MDAU: MTOTO WA MASIKINI AMBAYE SILAHA YAKE PEKEE NI ELIMU ATAJIAJIRI VIPI?
> Mdau wa JamiiForums.com anasema, japokuwa Tanzania kuna fursa mbalimbali, bado kumekuwa na wimbi kubwa la watu ambao hawana ajira
> Anasema wengi wanaowaambia vijana wajiajiri ni Wanasiasa na watu waliofanikiwa ambao wanapigana vikumbo kuwatafutia watoto wao ajira kwenye mashirika yanayolipa vizuri
Zaidi, soma - https://jamii.app/VijanaMafanikio
> Mdau wa JamiiForums.com anasema, japokuwa Tanzania kuna fursa mbalimbali, bado kumekuwa na wimbi kubwa la watu ambao hawana ajira
> Anasema wengi wanaowaambia vijana wajiajiri ni Wanasiasa na watu waliofanikiwa ambao wanapigana vikumbo kuwatafutia watoto wao ajira kwenye mashirika yanayolipa vizuri
Zaidi, soma - https://jamii.app/VijanaMafanikio
SIFA BAINIFU ZA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUHITIMU MUHULA (NJITI)
> Baadhi ya sehemu za mfumo wao wa neva hazijakua vyema
> Watoto hawa wana kiwango kidogo cha mafuta ya ngozi, hasa mafuta ya rangi ya kahawia
Soma > https://jamii.app/UzaziMtotoNjiti
> Baadhi ya sehemu za mfumo wao wa neva hazijakua vyema
> Watoto hawa wana kiwango kidogo cha mafuta ya ngozi, hasa mafuta ya rangi ya kahawia
Soma > https://jamii.app/UzaziMtotoNjiti
WEMA SEPETU KUWANIA TUZO ZA HAPAWARDS 2020
> Msanii huyo wa Filamu anawania Tuzo za Hollywood And African Prestigious Awards za nchini Marekani katika kipengele cha Muigizaji Bora wa Kike wa Tamthilia za Kiafrika kupitia Tamthilia ya Karma
Soma - https://jamii.app/SepetuHAPAwards
> Msanii huyo wa Filamu anawania Tuzo za Hollywood And African Prestigious Awards za nchini Marekani katika kipengele cha Muigizaji Bora wa Kike wa Tamthilia za Kiafrika kupitia Tamthilia ya Karma
Soma - https://jamii.app/SepetuHAPAwards
CHADEMA YAITAKA NEC KUWEKA WAZI KAMPUNI ZINAZOCHAPISHA KARATASI ZA KURA
> Katibu wa CHADEMA, John Mnyika ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuthibisha taarifa zinazodai imeingia makubaliano na Kampuni 2 kuchapisha karatasi za kupigia kura
Angalia https://youtu.be/Tx5dHxfPX7w
#TZ2020
> Katibu wa CHADEMA, John Mnyika ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuthibisha taarifa zinazodai imeingia makubaliano na Kampuni 2 kuchapisha karatasi za kupigia kura
Angalia https://youtu.be/Tx5dHxfPX7w
#TZ2020
YouTube
CHADEMA: Tunaitaka NEC iweke wazi ni kampuni gani inayochapisha karatasi za kupigia kura
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema mnamo June 30, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Kaijage hakukanusha wala kukubali madai ya kuwa Tume imeshatangaza Kampuni kutoka Afrika Kusini kwa ajili ya kuchapisha karatasi za kupigia kura Oktobaβ¦
MGOMBEA ADC: KAZI YA SERIKALI NI KUPANGA NJIA BORA ZA MATUMIZI YA RASILIMALI
> Mgombea Urais kupitia ADC, Queen Sendiga akiwa Mtwara ameahidi kurejesha ujenzi wa Kiwanda cha Gesi kama CCM ilivyoahidi awali na baadaye ikafanya tofauti
Soma - https://jamii.app/ADCRasilimali
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais kupitia ADC, Queen Sendiga akiwa Mtwara ameahidi kurejesha ujenzi wa Kiwanda cha Gesi kama CCM ilivyoahidi awali na baadaye ikafanya tofauti
Soma - https://jamii.app/ADCRasilimali
#Uchaguzi2020
SABAYA: POLISI NAO NI BINADAMU, HUWA WANACHUKIA
> Mkuu wa Wilaya ya Hai amesema "Jeshi la Polisi ni Chombo cha Dola na wanaolitumikia ni binadamu, nao wanafika mahali wanakasirika"
> Amesema, Mbowe alitaka kufanya Kampeni eneo lisilotakiwa
Soma - https://jamii.app/HasiraPolisi
> Mkuu wa Wilaya ya Hai amesema "Jeshi la Polisi ni Chombo cha Dola na wanaolitumikia ni binadamu, nao wanafika mahali wanakasirika"
> Amesema, Mbowe alitaka kufanya Kampeni eneo lisilotakiwa
Soma - https://jamii.app/HasiraPolisi
CHADEMA YAITAKA NEC KUTOA DAFTARI LA WAPIGA KURA KWA VYAMA
> Katibu wa CHADEMA, John Mnyika amesema βMpaka sasa, NEC haijatoa nakala ya daftari la wapiga kura kwa Vyama vya Siasa, ijitokeze iseme italitoa lini ili na sisi tulitazameβ
Angalia https://youtu.be/wM5l6rgJTUE
#TZ2020
> Katibu wa CHADEMA, John Mnyika amesema βMpaka sasa, NEC haijatoa nakala ya daftari la wapiga kura kwa Vyama vya Siasa, ijitokeze iseme italitoa lini ili na sisi tulitazameβ
Angalia https://youtu.be/wM5l6rgJTUE
#TZ2020
YouTube
CHADEMA: Tunaitaka NEC ivipatie Vyama vya Siasa nakala ya mwisho ya Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijatoa nakala ya mwisho ya Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Vyama vya Siasa
Amesema wanaitaka Tume iharakishe kutoa Daftari hilo kwani ndio lina majina na picha za Wapiga Kura ambapoβ¦
Amesema wanaitaka Tume iharakishe kutoa Daftari hilo kwani ndio lina majina na picha za Wapiga Kura ambapoβ¦
DKT. SHEIN: KAMPENI ZA DKT. MWINYI ZINAFIKIA JAMII, WAPO WALIOJARIBU WAKAISHIA NJIANI
> Amesema, mtindo wa Kampeni unaofanywa na Mgombea Urais wa #Zanzibar kupitia CCM, unalenga kuleta mabadiliko baada ya kufahamu changamoto za wananchi
Soma - https://jamii.app/SheinMwinyiZnz
#TZ2020
> Amesema, mtindo wa Kampeni unaofanywa na Mgombea Urais wa #Zanzibar kupitia CCM, unalenga kuleta mabadiliko baada ya kufahamu changamoto za wananchi
Soma - https://jamii.app/SheinMwinyiZnz
#TZ2020
MADARAKA NA WAJIBU WA MBUNGE KWA MUJIBU WA KATIBA
> Kumuuliza Waziri swali kuhusu mambo ya umma ya Jamhuri ya Muungano ambayo yako ktk wajibu wake.
> Kujadili utekelezaji wa kila Wizara wakati wa Bunge wa kila mwaka wa Bajeti
Soma > https://jamii.app/WajibuMbunge
#Uchaguzi2020
> Kumuuliza Waziri swali kuhusu mambo ya umma ya Jamhuri ya Muungano ambayo yako ktk wajibu wake.
> Kujadili utekelezaji wa kila Wizara wakati wa Bunge wa kila mwaka wa Bajeti
Soma > https://jamii.app/WajibuMbunge
#Uchaguzi2020
OKTOBA 11: SIKU YA KIMATAIFA YA MTOTO WA KIKE
> Ni Siku inayolenga kutambua changamoto za Mtoto wa Kike, kuthamini na kuwezesha utekelezaji wa Haki zake
> Kaulimbiu ya Kitaifa inasema "Tumuwezeshe Mtoto wa Kike, Kujenga Taifa lenye usawa"
Soma https://jamii.app/GirlChildDay
#IDG2020
> Ni Siku inayolenga kutambua changamoto za Mtoto wa Kike, kuthamini na kuwezesha utekelezaji wa Haki zake
> Kaulimbiu ya Kitaifa inasema "Tumuwezeshe Mtoto wa Kike, Kujenga Taifa lenye usawa"
Soma https://jamii.app/GirlChildDay
#IDG2020
NDUGAI: HII NI AWAMU YANGU YA MWISHO, SITARAJII KUGOMBEA UBUNGE TENA
> Job Ndugai ambaye amekuwa Mbunge wa Kongwa tangu mwaka 2000 ametoa kauli hiyo leo akiwa Kanisani
> Amewataka wenye nia njema ya kuongoza Jimbo hilo kujiandaa na kujipanga
Soma https://jamii.app/NdugaiUbunge
> Job Ndugai ambaye amekuwa Mbunge wa Kongwa tangu mwaka 2000 ametoa kauli hiyo leo akiwa Kanisani
> Amewataka wenye nia njema ya kuongoza Jimbo hilo kujiandaa na kujipanga
Soma https://jamii.app/NdugaiUbunge
JE, UNAFAHAMU RUSHWA YA NGONO NI NINI?
> Rushwa ya ngono ni pale ambapo Mtu aliye katika mamlaka na katika kutekeleza mamlaka yake akitaka au akiweka upendeleo wa ngono kama kigezo cha kutoa ajira, cheo, haki, au huduma ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/NgonoRushwa
#KemeaRushwa
> Rushwa ya ngono ni pale ambapo Mtu aliye katika mamlaka na katika kutekeleza mamlaka yake akitaka au akiweka upendeleo wa ngono kama kigezo cha kutoa ajira, cheo, haki, au huduma ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/NgonoRushwa
#KemeaRushwa
JE, UNAIFAHAMU ADHABU YA KUOMBA/KUTOA RUSHWA YA NGONO?
> Mtu atakayethibitika kuomba au kutoa rushwa ya ngono atakuwa amefanya kosa, ataadhibiwa kwa faini isiyozidi Tsh. Mil 5 au kifungo cha miaka isiyozidi 3 au vyote kwa pamoja.
Soma > https://jamii.app/NgonoRushwa
#KemeaRushwa
> Mtu atakayethibitika kuomba au kutoa rushwa ya ngono atakuwa amefanya kosa, ataadhibiwa kwa faini isiyozidi Tsh. Mil 5 au kifungo cha miaka isiyozidi 3 au vyote kwa pamoja.
Soma > https://jamii.app/NgonoRushwa
#KemeaRushwa
MOTO WAUNGUZA SEHEMU YA MLIMA KILIMAJARO
- Inaelezwa kuwa moto huo unaoteketeza sehemu ya Mlima huo umezuka leo mchana
- Mamlaka zimesema zinaendelea na juhudi za kuzima moto huo na taarifa zaidi zitatolewa
Soma > https://jamii.app/MotoKilimanjaro
#JFLeo #MotoKilimanjaro
- Inaelezwa kuwa moto huo unaoteketeza sehemu ya Mlima huo umezuka leo mchana
- Mamlaka zimesema zinaendelea na juhudi za kuzima moto huo na taarifa zaidi zitatolewa
Soma > https://jamii.app/MotoKilimanjaro
#JFLeo #MotoKilimanjaro
HALIMA MDEE AFUNGIWA KUFANYA KAMPENI KWA SIKU 7
> Mgombea Ubunge katika Jimbo la Kawe kupitia CHADEMA, Halima Mdee amefungiwa kufanya Kampeni kwa siku saba kuanzia leo, Oktoba 12 mpaka 18 akidaiwa kukiuka maadili ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/KampeniBanMdee
#Uchaguzi2020
> Mgombea Ubunge katika Jimbo la Kawe kupitia CHADEMA, Halima Mdee amefungiwa kufanya Kampeni kwa siku saba kuanzia leo, Oktoba 12 mpaka 18 akidaiwa kukiuka maadili ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/KampeniBanMdee
#Uchaguzi2020
UNYANYASAJI WA KIJINSIA BADO NI CHANGAMOTO ZANZIBAR
> Ndani ya miaka 3, watoto 88 wamepewa ujauzito na 50 kati yao wameozeshwa
> Kuanzia Januari 2019 - Agosti 2020 kuna kesi 761 za watoto kunyanyaswa huku 147 wakiingiliwa kinyume na maumbile
Soma https://jamii.app/UkatiliWatotoZbar
> Ndani ya miaka 3, watoto 88 wamepewa ujauzito na 50 kati yao wameozeshwa
> Kuanzia Januari 2019 - Agosti 2020 kuna kesi 761 za watoto kunyanyaswa huku 147 wakiingiliwa kinyume na maumbile
Soma https://jamii.app/UkatiliWatotoZbar
WANAFUNZI WATAKIWA KUSHIRIKI KUZIMA MOTO HIFADHI YA KILIMANJARO
> Wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka wameombwa kufanya hivyo ili kuudhibiti moto kwa haraka
> Sehemu ya Msitu wa Mlima Kilimanjaro ilianza kuungua tangu jana
Soma https://jamii.app/CAWMSOMotoKlmn
> Wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka wameombwa kufanya hivyo ili kuudhibiti moto kwa haraka
> Sehemu ya Msitu wa Mlima Kilimanjaro ilianza kuungua tangu jana
Soma https://jamii.app/CAWMSOMotoKlmn
UTAFITI: #CORONAVIRUS INAWEZA KUISHI KWENYE FEDHA, VIOO VYA SIMU KWA SIKU 28
> Utafiti wa Shirika la Kisayansi la Taifa la Australia pia umebaini kuwa, Virusi hivyo vinaweza kuishi kwa siku 17 kwenye mazingira ya nyuzi joto 20C na kwenye giza
Soma https://jamii.app/COVID19Siku28
> Utafiti wa Shirika la Kisayansi la Taifa la Australia pia umebaini kuwa, Virusi hivyo vinaweza kuishi kwa siku 17 kwenye mazingira ya nyuzi joto 20C na kwenye giza
Soma https://jamii.app/COVID19Siku28
NIGERIA: SERIKALI YAKIFUTA KIKOSI CHA KUKABILIANA NA UHALIFU
> Uamuzi huo umekuja baada ya maandamano ya Wananchi kutokana na madai ya vitendo vya ukatili toka kwa kikosi hicho
> Serikali imetangaza uchunguzi na kuwachukuliwa hatua wahusika
Soma - https://jamii.app/SARSDissolved
#SARSENDED
> Uamuzi huo umekuja baada ya maandamano ya Wananchi kutokana na madai ya vitendo vya ukatili toka kwa kikosi hicho
> Serikali imetangaza uchunguzi na kuwachukuliwa hatua wahusika
Soma - https://jamii.app/SARSDissolved
#SARSENDED
WATOTO BILIONI 1.3 WAMEACHA SHULE KUTOKANA NA #COVID19
> UNESCO imeonya kuwa, huenda baadhi yao wakashindwa kurudi Shule kutokana na hali ya kiuchumi ya nchi zao
> Mpango wa kupata Dola Bilioni 5 utazinduliwa ili kusomesha watoto masikini
Soma https://jamii.app/WanafunziShule
> UNESCO imeonya kuwa, huenda baadhi yao wakashindwa kurudi Shule kutokana na hali ya kiuchumi ya nchi zao
> Mpango wa kupata Dola Bilioni 5 utazinduliwa ili kusomesha watoto masikini
Soma https://jamii.app/WanafunziShule