WANASAYANSI WATAHADHARISHA KUHUSU MLIPUKO WA VOLKANO
> Kuna hatari ya Mlima Nyiragongo uliopo Goma, Mashariki mwa nchi hiyo kulipuka ndani ya miaka minne
> Januari mwaka 2002, Mlima huo ulilipuka na kusababisha vifo vya watu 250
Soma - https://jamii.app/VolcanoDRC
#JFLeo
> Kuna hatari ya Mlima Nyiragongo uliopo Goma, Mashariki mwa nchi hiyo kulipuka ndani ya miaka minne
> Januari mwaka 2002, Mlima huo ulilipuka na kusababisha vifo vya watu 250
Soma - https://jamii.app/VolcanoDRC
#JFLeo
TUNDU LISSU: MAGUFULI AMEBAKIZA SIKU 14 KUKAA IKULU
> Akiwa Ukerewe amesema akichaguliwa kuwa Rais manyanyaso dhidi ya Wavuvi yatakuwa mwisho
> Ataboresha Sheria za uvuvi, kupanua Bandari ya Nansio na kujenga daraja la Kisorya-Ukerewe
Soma https://jamii.app/LissuUkerewe
#Uchaguzi2020
> Akiwa Ukerewe amesema akichaguliwa kuwa Rais manyanyaso dhidi ya Wavuvi yatakuwa mwisho
> Ataboresha Sheria za uvuvi, kupanua Bandari ya Nansio na kujenga daraja la Kisorya-Ukerewe
Soma https://jamii.app/LissuUkerewe
#Uchaguzi2020
TUNDU LISSU KUJIBU MASWALI YA WANANCHI KUPITIA JAMIIFORUMS
> Mwanachama wa JamiiForums na Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu atajibu maswali ya Wananchi kupitia JamiiForums
> Ni kesho Oktoba 15, 2020 kuanzia saa 2 hadi 4 asubuhi
Uliza swali lako hapa https://jamii.app/LissuOnJF
> Mwanachama wa JamiiForums na Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu atajibu maswali ya Wananchi kupitia JamiiForums
> Ni kesho Oktoba 15, 2020 kuanzia saa 2 hadi 4 asubuhi
Uliza swali lako hapa https://jamii.app/LissuOnJF
DKT. MAGUFULI: NATAMANI KUFIKA KILA ENEO KUFANYA KAMPENI LAKINI SIWEZI
> Amesema hawezi kwasababu na yeye ni binadamu
> Amesema mbali na kuwa Mgombea, yeye pia ni Rais ambaye anapaswa kufanya majukumu ya Serikali ambayo bado yanamkabili
Soma - https://jamii.app/DktJPMKawe
#TZ2020
> Amesema hawezi kwasababu na yeye ni binadamu
> Amesema mbali na kuwa Mgombea, yeye pia ni Rais ambaye anapaswa kufanya majukumu ya Serikali ambayo bado yanamkabili
Soma - https://jamii.app/DktJPMKawe
#TZ2020
ZANZIBAR: ADA-TADEA YAAHIDI KUINUA SEKTA YA MICHEZO ILI ISITEGEMEE WAFADHILI
> Mgombea Urais wa Chama hicho, Juma Khatib amesema ataweka bajeti maalum kuendesha Ligi Kuu
> Wafadhili watapewa nafasi, lakini bajeti ya Serikali haitaondolewa
Soma https://jamii.app/ADATADEA
#TZ2020
> Mgombea Urais wa Chama hicho, Juma Khatib amesema ataweka bajeti maalum kuendesha Ligi Kuu
> Wafadhili watapewa nafasi, lakini bajeti ya Serikali haitaondolewa
Soma https://jamii.app/ADATADEA
#TZ2020
NIGERIA: WANANCHI WAENDELEA NA MAANDAMANO KUPINGA UKATILI WA POLISI
> Licha ya Serikali kufuta kikosi cha #SARS kilichopewa kazi ya kupambana na wahalifu, wananchi wanasema hawajaridhika na hatua hiyo na wanachokitaka ni Mageuzi kwenye Jeshi
Soma https://jamii.app/NigeriaProtests
> Licha ya Serikali kufuta kikosi cha #SARS kilichopewa kazi ya kupambana na wahalifu, wananchi wanasema hawajaridhika na hatua hiyo na wanachokitaka ni Mageuzi kwenye Jeshi
Soma https://jamii.app/NigeriaProtests
MAALIM SEIF ATAKIWA KUFIKA MBELE YA KAMATI YA MAADILI LEO
> Mgombea wa Urais wa #Zanzibar (ACT-Wazalendo) anadaiwa kukiuka maadili ya Uchaguzi kutokana na kuwaambia watu wakapige kura Oktoba 27 badala ya Oktoba 28 iliyopangwa na ZEC
Soma - https://jamii.app/SeifKamatiMaadili
#Uchaguzi2020
> Mgombea wa Urais wa #Zanzibar (ACT-Wazalendo) anadaiwa kukiuka maadili ya Uchaguzi kutokana na kuwaambia watu wakapige kura Oktoba 27 badala ya Oktoba 28 iliyopangwa na ZEC
Soma - https://jamii.app/SeifKamatiMaadili
#Uchaguzi2020
SIKU YA KIMATAIFA YA KUNAWA MIKONO: OSHA MIKONO OKOA MAISHA
> Oktoba 15 ni Siku ya Kimataifa ya Unawaji Mikono. Ni siku maalum ya kuhamasisha watu kunawa mikono ili kuepuka maradhi
> Kaulimbiu ya Kitaifa ni βOsha Mikono Okoa Maishaβ
Soma - https://jamii.app/KunawaMikono
> Oktoba 15 ni Siku ya Kimataifa ya Unawaji Mikono. Ni siku maalum ya kuhamasisha watu kunawa mikono ili kuepuka maradhi
> Kaulimbiu ya Kitaifa ni βOsha Mikono Okoa Maishaβ
Soma - https://jamii.app/KunawaMikono
UCHAGUZI 2020: JINSI MPIGA KURA ANAVYOWEZA KUTAMBUA KITUO CHAKE CHA KUPIGIA KURA
> Orodha ya wapiga kura kwa kila kituo itabandikwa siku nane (8) kabla ya Siku ya Uchaguzi
> Kujua jinsi ya kuhakiki kituo chako cha kupigia kura, fungua > https://jamii.app/HakikiKituoKura
#Uchaguzi2020
> Orodha ya wapiga kura kwa kila kituo itabandikwa siku nane (8) kabla ya Siku ya Uchaguzi
> Kujua jinsi ya kuhakiki kituo chako cha kupigia kura, fungua > https://jamii.app/HakikiKituoKura
#Uchaguzi2020
SERIKALI KUTUMIA HELIKOPTA KUZIMA MOTO MLIMA #KILIMANJARO
> Waziri wa Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalla amesema wanatazamia kutuma Helikopta kuuzima moto unaowaka kwa siku ya 5 sasa
> Changamoto ni upepo mkali na kukauka kwa nyasi na vichaka
Soma - https://jamii.app/NdegeMotoKLM
> Waziri wa Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalla amesema wanatazamia kutuma Helikopta kuuzima moto unaowaka kwa siku ya 5 sasa
> Changamoto ni upepo mkali na kukauka kwa nyasi na vichaka
Soma - https://jamii.app/NdegeMotoKLM
MICHEZO: Wachezaji wa Klabu ya #Juventus wameamua kujiweka Karantini baada ya Kiungo wa Timu hiyo, Weston McKennie kuthibitika kuwa na maambukizi ya #CoronaVirus
> Taarifa za Weston zinakuja ikiwa ni siku 2 tangu Cristiano Ronaldo athibitike kuwa na Virusi hivyo
#JFSports
> Taarifa za Weston zinakuja ikiwa ni siku 2 tangu Cristiano Ronaldo athibitike kuwa na Virusi hivyo
#JFSports
#UGANDA: POLISI WADAIWA KUIBA NYARAKA ZA BOBI WINE KUGOMBEA URAIS
> Amesema nyaraka za uteuzi wake wa kugombea Urais zimepotea baada ya uvamizi kutoka Vikosi vya Usalama jana mchana
> Timu yake tayari ilikuwa imeshakusanya sahihi Milioni 6
Soma - https://jamii.app/BobiOfficeRaid
> Amesema nyaraka za uteuzi wake wa kugombea Urais zimepotea baada ya uvamizi kutoka Vikosi vya Usalama jana mchana
> Timu yake tayari ilikuwa imeshakusanya sahihi Milioni 6
Soma - https://jamii.app/BobiOfficeRaid
UNICEF: WATU BILIONI 3 DUNIANI HAWANA VIFAA VYA KUNAWIA MIKONO
> Takriban robo tatu ya watu katika nchi masikini wanakosa vifaa hivyo
> Aidha 43% ya Shule hazina vifaa vya kunawia mikono, na hivyo kuwaathiri watoto wapatao Milioni 818
Soma - https://jamii.app/UNICEFTakwimu
> Takriban robo tatu ya watu katika nchi masikini wanakosa vifaa hivyo
> Aidha 43% ya Shule hazina vifaa vya kunawia mikono, na hivyo kuwaathiri watoto wapatao Milioni 818
Soma - https://jamii.app/UNICEFTakwimu
GEITA: POLISI KUWASAKA WALIOVAMIA NYUMBA 3 ZA WAGOMBEA WA CHADEMA
> Watu zaidi ya 10 wanatuhumiwa kuchoma moto Bajaji 2, kuvunja vioo vya madirisha kwa mawe pamoja na kubomoa madirisha 2 ya nyumba usiku wa kuamkia Oktoba 13
Soma - https://jamii.app/BajajiMotoCDM
#Uchaguzi2020
> Watu zaidi ya 10 wanatuhumiwa kuchoma moto Bajaji 2, kuvunja vioo vya madirisha kwa mawe pamoja na kubomoa madirisha 2 ya nyumba usiku wa kuamkia Oktoba 13
Soma - https://jamii.app/BajajiMotoCDM
#Uchaguzi2020
NEC YAKABIDHI NAKALA YA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA VYAMA VYA SIASA
> Vyama vimekabidhiwa nakala tepe ya daftari la wapiga kura na orodha ya vituo vya kupigia kura
> Pia, Tume imevikabidhi Karatasi ya mfano ya kupigia kura
Soma https://jamii.app/NECWapigaKura
#Uchaguzi2020
> Vyama vimekabidhiwa nakala tepe ya daftari la wapiga kura na orodha ya vituo vya kupigia kura
> Pia, Tume imevikabidhi Karatasi ya mfano ya kupigia kura
Soma https://jamii.app/NECWapigaKura
#Uchaguzi2020
DAR: MVUA YA OKTOBA 13 YAPELEKEA VIFO VYA WATU 8
> Miili 5 imeokotwa Mto Msimbazi, 2 imeokotwa maeneo ya Buguruni na mmoja Mto Mvule uliopo Ukonga
> Wawili kati ya waliofariki dunia ni watoto ambao walipoteza maisha wakiokoana Mto Msimbazi
Soma - https://jamii.app/MvuaMaafaDar
> Miili 5 imeokotwa Mto Msimbazi, 2 imeokotwa maeneo ya Buguruni na mmoja Mto Mvule uliopo Ukonga
> Wawili kati ya waliofariki dunia ni watoto ambao walipoteza maisha wakiokoana Mto Msimbazi
Soma - https://jamii.app/MvuaMaafaDar
WIZARA YA AFYA YATOA TAHADHARI YA MAGONJWA YA MLIPUKO KUTOKANA NA MAFURIKO
> Wananchi wanaaswa kuchemsha Maji ya kunywa au kutibu kwa dawa kabla ya kuyatumia na kuongeza usimamizi wa usafi ktk maeneo ya mikusanyiko kama Shuleni, Vyuo, Masoko
Soma https://jamii.app/MafurikoMagonjwa
> Wananchi wanaaswa kuchemsha Maji ya kunywa au kutibu kwa dawa kabla ya kuyatumia na kuongeza usimamizi wa usafi ktk maeneo ya mikusanyiko kama Shuleni, Vyuo, Masoko
Soma https://jamii.app/MafurikoMagonjwa
TANZANIA MSHINDI WA TATU TUZO ZA BIASHARA DUNIANI
> Tanzania imepata Tuzo za Taasisi zinazosimamia Biashara Duniani (WTPO 2020) ktk kipengele cha matumizi bora ya ushirikiano ktk huduma ya kliniki ya biashara inayosimamiwa na TanTrade
Soma https://jamii.app/TzYa3Biashara
#JFBiashara
> Tanzania imepata Tuzo za Taasisi zinazosimamia Biashara Duniani (WTPO 2020) ktk kipengele cha matumizi bora ya ushirikiano ktk huduma ya kliniki ya biashara inayosimamiwa na TanTrade
Soma https://jamii.app/TzYa3Biashara
#JFBiashara